Ebwana weee *EDUCATION IS THE KEY OF LIFE* kama ukusoma utathubutu yote haya, tena kukabidhiwa office, Love you *JOKETE* Allah akusimamie katika kazi zako, nakupenda sana.
Kila jambo huwa si rahisi kulianza..mh Mungu akutangulie zidi kuonyesha kuwa vijana tuna nguvu na tunaweza kufanya vizuri ili kuijenga nchi yetu..do not think to make money itachafua uchaji hizo zitakuja kama matokeo ya kufanya kazi..pambana tumuunge Rais mkono pia kwa maendeleo ya taifa letu,, love you TANZANIA & GOD BLESS US.
Huyo katibu anayeongea na simu yake wakati wageni wanaingia atumbuliwe. Ni ukosefu wa heshima. Huyu ni type ya wale maofisa wanaofuatwaga maofisini na wanannchi wanawapangisha foleni huku wakifanya shuguli zao binafsi.
Yaani amenikera sana. Sasa imagine wewe mwananchi wa kawaida unaingia hiyo ofisi unashida. Hata kama ni ofisi ya chama, maana ndo chama chenye dola, kama mwananchi upende usipende utendaji wao unatuhusu. Na mijitu ya design hii imejaa kwenye ofisi za umma. Ndo maana siwahurumiagi wakitumbuliwa. Maana alisikia wakati bado wako nje JOJO anakula saluti kuwa wamefika hilo eneo, alitakiwa simu iwe imezimwa afanye kazi anayolipwa kuianya. Dharau kubwa sana. Na hapo kamera zipo, camera zisipokuwepo ndo atamsikiliza JOJO huyo? Nimefurahi huyo dada mkuu wa Wilaya anayetoka alivyomsema papo hapo.
Huyu mama anamuonea wivu joketi mana yeye mkubwa kiumri joketi mdogo asa hapa kazi tuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu my joket piga kaz nakupenda sana
saidi Mkombo sanaa yani huyu dada kumbe ni jembe zuri tu magu kweli amelenga penyewe vijana kama hawa wapewe nafasi kwanza akili za vijana ziko very active
huwezi jua kilichomfanya aongee na simu, je kama anatarifiwa msiba,ama janga lolote undhani atajali nini? kumdhania mtu sio vizuri ndio maana joket amechukulia normal anajua nini maana ya Maisha.
Kuna watu wana zarau DC anaingia katibu wa ccm kisarawe ana ongea na simu, yani mpaka DC anaye mkabizi madaraka DC mpya ana chukizwa nae kwa kusema ana angaika nae walione hili watu wa ccm ktk utendaji katibu mwenezi nazani ameliona hili.
Shida ambayo imeshaanza kujionyesha kwa uchi wa macho ni huyu msichana wamemuovaload. Hao akina mama watamsikiliza kweli? Navyojua hii bongo duuh.. yetu macho. Huenda anafaa lkn mpaka ajekujenga uzoefu si miaka 2 itaisha? Magufuli damu lkn hapa alilikoroga...
Sururu hakuna anaeteuliwaga anajua lakini jinsi wanavyoendelea ndipo wanapata uzoefu naamini atafanya vizuri saana huyu binti yupo makini sana sio kama watu wanavyoongea huko mitandaoni
Sururu hakuna experience MTU atakayopata bila kupewa nafasi, experience is obtained by getting opportunity my friend, la sivyo waajiliwa wapya hawastaili kupewa kazi, langu jicho
Ebwana weee *EDUCATION IS THE KEY OF LIFE* kama ukusoma utathubutu yote haya, tena kukabidhiwa office, Love you *JOKETE* Allah akusimamie katika kazi zako, nakupenda sana.
huyu msichana ana hekma sana MUNGU akutangulie kwa kazi zako jokate love from Kenya 😍😍😍😗
rosario vilagran Sana kabisa
rosa vilagran Exactly
Mashallah una heshima sana jokate mungu akubaliki
safi sana tunahitaji vijana kama wewe na sio wakaa uchii
Kila jambo huwa si rahisi kulianza..mh Mungu akutangulie zidi kuonyesha kuwa vijana tuna nguvu na tunaweza kufanya vizuri ili kuijenga nchi yetu..do not think to make money itachafua uchaji hizo zitakuja kama matokeo ya kufanya kazi..pambana tumuunge Rais mkono pia kwa maendeleo ya taifa letu,, love you TANZANIA & GOD BLESS US.
Ufunikwe kwa damu ya yesu
alafu yupo natural hakubandika makope wala mawigi wala makucha. 😍
yaan huyu mama aliyempokea anadharau si kidogo, hata Kama Mdogo kwako mgen anaingia we umekaa kweli,dharau sio nzuri kwenye maisha
Safi saana Mungu atakusaidia kabisa usiogope
Kapendeza saaana jojo👌👌👌👌❤❤❤💋💋💋💋💋💋💞💞💞💞
katibu jiangalie,umechemsha,muheshimiwa anaingia ww unaongea na cm,isitoshe unashindwa hata kusimama,
Eti mheshimiwa anaingia mtu anampa mkono amekaa hataki kusimama na kumpokea mweny ofisi atari sana
Said Asimba U
Mungu akufunike kwa ulinzi wake
Mkuu wa wilaya ndo mkuu wa vyeo vyote vilivyopo wilayani sasa huyo mama yeye ni nani ajasimama kumpokea bosi wake
Said Asimba bhana we
Said Asimba kanikera kisenge
Said Asimba yule mama ameonyesha kwamba hapendi kabisa mkuu wa wilaya awe mdogo ki umri yaani amenuna
Ndio mganga WA wilaya and Shida gani
Said Asimba anaroho mbaya nawivu
Damu ya Yesu Christ Ikufunik mtoto wetu 🙏🙏🙏🙏💕💕💕💕💕
Yani huyu mama aliyempokea ana. Dharau kishenzi. Sijui kwann. Huwezi kuwa na approach ya hivi kwa DC
PROJESTUS PROSPER nilidhani nimeona hiyo peke yangu mpuuzi sana huyo mama kanikera kisenge
Hassanova junior kisengr yani
Kweli huyo mama ameonyesha dharau ya wazi kabs... Haiwezekan mtu kama huyo anaingia oficn unaendelea kukaa... Pumbaf sana
Daaaaaah
PROJESTUS PROSPER WANA WAKE NA WIVU. USISEME
Daaaah mungu akutangulie kwenye kazi yako
Huyo katibu anayeongea na simu yake wakati wageni wanaingia atumbuliwe. Ni ukosefu wa heshima. Huyu ni type ya wale maofisa wanaofuatwaga maofisini na wanannchi wanawapangisha foleni huku wakifanya shuguli zao binafsi.
Moyosafi Kama vile hakuwa na time naye
Yaani amenikera sana. Sasa imagine wewe mwananchi wa kawaida unaingia hiyo ofisi unashida. Hata kama ni ofisi ya chama, maana ndo chama chenye dola, kama mwananchi upende usipende utendaji wao unatuhusu. Na mijitu ya design hii imejaa kwenye ofisi za umma. Ndo maana siwahurumiagi wakitumbuliwa. Maana alisikia wakati bado wako nje JOJO anakula saluti kuwa wamefika hilo eneo, alitakiwa simu iwe imezimwa afanye kazi anayolipwa kuianya. Dharau kubwa sana. Na hapo kamera zipo, camera zisipokuwepo ndo atamsikiliza JOJO huyo?
Nimefurahi huyo dada mkuu wa Wilaya anayetoka alivyomsema papo hapo.
Halafu inaonekana hana adabu,huyo si ni mkuu wa wilaya mpya,badala ya kumpokea kwa heshima zote anaongea na sim
Moyosafi suresure
Moyosafi utawaweza ndg wangine ni umbea2
Yaan huyu mama wageni wanaingia anaendelea kuongea na simu ama kweli hata kusimama kupokea wageni hakuna....
yani dada upo haraka kama mamayako alivyosema alafu kazi uliyopewa umeipenda bas pamenoga mungu akusaidie
Huyu mama anamuonea wivu joketi mana yeye mkubwa kiumri joketi mdogo asa hapa kazi tuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu my joket piga kaz nakupenda sana
Mambi kimambi
Kwa jinsi tu alivyo shika karamu nakuanza kuandika yaonesha kweli nimchapa kazi maana yuko very fast
saidi Mkombo Ni kweli kabisaa
kabisa aisee
saidi Mkombo sanaa yani huyu dada kumbe ni jembe zuri tu magu kweli amelenga penyewe vijana kama hawa wapewe nafasi kwanza akili za vijana ziko very active
Great Ms. Jokate you made it mama.....
Mungu akuongoze nakupe ngufu
huwezi jua kilichomfanya aongee na simu, je kama anatarifiwa msiba,ama janga lolote undhani atajali nini? kumdhania mtu sio vizuri ndio maana joket amechukulia normal anajua nini maana ya Maisha.
Safi sana naamini utafika mbali😀
Uyu dada anahekima sana. Hongera jokate
Onger Dada yangu nakupenda pambana utatoboa tuuu gurudum la mungu litafka salma
haki yamungu,kininapoitizama hio huyu katibu kanchefua hasa yani kafeli kabisa,muheshimiwa joketi tuko nyuma yako tunakuombea japo nipo znz lkn dua zikufikie Dada yetu,piga kazi,na huyo katibu here haijaishia hapa atapata salamu.u
huyo mama anaona wivu
Mungu akutangulie mamy
respect mh jocate mwegelo
Uta weza tu dada akuna kinacho mshinda Allah ongera sana
Mungu akuongoze jojo 🙏🏾
millard, tunataka tuone na ya jerry muro. can't wait to see mbwembwe zake. tuwekee na ya ally hapi do it bro
mangu akulunde dadangu, am praying for you
Huyo mama afukuzwe kazi anadharau mkuu wake.
safi dada
Mungu akutangulie
hongera best angu jokate
Milad leo anapiga pesa kwa huyu mheshimiwa
Sasa kwann mnajiharibia mitandaoni wakati mnaweza jamani dah congrat, redis
Anatakiwa kuwa waziri
Hizo makeup ni sasa hivi tu, kazi zikichanganya ni vilemba na Vaseline kwenda mbele
Mengele Ugulumo simchezoooooooooooo😅😅😅😅😅😅😅
Hamna kitu, asili haipotei
hAta ivo nimzur
umenifurahisha jamaa yangu
Mengele Ugulumo wanifurahisha jamani
mungu akutangulie
Nice dada
Mungu muweza wayote
Nko nyuma yako dda
hapa zero tu
Huyu mama ana nongwa sana,
Safi jojo wetu 😘😘😘😘
mungu awe pamoja nawe kila uendakoo.
Huyo mama inaonesha amemdharau hata Rais, yaani humuungi mkono Mheshimiwa Rais kawa uteuzi huo. Anafikiri kuwa yeye ni mama na huyo ni mtoto!
Huyo mama hawezi achwa, aondoke tu hahaha ndipo atakapojifunza adabu!
tunatarajia mazuri kutoka kwako jokate
Yani huyo mama badala yakupokea ugeni anaongea na simu jamaniiiii heeeeee basi hata kwake ni mama m-baya
Apo kazi tu
Muheshimiwa nakiona kapete cha kipusa kwambalii😁😁
huyu mama nikikwazo aondolewe,anakibur sn
mama kanuna uyo pembeni
Leonard Ubamba .kakasirika
Piga kazi dada
Jokate ila yupo serious hakika
Hahaaa Nakuona Mh. Isha lusonzo
Katibu mchawi hakufuraiya kabisa imeonyesha waziwazi aibu kubwa
ushauri wangu jokate amkoe huyo mama
Ni mwendo wa kuigilizia tu hapo mpaka uzoee😂😂😂🏃🏃🏃
Wanawake acheni kudharaliana huyu katbu inaonekana hakufurahia uteuzi wajokate
mkuu Wa wilaya ya kisalawe maisha aya wacha watu waendelee kuzalau wenzio
katibu huu mwezi hautaumaliza coz unaonecha chuki na dharau yaani dc unampa mkono umekaa
mashallah
kuna kitu...katikati hapo c bule
Jmn watz tusipende kutoa hukumu maana na cc hatutahukumiwa
Hakuna organization, mapokezi mabaya plus makelele sana.
huyo mama aliye vaa vitenge hajuinkupokea mgeni au??????yaani anajifanya bize na simu ila alipopewa mkono ndo ikakata simu huo ndo uchawi
Kuna watu wana zarau DC anaingia katibu wa ccm kisarawe ana ongea na simu, yani mpaka DC anaye mkabizi madaraka DC mpya ana chukizwa nae kwa kusema ana angaika nae walione hili watu wa ccm ktk utendaji katibu mwenezi nazani ameliona hili.
Duuu katibu jamanii au kwa kuwa ni kibintii kidogo wanachukulia poaa
iv mtu akimpa mkono Wakat amekaa salamu haifiki tuache kukariri
Ina maana huyu mama alikuwa hajui kama kuna ugeni mzito?
Katibu kakosa heshima kwa mkuu
yajayo yanafurahishaa!
mtimue uyo bibi aliyekaaa kwanza mambo mengine ndo ifuate
Good jojo
Ofisi ya ccm
katibu gani mpumbavu kiasi hicho
Huyo mama alithathau moheshimiwa kwa nini amemtharau hivo hakumkaribisha kieshima
Kwakuwa hakumsalimiya na heshima tumeona hekima ya huyu mueshimiwa itampeleka mbali love u from kenya pamoja na raisi wake
huyu mama alitakiwa aonane na likangi Angelina..tokanje wewe bahatiyako
Uyo. Mama ana adabu kabisa .pumbavu. Yani upikua ujui kama mh atakuja .pimbi wewe. Displini ni kitU muhim sana
Katibu ATUMBULIWEEEEEEEEEEE
Gud
ila yafuatayo yanafurahish kdolen
Design km watu hawana heshima vile movement nyingi
EMMANUEL MWAMPALE hahahahaaaaaaa!
Mbona office zimechoooka
Shida ambayo imeshaanza kujionyesha kwa uchi wa macho ni huyu msichana wamemuovaload. Hao akina mama watamsikiliza kweli? Navyojua hii bongo duuh.. yetu macho. Huenda anafaa lkn mpaka ajekujenga uzoefu si miaka 2 itaisha? Magufuli damu lkn hapa alilikoroga...
Sururu hakuna anaeteuliwaga anajua lakini jinsi wanavyoendelea ndipo wanapata uzoefu naamini atafanya vizuri saana huyu binti yupo makini sana sio kama watu wanavyoongea huko mitandaoni
Sururu hakuna experience MTU atakayopata bila kupewa nafasi, experience is obtained by getting opportunity my friend, la sivyo waajiliwa wapya hawastaili kupewa kazi, langu jicho
Sururu kama hawata msikiliza yeye si.ndio boss wao nikiasi cha kuwatumbua tu
Sururu . Mawazo yako. Na kichwa chako kibovu. Huyu ndo anafaa sana kwa taalifa yako
Sururu j
Huyo mama atumbuliwe
Danny Kyungay .kwelo atumbuliwe hana adabu uyo
sambona ofic imejaa hivyo bendera za chama na vitambaa hadi mezani vya kijani duh?
ndo ofisi ya chama hiyo
Fikir Mabula kwelii siasa imezidi ckuiz kuliko uwajibikaji
why should she stand yet she is older than jokate
Shavu hiloooo
Joketi jiandae kutumbuliwa maana unaonekana una moyo wa huruma sasa Magu siamini kama atakuvumilia
Mungu akujaalie joketi
nyerere inabidi arudi
Son P hawez tumbuliwa
Dah huyu katibu hana sababu yakutotumbuliwa yaani dharau yake hatahakuificha
Usiwe na roho ya kubashir mabaya muombee mema
picha ka zote duu
Huo mlango sasa unapiga kelele
Viti ni vyakuumiza makalio
mungu akiamua mwanadamu Hana hapingi