Wasafi media safi sana story book big up
Keep up @mtigaabdallah kaz nzur ya uandishi # 👑 Messi
nimefurahi kusikia story ya mtu ambaye na mtukuza Mungu kwa uumbaji wake... Thanks God for this gift.
big up Lion mess I wanna love it!!!
Messi ni GOAT
G: greatest
O: of
A: all
T: time
Gonga like Kama unamkubali king mess
254.. I can't stop crying the way abdalla is talking and the background song also the far messi ametoka...wapi like kama unamkubali
Lionel Messi G O A T nilikuwa siamini uchawi nilipomwona Messi ndio nilipata kuamini
Daah noma sana nimeikubali hii story
Manina messi ni mnyamaaaaaa like hapa kama kweli unampenda messi na unaufuatilia mpira wa ulaya
king messi,la purga mm napenda kumwita magical messi
Lionel Andres Messi👑
Ali Saleh Kiba 👑
Superstars wawili wako humble.
Thanks. Love from Kenya 🇰🇪👏
Hapo kwenye Alli kiba umekosea sana, weka mond I platnumz uufurahishe moyo wako zaidi, najua kw kiba kuna vitu bora unavikosa ndugu km hits songs mfululizo.
Lionel messi la pulgaaa mchawi wa mpira fundiii wa muda wote.... THE GOAT hakuna kama yeye mamae🙌🙌🙌
Huyu kiumbe sio poa kabisaaa ni 💥💥💥💥
Lionel Messi does it again he's super human. Asante sana Mtigaa Abdallah 🇰🇪🇰🇪
Huyu jamaa ni hatari kweli hich kizazi tuna bahat ya kumwona huyu kiumbee👀
Leo umenena bro🔥🔥🔥huyu kiumbe sio wa mchezo mchezo
Daaah mnachelewa sana dullah ku update hii kitu! Naipenda mno "the story book"
Kuna kizazi kilimuona pele na mradona najivunia kuwa katika kizazi kilichoshuhudia uwezo wa messi inshaallah nitahadisia wanangu kua kuna kiumbe kilipita kinaitwa messi au lapulga
Shukrani zangu za dhati nawe Abdallah
Cna hidaya wala zawadi za kukutunuku na kukutunukia kwa kazi njema uliyofanya
Waama , Messi ndiye 'THE GOAT'
Ifike muda mkubaliane kutokukubaliana.... Messi ni jemedari wa vita
MESSI MESSIAH MESSI MESSIAH 💯🙏🗣️🗣️🗣️🗣️🗣️🗣️🗣️THE GOAT🤝
Fundiiii! Unstoppable ever
Weka like kama unamkubali mtiga
G.O.A.T🐐
I love you mtigwa we need you back on story book please baba
Ladies and gentlemen allow me to introduce le magestrio the one and only the greatest of all time GOAT Mr.lionel Andres Messi 🐐 la pulga
long live messi
Mzee baba nimesikia umejitambulisha kama Mtiga El Messi😂😂
Messiiii
duuuh hapa umenishika brooo
safi sana fantastic
Leo mmenikoshaaaa yaniii daaah mess dah yan i lik xan
Messi ndiye mfalme.. 🐐 goat🥳asingeshinda kombe la dunia akianani ivi ningejinyonga maana mi ni shabiki yake mkubwa sana hadi nilivyokuwa Qatar alinipa jezi yake.. ndo tukio ambalo sitakaa kusahau maishani mwangu❤️🔥
Tafadhali mnipe like.... na mnachelewesha kuweka yutupe
This is next level
Brother chimbua ukweri kuhusu BUSTANI YA EDENI
The king of football
Beautiful image I love, thank you
Hakuna kama messi huyu ndio king wa soka duniani 👉👉❤❤
Lugha yako yatesa ingawa Messi si mchawi hiyo ni TALANTA yake!! 👀👀
Mchawi anaye loga mchana kweupe
He is unstoppable!!!😎😎😎
GOAT 🙌🙌
Wa kwanza
Siku zote Bwana akiamua kukuinua hakika atakuinua mpaka utashangaa!!! Na ww hapo mtangulize Mungu, ili ushuhudie makuu ya ajabu sana, Miujiza kwako!! Amen!! Bwana awabariki sana.
Lionel Andres Messi La pulga Pedula dela Oroo Magician record breaker The G.O.A.T,, Blessed sana Mtiga story tamu unataman isiisheee
He is the man from other planet
Man from another Star
Hapa umetuweza, bonge la story
The lionel messsi This will be king of the king of football , No body cannot hate this reality
Amazing bwoyyy
Dah! aliemchagua mtiga na kipindi cha story book kwa ujumla apandishwe kwanza cheo wasafi media ndipo nitoe comment yng
Mnakwama kusema Leo mchawi haina haja ya kuweka caption kama hiyo but the guy anajua na kwa upande wangu hakuna kama yeye kwa sasa .G.O.A.T
vamos conhecer os portugueses que ouvimos a torneira como aqui
Messi is the football king 👑
Like zangu
Nimekuelewa Kaka nampenda mess kwa bongo mwenye bongo yake simbaa
Nani yupo hapa ballon d'or 7. Na mshindi wa World Cup🙌🙌🙌
He is the best!
mfalme wa soka ndo wewe brother wengine wana forge
messi ,v juniour,mbappe,neyma,ronard like hapa
Msomaji hatari we missss ur voice man natoka kenya
1.Messi
2.Ronaldo
3.Neymar
Weka likes km unakubaliana na mimi kwa hii list
The goal machine Lionel Messi
N kwel messi cyo mpenz wa kuongeaaa.... Maana nlimfata DM nkiwa insta.. Akajbu akantumia na namba ila nkipiga hapokei!!!
Me: Messi
You: Diamond Platnumz
CZcamsr: ?
Hii kali saana
Yani funga mwaka.big up bro
Messi the magic player king of the football🔥🔥🔥
Katika hii dunia,
kuna binadamu hata dunia iendelee miaka millioni moja ijayo, hawatakuja kutokea Tena....
@My King, my goat, my hero, my idol.
Lionel andress lapurga cuccitin messi.
King mwenyew
First 💪🏼💪🏼 like zenu
Imalizieee
Messiah. 100%
Nani anatamani iyi story iruduliwe baada ya kufanya maajab mwanzo wa msim hadi kuchukuwa world cup Qatar💣🔥
Namkubali san messi evry good
leo messi 👏
M2 mbaya🔥🔥🔥🌍🌎🌏👽👽👽
Mbna imekuwa fupi sana jamani...
Hey bro I want to know a story about kanumba
Jamani nime tamani kuwa like nyotee hila naomba kama umesoma Hii Jua nimesha like Comment yko km wewe ulivyo like 💗 hapa
wasafi media mmenifurahisha sana kwa stori hii coz nampenda messi mfalme wa soka duniani