Kutoka kwenye listening party ya Album mpya ya msanii Alikiba iliyopewa jina la 'Only one king' ambapo wamealikwa mastaa mbalimbali. PLAY KUTAZAMA VIDEO
I think you are in another planet.The only artist who is been in industry for many years and he is still not known around the world.Diamond is only artist from Tanzania who took Bongofleva to the World and he is so young yet he has achieved so much.Diamond in Africa is so huge and around the world he is everywhere.Yes there are so many Bongofleva artists in Tanzania including Ali kiba but DIAMOND he is on another level.
Watu wengine wanafikiria kushoto Kwa upande wa kulia Amy gal anamaanisha kwamba anawakwepa wasafi kwenda kufanya interview nao,labda anadhani akienda atatoka kwenye u king na kuwa Prince au ushindani utakufa. Mtazamo wangu......
Wew yule manzi ni hostress wa THE SWITCH WASAFI MEDIA NA BIG SUNDAY LIVE WASAFI MEDIA ALIMAANISHA ANAWAKWEPA INTERVIEWS AS HE'S NOT IN GOOD TERMS WITH WASAFI CEO😂🌚
Umenifurahisha sana madam boss janaa
Hiyo anawakwepa Al hajapenda angalia albo jbu Aya poaThank you umentesa😭
Iyo kuwakwepa sio kwamba kuwataka apana ni kufanya nao maujiano wasfi
Kun mbwa moja apo juu inajuwa kuwataka
@@officialdmd8996 😂😂😂😂😂😂watu akilizao wameziweka kwenye mapnzo tu😂
Bora umesema wengi wameenda upande wa pili
Ahaaaaa!
Unatukwepaa sanaaa one day yes
Alikiba hatumii nguvu nyingi kuwa Star na ndomana ni1 ya ma star wachache sana wanao tumia Majina yao halisi
Na ndo maana yupo hapo na wengine wako kulee
Na ndomaana ni underground mpaka leo hapo vip😀
I think you are in another planet.The only artist who is been in industry for many years and he is still not known around the world.Diamond is only artist from Tanzania who took Bongofleva to the World and he is so young yet he has achieved so much.Diamond in Africa is so huge and around the world he is everywhere.Yes there are so many Bongofleva artists in Tanzania including Ali kiba but DIAMOND he is on another level.
@@chizashungu1236 Tell dem,Thou They knows each and every about how big diamond is..
@@009biafra8 😂😂😂
Yesss the suit without a shirt .... I definitely concure.... :D
Tunamtamini san alikiba kwa kipind BIG LIV SNDY
Hammy: Japo unatukwepa sana lakn one day Yes
Ali: Hahaha Aya Poa Thank you So much
Watu wengine wanafikiria kushoto
Kwa upande wa kulia Amy gal anamaanisha kwamba anawakwepa wasafi kwenda kufanya interview nao,labda anadhani akienda atatoka kwenye u king na kuwa Prince au ushindani utakufa.
Mtazamo wangu......
Kibiashala sio nzuri
@@sevelinmakumbanya6200 nimekupata kaka,lkn ni kibiashara...masahihisho.
Kwa maana hiyo hawa wawili hawana bifu ila ni kibiahara zaidi au....
@@vincentmushi1247 kibiahara. Aiseeeeeh.....
Prince😂😂
Lazima iwe hivyo, em fkiria wangekua wanaurafiki kwenye muziki mpaka saiv wangekua awana jipya kungekua amna utofaut,
Unatukwepa Sana ila one day yes
Sasa Kamchana wapi mfyuuuuuuu
Nipo hapa kwa kuliona jina la king kiba
Amemwambia anawakwepa ila one day...
Wanawake wanamtamani alikiba ingekuwa mondi angempa mimba respect women so that you will be respected
Wew yule manzi ni hostress wa THE SWITCH WASAFI MEDIA NA BIG SUNDAY LIVE WASAFI MEDIA
ALIMAANISHA ANAWAKWEPA INTERVIEWS AS HE'S NOT IN GOOD TERMS WITH WASAFI CEO😂🌚
Ali anawatoto wangapi, na hao watoto unawajua mama zao...?
😘🤣😂
Na ww unamtaman
Kuwa mwelewa kuwakwepa kufanya maojiano na wasafi na unavyofikilia wewe
Tanzania 🇹🇿 kg bravo bravo 👏👏👏👏 wasafi FM
King kiba one day yes
Kiba ni (king) of kings 👑
King mwenyew😊
King kiba👏👏👏👏👏👏
Sasa uyu mtangazaji wa wasafi kwa kiba itakuaje au hamna shida
Wasafi hakuna tatizo sehem yoyote ukialikwa unakwenda
@@sadanassor4992 ooh nkajua hawawez
Hawana tatizo siriaz yan wanafanya ivo ili kuwaacha nyie m-guess ila uhalisia akiamua kwenda wala hanyimwi na hashindwa...
Wasafi hawanashida shida ni kiba anaroho mbaya sana afu mbinafsi sana
.
Ndo maana ya kuwa mfalme,hawezi kupatikana kirahisi hivyo.One love @Alikiba
@travelstylish nurse Bora umemuerewesha 👏🏼👏🏼
Ndo ujue nyie ndo hamjaelewa coz kwani mm nimesema hawez kupatikana kirahisi wapi kama siyo interview😂
Mfalme wa wavivu na wapumbavu kwanza alishapewa kitanda akalala mazima
@@009biafra8 Wewe tulia dawa iingie,maana ndo keshakuwa mfalme
@@nastyb7405 local and underdog singer tulishampq kitanda
Kinghimself👑🤗💋😍
Mashaaah
Nakubal broo
Ammy gal umeuaaa
Hilo cheko la ali miye oyiiii😁😆😍
Ammy girl 😃😃😃✅
Wachawi hawo..,Maswali gani yakuoji
Hilo cheko la kiba la kebeh alipo skia ammy akisema unatukwepa 🤣🤣🤣🤣
Alikiba 😂😂 unasubiri nini kumpelekea moto huyo bibi
Falaaa😂😂😂😂
Wow💖
Jiwe la motoo kiti cha motooo ilo limefkaaa
Amy Girl 🔥🔥🔥
King kiba
Kuna watu wamejaaliwa kiba umejaaliw sana kuanzia face had body kha
Bifu la pesa sio njaaaa njaaaa
King
Unamtakaaaaa tuuu
Japo inatukwepa Sana one day yes
Kiba mwanangu hadi mwisho....mfalme Kiba au sio...
Ali kama Ali
Abiiiii
Ukweli mtupuu
Jamani shishi na mumewe
Penzi la kichaa tamthilia mpya faidi tv on you tube
Kajigongaaa
😄😄😄🔥🔥🔥❤
kwanzA nani kawaalika AWA waje kuuliza maswari awachelewagi kualibu awa
Kweli kabisa 👍
Mbona kuwa kwepa😂😂😂😂
Mwijaku ni bonge la kiraka kila kona anafiti
😃😃😃😃😃😃😃MWIJAKU NDO ZEE LAO
Kamuoji jeshi
Io cheko ya baada ya one day yess😂😂😂
Mike like
Mnafiki tu
Parm village vipi au mkataba umeisha
😁😁😁😁😁😁😁😁😁
Nani kamuona Mume wa SHILOLE ?🤪🤪
🤣🤣🤣🤣eti unatukwepa sana lkn one day yes
Jamani waliokimbilia comment tujuane
Nikiuliza tu jamani hivi mwijaku anafanya nn hapo
Yaaan n mbeyaaa
🤣🤣🤣🤣🤣Ali bana iko kicheko🤣🤣🤣🤣🤣
Pombe ilikuwepo? Kama ilikuwepo basi dada zilikolea bia
Amygal ameongea ukweli
kuna mtu anajua hiyo kuwakwepa labda kuna bif kat ya kiba na wasafi..
kumbe ni kufanya nao interview tu kwny kipindi..
Hyu dem xhobo nyng hmna cha mana
Anawakwepa interview pale the switch ndo maana kasema one day yees
ADi
Kamchana ye ni nguo?
Kwani unene ni big deal , au kutoka kitumbo ni maradhi
Haha haha haha Ali kakosa chakuongea
Kwa mwaka mara 2 🤣🤣
Japo una kukwepa sana,,,,😂😂😂😂😂😂
🤣🤣🤣🤣
I can see cheed there
Wapiii???
czcams.com/video/HntQeYmtuz0/video.html katazame diamond platnumz(Simba)alivyosema baada ya Alikiba kuzindua album yake
Hahaha
Ommy 🤣🤣
😂😂😂
King
Hahaha