MAMA NAPE ALIVYOPATA HOFU ya MWANAE KUFARIKI BAADA ya KUONA TAARIFA FEKI ONLINE - WAZIRI NAPE AELEZA
Vložit
- čas přidán 20. 05. 2024
- MAMA NAPE ALIVYOPATA HOFU ya MWANAE KUFARIKI BAADA ya KUONA TAARIFA FEKI ONLINE - WAZIRI NAPE AELEZA
Jishindie Zawadi na Global TV
Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
👉🔥👉forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
Umesaau kauli Yako mungu kaamuwa ugomvi bahali imetulia karibu nyumbani
😂😂😂😂wadishi tz wajiga saaan mee wananikeranga bora mmeliona wakuu
sio hizo tyu..wandishi wetu wa kitanzania ni waongo kuliko...
Shida tasnia hii watoto wengi Sana hawana weledi wakijua kuongea km ferry km bdoze. Tyr wanafungua vibrog we watu wote hao wanabrog kkkk
Huu upuuzi umeenea sana, wanaweka picha tofauti na taarifa, kuna umuhimu wa kuwashughulikia kisheria
Hata kweny mambo ya usajili hasa Simba na Yanga Kuna uongo mwingi sjui kasajiliwa nani anavalishwa na jezi,lkn upuuzi mtupu.
Kweli ili tatzo aswa wanalowaandishi wa habari wanatupotosha sana.
Mwenye masikio na asikie
Ni HERY imemfikia mtu mkubwa ingekuwa ni mtu mdogo. Sidhani kama ingeshughukiwa. JITAHIDI kufuatilia na ngazi za chin.
Mtajiana wenyewe
Muwindaji kakosea, kamrushia mkuki binadamu, kapata uchungu wake; kwa mnyama haikuwa hivyo, kwani mkuki kawaida yake! Heri umeliona hilo !
Hichikitu nilikuwa natamani kiongelewe
BORA MUHESHIMIWA HILO UMELIONA. BAADHI YA WAANDISHI TANZANIA, NA HASA WENGI WAO HAWANA ELIMU YA KUTOSHA KUFANYA KAZI YA UJOURNALIST.(UANDISHI WA HAVARI).
Maudhui mengine ya kisenge Sana kwa kweli
Uchaguzi unakaribia Nape anaanza vijisababu vya kutaka kufungia vyombo vya habari tuwe makini na huyu Waziri ya kwake kajixima data huyu na uwe na kumbukumbu bana! Sasa unataka uhuru upi waufuate? Sasa unataka kututengenezea uhuru wa kwako na chama chako!
Kwenye Jambo Hili Kweli Limekua Shida Mpaka Unauliza Awa Wana Habari Gani Awa Wanaeka Mkuki Inje Ndani Ndizi
Wewe ndyo waziri tunaomba kitu gani badala ya kupiga marufuku
Hakuna haja ya kubembelelezana, sheria ifuate mkondo wake, kuanzia hivyo VIBLOGU UCHWARA mpk watu maarufu wanaofanya UPUUZI mitandaoni, washitakiwe kwa mujibu wa sheria bila kuoneana SONI..!...kiufupi TCRA ujinga mwingi, ..!
Online nyingine zifungiwe kabisa
Sisi wa afrika bwana eti huyu nae ni kiongozi kwa madhumuni ya watu kunufaika kwa uongozi wake ngoja niulize swali hivi nape ukiulizwa utaje jambo moja unalo jivunia kwa kuifanyia nchi yako na watu wa nchi yako katika uongzi wako utawambia watu kitu gani
Kwan ww ujamuona robot unice
😂😂😂😂
Hii ndio bongo uzushi mwing
Mambo lazima yakurudie mfano huo umeutoa kwa ajili ya mama yako kudhani umepata ajari je wewe mbona huchukui hatua picha za uchi za ngono umekaa kimya tunashindwa kukuelewa unacho kisema ukiguswa wewe ndio inakua habari jamii ukiguswa unakaa kimya
Hapa ndio panashangaza..Ujinga na upuuzi unaofanywa na watu , Tena wengine maarufu na wanajulikana lkn TCRA haichukui hatua, utakuta msanii anafanya upuuzi mwingi mitandaoni , lkn mwisho wa siku hatua hachukuliwi, maisha yanaendelea...!
Tunaona huko Nchi za magharibi ambapo tunaiga uhuru wao, lkn huko huko yeyote yule akivunja sheria basi hatua atachukuliwa bila kujali UMAARUFU wake au jina lake au pesa zake..!..hapa Kwetu ni Blah Blah tu
MB zangu
Just a nape
Hakuna kiongozi apo