Kahawa na Beda Msimbe - Namna ya kukwepa tezi dume ufikapo 40, Dr. Deogratius E. Mahenda

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 20. 08. 2024

Komentáře • 4

  • @jamaicamagali9698
    @jamaicamagali9698 Před 6 měsíci

    Mada nzuri, uwasilishwaji uliotukuka. Hongera sana muandaaji wa kipindi pamoja na Daktari ulietupa Elimu .Mwenyezi Mungu awabariki nyote.

  • @victormambasa4735
    @victormambasa4735 Před 6 měsíci

    uandishi uliotukuka, mada muhimu sana kwetu walaji kutoka kwa mwandishi nguli... Kongole mzee wangu Beda Msimbe, hakika nimejifunza kitu.🙌🙌

  • @gideonviper7901
    @gideonviper7901 Před 6 měsíci

    🎉🎉🎉🎉

  • @mdimifrank
    @mdimifrank Před 2 měsíci

    Tezi dume wanaume huwa tunazaliwa nayo. Hubadilika ukuaji wake kulingana na umri. Kinachotakiwa ni kuzuia au kupunguza na kuondoa changamoto zinazosababisha tezi hiyo kuvimba na kuathiri uwezo wa utendaji kama "wanaume" kwa ujumla.