nyimbo kama hizi za maonyo haziimbwi tena makanisani, tunaimba kilokole kujifurahisha wenyewe, zama tulizomo kama kanisa ni mbaya sana, Mungu ibariki hii kwaya
Ni kweli kabisa, siku hizi ni nyimbo za kujiburudisha ndio zinashika Kasi sana kanisani. Nyimbo za kujisifia mafanikio ndizo zinazopendwa hasa na kizazi hiki Cha vijana wa sasa
barikiwa sana wajori, hizi ndio nyimbo tunazopaswa kuimbiana , kukumbushana kuwa hatupaswi kujisahau tutubu dhambi sio kuimbiana nyimbo za kutufanya kujisikie vizuri na sio kuwa watu wazuri
Who still listen to this wonderful old school songs Dec 2021
Wimbo mtamu sana hii ndio sda si hizi nyimbo za sikuizi🫴
Very sweet song 🙏🙏🙏 never get old since my childhood.....May God grant you more years to rescue His people
Amen and Amen 🙏🙏🙏
Muranab,Imana kabisa
nyimbo kama hizi za maonyo haziimbwi tena makanisani, tunaimba kilokole kujifurahisha wenyewe, zama tulizomo kama kanisa ni mbaya sana, Mungu ibariki hii kwaya
Ni kweli kabisa, siku hizi ni nyimbo za kujiburudisha ndio zinashika Kasi sana kanisani. Nyimbo za kujisifia mafanikio ndizo zinazopendwa hasa na kizazi hiki Cha vijana wa sasa
My favorite choir
barikiwa sana wajori, hizi ndio nyimbo tunazopaswa kuimbiana , kukumbushana kuwa hatupaswi kujisahau tutubu dhambi sio kuimbiana nyimbo za kutufanya kujisikie vizuri na sio kuwa watu wazuri
This song reminds me about my sister's who used to sing hiyo time kitambo sana
"umenikataa, siku yaja" the warning hits different😳🔥🔥
What a message delivering a warning to all
A very nice song, a blessing and lesson to learn 🙏🙏🙏
Ni wimbo tamu kweli kweli
properly done songs, a blessing.
Real youths not the current one
I love the song
encourages us to be ready 4 christ 2nd coming.thanks alot
Amen
I miss this
2025
amazing song. God bless this choir
C we
Çarterreop0oryy
Charter
4
Be blessed