Amen Amen,. Amani Mwasote mungu akubariki sana uduma yako nisafi watakatifu tunako kwetu kwetu ni mbinguni kwababa bwana yesu ashatangulia kutuandalia makao bado kitambo kidogo atakuja kutuchukuwa sisi tulio okoka ujumbe safi sana mtumishi napenda sana nyimbo zako uwa zani inwa moyo ubarikiwe..
amen kila mtu ana kwao hata ajifanye hana kwao napenda sana nyimbo zako amani mwasote nikisikiliza hizi nyimbo zako nakumbuka ifisi ibada za arhamisi jioni jamani
Huyu ndugu hunifurahisha sana sana kwa bidii yake,kuimba kwa furaha,na ujumbe kamili bila uoga,ah!!natamani kumwona uso kwa uso,ah!!Mungu akubariki ndugu,ama kwa hakika kwetu ni kule mbinguni, ah!!thx.be blsd-Rev.Anunda
Hakika pastor mwasote mungu anakutumia kwa viwango vya juu zidi kunyenyekea kwa mungu uzidi kuwa kifaa chake
Kakangu mwasote sitachoka kusema wewe n Mbegu ya Mungu ilio hai🙌🙌🙌
Ubalikiwe mtumishi wa mungu hakika nazipenda sana nyimbo zako
God is great, continue.
Wow . Shangweeeeee. Tuliokoka na tuseme Amina
Hii namna Ya song inapgwa nchi za kule south Africa na zmbambwe,aaaah
walokole tunako kwetu kwetu nikule mbinguni😍😍😍🙏🙏💪
Tihwizya hwizya mayi aminaaaa
😭😭😭good song hkika l love the song Sana
I love this song be blessed
Wuuuuuuiiiiii 🤗🤗🤗💪🏻💪🏻🤸🤸🤸🤸🤸🤸💃💃💃💃💃💃💃
Kenya umesahau Aki but thanks for nice song 😁
Safwa org safi sana yilumbu mwagona mwiiiiii
Kwetu nikule mbinguni Bwana Yesu ametangulia kutuandalia makao ili alipo na sisi tuwepo mhmh!! Mungu akutangulie Mtumishi.
Hakika wimbo huo unabaliki
Nina kwetu....kwetu ni kule binguni.
Safi Sana babu ila ushimile hashee
Amen Amen,. Amani Mwasote mungu akubariki sana uduma yako nisafi watakatifu tunako kwetu kwetu ni mbinguni kwababa bwana yesu ashatangulia kutuandalia makao bado kitambo kidogo atakuja kutuchukuwa sisi tulio okoka ujumbe safi sana mtumishi napenda sana nyimbo zako uwa zani inwa moyo ubarikiwe..
I like the song
Great songs pastor,i love your songs so much kila ninaposikiza hizi nyimbo zako najiskia nmebarikiwa sana tunaomba uje Kenya utubariki pia tafadhali
Wanyiha juu! Utakuja ujeee
UTASIKIA
Unajifanya mjanja
Utakuja Uje
😂🤑🤣
God bless you
Barikiwa kaka Mwasote!. Nice song
Uhwozya amoyo yilumbu
Congratulations 👏👏👏👏👏💪💪💃🤸
Good bless
Ameeen baba nakupenda sana
Barikiwa. Mtumish songa
Mbele
hakika mtumishi ubarikiwe , unaendelea kunitia nguvu ninapo kusigiza, ktk kuimba kweli kuna nguvu hakika najihizi niko huru.
amen kila mtu ana kwao hata ajifanye hana kwao napenda sana nyimbo zako amani mwasote nikisikiliza hizi nyimbo zako nakumbuka ifisi ibada za arhamisi jioni jamani
Kila mtu anakokwao.... Kwetu ni mbinguni....
kweli ,kwetu ni mbinguni ,ujumbe mzuri
Oyooooooooo amennnnn
Amina!! Mungu akuinue pastor....
Amen Amen
Mungu akubariki sana mtumishi wa Mungu!!!
kwetu mbingun haleluyaaaa!
aman!aman aman!? amani ya bwana yesu iwenawe amen;
kwetu ni kwa yesu juu mbinguni wat ablessed song be blessed bro Amani Trisha azenga kenya
haleluyaaaa mtumshi kwa wimbo mzulii
Congratration to Amani mwasote for this nice song may God bless you"
Nimeipenda sana hiyo. Ujumbe ufike kwa wote.
Huyu ndugu hunifurahisha sana sana kwa bidii yake,kuimba kwa furaha,na ujumbe kamili bila uoga,ah!!natamani kumwona uso kwa uso,ah!!Mungu akubariki ndugu,ama kwa hakika kwetu ni kule mbinguni, ah!!thx.be blsd-Rev.Anunda
Kila ninaposikiliza nyimbo zako nafarjika sana, napenda nisikie wimbo wako unaitwa nikifumba machooo
barikiwa mchungaji mungu akuongezee nguvu wow wow
Amen
Babu na Bibi kwa kigelegele kizuri Mungu awabari sana mmejitahidi sana kumwimbia Mungu na kufanya video ipendeze
Amen kwa kweli Mungu baba akubariki sana Mungu akupe mafuta na neema nyingi iwepo juu yako naomba namba yako
mungu awe nawe katik mamb yote
I really love this song
Amen inabariki sana mpendwa
barikiwa sana mtumishi na Mungu azidi kukuongezea ujumbe uzindi kutufikishia
Kwetu ni mbinguni
God bless you Mwasote
Amen tumebarikiwa
Ubarikiwe Kwa wmbaji wako .
Kwetu ni Huko aliko Yesu.Tuatakuwa naye mahali alipo.
Enock Springs Kiswili amina
Amazing 🙏 🙏🙏
mtumishi mungu akubariki sana
video tamu sana
nimebarikiwa sana
I can't stop watch this
amina mtumishi Kila mtu anakwao
🙏🙏🙏🙏
Nyimbo zako nasikiliza karibu kila siku
Hallelujah 🙏
uko vizuri
kwetu ni mbinguni
god
pless you so
much
Uko poowa sana kamanda wangu
Nice
Ubarikiwe mtu wa Mungu
haswaaa
this song is so touching and blessing
balikiwa
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂❤❤❤❤❤❤❤❤❤
muito bom Brasil.
Asante kwa kipawa hicho , MUNGU akuinue daisies nakukuinua brother
Josphat onsongo Tumusiano(a nice song mtumishi wa mung)
Nimebarikiwa na ujumbe wako
Ujumbe mzito Sana huuu nimefurahi mwansote uko bomba kwa kazi ya mungu
Ubalikiwe mtumishi wa mungu hakika nazipenda sana nyimbo zako
kwetu ni kwa yesu juu mbinguni wat ablessed song be blessed bro Amani Trisha azenga kenya
Amen Amen
Amen
Ubalikiwe mtumishi wa mungu hakika nazipenda sana nyimbo zako
kwetu ni kwa yesu juu mbinguni wat ablessed song be blessed bro Amani Trisha azenga kenya