MTUHUMIWA AJINYONGA BAADA YA KUMBAKA MWANAE

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 13. 09. 2024
  • FUNDI magari mkazi wa Kiluvya Wilayani Kisarawe Mkoani Pwani Seleman Kibiki (49) amekufa kwa kujinyonga akiwa mahabusu baada ya kuhukumiwa kifungo cha maisha kwa kosa la kubaka na kulawiti.
    Hayo yalisemwa na Kamanda wa Polisi Mkoani Pwani (SACP) Pius Lutumo alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari ofisini kwake.
    Lutumo alisema kuwa tukio hilo lilitokea Agosti 13 mwaka huu majira ya saa 6:20 mchana huko katika Mahakama ya Wilaya ya Kisarawe.

Komentáře •