WAPAMBE WA MSIGWA IRINGA WAHAMIA CCM, WAVALISHWA KIJANI NA NJANO, ATUPA KADI, WAIKANDIA CHADEMA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 9. 09. 2024
  • Fuatilia Mwanzo TV Plus
    SUBSCRIBE CZcams Channel yetu
    Follow us on X, Facebook and Instagram

Komentáře • 108

  • @BatazalNdifwa-nk2hl
    @BatazalNdifwa-nk2hl Před měsícem +4

    Duuuuuuuuuuu! Msigwa. @ Ulikuwa kwetu umetoka ili kudhihilisha kuwa hukuwa Wakwetu. Hongera msigwa. Ok

  • @emmanuelsulle911
    @emmanuelsulle911 Před měsícem +8

    Machizi tu wala hata haitutishii Chadema safiiiiiiiiiiiiiii

  • @Nunshumutwafa
    @Nunshumutwafa Před měsícem +5

    Ahsante sana Comred msingwa

  • @polpaul8432
    @polpaul8432 Před měsícem +5

    Mbona hamna kitu hapo yaani ubunge miaka kumi unaondoka na watu kumi aibu msigwa

  • @PrinceHendry-hp8vv
    @PrinceHendry-hp8vv Před měsícem +6

    Msigwa ni yule yule oh ni yule yule

  • @lulanjamd3886
    @lulanjamd3886 Před 24 dny

    Msigwa Mungu anakuona hufaii kuwa pastor

  • @deomtekele3166
    @deomtekele3166 Před měsícem +1

    Siasa nzuri sana

  • @gerachtangatya2835
    @gerachtangatya2835 Před měsícem +5

    Nimependa uo wimbo kwamba ccm ni Ile ile

  • @fridamarco2122
    @fridamarco2122 Před měsícem +1

    Hongera sana Msigwa umechagua kilicho boraa😂

  • @lulanjamd3886
    @lulanjamd3886 Před 24 dny

    Mwisho wa ccm ni 2025 Mungu amesikia kilio cha watanzania 🙏

  • @AlfredMatemu
    @AlfredMatemu Před 15 dny

    Njaaa

  • @prospermiraji8473
    @prospermiraji8473 Před měsícem +4

    Mbona naona waliojiunga kama aliwapanga vileee! Watu wake wa karibu na sio a mere mwanachama wa cdm. Kaaaibika vibaya

    • @hamisimuhunzi7916
      @hamisimuhunzi7916 Před měsícem

      toka juzi wanatafuta watu wa kuwalisha uniform na kuwapa kadi za CCM wajifanye wamerudi ccm wkt tunajua karudi peke yake km alivyokwenda kwa Samia

  • @LusekeloMwakyalabwe-ux9xq
    @LusekeloMwakyalabwe-ux9xq Před měsícem

    Daa njaa mbaya

  • @ElishaOisso
    @ElishaOisso Před měsícem +2

    Umasikini ukizidi sana unazaa unafiki na kujipendekeza

  • @ScolaMwamlima
    @ScolaMwamlima Před měsícem

    Nimeipenda hiyo

  • @TwalibuKimaro-th5mv
    @TwalibuKimaro-th5mv Před měsícem +4

    Kwenye msafara wa mamba nabkenge nao wapo

  • @othmarluwawilo8308
    @othmarluwawilo8308 Před měsícem +3

    Wacha waende msigwa atapata ukuu wa wilaya, waliohamia watabaki wakipiga myayo.

  • @bulugunhandi
    @bulugunhandi Před měsícem +2

    Hakuna kitu

  • @user-bf9xj3nf1o
    @user-bf9xj3nf1o Před měsícem

    Msingwa huwezi kushinda ubunge bro nikwambie ukweli but lissu yuko imara sana bro

  • @KenedyMboma-zb4cq
    @KenedyMboma-zb4cq Před 20 dny

    Jitu la hovyoooooo

  • @nyakipambodispensary3289

    Mmmh

  • @magesagambajr3546
    @magesagambajr3546 Před 9 dny

    Umasikini unatutesa sana nchi za kiafrika
    Hii yote ni njaaa tu
    Na ogopa kufanya maamzi wakati una njaa

  • @osodowilberforce2321
    @osodowilberforce2321 Před měsícem

    Maajabu ya Msigwa.Turn Coat,I can't believe this.

  • @user-ef2ln1mx3s
    @user-ef2ln1mx3s Před měsícem

    Kweli uwezi kukosa vyote ccm wamekosa kuleta maendereo ya watu lakini nyimbo mnazijua na polopaganda miaka 1945 enxi za mkoloni

  • @giftkalenge418
    @giftkalenge418 Před měsícem

    watakuwa wakinga tu sio wahehe

  • @rockcitynative9985
    @rockcitynative9985 Před 27 dny

    Huko CCM Msigwa atapata ukuu wa wilaya sasa hao wapambe wake watapata nini ubarozi wa nyumba kumi au!?

  • @costaninMmasi-f4x
    @costaninMmasi-f4x Před měsícem

    Tu

  • @user-oy5dz5xl8s
    @user-oy5dz5xl8s Před měsícem

    Hata yuda Iscariot alikua mazuri sana kabla ya kumwasi yesu

  • @user-qj2fz8uq3j
    @user-qj2fz8uq3j Před měsícem

    Mmesha kula chen

  • @hildandumbalo5827
    @hildandumbalo5827 Před měsícem +2

    Matumbo yatapasuka CCM 😂😂😂

  • @JosephNgonyani-lh9js
    @JosephNgonyani-lh9js Před měsícem

    Hapana kwa kweli sio kweli msigwa sio mwanasiasa

  • @TM-zs3rm
    @TM-zs3rm Před měsícem +3

    Mitumbo, watu mitumbo.

  • @KenedyMboma-zb4cq
    @KenedyMboma-zb4cq Před 20 dny

    Mbunge miaka kumi unawatu 11

  • @user-vo7oq3gz9c
    @user-vo7oq3gz9c Před 24 dny

    Kile kidogo kinacho Baki tuleteen maji nzasa

  • @BatazalNdifwa-nk2hl
    @BatazalNdifwa-nk2hl Před měsícem

    Ushauri. Mpeni cheo na wapeni vyeo Hakika hakuna vyeo hakuna Wanaccm hapo. Ok

  • @bulugunhandi
    @bulugunhandi Před měsícem +1

    Mbunge miaka 10 unaondoka na watu 10 aibu sana

  • @leokamil6284
    @leokamil6284 Před měsícem +1

    Msigwa untafuta cheo haya yetu macho

  • @user-bf9xj3nf1o
    @user-bf9xj3nf1o Před měsícem

    Wanasiyasa malaya watakuwepo

  • @lewangamunishi1480
    @lewangamunishi1480 Před měsícem +2

    Msigwa anaenda kufa kisiasa

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 Před měsícem

    Tumbo kama gunia Mwenezi alikuwa Makonda tu

  • @user-oj5co8nx6i
    @user-oj5co8nx6i Před měsícem

    Sasa ni kwanini asiwalete wote hapo ñdio ingeniga?

  • @user-jh8de4tf4d
    @user-jh8de4tf4d Před měsícem

    Nauhakika wataludi chadem hao

  • @tobiaspaul9203
    @tobiaspaul9203 Před měsícem +2

    Bila chadema wasingekuwa na umaarufu huo,mpaka kupokelewa hivyo,mfano wangetoka udp au chauma, pipoooooz

  • @johnnkelebe7360
    @johnnkelebe7360 Před měsícem

    Kwa upande wa Iringa Chadema wamepigwa na kitu kizito

  • @maulidmusa8902
    @maulidmusa8902 Před měsícem +2

    Suasa ya kufuata mtuimroitwa na wajati. Bendera guata upepo hadi lini? Upumbavu tupu

  • @MichaelJoashi
    @MichaelJoashi Před měsícem

    Hii nchi watanzania bado sana elimu hatuna

  • @evelynmwaimu-vd9jo
    @evelynmwaimu-vd9jo Před měsícem

    Kweli ile ile ya wezi wa kura

  • @ClementLushino
    @ClementLushino Před měsícem

    Alioigia nao ndio aliotokanao, kiongozi wa Kanda unaondoka na watu kumi tena IRINGA majini Kanda ni IRINGA majini tu, si mikoa za ya mitatu.

  • @evodiuskivili7499
    @evodiuskivili7499 Před měsícem

    Mchunga tumbo

  • @user-io6yj9fs2h
    @user-io6yj9fs2h Před měsícem

    Tatizo njaa naumasikini mkubwa nafikila zaifu kwawatu yaani ukiangalia hao wote matumbo yamewasumbua msigwa kaaidiwa cheo wewe eti nimemfuata niuzaifu wakifikila nanjaa tu siasa zamaji taka nchi hii

  • @husseinkonz5192
    @husseinkonz5192 Před měsícem

    Kama naww unaona siasa bongo ubabaishaj tujuane

  • @user-nn5lv6nb6i
    @user-nn5lv6nb6i Před měsícem

    Yn najisikia kichf chef kumwon chademq ila chadema itabaki kua safi yn njaa ndo imewapelek huko

  • @LivinusMwinuka
    @LivinusMwinuka Před měsícem

    Hao nimalimbukeni,ingekuwa jeshini msigwa namesake wangekula shaba.

    • @user-pb4rn2tj4q
      @user-pb4rn2tj4q Před měsícem

      Chadema ni wahun tu siyo Chama ukomboz hawana utetez lisu haongelei Cha kufanya yy matus lema hvyo heshima hawana waangalie siasa za magalibi hoja inakuweka pazur syo matus

  • @sizorstartv6168
    @sizorstartv6168 Před měsícem

    Hata haina utamu msigwa kuongea unafiki tu kisa karud ccm anavunga anataptapa tuu

  • @tunumigila8995
    @tunumigila8995 Před měsícem

    Wamemwaga mboga kamwaga ugali😅😅😅😅😅

  • @user-bl3go5yr8u
    @user-bl3go5yr8u Před měsícem

    Ama hakika iliandikwa asiyevumilia mpa mwisho hataokoka

  • @rizikimbeve8611
    @rizikimbeve8611 Před měsícem

    Aiseee siasa mchezo mchafu haufai kuigwa kuliwa kaa mbali na hiyo michezo ya ajabu

  • @AllyShaban-ms7ot
    @AllyShaban-ms7ot Před měsícem

    Umeixhiwa xela ccm kuna wered kuxhnda ww kwaiyo tulia wakat wako umeixha

  • @raphaelmacha1173
    @raphaelmacha1173 Před měsícem

    Kweli ni ileile misukule hawajahi kubadilika haka kajamaa kila kakibweka unasikia chadema mbowe na miccm haijui kuwa huyu jamaa anampigia mbowe kampeni

  • @MichaleMwakyambiki-pq4co
    @MichaleMwakyambiki-pq4co Před měsícem

    Achen utapeli.

  • @WillbadBeda
    @WillbadBeda Před měsícem

    Kweli njaaa haina jasiri

  • @user-oy5dz5xl8s
    @user-oy5dz5xl8s Před měsícem

    Wamepangwa hao

  • @ZuhuraMarande-fl2zw
    @ZuhuraMarande-fl2zw Před měsícem

    Vaa kofia ilioandikwa ccm

  • @frankyahaya8978
    @frankyahaya8978 Před měsícem

    Msigwa wewe ilikua unakula hela ya ccm mda mrefu sana na msukuma alifichua Siri hiyo kabla hajahama chadema.

  • @issacklyandala7023
    @issacklyandala7023 Před měsícem

    Msigwa ni mwana siasa malayamalaya

  • @WillbadBeda
    @WillbadBeda Před měsícem

    Vya bure vinauwanyie maskini wa akili

  • @FadhiliMwaitete-ls2li
    @FadhiliMwaitete-ls2li Před měsícem

    Huwoo ni ushamba njaa hao niwachache sana chadema aina watu WA dizaini hiyoo wewe msigwa ni muhehe nani asiye wajuwa wahehe atuwashangani hao awawezi kutetemesha chadema tukutane kwenye uchaguzi msigwa tunakuchapa asubuhi tu wewe sura ngumu

  • @raphaelmacha1173
    @raphaelmacha1173 Před měsícem

    Naona hata hawa hajamaa hawajielewi hakikisha unawapa fungu lao usiwarushe

  • @TwalibuKimaro-th5mv
    @TwalibuKimaro-th5mv Před měsícem

    Wengine kweye kanisa lake

  • @AsiaChengula
    @AsiaChengula Před měsícem

    Haijatustua bado

  • @PhilipoMwita-b2x
    @PhilipoMwita-b2x Před měsícem +1

    Mikia nyuma nyuma

  • @philipongenzatv
    @philipongenzatv Před měsícem

    Wangeondoka wakina sosopy siglada hapo hasara vidampa tu hao😊

  • @TATUMSUMSA
    @TATUMSUMSA Před měsícem

    Ulevi sio pombe tu hata upo ulievi usiousiswa na kilevi ni hatari Sana. Poleni Kwa kumpokea kilopo huyo

  • @user-oy5dz5xl8s
    @user-oy5dz5xl8s Před měsícem

    Makamanda Hawa wanapangwa

  • @estambuya3901
    @estambuya3901 Před měsícem

    Hamna kitu hapo.

  • @sallyeliya5213
    @sallyeliya5213 Před měsícem

    Chadema angalieni mapokwama na maamuzi magumu yachukuliwe,msidhani haya mambo yana afya kwa chama,ni bora hapa media mtukane ila ndani shughuli ya kujenga chama kwa nguvu ya chuma iwe inaendlea,la sivyo ipo siku mtanyoosha maelezo.

  • @salama1113
    @salama1113 Před měsícem

    Ufisadi tuu uzalendo aah

  • @emanuelsinyinza
    @emanuelsinyinza Před měsícem +1

    Wote mnawo waona hawana habari ya kuzwa bandari mikataba.hawajuwi chochote. Nahawo wamenunuliwa kwa sh 5000. Hawana lolote .sasa ndiyo unaweza kuona wajinga. Walivyo .

  • @shanjemanumba6325
    @shanjemanumba6325 Před měsícem

    Hapa kafeli hahahaha iringa ni chadema hakuna mpinzani

  • @lewangamunishi1480
    @lewangamunishi1480 Před měsícem

    Mbona kadi za zaman

    • @emmapaul1766
      @emmapaul1766 Před měsícem

      Umeuliza vizur sana ccm ni wajinga sana reasoning capacity zero

  • @kagombaEnok
    @kagombaEnok Před měsícem

    Waende tuuu makapi hayo

  • @philipongenzatv
    @philipongenzatv Před měsícem

    Hawajulikani hao

  • @user-oy5dz5xl8s
    @user-oy5dz5xl8s Před měsícem

    Hakuna ulichochukua tutajuana

  • @bazilmateru915
    @bazilmateru915 Před měsícem

    Mapambano yamemshinda

  • @camilomassao8971
    @camilomassao8971 Před měsícem

    Ni ccm haohao wamevaa uniform mpya 🤣🤣

  • @paull8659
    @paull8659 Před měsícem

    Msigwa huko ulipo sasa hakuna ufisadi wa mabilioni , uuaji, wizi wa kura? Huko kuna demokrasia? Je unaweza kwasasa kumpinga Samia? Samia aliyesema Lissu kupigwa risasi ni sawa? kuwa ccm lazima ichukue dola ni sawa. Wewe ni mchj. wa Ibilisi, mnafiki, muongo, hovyo.

  • @user-oy5dz5xl8s
    @user-oy5dz5xl8s Před měsícem

    Biashara ya kununua watu umeanza na ndo umebaki upande wa ccm

  • @BlessMwangosi-mz8dw
    @BlessMwangosi-mz8dw Před měsícem

    Nilikuwasijuikamamsigwanifalakiasihiki

  • @margarethsolomon9823
    @margarethsolomon9823 Před měsícem +1

    Hawa ni mahawara zake tu

  • @ntegrity277
    @ntegrity277 Před měsícem

    KWELI MALAYA HANA AIBU KWELI MSIGWA LEO NIWAKUITUKANA CHADEMA? KWELI USIMSAIDIE MBWA ALIYECHOKA ANAWEZA KUWA ANATAFUTA WA KUUMA MIAKA 20 NDANI YA CHADEMA LEO UNAITUKANA SAHANI ULIOLIA CHAKULA

  • @ANGELUSLIJUJA
    @ANGELUSLIJUJA Před měsícem

    TATIZO WANACHAMA. AWATAKIAMINI KUWA NDANI YA CHAMA KUNAMATATIZO MAKUBWA NA YANAITAJI YAFANYIWE UTATUZI WA ALAKA SANA WANABAKIA KUSEMA ANATAKA MMOJA WANAINGIA MIA NA KUSEMA NJAA INAWASUMBIA MARA WAMENUNULIWA NA KUTUKANA TU CHUKUENI ATUA WATU WENYE NGUVU WANATOKA WOTE

  • @samuelshunashu7705
    @samuelshunashu7705 Před měsícem

    CHadema hatuna kadi za hivyo za kwetu Chadema ni za 🎉 kidigitali wadanganyeni wajinga wenzenu hao mbogamboga

  • @DavidMutiba-hr3vo
    @DavidMutiba-hr3vo Před měsícem

    Shukrani ya punda ni mateke.huwezi kuamini huyu ni msigwa mpambanaji dhidi ya ccm.

  • @magrethmajani9170
    @magrethmajani9170 Před měsícem

    Hakuna kitu

  • @aloycemchuo7687
    @aloycemchuo7687 Před měsícem

    Njaa