MZEE WA UPAKO DAVID MWAMBIGIJA AWASHA MOTO MBARALI UBARUKU ATEMA CHECHE KUELEKEA UCHAGUZI

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 4. 09. 2024
  • IPINDA ONLINE TV........Asante kwa kuchagua Ipinda online tv.......usisahau Kusubscribe Channel yetu

Komentáře • 19

  • @pascarmwatosya5855
    @pascarmwatosya5855 Před měsícem

    Kidume ndani ya nyumba Mwambigija boy kaka umetishiaa

  • @abdalahgunda1319
    @abdalahgunda1319 Před měsícem

    Mwambija is the big brain thinker creat lmotion into Tanzania population vsry brave politician explain let Tanzania population understand vary clear

  • @christosiadanieli6512
    @christosiadanieli6512 Před měsícem

    heko mchungaji umeongea sana sijui hawa wanyonge wataelewa

  • @user-gx3jp6uk2f
    @user-gx3jp6uk2f Před měsícem

    Mwambigija umezungumza na kuchambua vizuri sana lakini nyumbu wa ktz hawawezi kukuelewa.

  • @gaagwasaugustino2584
    @gaagwasaugustino2584 Před měsícem

    Asante Mzee wa Upako unaongea ukweli,Mungu akutunze daima.

  • @camilomassao8971
    @camilomassao8971 Před 10 dny

    Politics politics politics 🤣🤣🤣🤣🤣

  • @abdalahgunda1319
    @abdalahgunda1319 Před měsícem +1

    Mbeyea imesimama vizuri viongozi wake wa chadema

    • @tumainimwaifunga3884
      @tumainimwaifunga3884 Před měsícem

      Sana, msigwa alitaka kuharibu

    • @abdalahgunda1319
      @abdalahgunda1319 Před měsícem

      Ase hiki.kichwa kinaakiki Sana ya kuongea mungu akilinde mwambija kutoa elimu kubwa kwa watanzania wenye vichwa vigumu wanaosema siasa haiwausi shamba la ujinga

  • @tumainimwaifunga3884
    @tumainimwaifunga3884 Před měsícem

    Aisee Chadema inawatu wanajua kupanga hotuba vizuri

  • @Aminmwansile-we8vn
    @Aminmwansile-we8vn Před měsícem

    Kaka mbowe ebu kipaji cha mwambigija mbona hamkitumii vizuri? Ebu Tanzania nzima mtumieni huyu jamaa

  • @noelyhaule5695
    @noelyhaule5695 Před měsícem

    wa kwanza😂😂

  • @user-ze6lx9ng6s
    @user-ze6lx9ng6s Před měsícem

    Chadema tupeni Uhuru wa nchi hii,hawa majambazi CCM wanatumaliza watanganyika

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro6662 Před měsícem

    CCM kweli hawana akili. Wamekuwa wakiuwa watu tena wanatumia kwa kutumia vyombo vyao kuwateka watu na kuwatesa. Lakini CCM hawajielewi CCM sikwamba wanawathamini warabu na baada ya kuwatoa wamasai bali wameenda kuwapandikiza warabu ili wapate nafasi ya kuporawanyama kupeleka uwarabuni. Maana wamewapeleka warabu kwa sababu Dubei wameanzisha ifadhi ya wanyama kwahiyo ni wakati wa kujaza ifadhi yao ya Dubei wanyama. Na ndiyo sababu wanagawa hongo kama njugu ili wapate uchaguzi wa 2025 ili Samia aweza kuwezesha Ifadhi ya Dubei na warabu waweze kubeba wanyama, nyara za tembo na watamalizia wanyama walipungua hapa kwetu ili kufunga watalii kuja Tanganyika badala yake watalii watakwenda Dubei na huyu mama naye hatakwenda Zanzibar atajiendea Dubei. Kwa sababu hata roho ya Kizanzabari hana.

  • @user-ef2ln1mx3s
    @user-ef2ln1mx3s Před měsícem

    Mbwa ni nani kati Yako na uyo mzee yawezekana ujijui wewe ni nani kwa coment Yako nimekuja kumbe wewe sio mbwa TU Bali ni mbwa koko

  • @ndogoroedson199
    @ndogoroedson199 Před měsícem

    Huna lolote acha kashfa kuna cku utashitakiwa mbwa ww