Huo ni ugonjwa, poleni familia
Kura zenye mliiba hiyo ndio mshara wa mauti
Hii ndio kujiweka mbele mbele kwa viongozi..hata wananchi wa chini mukijiweka mbele mbele utaskia tu wamewaekelea kuwa ni watu wa kutaka kuleta vita na risasi zinamwagwa hapo na rungu..viongozi hutoskia hata mmoja amepatikana na shida
Watu wanatembea na maugojwa Kwa mwili you don't know wait for the results of the postmortem
Karua ameua
KAZI ya Azimio...