Hizi ndizo aidia ambazo mnatakiwa muandae sasa Clam Vevo Gang ❤ Naona kwaupande wa Mr CHIBU kaachia Tamthilia yamoto sana na Kipara huku umeachia tamthilia yamoto sana. Sasa nasubiria Mr BUTUA naye aachie tamthilia yamoto. Mimi ndio yule fans sugu wa Mr CHIBU & Mr BUTUA soon ntamuongeza Mr KIPARA kama atakaza aidia kwenye stori zake namna hii ❤
@@VincentGamboMuye andika CHIBU TV itakuja channel ya huyo jamaa. Amecheza kwenye Snake Boy kama baba yao na wale mabinti wawili ambao wanaishi na CLAM VEVO.... jamaa ni hatari sana
Kitu cha moto 🔥 balaa hatujakataa ,kazi inanguvu hatari hili sipingi , tatizo dk chache kipara jaivah kipara wana man kipara marley kipara oh my tunakuomba part 4 dakika kuanzia 25-35 kipara konde please
Kipara kazi nzuri sana na tunaifatilia kwa kina ila kuna sehemu zinakuwa Ima director au Script inakosewa mm binafsi sijaona sababu ya Abby kuwa mkali kwa mke wake kiasi hicho kisa anamuwazia dada anaejifanya kuwa ni chizi content inakujaje wana ishu gani na yule mdada mpaka imefikia mahala mpaka kumuwazia kiasi ambacho akose maelewano na mke wake? Maana kwa kawaida hauwezi kumuwazia mtu ambae hauna ishu nae kiasi kwamba ukakosa maelewano na mke wako so kuna sehemu za kurekebisha maana wanaotizama ni wengi na sio kila anaetizama anaangalia tu! Hapana mwingine anaangalia vitu vingi sana kuanzia shorts,movement ya msanii Script,director,reaction ya artist na vingine kibao ni hayo tu! Kwa uelewa wangu mdogo shukran sana
Haraf wanasemaga et mwanaume ni kama mtt et anahitaj kubemberezwa ASA km mme Wang namuuliza ananifokea unadhan ntarudia ten ck ingne cwez kurudia kabisa
Kazi safi mmbea kipara 🇰🇪🇰🇪
Kipara Wana man hongera sana kaka Kwa kazi nzuri plz mwisho uwe mzuri msiishie njiani 🔥🔥🔥💥💥
Kipara uko genius sana,mambo ipo sawa❤❤❤❤❤❤
Kazi nzuri sana BANA na kubwa hii nimependa tu sana nipo Mombasa kenya hapa jomvu like zenu bn❤❤❤❤ tuonyeshe upendo bn
Ikiekewa ubunifu mzuri huenda ikawa filamu nzuri ya kutazama.....kazi nzuri naifuatilia toka Kenya
Hongera kwa director kije madevu 🔥 🔥
Wa burundi wanao mukubali kipara wanama ao kipara jaivah tuko niaciy like nzangu bas✌💨💣
Move Kali kinoma Ila una chelewa kuileta.tuwaishie sawaa jaiva
Kipara wana man💪🏻💪🏻🙏🙏
Wa kum na mbili mim nampenda kipara igwe 🤣🤣🤸
SANDRA nilianza kumuona kwenye Tamthilia ile akiwa na JUMA JICHO 😂 Tangia nianze kumuona nampa tuzo zake ktk uigizaji anaweza sana......
❤❤❤napenda sana hii from kenya
Kipara Wana man, au kipara jaiva aweeee😅😅😅😅😅
olooooo in oloooo😂😂😂
Big story Kipara una kitu Utafika mbali 🤜🤛
Aweeeee bonge lishapagawa na chizi😂😂😂
Mkemia apa from Tanga Tanzania kaz nzur sana tuko pamoja mwanzo mwisho
Safi San kipara KAZI inaonekan Kwa kwel n nzur xan wallah big up xan kipara Wanaman mzungu WA Tz
Nzurii sanaa❤❤Sandra nakupenda❤
Kipara jayva hongera sana kwa kazi nzuri naomba ongeza dk kidg kwa maan ni 🔥 mkali ❤❤
Sawa all in all😂😂😂
Hizi ndizo aidia ambazo mnatakiwa muandae sasa Clam Vevo Gang ❤ Naona kwaupande wa Mr CHIBU kaachia Tamthilia yamoto sana na Kipara huku umeachia tamthilia yamoto sana. Sasa nasubiria Mr BUTUA naye aachie tamthilia yamoto.
Mimi ndio yule fans sugu wa Mr CHIBU & Mr BUTUA soon ntamuongeza Mr KIPARA kama atakaza aidia kwenye stori zake namna hii ❤
Mr chibu n gani
@@VincentGamboMuye andika CHIBU TV itakuja channel ya huyo jamaa. Amecheza kwenye Snake Boy kama baba yao na wale mabinti wawili ambao wanaishi na CLAM VEVO.... jamaa ni hatari sana
Kazi Yako naikubali sana ila kazi zinachukua mda kutoka tunasubili sna
Sema una chelewesha sana kipara wanaman au kipara Jaiva movie Kali sana ii 🔥🔥✔✔✔✔✔
Kitu cha moto 🔥 balaa hatujakataa ,kazi inanguvu hatari hili sipingi , tatizo dk chache kipara jaivah kipara wana man kipara marley kipara oh my tunakuomba part 4 dakika kuanzia 25-35 kipara konde please
Leo naombeni like jamani 🇲🇿🇲🇿
Kipara hebu tulia na hicho kizungu chako daaaa watueka njia panda ulisomea wapi na mm nirudi shule😂😂😂
Kipara jaiva aweeeh😂😂
Kipara Jaivah aweeh bibi hajasema hapo aweeh 😂😂😂ila udiwani na kipara mmmmh... mhuu🙌🙌
orrrrrro in orrrrrrro
Like kwajili ya kipara tafadhalini naomba
Kipara wana man Kizi zuri ❤❤❤
Wa Kwanza mim naomba like zangu kutoka Dodoma
@@VailethYusi uko Dodoma maeneo gan?
Jaman leo wa mwanzo naomba like japo 10🎉🎉🎉❤
Kipara brand nakukubali sana ktk series zako hongera kipara brand😀✌️
Oro ovo oro much love from 🇰🇪🇰🇪😂😂😂 kipara nakukubl na icho kizungu 😂😂
Kipara wanamani kipara jaivah 🤣🤣🤣🤣 nakukubali broh
Leo wa kwanza jaman naomben like zangu ❤❤❤❤ from tanga korogwe
😂kazi safi sana
Kipara lakin unatueka sana bwana utasema watu wanasubiri kiama 😂😂😂😂
Kipala wana man aweeeeeeeeeee😅😅😅😅😅😅😅😮kama ume cheka gonga like 👍 😊
Kazi nzuri broo safi sana kipara wana man ❤💯
Kipara kazi nzuri kaka❤❤❤
kipara napenda ukiongea kiingereza😂💔
Kaz nzr kipara
Uganda 🇺🇬🇺🇬🇺🇬🇺🇬 twafuatilia nyie.... Waigizaji shupavu 🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤
Kipara big up😊
❤KAMA UNAMUKUBALI KIPARA NIPE LIKE NA S'ABONNER WATANZANIA❤ SIMICHOANGU NISHAACHA
Nimempenda sandra, anajua kigiza sana, natafuta movie zake nione
Kipara ana lo😂😂😂🎉🎉🎉🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩
Ongeza dakika bwana kipara movie nzuri dakika n kidogo 😢
Kazi safi Sana hongereni next plz 🎉🎉❤
Kipara kazi nzuri sana na tunaifatilia kwa kina ila kuna sehemu zinakuwa Ima director au Script inakosewa mm binafsi sijaona sababu ya Abby kuwa mkali kwa mke wake kiasi hicho kisa anamuwazia dada anaejifanya kuwa ni chizi content inakujaje wana ishu gani na yule mdada mpaka imefikia mahala mpaka kumuwazia kiasi ambacho akose maelewano na mke wake? Maana kwa kawaida hauwezi kumuwazia mtu ambae hauna ishu nae kiasi kwamba ukakosa maelewano na mke wako so kuna sehemu za kurekebisha maana wanaotizama ni wengi na sio kila anaetizama anaangalia tu! Hapana mwingine anaangalia vitu vingi sana kuanzia shorts,movement ya msanii Script,director,reaction ya artist na vingine kibao ni hayo tu! Kwa uelewa wangu mdogo shukran sana
Oya mbeaaa wa kiumee kaz yko nzulii sanaaaa
Good nice one job mr wanaman🎉🎉
Wakwanza toka Uganda like zangu
Nimefika wala sichelewi kabisa
Mnaweka muda mchache bhna Ata huenjoy
Kipara 😊🔥
Much love from Kenya 🇰🇪
Kipara after vevo.. Kipara vevo😅
Kipara wana man au kipara eeeeeee- ! 😅
Kipara Niue na hicho kizungu tu 😂😂😂ila mnaweza team kipara hii kali❤❤😊
Watu wa Clam Vevo Gang 🤣🤣🤣🤣 Aloooh english imewapitia kushoto sana
good job
Sandra anacheza na akili zetu
Kazi mzuri kipara lete vituu
Kali kali kali kali saaaaaanaaaaaaaa
Eti kipara alisomea nn Allo in allo😂😂
Nimetumia D mbili zangu Naona Anachembe chembe za Ubakaji😅😅😅😂😂😂
First one
Kipara brand 💪
Usichelewe kuleta mwendelezo
Oro in oro kazi nzuri sana kiukweli. Sandra kuna idea naomba nikupe story utaweza kuicheza vizuri.@sandra
Mnipe namba za kipara nimwambie kama Sandra sio chizi 😂😂😂
Safi sana
Kweli ni bomba. Nipe lik zenu na subscribed
Good work 👏 ❤from Kenya
Kipara the genius ❤❤❤😂😂😂😂 wapi subscribe zangu ❤❤
Çhizi omba kipara asijue ukweli
iyi nimeipend kipara wana man saut y jeiva awiii😂😂😂 umbea alishag aca kitamboo
Kazi nzuri kipara ❤
Nakubali sana kipala❤❤❤
Kweli
Kwani Aby mbona mpeku peku sana 😂😂😂akiwa chizi au sio chizi inakuhusu nini? Sandra na wewe bora umeletewa nguo nilitaka nikuchambe😂😂😂🥰👏❤❤❤
Hivi hiki kizungu kingi hivi mmekitoa wapi jamani🤣🤣🤣🤣 from 🇰🇪👌
Kipara ndo mridhi wa clamvevo
Chizi biga kazi
Habi sandra anakuumiza kicwa kiukweli atami sijamuelewa sandra 😅aca tutaona mwisho
Assesnation formation juction 😂kipara unawazim😂
Kazi safi kipara
Nakukubari kipara
Kipara kwenye hii umeniboa huna umbea umbea
Tuongezee muda kipara wana man
Unashindwa hata kutumia D mbili😅😅😅😅
🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Sadra bonge la muhigizaji endelea ivyo ivyo
Kaz kaz
Bwana diwani umepigaje apo😂😂😂
Brother kipara umezingua tena kinoma yani
Mshangazi kwani iko wapi
Physics ishageuzwa na kipara ikawa syphics😂😂😂kizungu yako nomaa
Kipara na umbea ameshindwa kujua huyu Si chizi😂😂😂😂
Finally am the first 😂
Muheshimiwa diwani kipara 🎉🎉🎉❤
Haraf wanasemaga et mwanaume ni kama mtt et anahitaj kubemberezwa ASA km mme Wang namuuliza ananifokea unadhan ntarudia ten ck ingne cwez kurudia kabisa