Velikost videa: 1280 X 720853 X 480640 X 360
Zobrazit ovladače přehrávání
Automatické přehrávání
Přehrát
Mungu akubarik naomba tuoneshe hiyo ya kujazia na vipimo unapo hitaji kutengeneza Kwa wingi
Napenda. Strobell
Asante dada nimependa umefundisha vizuri kutengeneza ice cream
Hongera
Nimeipenda
Nmependa
Asante sana naomba tuonyeshe jinsi ya kutengenezs cone
Asante naomba tuonyeshe njinsi ya kutengeneza Hilo la kujazia koni
Upo vzr mamy
Napenda vanila
Me napnda vanilla ❤❤❤
Nzuri sana .. 🥰tufundishe pia na kutengeneza ivo viconii
Asante kwa somo zuri ika.be blessed je nikitaka ninunue hiyo hand mixer ndogo, hipi ni nzuri zaid yenye kibakur au hii isiyo na kibakur kwa kutengeneza ice cream
Minapenda chocolate na strawberry huhuuu so yummy 😋
Nashukuru sana kwa ujuzi ahsante kwa kutuelimisha wajasiriamali
Maashallah napenda chocolate
Napenda vannila
Napend post zako znfundisha vzr
Vizur sana hongera
Great. Naomba tuoneshe kutengeneza vicones. Halafu weeping cream naipata wapi Kwa DAR
You can buy cone and whip cream in the supermarket
Nzur sana😘 natamani kujua mpenz
Ahsante mpnz nimeipenda tufundishe na hizo cone
Nimeipenda sana...chocolate ndio namba moja kwangu........naomba kujua namna yuketengeza hiyo cone
Nionyeshe jisi ya kutengeneza Kon
Mashallah ♥️ nice 👌
Ma Sha Allah,hongera dada nimependa sana.Hivi nikitumia whiped cream ya unga inafaa?Na kama inafaa vipimo nafanyaje?
Mashaallah 😋😋😋😋
Mimi napenda fleva ya stobery vipi unachanganya
Vamila nimeipenda
Ooooh ika ungejua navooenda hivi vitu🥰🥰🥰🥰😁
We Dada Mungu akuweke my business utakuwa
Jnsi y kutengeneza cone naomb kujua
Waiting
Dada mimi nauliza swali kama sina hiyo mashine ya kukorogea nitatumia nini?
Mashaallah mungu akubariki
Amen 🙏
Napenda vanira ila naommba Union yesterday kutengeneza hizo cone za kuwekea
Delicious😘
Je ni lazima utumie whipping cream na condensed milk? ukiwa na maziwa fresh na ya unga tu inawezekana?
How to make these ice cream cone?
Nzuri sana
Je naweza kuchanganya mchanganyiko wangu pasipokua na mashine??
Nzur nzur san half cream n kit gn sijakijua mmy
Njia ya kutengeneza koni
Kutengeneza cone
Naomba kujua wanapouza Ivo vya kuekea kon
Ombi langu kwako ni lile lile.....weka video ya mozzarella cheese na pizza nakukubali sana Dada ikka
Asante sana Dada ubarikiwe sana kwa kutufundisha.
Asante sana adadaa tunaomba utufundishe namna ya kutengeneza hizo cone@@ikamalle
Wow 🍦🍦❤
Njisi ya kutengeneza koni
Safi sana
I came across this yesterday and have watched almost every video....thanks for this....love❤ from Kenya🇰🇪
Thank u 😋
Welcome
Condensed milk inapatilana wapi au ni kitu gani kwa anaejua mi sifaham
Hiyo wip krim ni nini na inapatikana wapi yaani kifungashio chake kikije sona nayo ipoje
Napenda strobbery na ujitahidikutuonyesha jinsi ya kupika nyumbani
Hii whipping cream ni ya unga? Na inaitwaje
Recipe nzuri
Ni nzuri
Dear kama sina maziwa mzito naeza tumia sukari?
Mashaallah
Naomba unielekeze ginsi ya kutengeneza biscuit ya cone
Kuna mbadala ya condensed milk manake kwa biashara ni gharama Sana
mfano nataka tengeneza mchanganyiko wa lita 20 vipimo vimekaaje?
So yummy
Nice .
Nielekeze namna ya kutengeneza koni
Naomba unifahamishe jindi ua kutengeneza hiyo biscut yake ya komi please
Tante napendelea chocolate
Nimekupata Dada
Ikka samahani km huna kifaa Cha kuchanganyia inakuwaje Brenda itafaa?
Nisaidie jinsi ya kutengeneza corn
Naomba unielekeze vizuri,hata kwa whatApp unielekeze please
Hello , nikihitaji kufundishwa nyumban , how’s is it cost na nakupataje?
Hey…. Kwasasa sifanyi mafundisho ya nyumbani
Nielekeze kutengeneza cone rahs za nyumbani
Nifundishe jinsi ya kuziteneza hizo cone
😍😍
Hizo koni zinatengenezwaje
Vanla
Asante sn dada
❤
vp hauweki kwnye friij
Kama huna iyo sona inakuaj
Maashaallaah tuonesh bc
Naomba no yako
Jamani me nahitaji kujua ketengeneza
Whip cream inapatikana wapi?
nimeipenda ice cream ya strawberry 🍓🍓🍒
Napenda vile ulivyo ichanganya
Asante 🥰🥰
Strawberry plz
Plz nifundishe kufanya strawberry ice cream sijulii
Ndio tuletee recipe za ice - cream zengine kama alovyosema someni Furaha
Habar,naomba utufundishe kutengeneza cone nyumban
Nice
Naomba uonyeshe namna ya kutengeneza hizo cone
Asante San,ila naomba number yako pia
Pia vipi unaweza kutengeneza hizo koni zenyewe
Me nilitaka kujua jinsi ya utengenezaji wa hizo kon zenyewe
Shukraan
Naomba kujua jinsi ya kutengeneza. hizo cone biscuits za kuwekeza ice cream
Naona mambo Sawa Sasa machine za acecrime ziuzwa wapi
Me napenda ladha ya chocolate nimejifunza leo
Cream naipata wap dada na hiyo cone inatengenezwaje
Na mimi nahitaji kuhifunza
Inapatikanawa wapi hizozakuwekea koni
Mungu akubarik naomba tuoneshe hiyo ya kujazia na vipimo unapo hitaji kutengeneza Kwa wingi
Napenda. Strobell
Asante dada nimependa umefundisha vizuri kutengeneza ice cream
Hongera
Nimeipenda
Nmependa
Asante sana naomba tuonyeshe jinsi ya kutengenezs cone
Asante naomba tuonyeshe njinsi ya kutengeneza Hilo la kujazia koni
Upo vzr mamy
Napenda vanila
Me napnda vanilla ❤❤❤
Nzuri sana .. 🥰tufundishe pia na kutengeneza ivo viconii
Asante kwa somo zuri ika.be blessed je nikitaka ninunue hiyo hand mixer ndogo, hipi ni nzuri zaid yenye kibakur au hii isiyo na kibakur kwa kutengeneza ice cream
Minapenda chocolate na strawberry huhuuu so yummy 😋
Nashukuru sana kwa ujuzi ahsante kwa kutuelimisha wajasiriamali
Maashallah napenda chocolate
Napenda vannila
Napend post zako znfundisha vzr
Vizur sana hongera
Great. Naomba tuoneshe kutengeneza vicones. Halafu weeping cream naipata wapi Kwa DAR
You can buy cone and whip cream in the supermarket
Nzur sana😘 natamani kujua mpenz
Ahsante mpnz nimeipenda tufundishe na hizo cone
Nimeipenda sana...chocolate ndio namba moja kwangu........naomba kujua namna yuketengeza hiyo cone
Nionyeshe jisi ya kutengeneza Kon
Mashallah ♥️ nice 👌
Ma Sha Allah,hongera dada nimependa sana.Hivi nikitumia whiped cream ya unga inafaa?Na kama inafaa vipimo nafanyaje?
Mashaallah 😋😋😋😋
Mimi napenda fleva ya stobery vipi unachanganya
Vamila nimeipenda
Ooooh ika ungejua navooenda hivi vitu🥰🥰🥰🥰😁
We Dada Mungu akuweke my business utakuwa
Jnsi y kutengeneza cone naomb kujua
Waiting
Dada mimi nauliza swali kama sina hiyo mashine ya kukorogea nitatumia nini?
Mashaallah mungu akubariki
Amen 🙏
Napenda vanira ila naommba Union yesterday kutengeneza hizo cone za kuwekea
Delicious😘
Je ni lazima utumie whipping cream na condensed milk? ukiwa na maziwa fresh na ya unga tu inawezekana?
How to make these ice cream cone?
Nzuri sana
Je naweza kuchanganya mchanganyiko wangu pasipokua na mashine??
Nzur nzur san half cream n kit gn sijakijua mmy
Njia ya kutengeneza koni
Kutengeneza cone
Naomba kujua wanapouza Ivo vya kuekea kon
Ombi langu kwako ni lile lile.....weka video ya mozzarella cheese na pizza nakukubali sana Dada ikka
Asante sana Dada ubarikiwe sana kwa kutufundisha.
Amen 🙏
Asante sana adadaa tunaomba utufundishe namna ya kutengeneza hizo cone@@ikamalle
Wow 🍦🍦❤
Njisi ya kutengeneza koni
Safi sana
I came across this yesterday and have watched almost every video....thanks for this....love❤ from Kenya🇰🇪
Thank u 😋
Welcome
Condensed milk inapatilana wapi au ni kitu gani kwa anaejua mi sifaham
Hiyo wip krim ni nini na inapatikana wapi yaani kifungashio chake kikije sona nayo ipoje
Napenda strobbery na ujitahidikutuonyesha jinsi ya kupika nyumbani
Hii whipping cream ni ya unga? Na inaitwaje
Recipe nzuri
Ni nzuri
Dear kama sina maziwa mzito naeza tumia sukari?
Mashaallah
Naomba unielekeze ginsi ya kutengeneza biscuit ya cone
Kuna mbadala ya condensed milk manake kwa biashara ni gharama Sana
mfano nataka tengeneza mchanganyiko wa lita 20 vipimo vimekaaje?
So yummy
Nice .
Nielekeze namna ya kutengeneza koni
Naomba unifahamishe jindi ua kutengeneza hiyo biscut yake ya komi please
Tante napendelea chocolate
Nimekupata Dada
Ikka samahani km huna kifaa Cha kuchanganyia inakuwaje Brenda itafaa?
Nisaidie jinsi ya kutengeneza corn
Naomba unielekeze vizuri,hata kwa whatApp unielekeze please
Hello , nikihitaji kufundishwa nyumban , how’s is it cost na nakupataje?
Hey…. Kwasasa sifanyi mafundisho ya nyumbani
Nielekeze kutengeneza cone rahs za nyumbani
Nifundishe jinsi ya kuziteneza hizo cone
😍😍
Hizo koni zinatengenezwaje
Vanla
Asante sn dada
❤
vp hauweki kwnye friij
Kama huna iyo sona inakuaj
Maashaallaah tuonesh bc
Naomba no yako
Jamani me nahitaji kujua ketengeneza
Whip cream inapatikana wapi?
nimeipenda ice cream ya strawberry 🍓🍓🍒
Napenda vile ulivyo ichanganya
Asante 🥰🥰
Strawberry plz
Plz nifundishe kufanya strawberry ice cream sijulii
Ndio tuletee recipe za ice - cream zengine kama alovyosema someni Furaha
Habar,naomba utufundishe kutengeneza cone nyumban
Nice
Naomba uonyeshe namna ya kutengeneza hizo cone
Asante San,ila naomba number yako pia
Pia vipi unaweza kutengeneza hizo koni zenyewe
Me nilitaka kujua jinsi ya utengenezaji wa hizo kon zenyewe
Shukraan
Naomba kujua jinsi ya kutengeneza. hizo cone biscuits za kuwekeza ice cream
Naona mambo Sawa Sasa machine za acecrime ziuzwa wapi
Me napenda ladha ya chocolate nimejifunza leo
Cream naipata wap dada na hiyo cone inatengenezwaje
Na mimi nahitaji kuhifunza
Inapatikanawa wapi hizozakuwekea koni