FANYA HIVI ILI UHESABIKE KUWA UMEMTAJA ALLAH KWA WINGI WAKATI WA UHAI WAKO || SHEIKH OTHMAN MAALIM

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 23. 04. 2023
  • Namna sahihi ya kufanya dhikri (kumtaja/kumkumbuka) mola wako. Tazama mawaidha haya upate faida kubwa.
    Follow Us On:
    FACEBOOK:
    / aqonlinetv
    INSTAGRAM:
    / aqonlinetv
    TWITTER:
    / aqonlinetv
    WHATSAPP:
    chat.whatsapp....
    TIKTOK:
    vm.tiktok.com/...
    TELEGRAM:
    t.me/aqonlinetv
    #aqupdates #zanzibar #allahuakbar #allah #africa #mawaidha #trending #viral #dhulhijja #mawaidhamapya #sheikhkishki #othmanmaalim #ukumbusho #wasafitv #milardayotv #habari #globaltvonline #africatv #tvimaan #mahasintv
  • Zábava

Komentáře • 39

  • @waynejohn2239
    @waynejohn2239 Před 8 měsíci +4

    Allah akupe mwisho mwema and all so Muslim

  • @user-gs5wq5qg9f
    @user-gs5wq5qg9f Před 7 měsíci +3

    Mashallah, kheri tupu na tunafaidika.❤

  • @user-oh8vw6rc7r
    @user-oh8vw6rc7r Před měsícem +1

    Ww shekh nakupenda san kwa ajili ya Allah, tuombeeni na sisi tuwe watu wanye kujuwa thamani ya akhera yetu

  • @BizozaFrank
    @BizozaFrank Před 15 dny

    Allah atupe sote mwisho mwema all Muslim❤❤

  • @user-gs5wq5qg9f
    @user-gs5wq5qg9f Před 7 měsíci +1

    Walillah L'Hamdu.Allah akulipe malipo yaliyo mema.Aamina.

  • @habibaramadhani-xv2ed
    @habibaramadhani-xv2ed Před 6 měsíci +1

    Alhamndulillah Alhamndulillah kheri sana.

  • @muniramtika3614
    @muniramtika3614 Před rokem +2

    Shekh Samahan tunaomba tuandikie iyo Dua ya mgonjwa naizo nyngne pia inshaAllah

  • @barwani890
    @barwani890 Před rokem +1

    Naam sheikh kuna watu wanapenda kudharau wenzao au kuleta kibri tuwaombee duaa na tujiombee na sie ya raab

  • @aqonlinetv
    @aqonlinetv  Před rokem +5

    Msikose kuSubscribe kwenye channel yetu 🎉✔️🦥

    • @halimaa9367
      @halimaa9367 Před rokem

      Kwann mnaweka mizuki sasa tuskie shekhe au mziki jaman jitahidi hii mziki msiweke

    • @polyclinicroyal
      @polyclinicroyal Před rokem +1

      @@halimaa9367 wameweka Nasheeds sio Mziki

    • @abdouaishafuzna2345
      @abdouaishafuzna2345 Před rokem

      Naomba mtusaidie Duan zakuombea mgonjwa plz ma sheikh wetu

    • @bentybenty2343
      @bentybenty2343 Před rokem +1

      ​@@polyclinicroyal iwe mziki iwe nasheed wasiweke,wacha tumsikilize sheikh ni burudani tosha..

  • @user-oh8vw6rc7r
    @user-oh8vw6rc7r Před měsícem

    Shekh tunamuombeni muwepo na sis tupate chakula Cha moyo ili tujuwe mazaifu yetu,,by kher Ali kanagagn pemba

  • @mallulu9086
    @mallulu9086 Před rokem +1

    Masha Allah jazak la kheir

  • @biabumwarua2444
    @biabumwarua2444 Před rokem

    Assalam Alykum warahamtulah samahani naomba musituekee sauti km muziki inakera kiasi,,,, acha tu tumsikie shekh shukran walilahihamdu

  • @almaarifonlinetv
    @almaarifonlinetv Před rokem +2

    ❤❤❤❤

  • @mwanaishakama3381
    @mwanaishakama3381 Před rokem

    Shekh umenifanya nitoe machozi mana umezingumza ukweli nawaona wengi wasio na Nuru ya macho mm sina taticho lolote lkn juzuu amma sijui yote na nilizaliwa ndani ya uislam😢😢😢

  • @abdouaishafuzna2345
    @abdouaishafuzna2345 Před rokem

    Asalam aleikum . Alhamdullillah kwa mawaidhoi matam shukran Maalim Athman. Naomba ututumie Sisi ambao hatujuwe Duan ya kumomnea mgonjwa plz. ان عااش عثمان

  • @user-wd9tp7eb7j
    @user-wd9tp7eb7j Před rokem

    MA shaa Allah mm Nami nlifanya kuslim ya Allah nifanye wepesi wa kujua haya yote natamani ingekuwa ni mm najua. Yote haya

  • @tutuuab5655
    @tutuuab5655 Před rokem

    Namshkur Mola kwa kuyajuwa haya

  • @habibaramadhani-xv2ed
    @habibaramadhani-xv2ed Před 6 měsíci

    Mi nimepata Alhamndulillah Naomba Maneno baada ya hpo Andika SHEKHE sorry!!!

  • @fauziakarama8581
    @fauziakarama8581 Před rokem

    Maa Shaa Allah, shukran jazzaka llahu kheir 🙏

  • @MADRASATISWADAQALLAHUNYARUGUSU

    Ni nzuri sana

  • @eliasaamina9165
    @eliasaamina9165 Před rokem

    Allahumma amin yarabi👏👏👏

  • @abdoulamisi5179
    @abdoulamisi5179 Před rokem

    Naam sheikh

  • @user-wf7vk4zk2p
    @user-wf7vk4zk2p Před rokem

    Mashaallah

  • @polyclinicroyal
    @polyclinicroyal Před rokem

    MaaShaaAllaah

  • @asyasaid5012
    @asyasaid5012 Před rokem

    MashaAlla

  • @mwanaramadhan7059
    @mwanaramadhan7059 Před rokem

    MashaaAllah shukran jazakAllah ukheri

  • @AbdiaBashir-tl9ye
    @AbdiaBashir-tl9ye Před rokem

    MashaAllah 💓🤲

  • @qwryqawe1829
    @qwryqawe1829 Před rokem

    ❤❤❤❤,

  • @hafidhnzota2142
    @hafidhnzota2142 Před rokem

    Asalaam aleikum nakuona Sheikh wewe ni kati ya warithi wa. Bwana Mtume. Wewe umejawa na HOFU YA. MWENYEZI. MUNGU.

  • @barwani890
    @barwani890 Před rokem

    Na tuwe waja wa kumtaja Allah

  • @abdouaishafuzna2345
    @abdouaishafuzna2345 Před rokem

    Sorry nimerong kuandika , nilikua nataka kuandika kumombea mgonjwa mtu akienda kumsalimia tafadhali

  • @halimaa9367
    @halimaa9367 Před rokem +1

    Mzikki unakeera jmn

  • @shariffsalimibnmajah1004

    ❤❤❤❤