Video není dostupné.
Omlouváme se.

🚨Alieishitaki Yanga Magoma akifunguka Vingi,Aweka Ukweli wa kesi ilivyo.

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 26. 08. 2024
  • #football #alikamwe #yangafc #yangasc #yangatv #youtube #ahmedally #simba #simbaislive #simbatanzania

Komentáře • 133

  • @magobocrissvance1187
    @magobocrissvance1187 Před měsícem +10

    Aliye toa hukumu n shabiki wa simba

  • @Listarmwandenuka-fq8jm
    @Listarmwandenuka-fq8jm Před měsícem +8

    Kumbe waongo haooo mwacheni Raisi wetu

  • @maxmia100
    @maxmia100 Před měsícem +5

    Huyo mzee kichaa

  • @anathshabani2952
    @anathshabani2952 Před měsícem +2

    Basi hata bungeni tungeenda wananchi wote

    • @josephlorri431
      @josephlorri431 Před měsícem +1

      Anaishi miaka ya 1930s.. kwa sasa yanga na simba imeenea nchi nzima. Ukumbi gani utatosha kubeba wanachama moja moja nchi nzima

  • @emmanuellupiga
    @emmanuellupiga Před měsícem +2

    Duh sasa wanachama tuko wengi iv kweli tutakuwa tunakuja wote mkutanoni au mimi cjaelewa

  • @user-kw1dl2rr1l
    @user-kw1dl2rr1l Před měsícem +2

    Kesi rufaa yanga wanashinda alafu huyu mzee akamatwe mara moja,

  • @drallan6879
    @drallan6879 Před měsícem +4

    We mzee huoni unaitendea club ndivyo sivyo?au mnatumiwa kuibomoa club?

  • @user-dl1mg2qf4n
    @user-dl1mg2qf4n Před měsícem +6

    Taasisi yoyote huwa na wawakilishi wao kwenye matukio tofauti tofauti,, na hawaendi kinyume na maagizo ya taasisi, Huyu mzee ni mkorofi sana,,

    • @frayy5595
      @frayy5595 Před měsícem

      Sawaa mwenye taasis yako😅

  • @amosimussa3360
    @amosimussa3360 Před měsícem +3

    Mzee tulia kama wanachama waliwaamini hao watano wakawakilishe maana yake wanauhakika nao .na ukisema wanachama wote waingie kwenye mkutano mnakaa wap na ndo maana walichagua watu watano kwenda kuwakilisha acha maneno

  • @user-hx1po7qx5j
    @user-hx1po7qx5j Před měsícem

    Daaah afya ya akili 😂

  • @MohamedMoto-x2i
    @MohamedMoto-x2i Před měsícem

    Uyo mzee ajitambui. Kama ninjaa aje shamba tulime atakula. Nasio kuchanganya mafaiili

  • @eustadiusbahanzi
    @eustadiusbahanzi Před měsícem +2

    Huyu Mzee katumwa sasa ngoja tuoneee wew Mzee umechka maisha

  • @emmanuellupiga
    @emmanuellupiga Před měsícem +1

    Yani kwa kweli sa unataka wanachama tuje wote kweli mzee wamweke miongoni mwa hao watano baaaaaaaaasi

  • @ChanganyaJaphetjr
    @ChanganyaJaphetjr Před měsícem

    hakuna kee hapo😮😮😅❤

  • @mazengojohn2090
    @mazengojohn2090 Před měsícem +2

    Hao wazee wafungiwe na club wasijiusishe na yanga yetu

  • @fadhilkhamis8971
    @fadhilkhamis8971 Před měsícem +1

    Dah! Anyway ngoja nikae kimya tu

  • @ABDALLAHMWATANDA
    @ABDALLAHMWATANDA Před měsícem

    HILI JAMBO LINGEKUWA UPANDE WA SIMBA , KINA KITENGE, JOB NA NASRI WANGEBANA PUA.....huwezi kuishitaki taasisi HALAFU mkuu WA TAASISI awe NJE ya team....JOB USIULIZE KWA KUBANA PUA....MAHAKAMA HAIJADILIWI

  • @HusseinKoja-ww7gi
    @HusseinKoja-ww7gi Před měsícem +2

    Huyo anaugomvi kwenye tawi

  • @McKajiwe-kh3bd
    @McKajiwe-kh3bd Před měsícem

    Huyu hana tofauti na Feisal,Eti Eng aondoke!!??,ni kichaa tu ndio atamwelewa.

  • @izackkitomo6825
    @izackkitomo6825 Před měsícem

    Uyu mzeee anaelimu gani Kwanzaa

  • @georgepewa9624
    @georgepewa9624 Před měsícem

    Huyu ni wakufungiwa milele

  • @emmanuellupiga
    @emmanuellupiga Před měsícem

    Sa mbona mkali iv

  • @EsterMbilo
    @EsterMbilo Před měsícem

    Mzee unapaswa uchapwe viboko

  • @amosleonard7359
    @amosleonard7359 Před měsícem +1

    Bangi kabisa

  • @user-ce3tx7mr8v
    @user-ce3tx7mr8v Před měsícem +1

    MAGOMA KAMA HURIDHIKI NENDA SIMBA

  • @ABDALLAHMWATANDA
    @ABDALLAHMWATANDA Před měsícem

    ENG ALISEMA NILEETENIII HUYU AWE MAKAMO.WANGU..

  • @robertmatabalo5454
    @robertmatabalo5454 Před měsícem

    Huyu amepoteza sifa kuwa mwanachama wa Yanga. Aondolewe

  • @user-rj3cd2lh8w
    @user-rj3cd2lh8w Před měsícem +1

    Matumizi mabaya ya mahakama

  • @VumiliaSabu
    @VumiliaSabu Před měsícem

    Akapimwe akili uyo

  • @user-xt3rn8js7t
    @user-xt3rn8js7t Před měsícem

    Magoma nenda simba hatukutaki ww tunamtaka injinia toka huko

  • @user-bt6ep3yb2h
    @user-bt6ep3yb2h Před měsícem +1

    Gsm huyuko kwenye bordy na wala hajawahi kuwa kwenye bordy.

  • @user-ym7rd4yn4l
    @user-ym7rd4yn4l Před měsícem

    Naomba namba yahuyo mzee

  • @anathshabani2952
    @anathshabani2952 Před měsícem

    Hao wanaowakilisha siwamebeba maoni na mawazo ya wanachama wanaowaongoza????

  • @KiloMkundawantu
    @KiloMkundawantu Před měsícem

    Mzee Acha upuuz tuachie timu yetu

  • @HappyClogShoes-hp9ho
    @HappyClogShoes-hp9ho Před měsícem

    Kudaako mzee😅😅😅😅😅

  • @user-kz6pb9ii6k
    @user-kz6pb9ii6k Před měsícem +1

    Wew mzee nakuombea ufe

  • @rajabumsuya-hg8jd
    @rajabumsuya-hg8jd Před měsícem +2

    Yan anataka mkutano uhudhuriwe na watu woote Tanzania anaakili kweli huyu,,,anaongelea katiba ya nwaka 78 ambayo Tz ilikua na watu million 10
    Sasahv kuna watu million 60 alafu unataka mkutano aje kila mtu si huo mkutano utafanyika Lupaso sasa

  • @rajabumsuya-hg8jd
    @rajabumsuya-hg8jd Před měsícem

    😊😊😊😊😊kwahiyo huyu mzee anataka uongozi sio!!!!!😅😅😅😅kwanza ana elimu gani huyu!??

  • @maryaugustino8716
    @maryaugustino8716 Před měsícem

    Huyu mzee afutwe uanachama kabisa kama wanavyo fanya ccm mtu mgomvi kwenye taasisi kubwa ambaye ni mnafiki shubamit hatakiwi hata kwenye jumuia ya watu wstulivu.afutweeee uanachama hatumtaki kabisa zee hili,

  • @ShadrakNdalu
    @ShadrakNdalu Před měsícem

    Huyo ametumwa huyo

  • @emanuelshirima9236
    @emanuelshirima9236 Před měsícem

    Huyu Mzee Ni wale WA wanaitwaga bushlowyer😂

  • @ChanganyaJaphetjr
    @ChanganyaJaphetjr Před měsícem

    hakuna kes hapo 😂

  • @elizabethkalinga0822
    @elizabethkalinga0822 Před měsícem

    ANAMAHUDHI HUYOOO

  • @amosingailo-xb6lf
    @amosingailo-xb6lf Před měsícem

    Huyu mzee apewe tim tuone😂😂😂

  • @muhamedjaffar5653
    @muhamedjaffar5653 Před měsícem +1

    Mzee yuko sahihi kwenye sheria .ameona kuna upigaj mkubwa yanga .takukuru muone swala hili

    • @user-ce3tx7mr8v
      @user-ce3tx7mr8v Před měsícem

      UPIGAJI WA BABA YAKO?

    • @user-hy2qw6gi3e
      @user-hy2qw6gi3e Před měsícem

      Waambie wafuatilie upiga wa kolo mwenzenu mo anayewaibia kila siku jibwa wewe

    • @muhamedjaffar5653
      @muhamedjaffar5653 Před měsícem

      @@user-ce3tx7mr8v wa mama yako

    • @muhamedjaffar5653
      @muhamedjaffar5653 Před měsícem

      @@user-hy2qw6gi3e makasiriko ya nn sheria imefata mkondo wake .nategemea msaada wa viongoz kulituliza.achen dhulma

  • @christinaalexander1213
    @christinaalexander1213 Před měsícem

    Kwa hiyo ulitaka wote 100 waende mkutano mkuu

  • @clauschaula2050
    @clauschaula2050 Před měsícem

    Magoma acha siasa kwenye soka.

  • @user-vb6zv8ov8v
    @user-vb6zv8ov8v Před měsícem

    Huyu mzee na aliyetoa hukumu ya kesi hiyo hewa ni miongoni mwa Watanzania wachache waliosomea sheria lkn hawajui hata kidogo kutafsiriwa sheria wanatoa maamuzi kwa kuangalia mazingira na vifungu vya sheria.

  • @user-xt3rn8js7t
    @user-xt3rn8js7t Před měsícem

    We mzee umechoka maisha

  • @JOELCHIGUNDA
    @JOELCHIGUNDA Před měsícem

    Sasa kama katiba imeshasajiliwa yeye ninani huyo mzee
    Ndo maana Eng.a nasema wala mihogo acheni kukorofisha maji yaliyotulia

  • @hassaniibrahim300
    @hassaniibrahim300 Před měsícem

    HUYU PUMBA KWELIKWELI

  • @kelvinngogo1819
    @kelvinngogo1819 Před měsícem

    Huyu mzee hana hoja kabisa😂 njaa tu aweke namba ya simu tumchangie

  • @MaxCharles-wj5dg
    @MaxCharles-wj5dg Před měsícem

    mzee kichaaa huyo siyo bureee

  • @RichardRomanuss
    @RichardRomanuss Před měsícem

    Tatizo la kuwapa nafasi wazee wa miaka ya 50 uko wawe na mamlaka kweny club

  • @ndarohitra1495
    @ndarohitra1495 Před měsícem

    Pumbavu sana mzee machakacha huyu anataka nn kwani? Njaa hizi bhana acha kabisa na hapa keshakuwa kupe

  • @SalimuRamadhani-nl7bp
    @SalimuRamadhani-nl7bp Před měsícem

    Huyo mzee messenger tu

  • @ashrafumbawala
    @ashrafumbawala Před měsícem

    Chama kaenda kuleta mgogolo 😂😂😂😂

  • @aliissa8781
    @aliissa8781 Před měsícem

    Moira haukosi fitina ila haya yote yanakuja kutoka a na brand ya Simba kushuka na hawajui vp itapanda. Kwa hiyo lazima kuwe na propaganda kama hizi.

  • @user-zh5tp2yq6f
    @user-zh5tp2yq6f Před měsícem

    Asa kama team inafanya vzur mnataka nin Tena nyie wazee mbona mnazeeka vibaya ivi

  • @haidhabushiri9558
    @haidhabushiri9558 Před měsícem

    Yaani huyu mzee kichaa so wanachama wote twende kwenye mkutano

  • @luqmanomary3558
    @luqmanomary3558 Před měsícem

    Msimtusi huyu mzee anaongea kisheria sio kiushabiki mumuelwe maswali yake na maelezo yake mnvunjia heshim bure

  • @narcissusmakenge4710
    @narcissusmakenge4710 Před měsícem +1

    Huyu mzee kachoka. Bunge la Jamuhuri linawakilisha wananchi kutunga sheria na kuisimamia serikali kwa niaba ya wananchi, hii haiwafanyi watanzania waliobaki kutokuwa wananchi. Vyama kama ccm vinafanya maamuzi kupitia mkutano mkuu kwa uwakilishi wa wajumbe kwa niamba ya wanachama wengine, pia hii haiwafanyi wanachama wengine kutokuwa wana CCM. Akitaka agombee uongozi wa tawi ili aende mkutano mkuu.😂😂😂

    • @Zaynab-ny6gr
      @Zaynab-ny6gr Před měsícem

      Hata taking hana wala card hai mchawi tuu huyo wa timu yetu

  • @user-ce3tx7mr8v
    @user-ce3tx7mr8v Před měsícem

    KAMA HUJAWAHI KUITUMIA KATIBA KAA KIMYA

  • @Prosperkaluta
    @Prosperkaluta Před měsícem

    Kwa hiyo huyu mzee anahitaji wanachama wakiwa nilionu moja basi wooooote wawe wanashirikishwa kwenye vikao eti daaaaaaaaaaaaah...!

  • @EsterMbilo
    @EsterMbilo Před měsícem

    Mzee unajtaka Nini mchawi mkubwa

  • @ezrayohana3541
    @ezrayohana3541 Před měsícem

    Mmmmmmmmh hapa shida ni Elimu tu

  • @user-hy2qw6gi3e
    @user-hy2qw6gi3e Před měsícem

    Hili zee jinga kwahiyo tukitaka kuchagua rais wa nchi tuchaguliwe watanzania wote sio? Mbona jimboni tuko watu wengi lakini tunamchagua mwakilishi mmoja? Liende kijijini likalime jibwa hilo. Shenzi kabisa

  • @HamzaMfunen
    @HamzaMfunen Před měsícem

    Huyo magoma bwege.

  • @amosleonard7359
    @amosleonard7359 Před měsícem

    Wewe ndy hatukutaki na wewe siyo bora kuliko yanga tuache na yanga yetu

  • @Zaynab-ny6gr
    @Zaynab-ny6gr Před měsícem

    Huyu mzee akili zake hazina akili na huyo akimu wake sasa huo utakua mkutano au uwanja wa fujo

  • @enockjoseph3818
    @enockjoseph3818 Před měsícem

    Huyo mzee Hajui anachokiongea hapo na sijui kusudi lake nini nymbafu

  • @HusseinKoja-ww7gi
    @HusseinKoja-ww7gi Před měsícem

    Hiyo kesi itatupiliwa mbali

  • @IsaKinyonga
    @IsaKinyonga Před měsícem

    Wee Mzee kuma nyoko nyoko zako

  • @jumamakonya2665
    @jumamakonya2665 Před měsícem

    Sisi hatutaki mgogoro ndani ya timu yetu wee mzee tulia sawa....!! Sii uache kulipa sisi tunalipia.... DAIMA MBELE NYUMA MWIKO

  • @amosleonard7359
    @amosleonard7359 Před měsícem

    Njaa tu inamsumbua huyu mzee

  • @user-zh5tp2yq6f
    @user-zh5tp2yq6f Před měsícem

    Kila TAWI Lina wanachama 100 wakija wote Kila tawi mnapakuwaweka au mzee mkutano uwe unafanyikia kwa mkapa

  • @fikirininasoro5272
    @fikirininasoro5272 Před měsícem

    Wewe mzee acha ujinga utuache na yanga yetu

  • @SelestineJoseph-ww5gl
    @SelestineJoseph-ww5gl Před měsícem

    Afungilie club nyingine uyoo mzee lakini siyoo ya yanga injinia atakuwa raisi apo

  • @HabibaHassan-y8y
    @HabibaHassan-y8y Před měsícem

    Majibu yake ni pumba tupu.

  • @augustinemainde
    @augustinemainde Před měsícem

    Wavurugaji wako wengi huyu mzee aachiwe Yanga anayotaka na hii iuzwe iitwe tuone Kama ataiendesha eti mzee asituchokoze vijana tumetulia na Tanzania yetu

  • @EsterMbilo
    @EsterMbilo Před měsícem

    Fuuta uanachama huyo

  • @AlawiissaIssa
    @AlawiissaIssa Před měsícem

    mzee endelea kujichosha

  • @DouglasChuwa-ec7mv
    @DouglasChuwa-ec7mv Před měsícem

    Ameishiwa mada njaa imemponza huyo juma

  • @kateadam8204
    @kateadam8204 Před měsícem

    Ndugu yake Mangungu 😂😂😂

  • @selemanmussa3459
    @selemanmussa3459 Před měsícem

    Sasa dhana ya uwakilishi maana yake nini? Wote tunaweza kwenda Bungeni? Lazima mifumo ibadilishwe ili kuendana na wakati. Hiyo kesi tunakata rufaa af utasubiri rufaa yako kwa miaka 50.

  • @albertvalentino130
    @albertvalentino130 Před měsícem

    Huyu MTU hana hoja ---- kwani mwanachama anakuwa mwanachama pale tu anaposhiriki vikao ? ---- " Nonsense "

  • @DismasWilliam-cp3qe
    @DismasWilliam-cp3qe Před měsícem

    Job wewe mwanasheria mtupu huyu mzee hana anachojua maana anajikanyaga tu kujibu

  • @wazirimagayuka9681
    @wazirimagayuka9681 Před měsícem

    Kuna wanachama wangapi nchi nzima? Anataka wanachama wote washiriki kufanya maamuzi badala ya kuwa na wawakilishi wasiozidi watano. Ndio maana hata sisi wananchi tunawakilishwa na wabunge kila jimbo mbunge mmoja. Yeye mawazo yake angetaka wakati wa vikao vya bunge wananchi wote tuingie bungeni?

  • @H3s4d
    @H3s4d Před měsícem

    Tatizo. Nini? Njaa

  • @H3s4d
    @H3s4d Před měsícem

    Haya ni. Matatizo. Ya. Watu. Wanaoshikwa. Masikio. Na. Watu

  • @tabumayuhana47
    @tabumayuhana47 Před měsícem

    SIMBA WAPO KAZINI HAPO SASA😂😂😂

  • @amosleonard7359
    @amosleonard7359 Před měsícem

    Hatukutaki wewe na urudishe kadi yetu ya uanachama

  • @user-dl1mg2qf4n
    @user-dl1mg2qf4n Před měsícem

    😂 huyu ni mbumbumbu kabisa,, wanachama wote hawawezi kushiriki kwenye vikao ,, bali huwakilishwa na baadhii, wote waendee huo sio mkutano bali ni maandamano

  • @NdayishimiyeEvelyne-ws6ts
    @NdayishimiyeEvelyne-ws6ts Před měsícem

    Uyi mzee akasome kwanza juu huwezi kuchukuwa watu milioni 40 wakauzuliye mkutano

  • @user-ce3tx7mr8v
    @user-ce3tx7mr8v Před měsícem

    KAMA HAO NI WAPENZI HAO WATANO WATACHAGULIWA NA NANI? NA UKUMBI GANI UTATUMIKA KWA WANACHAMA WOTE?

  • @user-ym7rd4yn4l
    @user-ym7rd4yn4l Před měsícem

    Huyo mzee nikichaa mbunge anwakilisha wananchi wangapi kwanini yeye alalamikie watu 95 kwahiyo tawi likiwa nawachama 5000 wote wakahudhurie mkutano huyu nikichaa kabisa

  • @rajabumsuya-hg8jd
    @rajabumsuya-hg8jd Před měsícem

    Huyu mzee mamluki
    Au ndio wale wapigaji sasahv hakuna hayo mambo yanga aende simba huko sisi hatuna 10% usajili anafanya rais

  • @user-ce3tx7mr8v
    @user-ce3tx7mr8v Před měsícem

    MZEE MAGOMA?HAKI NINI?HAO 95 WANACHAGUA VIONGOZI,WANAPELEKA WAWAKILISHI,WANACHOKIPATA WANARUDISHA KWA WATU 95

  • @romimwalu
    @romimwalu Před měsícem

    Wewe Mzee,WANACHAMA wataweza kushiriki mkutano mmoja?Taasisi zote zinakuwa na uwakilishi

  • @drallan6879
    @drallan6879 Před měsícem

    we mzee pesa za kuendesha club unazo;?mbona unatafuta matatizo?