Velikost videa: 1280 X 720853 X 480640 X 360
Zobrazit ovladače přehrávání
Automatické přehrávání
Přehrát
Nausikiliza zangu hapa beila mozambique naupenda sana huu wimbo
Thanks sana kupost huu wimbo . Forever my song 💕
Imenikumbusha mbali 2006 kwa Mama Yangu Mdogo Area J! Mwenyezi Mungu Amrehemu Mama Omary! 2020 imenipa hisia za 2006.
kabisaa
Thanks thanks thanks thanks a million times, fantastic job, keep up.
I remember listening to this song when young. Brings back treasured memories.
Tuleteeni ile nyimbo ya Karamu ya Rahmani haifutiki...liandikwalo na Mola halifutiki...Mwimbaji ni Mwanamvita Shaibu akiwa kwa Zanzibar Stars enzi hizo
Kibao kitamu Miaka hiyo 2004/2005 Ahsante bi Zubeda na Zanzibar Star kwa vitu Adhimuu
zubeda Omar aka gaucho
Tuomba nyimbo ya mwenzangu una choyo muimbaji zubeda mlamaly Znz stars
Tenaaaaaa
Wimbo huu unanikumbusha mbali sana jamani ...NIMEWAMISI JAMAA ZANGU WA K/SAMAKI
2006 miss you Dady Mungu akurehemu Inshaallah
🎉
KIPINDI ICHO 2006 DADA ZANGU WALIKUWA WANACHEZWA HU WIMBO ULIKUWA UNATAMBA SANA MIE WAKATI MDOGO
Jokha alikuwa mzuri jamani wakati huo
Sanaaaa kwasasa kanenepa
Imenikumbusha mbali sana nikiwa changamwe jamani wimbo was roho
Bahar FM saa 4 kila asubui hii song ucheza😅😂
Shairi nzuriiiii..mashaallah
Nakumbuka nilipokuwa Zanzibar hapo nyie mlikuwa mnavuma sana.poa
Kusema ukweli hii nyimbo inanikumbusha dahali hizo
Kitambo yaaan
Weee kaz ipo naisikiza nikiwa ndani ya Bahraini kaz indelee
Hii song yanikumbusha bahari fm kenya kwa kipindi cha taarab tuko bomba.Listeaning @Doha Qatar
Yess na dalila
khadijah hujambo?.nadhani ni ule wa kbc radio kama sijakosea..mola akupe dua chema nakuombea
@@shabankapsaly1945 sio khadijah wa KBC mie
napenda sana
2006 hukoo
❤❤❤❤❤❤❤❤
Kitambo
❤
ati mbirimbi mbovu? ahaa!
2022
Hii
Nausikiliza zangu hapa beila mozambique naupenda sana huu wimbo
Thanks sana kupost huu wimbo . Forever my song 💕
Imenikumbusha mbali 2006 kwa Mama Yangu Mdogo Area J! Mwenyezi Mungu Amrehemu Mama Omary! 2020 imenipa hisia za 2006.
kabisaa
Thanks thanks thanks thanks a million times, fantastic job, keep up.
I remember listening to this song when young. Brings back treasured memories.
Tuleteeni ile nyimbo ya Karamu ya Rahmani haifutiki...liandikwalo na Mola halifutiki...Mwimbaji ni Mwanamvita Shaibu akiwa kwa Zanzibar Stars enzi hizo
Kibao kitamu Miaka hiyo 2004/2005 Ahsante bi Zubeda na Zanzibar Star kwa vitu Adhimuu
zubeda Omar aka gaucho
Tuomba nyimbo ya mwenzangu una choyo muimbaji zubeda mlamaly Znz stars
Tenaaaaaa
Wimbo huu unanikumbusha mbali sana jamani ...NIMEWAMISI JAMAA ZANGU WA K/SAMAKI
2006 miss you Dady Mungu akurehemu Inshaallah
🎉
KIPINDI ICHO 2006 DADA ZANGU WALIKUWA WANACHEZWA HU WIMBO ULIKUWA UNATAMBA SANA MIE WAKATI MDOGO
Jokha alikuwa mzuri jamani wakati huo
Sanaaaa kwasasa kanenepa
Imenikumbusha mbali sana nikiwa changamwe jamani wimbo was roho
Bahar FM saa 4 kila asubui hii song ucheza😅😂
Shairi nzuriiiii..mashaallah
Nakumbuka nilipokuwa Zanzibar hapo nyie mlikuwa mnavuma sana.poa
Kusema ukweli hii nyimbo inanikumbusha dahali hizo
Kitambo yaaan
Weee kaz ipo naisikiza nikiwa ndani ya Bahraini kaz indelee
Hii song yanikumbusha bahari fm kenya kwa kipindi cha taarab tuko bomba.Listeaning @Doha Qatar
Yess na dalila
khadijah hujambo?.nadhani ni ule wa kbc radio kama sijakosea..mola akupe dua chema nakuombea
@@shabankapsaly1945 sio khadijah wa KBC mie
napenda sana
2006 hukoo
❤❤❤❤❤❤❤❤
Kitambo
❤
ati mbirimbi mbovu? ahaa!
2022
Hii