"ACHENI UDAKU, RAIS ni MZIMA, ANAENDELEA KUJENGA NCHI, PUUZENI WANAOTUCHAFUA" - GUDLUCK MLINGA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 13. 03. 2021
  • "ACHENI UDAKU, RAIS ni MZIMA, ANAENDELEA KUJENGA NCHI, PUUZENI WANAOTUCHAFUA" - GUDLUCK MLINGA
    Aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la ulanga mashariki GUDLUCK MLINGA amewataka watanzania kuacha kufuatisha taarifa za mitandaoni na badala yake kujikita kwenye mambo ya msingi katika kujenga nchi.
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
    ⚫️ VISIT AMAZON: www.amazon.com/shop/globaltvo...
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE ( +255 784 888982), ( +255 713 837506)
    ⚫️ Email: globaltvbest@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ HABARI MPYA DAILY:shorturl.at/mnux2
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
    ⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltvonline

Komentáře • 58

  • @daishajumanne5990
    @daishajumanne5990 Před 3 lety +5

    Ndio asantee sana kwa taarifa

  • @vdhjhdhdhhhd9332
    @vdhjhdhdhhhd9332 Před 3 lety +6

    asantee Mungu kwa kutuambia..ukwel binadamu akikuchukia..anauza baraa

  • @areejmansoor7977
    @areejmansoor7977 Před 3 lety +6

    Eee mungu mlinde raisi wetu popote alipo inshallah awe salama

    • @areejmansoor7977
      @areejmansoor7977 Před 3 lety

      @@abdallahmauya743 ndohapo sasa ujue watu wanokonoko hawapendi waone mtu kakaa kimya

  • @wisperfect5320
    @wisperfect5320 Před 3 lety +5

    Hata kama angekuwa mgonjwa kwani shida ni nini kuumwa ni swala la kawaida kwa kila mwanadam

    • @trophywilson7211
      @trophywilson7211 Před 3 lety

      Ajabu mpaka tutangaze kwa waasi wetu kama ni Mgonjwa??waje watupindulie viongozi wetu ,

  • @racheljoshua3266
    @racheljoshua3266 Před 3 lety +5

    Asante kwa taarifa

    • @immanada9296
      @immanada9296 Před 3 lety

      Tunataka tumuone Rais wetu, na nyie achen maneno, tuambien Rais wetu yko wp, hii sio siasa

  • @mapenzishindoshindo4939
    @mapenzishindoshindo4939 Před 3 lety +2

    Mungu ampe maisha marefu

  • @masudinchimbi7143
    @masudinchimbi7143 Před 3 lety +3

    Hiki ni kipindi cha kwarezma mweshimiwa yupo kwenye mfungo na maombi.

  • @rwandaafrika6173
    @rwandaafrika6173 Před 3 lety +1

    Asante ndungu Mubarikiwe Sana kwakweli kwa Mambo Mazuri

  • @afterfull-time1348
    @afterfull-time1348 Před 3 lety +1

    Kuna wapmbav wanamfikiria kwa ubaya VIVA Magu wetu ila siku zote Mungu atasimama naee

  • @subiraomari5908
    @subiraomari5908 Před 3 lety +1

    Natamani ajitokeze hadharani tuone watu wanavyo umbuka. Ee mungu mpe afya njema Rais wetu wa Tanzania 🇹🇿

  • @hassanimngetege2904
    @hassanimngetege2904 Před 3 lety +2

    Asante kwa taarifa achaneni na wachawi hao Mungu atamlinda rais wetu maana yeye ndo ajuae siri za maisha yetu

  • @joramkimario6174
    @joramkimario6174 Před 3 lety +2

    Hawa jamaa walitaka kutujambisha ili waone kama tunampenda au laa!!! Na sio kwamba hawapitii hizi comments. Ila kwahiz comments nafikir kuna somo wameshalipata mana hata wale majiran naona nao wanamuulizia japo walisema hawamtambui

  • @mtanzaniahalisimungunimwem673

    Rais Wetu Mh Magufuli,usijitokeze Fanya kazi zako asikupangie mtu.sisi tunakuombea afya njema,endelea kuwa na nguvu na tunakutakia kazi njema.

  • @nabumsekwa1797
    @nabumsekwa1797 Před 3 lety +7

    Watuache na raisi wetu wafanye yao

  • @presseg.6362
    @presseg.6362 Před 3 lety +1

    Bwana pigana nao wanaopigana na Rais wetu Magufuli.

  • @edsonmwambokela3707
    @edsonmwambokela3707 Před 3 lety

    Kumbe ubunge raha Sana naona huyo jamaa kwa Sasa kapauka kuliko alivyo kua mbunge

  • @inno4267
    @inno4267 Před 3 lety

    Hamna mtu anafatilia tanzania . Kwanza tanzania watu hawatujui yaani . Labda kenya ndio wanatujua

  • @miriammsafiri6962
    @miriammsafiri6962 Před 3 lety +1

    Baadhi ya binadamu sio watu wazuri kabisa , kumuombea rais ugonjwa sio busara , tuombeane Sana shetani anatushutumu ,tusimuache rasi pekeake tushikamane kwa Kila hatua , mfano ktn ya Kenya wanakiherehere Sana utadhani Ni rais wao , hiyo Ni chuki tuu

  • @jackilinram1083
    @jackilinram1083 Před 3 lety +1

    Mungu aliepushie mbali jaribu la magonjwa upande wake nafurahi kusikia hivo nitamwombea usiku na mcha kama mzazi maana kabla ya urais ni baba wa familia ya nini kumchukia?

  • @geofreysadok4823
    @geofreysadok4823 Před rokem

    Leo 2023 nipo naangalia hii

  • @stevengeorge4786
    @stevengeorge4786 Před 3 lety +3

    Mpaka na sisimizi watatoa kauli

  • @andrewmatelephone3861
    @andrewmatelephone3861 Před 3 lety

    Nimekumanya kaka

  • @neemambuya2795
    @neemambuya2795 Před 3 lety +1

    Tumechoka na mitandao hii jya kitudanganya

  • @errydeo8865
    @errydeo8865 Před 3 lety

    Tatizo,hizo kazi zote na vitu vyote alikua anavifanya na alikua anaonekana au kusikika yuko hapa au pale! I dont believe in da fake news,but also i can understand the concerns of the mass! Hata church asionekane? Such concerns ,defo,should be addressed!

    • @trophywilson7211
      @trophywilson7211 Před 3 lety

      Yupo msemaji mkuu si lazima kila mmoja ajisemee tutii mamlaka nchi za wenzetu ukithubutu utaozea jela

    • @errydeo8865
      @errydeo8865 Před 3 lety

      @@trophywilson7211 Tofauti za wenzetu ,wako wazi.Hawasubiri wananchi kuhoji the whereabouts za viongozi wao!! Never.Kama anaumwa,watasema straight away,na mfumo wao wa kutoa habari uko wazi.Boris Johnson wa UK,aliumwa COVID-19 in April 2020,ilikua wazi,siku hiyo hiyo.

    • @trophywilson7211
      @trophywilson7211 Před 3 lety

      @@errydeo8865 Africa tunachukiwa saana hivyo huwezi kila kitu kuweka wazi na Trump walisema akiwa amezidiwa maana Marekani wanaua saana viongozi,haina maana kusema kila kitu kama unaishi penye chuki,Inabidi utumie Akili

    • @errydeo8865
      @errydeo8865 Před 3 lety

      @@trophywilson7211 That is rubbish.Wanaohoji rais wao yuko wapi ni watanzania!! Kwani kusema rais yuko wapi ni siri?Kama anaumwa ni ajabu? Watu wanahoji kwa sababu sio kawaida yake na kwa watanzania.

  • @solomoneglesias9752
    @solomoneglesias9752 Před 4 měsíci

    Ndo kalipoteleaga apo yan

  • @elizabethmwakalinga3287
    @elizabethmwakalinga3287 Před 3 lety +1

    .

  • @wivinemwamini9110
    @wivinemwamini9110 Před 3 lety

    Nyiyekwenu kungojwa shida

  • @jumachanewstrends6899
    @jumachanewstrends6899 Před 3 lety +3

    Mzeee ajitokezeee tu atoe hofu watu wakeee maaana hata mimi nawaza uko wapiiii

  • @joshualezile5099
    @joshualezile5099 Před 3 lety

    Kwani huyu ndio msemaji wa serikali?

  • @jumanguru8455
    @jumanguru8455 Před 3 lety

    Hahahahaa

  • @atushewatushe4246
    @atushewatushe4246 Před 3 lety

    Kkk

    • @daishajumanne5990
      @daishajumanne5990 Před 3 lety

      Asante sana kuanzia sito jibizana na wakenya kwa uchawi wao kuingilia mambo yetu wanashindwa kupika mswaki kutwa nzima kufatilia ya watanzania wanashindwa kukosha matako yao wananuka mavi ebu niwaache wamtukane magu wetu habari hana inshaAllah naamini yupo salama. Salam kwa wakenya fanyieni yenu yetu sie mutuachie

  • @vero57
    @vero57 Před 3 lety

    Nyie hapo ndiyo mumevunja SHERIA

  • @saidsuleiman1753
    @saidsuleiman1753 Před 3 lety

    Kwani huyu ni msemaji wa Serikali siku hizi

  • @eliasnavytanga
    @eliasnavytanga Před 3 lety +2

    Hakuna mpya hapa. Tusonge mbele. Atoke tumuone. Hakuna kubwa hapo.

    • @trophywilson7211
      @trophywilson7211 Před 3 lety

      Ukajibu wewe mashitaka

    • @fanuelrichard2049
      @fanuelrichard2049 Před 3 lety +1

      Jamani akitokea tu atumie dakika moja tu kusema Mimi nipo jamani acheni maneno si imekuwa imeishaa hivyo mnavyofanya ninyi nikuendeleza mjadala tu

    • @trophywilson7211
      @trophywilson7211 Před 3 lety +1

      @@fanuelrichard2049 atakuwa anaendeshwa na Lisu sasa maana yake,Hata akiumwa si kazi ya Lisu kujua ni mnafiki tu anatamani ampindue akae yeye kama hujui

    • @mossyfimbo3577
      @mossyfimbo3577 Před 3 lety +1

      @@trophywilson7211 haitokuja kutokea Rais awe lisu katika nchi hii never ever sijawahi ona mtu mpumbavu wa ajabu ka yule baba Mwenyeezimungu unisamehe.

  • @maalimrasheed9082
    @maalimrasheed9082 Před 3 lety

    Time will tell. Kullu nafsi dhaaikatul maut

  • @abdulqadirjuma7495
    @abdulqadirjuma7495 Před 3 lety

    Wewe ndio tukupuuze pumbavu wewe

  • @thakibuiddi1857
    @thakibuiddi1857 Před 3 lety

    Kwan tatizo liko wp si aonge aonekane bac mbn sk zote anaonekana km kawaida

    • @leonardsomemagembe2582
      @leonardsomemagembe2582 Před 3 lety

      Rais hawez fanya mambo kwa matakwa binafsi ya watu. Atoke kisa watu wamevumisha kafa?

    • @rahmaoman5122
      @rahmaoman5122 Před 3 lety

      @@leonardsomemagembe2582 Mwambie hajitambui huyoo

  • @yaqoobalhinai3805
    @yaqoobalhinai3805 Před 3 lety

    Wewe mlinga mgonjwa wa akili

  • @kipigapasilisungu2581
    @kipigapasilisungu2581 Před 3 lety

    .