MHESHIMIWA JOKATE MWEGELO ALIVYOFIKA OFISI ZA CCM KISARAWE

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 12. 09. 2024

Komentáře • 153

  • @saumuhassan1365
    @saumuhassan1365 Před 6 lety +5

    Ebwana weee *EDUCATION IS THE KEY OF LIFE* kama ukusoma utathubutu yote haya, tena kukabidhiwa office, Love you *JOKETE* Allah akusimamie katika kazi zako, nakupenda sana.

  • @AishaAli-lk7gh
    @AishaAli-lk7gh Před 6 lety +20

    huyu msichana ana hekma sana MUNGU akutangulie kwa kazi zako jokate love from Kenya 😍😍😍😗

  • @mwanaherimohamedy6978
    @mwanaherimohamedy6978 Před 6 lety +4

    Mashallah una heshima sana jokate mungu akubaliki

  • @summayyasuhaila4956
    @summayyasuhaila4956 Před 6 lety +3

    safi sana tunahitaji vijana kama wewe na sio wakaa uchii

  • @peternasarinasari9700
    @peternasarinasari9700 Před 6 lety

    Kila jambo huwa si rahisi kulianza..mh Mungu akutangulie zidi kuonyesha kuwa vijana tuna nguvu na tunaweza kufanya vizuri ili kuijenga nchi yetu..do not think to make money itachafua uchaji hizo zitakuja kama matokeo ya kufanya kazi..pambana tumuunge Rais mkono pia kwa maendeleo ya taifa letu,, love you TANZANIA & GOD BLESS US.

  • @rosejoseph2162
    @rosejoseph2162 Před 6 lety +28

    Ufunikwe kwa damu ya yesu

  • @husnabbygal5213
    @husnabbygal5213 Před 6 lety +7

    alafu yupo natural hakubandika makope wala mawigi wala makucha. 😍

  • @laurentsunta5169
    @laurentsunta5169 Před 6 lety +1

    yaan huyu mama aliyempokea anadharau si kidogo, hata Kama Mdogo kwako mgen anaingia we umekaa kweli,dharau sio nzuri kwenye maisha

  • @ladybilionaire379
    @ladybilionaire379 Před 6 lety +6

    Safi saana Mungu atakusaidia kabisa usiogope

  • @mwaminindayishimiye4434
    @mwaminindayishimiye4434 Před 6 lety +12

    Kapendeza saaana jojo👌👌👌👌❤❤❤💋💋💋💋💋💋💞💞💞💞

  • @khamisali4552
    @khamisali4552 Před 6 lety +12

    katibu jiangalie,umechemsha,muheshimiwa anaingia ww unaongea na cm,isitoshe unashindwa hata kusimama,

  • @saidasimba9979
    @saidasimba9979 Před 6 lety +13

    Eti mheshimiwa anaingia mtu anampa mkono amekaa hataki kusimama na kumpokea mweny ofisi atari sana

  • @saitotisaitoti6734
    @saitotisaitoti6734 Před 6 lety +14

    Mungu akufunike kwa ulinzi wake

  • @saidasimba9979
    @saidasimba9979 Před 6 lety +19

    Mkuu wa wilaya ndo mkuu wa vyeo vyote vilivyopo wilayani sasa huyo mama yeye ni nani ajasimama kumpokea bosi wake

  • @nadian818
    @nadian818 Před 6 lety

    Damu ya Yesu Christ Ikufunik mtoto wetu 🙏🙏🙏🙏💕💕💕💕💕

  • @projestusprosper1626
    @projestusprosper1626 Před 6 lety +20

    Yani huyu mama aliyempokea ana. Dharau kishenzi. Sijui kwann. Huwezi kuwa na approach ya hivi kwa DC

  • @oswardmgawe3009
    @oswardmgawe3009 Před 6 lety +1

    Daaaah mungu akutangulie kwenye kazi yako

  • @mamahustru
    @mamahustru Před 6 lety +32

    Huyo katibu anayeongea na simu yake wakati wageni wanaingia atumbuliwe. Ni ukosefu wa heshima. Huyu ni type ya wale maofisa wanaofuatwaga maofisini na wanannchi wanawapangisha foleni huku wakifanya shuguli zao binafsi.

    • @graphixmaster6146
      @graphixmaster6146 Před 6 lety +1

      Moyosafi Kama vile hakuwa na time naye

    • @mamahustru
      @mamahustru Před 6 lety +3

      Yaani amenikera sana. Sasa imagine wewe mwananchi wa kawaida unaingia hiyo ofisi unashida. Hata kama ni ofisi ya chama, maana ndo chama chenye dola, kama mwananchi upende usipende utendaji wao unatuhusu. Na mijitu ya design hii imejaa kwenye ofisi za umma. Ndo maana siwahurumiagi wakitumbuliwa. Maana alisikia wakati bado wako nje JOJO anakula saluti kuwa wamefika hilo eneo, alitakiwa simu iwe imezimwa afanye kazi anayolipwa kuianya. Dharau kubwa sana. Na hapo kamera zipo, camera zisipokuwepo ndo atamsikiliza JOJO huyo?
      Nimefurahi huyo dada mkuu wa Wilaya anayetoka alivyomsema papo hapo.

    • @ezekielmaduhu837
      @ezekielmaduhu837 Před 6 lety +1

      Halafu inaonekana hana adabu,huyo si ni mkuu wa wilaya mpya,badala ya kumpokea kwa heshima zote anaongea na sim

    • @projestusprosper1626
      @projestusprosper1626 Před 6 lety

      Moyosafi suresure

    • @williamenos7641
      @williamenos7641 Před 6 lety

      Moyosafi utawaweza ndg wangine ni umbea2

  • @matobholwamanonu5919
    @matobholwamanonu5919 Před 6 lety +8

    Yaan huyu mama wageni wanaingia anaendelea kuongea na simu ama kweli hata kusimama kupokea wageni hakuna....

  • @jenyyusuph4973
    @jenyyusuph4973 Před 6 lety +7

    yani dada upo haraka kama mamayako alivyosema alafu kazi uliyopewa umeipenda bas pamenoga mungu akusaidie

    • @hariphsemwal2057
      @hariphsemwal2057 Před 6 lety

      Huyu mama anamuonea wivu joketi mana yeye mkubwa kiumri joketi mdogo asa hapa kazi tuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu my joket piga kaz nakupenda sana

    • @irbaimubujungubujungu4048
      @irbaimubujungubujungu4048 Před 6 lety

      Mambi kimambi

  • @yakwetutv8525
    @yakwetutv8525 Před 6 lety +19

    Kwa jinsi tu alivyo shika karamu nakuanza kuandika yaonesha kweli nimchapa kazi maana yuko very fast

    • @lailatyabdallah1723
      @lailatyabdallah1723 Před 6 lety

      saidi Mkombo Ni kweli kabisaa

    • @wendyeliezer6419
      @wendyeliezer6419 Před 6 lety

      kabisa aisee

    • @mufasamufas6023
      @mufasamufas6023 Před 6 lety

      saidi Mkombo sanaa yani huyu dada kumbe ni jembe zuri tu magu kweli amelenga penyewe vijana kama hawa wapewe nafasi kwanza akili za vijana ziko very active

  • @michaelnjau5001
    @michaelnjau5001 Před 6 lety +4

    Great Ms. Jokate you made it mama.....

  • @sizmaggymaggy5677
    @sizmaggymaggy5677 Před 6 lety +4

    Mungu akuongoze nakupe ngufu

  • @nsolachalo
    @nsolachalo Před 6 lety +4

    huwezi jua kilichomfanya aongee na simu, je kama anatarifiwa msiba,ama janga lolote undhani atajali nini? kumdhania mtu sio vizuri ndio maana joket amechukulia normal anajua nini maana ya Maisha.

  • @radhiambwana1792
    @radhiambwana1792 Před 6 lety +3

    Safi sana naamini utafika mbali😀

  • @nelsonkasambala6849
    @nelsonkasambala6849 Před 5 lety

    Uyu dada anahekima sana. Hongera jokate

  • @michaelkaaya2956
    @michaelkaaya2956 Před 6 lety +1

    Onger Dada yangu nakupenda pambana utatoboa tuuu gurudum la mungu litafka salma

  • @khamisali4552
    @khamisali4552 Před 6 lety +4

    haki yamungu,kininapoitizama hio huyu katibu kanchefua hasa yani kafeli kabisa,muheshimiwa joketi tuko nyuma yako tunakuombea japo nipo znz lkn dua zikufikie Dada yetu,piga kazi,na huyo katibu here haijaishia hapa atapata salamu.u

  • @gladnesssamson7571
    @gladnesssamson7571 Před 6 lety +6

    huyo mama anaona wivu

  • @shanimbaruku2071
    @shanimbaruku2071 Před 6 lety +8

    Mungu akutangulie mamy

  • @josephatnicholaus276
    @josephatnicholaus276 Před 6 lety +6

    respect mh jocate mwegelo

  • @saudamanyongo5766
    @saudamanyongo5766 Před 6 lety +2

    Uta weza tu dada akuna kinacho mshinda Allah ongera sana

  • @meredouble9897
    @meredouble9897 Před 6 lety +1

    Mungu akuongoze jojo 🙏🏾

  • @emmanueltadayo2649
    @emmanueltadayo2649 Před 6 lety

    millard, tunataka tuone na ya jerry muro. can't wait to see mbwembwe zake. tuwekee na ya ally hapi do it bro

  • @jeremybonyo8084
    @jeremybonyo8084 Před 6 lety +1

    mangu akulunde dadangu, am praying for you

  • @angelemanuel8508
    @angelemanuel8508 Před 6 lety

    Huyo mama afukuzwe kazi anadharau mkuu wake.

  • @sondanzingulasondasam4029

    safi dada

  • @vitalesaudax5897
    @vitalesaudax5897 Před 6 lety +3

    Mungu akutangulie

  • @mctidohondoa1652
    @mctidohondoa1652 Před 6 lety +2

    hongera best angu jokate

  • @madukaj.j.6999
    @madukaj.j.6999 Před 6 lety +4

    Milad leo anapiga pesa kwa huyu mheshimiwa

  • @abibumlotwa2722
    @abibumlotwa2722 Před 6 lety +2

    Sasa kwann mnajiharibia mitandaoni wakati mnaweza jamani dah congrat, redis

  • @ernestjohanes9087
    @ernestjohanes9087 Před 6 lety +7

    Anatakiwa kuwa waziri

  • @mwamengele
    @mwamengele Před 6 lety +14

    Hizo makeup ni sasa hivi tu, kazi zikichanganya ni vilemba na Vaseline kwenda mbele

  • @lukaninamutakeakazijemanaj3136

    mungu akutangulie

  • @khadigappi3618
    @khadigappi3618 Před 6 lety

    Nice dada

  • @tatoosaleh5781
    @tatoosaleh5781 Před 6 lety +1

    Mungu muweza wayote

  • @salmadalaquimane5303
    @salmadalaquimane5303 Před 6 lety +5

    Nko nyuma yako dda

  • @tanzaniakwanza9564
    @tanzaniakwanza9564 Před 6 lety

    Huyu mama ana nongwa sana,

  • @salmaothman153
    @salmaothman153 Před 6 lety +1

    Safi jojo wetu 😘😘😘😘

  • @mosesallanadam1955
    @mosesallanadam1955 Před 6 lety

    Huyo mama inaonesha amemdharau hata Rais, yaani humuungi mkono Mheshimiwa Rais kawa uteuzi huo. Anafikiri kuwa yeye ni mama na huyo ni mtoto!

  • @mosesallanadam1955
    @mosesallanadam1955 Před 6 lety

    Huyo mama hawezi achwa, aondoke tu hahaha ndipo atakapojifunza adabu!

  • @fikirmabula9665
    @fikirmabula9665 Před 6 lety +1

    tunatarajia mazuri kutoka kwako jokate

  • @esabelfadhili8432
    @esabelfadhili8432 Před 6 lety

    Yani huyo mama badala yakupokea ugeni anaongea na simu jamaniiiii heeeeee basi hata kwake ni mama m-baya

  • @khadigappi3618
    @khadigappi3618 Před 6 lety

    Apo kazi tu

  • @sakinaomar301
    @sakinaomar301 Před 6 lety +1

    Muheshimiwa nakiona kapete cha kipusa kwambalii😁😁

  • @sethkavenuke3513
    @sethkavenuke3513 Před 6 lety

    huyu mama nikikwazo aondolewe,anakibur sn

  • @leonardubamba7086
    @leonardubamba7086 Před 6 lety +3

    mama kanuna uyo pembeni

  • @eliakimmachumu6449
    @eliakimmachumu6449 Před 6 lety +2

    Piga kazi dada

  • @shangwefisima5355
    @shangwefisima5355 Před 6 lety

    Jokate ila yupo serious hakika

  • @pbye2974
    @pbye2974 Před 6 lety

    Hahaaa Nakuona Mh. Isha lusonzo

  • @priscilambingu5223
    @priscilambingu5223 Před 6 lety +1

    Katibu mchawi hakufuraiya kabisa imeonyesha waziwazi aibu kubwa

  • @janethchiwata1665
    @janethchiwata1665 Před 6 lety

    ushauri wangu jokate amkoe huyo mama

  • @vankiko2745
    @vankiko2745 Před 6 lety

    Ni mwendo wa kuigilizia tu hapo mpaka uzoee😂😂😂🏃🏃🏃

  • @doctormbaruku8081
    @doctormbaruku8081 Před 6 lety

    Wanawake acheni kudharaliana huyu katbu inaonekana hakufurahia uteuzi wajokate

  • @chriskalega3855
    @chriskalega3855 Před 6 lety

    mkuu Wa wilaya ya kisalawe maisha aya wacha watu waendelee kuzalau wenzio

  • @donathakileo1229
    @donathakileo1229 Před 6 lety

    katibu huu mwezi hautaumaliza coz unaonecha chuki na dharau yaani dc unampa mkono umekaa

  • @kingsleyadjei4171
    @kingsleyadjei4171 Před 6 lety +1

    mashallah

  • @suzanafabian6659
    @suzanafabian6659 Před 6 lety +1

    kuna kitu...katikati hapo c bule

  • @andrewkatte2656
    @andrewkatte2656 Před 6 lety

    Jmn watz tusipende kutoa hukumu maana na cc hatutahukumiwa

  • @mwamdindilemsawasi970
    @mwamdindilemsawasi970 Před 6 lety

    Hakuna organization, mapokezi mabaya plus makelele sana.

  • @janethchiwata1665
    @janethchiwata1665 Před 6 lety

    huyo mama aliye vaa vitenge hajuinkupokea mgeni au??????yaani anajifanya bize na simu ila alipopewa mkono ndo ikakata simu huo ndo uchawi

  • @abelmirwatu544
    @abelmirwatu544 Před 6 lety

    Kuna watu wana zarau DC anaingia katibu wa ccm kisarawe ana ongea na simu, yani mpaka DC anaye mkabizi madaraka DC mpya ana chukizwa nae kwa kusema ana angaika nae walione hili watu wa ccm ktk utendaji katibu mwenezi nazani ameliona hili.

  • @kafitiwilliam8358
    @kafitiwilliam8358 Před 6 lety

    Duuu katibu jamanii au kwa kuwa ni kibintii kidogo wanachukulia poaa

  • @huseniausi4057
    @huseniausi4057 Před 6 lety

    iv mtu akimpa mkono Wakat amekaa salamu haifiki tuache kukariri

  • @mwanakwetu6472
    @mwanakwetu6472 Před 6 lety

    Ina maana huyu mama alikuwa hajui kama kuna ugeni mzito?

  • @user-zw6ne3qy4s
    @user-zw6ne3qy4s Před 6 lety

    Katibu kakosa heshima kwa mkuu

  • @limokisuda4145
    @limokisuda4145 Před 6 lety

    yajayo yanafurahishaa!

  • @abednego3876
    @abednego3876 Před 6 lety

    mtimue uyo bibi aliyekaaa kwanza mambo mengine ndo ifuate

  • @asiazuberi9722
    @asiazuberi9722 Před 6 lety

    Good jojo

  • @eliusandrew9121
    @eliusandrew9121 Před 6 lety

    Ofisi ya ccm

  • @laurentsunta5169
    @laurentsunta5169 Před 6 lety

    katibu gani mpumbavu kiasi hicho

  • @priscilambingu5223
    @priscilambingu5223 Před 6 lety

    Huyo mama alithathau moheshimiwa kwa nini amemtharau hivo hakumkaribisha kieshima

    • @priscilambingu5223
      @priscilambingu5223 Před 6 lety

      Kwakuwa hakumsalimiya na heshima tumeona hekima ya huyu mueshimiwa itampeleka mbali love u from kenya pamoja na raisi wake

  • @bazilemaleya4035
    @bazilemaleya4035 Před 6 lety

    huyu mama alitakiwa aonane na likangi Angelina..tokanje wewe bahatiyako

  • @nelsonkasambala6849
    @nelsonkasambala6849 Před 5 lety

    Uyo. Mama ana adabu kabisa .pumbavu. Yani upikua ujui kama mh atakuja .pimbi wewe. Displini ni kitU muhim sana

  • @Izikiel55
    @Izikiel55 Před 6 lety

    Katibu ATUMBULIWEEEEEEEEEEE

  • @wilsonnyabagaka2265
    @wilsonnyabagaka2265 Před 6 lety +1

    Gud

  • @judithmaziku7797
    @judithmaziku7797 Před 6 lety

    ila yafuatayo yanafurahish kdolen

  • @emmanuelmwampale2273
    @emmanuelmwampale2273 Před 6 lety +1

    Design km watu hawana heshima vile movement nyingi

  • @idrisasalum8013
    @idrisasalum8013 Před 6 lety

    Mbona office zimechoooka

  • @publicadvisor6952
    @publicadvisor6952 Před 6 lety +2

    Shida ambayo imeshaanza kujionyesha kwa uchi wa macho ni huyu msichana wamemuovaload. Hao akina mama watamsikiliza kweli? Navyojua hii bongo duuh.. yetu macho. Huenda anafaa lkn mpaka ajekujenga uzoefu si miaka 2 itaisha? Magufuli damu lkn hapa alilikoroga...

    • @ladybilionaire379
      @ladybilionaire379 Před 6 lety +2

      Sururu hakuna anaeteuliwaga anajua lakini jinsi wanavyoendelea ndipo wanapata uzoefu naamini atafanya vizuri saana huyu binti yupo makini sana sio kama watu wanavyoongea huko mitandaoni

    • @kerengehenry5919
      @kerengehenry5919 Před 6 lety +1

      Sururu hakuna experience MTU atakayopata bila kupewa nafasi, experience is obtained by getting opportunity my friend, la sivyo waajiliwa wapya hawastaili kupewa kazi, langu jicho

    • @janesuma2193
      @janesuma2193 Před 6 lety

      Sururu kama hawata msikiliza yeye si.ndio boss wao nikiasi cha kuwatumbua tu

    • @mugemainyas5241
      @mugemainyas5241 Před 6 lety

      Sururu . Mawazo yako. Na kichwa chako kibovu. Huyu ndo anafaa sana kwa taalifa yako

    • @khalidunited5978
      @khalidunited5978 Před 6 lety

      Sururu j

  • @dannykyungay6527
    @dannykyungay6527 Před 6 lety

    Huyo mama atumbuliwe

  • @limokisuda4145
    @limokisuda4145 Před 6 lety +1

    sambona ofic imejaa hivyo bendera za chama na vitambaa hadi mezani vya kijani duh?

  • @humphreysotienowanga8663

    why should she stand yet she is older than jokate

  • @pascalmerkior4119
    @pascalmerkior4119 Před 6 lety

    Shavu hiloooo

  • @jaydon3361
    @jaydon3361 Před 6 lety

    Joketi jiandae kutumbuliwa maana unaonekana una moyo wa huruma sasa Magu siamini kama atakuvumilia

  • @iambaizo
    @iambaizo Před 6 lety

    picha ka zote duu

  • @stayawakekimakosa5795
    @stayawakekimakosa5795 Před 6 lety

    Huo mlango sasa unapiga kelele

  • @idrisasalum8013
    @idrisasalum8013 Před 6 lety

    Viti ni vyakuumiza makalio

  • @ndekejambelele2899
    @ndekejambelele2899 Před 6 lety

    mungu akiamua mwanadamu Hana hapingi