Ntemi_ Harusi ya Anna Official video.

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 7. 09. 2024
  • BTM AFRICA

Komentáře • 339

  • @user-lf2zr3fj9g
    @user-lf2zr3fj9g Před 5 měsíci +5

    Nyimbo nzur sana jaman kila mda nafanya tu kuirudia rudia japo imeimbwa kiluga sielew ila nimeipenda sana big up bro

  • @kadokemarco9966
    @kadokemarco9966 Před 9 měsíci +1

    Hii ndiyo miziki sasa ina jumbe nzito zitadumu milele labda watu waache kuoana na kufunga harusi. Siyo kama za vijana eti kamatia chini kamatia chini😅😅😅

  • @KhadijaKhadija-uc2uw
    @KhadijaKhadija-uc2uw Před 3 lety +10

    Daah nakumbuka nyumba nikaja kusikiliza nyimbo za kwetu najivunia kuwa msukuma nipo Dubai

  • @SaidJuma-ww6vd
    @SaidJuma-ww6vd Před 5 dny

    Najivuni kubwa msukuma ngwaka nakupenda sana unapiga sho zuri sana

  • @user-dh8it7gy5g
    @user-dh8it7gy5g Před 11 měsíci +3

    Saf Sana najivunia Sana kuwa msukuma raha❤❤❤

  • @bornyborny445
    @bornyborny445 Před 5 měsíci +2

    Much love from Kenya Nairobi Kenya

  • @hassansaid-b4z
    @hassansaid-b4z Před 2 měsíci +1

    Kariba mpombwe tena

  • @PaulinaDaudi-ox3oz
    @PaulinaDaudi-ox3oz Před 5 měsíci +1

    Kuwa msukuma ni raha❤

  • @user-lj1wx2fw9j
    @user-lj1wx2fw9j Před 10 měsíci +2

    Safi. Sana kwakipaji Chako na mungu akubaliki. Nyimbo nzr sana

  • @EmmanuelKasambale
    @EmmanuelKasambale Před 14 dny

    Hongera ntemi umebarikiwa sana msukuma obeja gete

  • @budodilufega8597
    @budodilufega8597 Před 2 lety

    Owisee nikwambie usukumani rahaa sikuu yakuoa nikuchukue ujee uni dumbuize😁😁😂😂Niko dar salamu Ila sauti ikoo juu rahaa Ni yangu never give up

  • @charlesamon8873
    @charlesamon8873 Před 5 lety +15

    Dah!! Nimekumbuka nyumban nikisikia hizi nyimbo Nikon gwanzuh china

  • @elizabethstephano6063
    @elizabethstephano6063 Před 3 lety +1

    Navyokupenda wew mkaka hujui tuu

  • @valeriakishiwa6029
    @valeriakishiwa6029 Před 2 lety +1

    Napenda kaz zako broo
    Huu wimbo huwa sichoki kuusikiliza at

  • @user-zz1pu8yo4h
    @user-zz1pu8yo4h Před 2 měsíci

    Kaz nzuli sana kaka mungu azidi kukupa malifa

  • @user-cw8ju1gf1j
    @user-cw8ju1gf1j Před rokem +2

    Bwana ntemi omabala shukurani kwako tena hongera xana i am amused by your music and pieces of advice from them. i am IN BUJUMBURA _BURUNDI Much congratulations to you ng'wana kang'wa

  • @Pratnumzsimba
    @Pratnumzsimba Před 4 lety +6

    najivunia kiskuma kua lunga yangu yakuzaliwa njoo na dar utupe burudan

  • @zachariakitebi9247
    @zachariakitebi9247 Před 10 měsíci +1

    Nakukubali sana ntemi omabala

  • @gabrielshija7786
    @gabrielshija7786 Před 4 lety +1

    kutoka israel wimbo mzuri kama nipo home nitafuteeeee that why make sure that you gonna find me

  • @SurprisedBurrito-vn8qv
    @SurprisedBurrito-vn8qv Před 8 měsíci

    kazi nzuri sana ntemi unaibuludisha sana hakili yangu nakuerewa ani

  • @teddydotto7137
    @teddydotto7137 Před 6 měsíci +1

    Najivunia kuwa msukuma nyimbo za mafundisho sana kwenye harusi yangu lazima uje kuimba mungu atupe uzima2

  • @vestinaaisha4515
    @vestinaaisha4515 Před 3 lety +1

    Big up xan waxukuma juuuuuuuuuuu

  • @b_kings96
    @b_kings96 Před 3 lety +1

    Mimi sio msukuma ila napenda hu wimbo sana

  • @SamiaLove-cw6nj
    @SamiaLove-cw6nj Před 2 měsíci

    Hii nyimbo kali balaa❤

  • @mabulayohana3811
    @mabulayohana3811 Před 2 lety +1

    noma sana sukuma song,yani kama hujuwi hii kabila jifunze,good message ❤❤

  • @leahjoram4611
    @leahjoram4611 Před rokem +1

    Napatikana dar es Salam bonge la song hahaha wasukuma yoooo naipenda

  • @hamismsafiri6042
    @hamismsafiri6042 Před 3 lety +1

    Nakumbuka nyumbn tu nikiskiliza hzi nymbo

  • @johnmatanda3834
    @johnmatanda3834 Před 4 lety +7

    Kutoka Chicago, USA nakupata sana kijana wa home kahama,kama Niko nyumbani vile.

  • @sarahamos8524
    @sarahamos8524 Před 3 lety +1

    Mwanangu hapo ndo hua unagusa nafsi yangu kwa kujituma kwa kazi nzuri

  • @YoelLufunga
    @YoelLufunga Před 3 měsíci +1

    Safi sana. Nyimbo ina maneno mazuri bila maneno ya aibu. Najikumbusha nyimbo nikiwa hapa New Delhi - India.

  • @tatuomary6624
    @tatuomary6624 Před 2 lety +1

    Big up bro

  • @JuliusTanzania
    @JuliusTanzania Před 4 lety +7

    Nakipenda kile kipengele unaposema "Usungu wa mwana nkima waluma hangi lwakavili😂😂😂 hakika kisukuma kizuri sana.
    Kwa wale ambao hamuelewi kisukuma anamaanisha uchungu wa mwanamke unauma tena kwa mara ya pili😂😂😂🇹🇿

  • @agathamathias7195
    @agathamathias7195 Před 3 lety +2

    Nyanda Acha Tudange Umepigilia Palepale! Unanikoshaga Saanaaaaaaaaaaa

  • @ShamimuRajab
    @ShamimuRajab Před měsícem +1

    Hii nyimbo haichoshi kwakweli

  • @happinessdanstan8877
    @happinessdanstan8877 Před 2 lety

    Nakubl sana nyimbo kaka ang

  • @boazmganga8137
    @boazmganga8137 Před 5 lety +3

    Kiukweli japo kisukuma sikielew ila unajua utunzi wa nyimbo za asili nimekufuatilia nyimbo zako nimeona wewe unaweza kumvua bhudagala ufalme wa mziki wa asili cha mhimu ongeza ubunifu wa mziki ufanye uwe biashara isiwe burudani tu kwa nzengo pia pandisheni viingilio watu wankupenda 1000 kwa mtu mzima kiingilio kinawashusha chini ki mapato yenu wenyewe

  • @rosemaryjoseph2346
    @rosemaryjoseph2346 Před 2 lety +2

    Japo saida kaloli alituapia kuwa atazibiti nyimbo zoote za kinyamwezi na kisukuma amefeli tuko juu wasukuma

  • @jamesjamesh.5822
    @jamesjamesh.5822 Před 5 lety +3

    wanaodislike wimbo huu ni kwa sbb hawaijui lugha ya kisukuma lkn ni wimbo mmoja mzuri sana na ujumbe wake ni mzuri sana

  • @jacklinekansago1833
    @jacklinekansago1833 Před 4 lety +4

    Najivumia kua msukuma I love it

  • @user-tc4qd1jp6p
    @user-tc4qd1jp6p Před 2 měsíci

    Najivinia kuwa msukuma napenda kuzisikiliza nimepamis hom niko Dubai

  • @zachariakitebi9247
    @zachariakitebi9247 Před 10 měsíci +1

    Osanjiiii na ubhukulu ikeyula ilelo ❤❤❤❤❤❤❤mpaga mmakingo😂

  • @ramadhanmahano3498
    @ramadhanmahano3498 Před 2 lety

    Ntemi wewe nomaaa

  • @horaslugaya2261
    @horaslugaya2261 Před 2 lety

    Horas lugaya nakuku bark xna from kigoma manyovu

  • @rashidbakhari9656
    @rashidbakhari9656 Před 4 lety +1

    Nakumba bar sana ck unamuimbia mbinamu yangu huu wimbo

  • @user-yv1zd7rz7g
    @user-yv1zd7rz7g Před 7 měsíci

    Mungu abarki ndoa yao ❤❤❤❤

  • @user-bi4tb2kr6e
    @user-bi4tb2kr6e Před 10 měsíci +1

    ❤ nakumbuka Sana kwetu 🎉 ng,wana Kang,wa

  • @jescakitinga4393
    @jescakitinga4393 Před 3 lety +1

    Baba nakukubali sana kaka angu MUNGU akuinue zaid

  • @salummohdnyiga9760
    @salummohdnyiga9760 Před 5 lety +11

    Za nyumbani ni bomba sana ,naipata nikiwa Zanzibar. Wasukuma juu!

  • @mektridamichael4035
    @mektridamichael4035 Před 5 lety +6

    Wew na nyanda masome nawakubali kinoma bigap ng'wana Kang'wa

  • @fredrickmagingila3614
    @fredrickmagingila3614 Před rokem +1

    Nyanda ndododo, hongera sana. Nasikiliza nyimbo hizi nikiwa 🇬🇧 UK, najikia kama nipo nyumbani kabisa

  • @felicianholle3010
    @felicianholle3010 Před 3 lety +1

    Hongera sana Ng'wanakang'wa unanyimbo nzuri za harus wabeja

  • @zuhuraabdallah155
    @zuhuraabdallah155 Před rokem +1

    Mungu akuzidixhie Inxhaarlh. Endeleza Kudumixha Mila na desturi zetu. Wasukuma Oyeeee

  • @petrojakcison118
    @petrojakcison118 Před 4 lety +4

    Kutoka dar naenjoy mziki mzur kutoka kwa mw'anakang'wa🔥🔥🔥🔥🔥yan hatar

  • @fancebtz1071
    @fancebtz1071 Před 3 lety

    gude gude jigunze kwa huyo chari aisee

  • @nelsonwilliam7578
    @nelsonwilliam7578 Před 4 lety

    Ndugu yangu mi nazani we ni mkali sana bnafsi mi msukuma zinanifriji kuona wasukuma wenzangu wanafura huku ngambo tunakufuatilia sana ww na yule budagara mungu akubariki sana kazi nzuri nikiludi tz nitakutafuta

  • @shanijohn3988
    @shanijohn3988 Před 4 lety +5

    Duh mimuha ilanapenda San nyimbo zakisukuma jamn

  • @gilbertwaswa131
    @gilbertwaswa131 Před 4 lety +1

    Hongera sana nimeipenda

  • @manenobuluba1037
    @manenobuluba1037 Před 4 lety +1

    Ntemi nakupata kijana nafurahi sana nakusikiriza nyimbo zako piga kazi mafanikio nijuhudi yako

  • @daudiabasi9523
    @daudiabasi9523 Před 4 lety

    Nipo zanzibar nikickiliza nyimbo hii najihc nipo shinyanga

  • @suzanamanyilizu1305
    @suzanamanyilizu1305 Před 2 lety

    Sawa baba busungu wa ruma

  • @KnowledgeClass.
    @KnowledgeClass. Před 5 lety +10

    Kulaga uhangame nyanda Ng'wana Kang'wa...mimbo gako masumba

  • @ShijaMathias-sk1vt
    @ShijaMathias-sk1vt Před měsícem

    Nakubali.

  • @kulwampela3890
    @kulwampela3890 Před 3 lety +1

    Tujifunze vijana kupitia nyimbo hiz sio kucheza tuu kabla hatujaingia kwenye pingu za maisha

  • @user-ut9pd7pb2x
    @user-ut9pd7pb2x Před rokem +1

    Asante Sana kakanyimbo zetu za kisukuma nilizipoteza mda mlefu ila nimezipata na kubuka nyumbani usukumani

  • @jacklinebabuneliku1686
    @jacklinebabuneliku1686 Před 5 lety +6

    Big up kwa ku2tangaza Wasukuma

  • @SurprisedBurrito-vn8qv
    @SurprisedBurrito-vn8qv Před 5 měsíci +1

    ♥️♥️♥️♥️ sana kaka angu

  • @emmakatemi4407
    @emmakatemi4407 Před 5 lety +6

    nyanda uk vzr sana

    • @ndulujilala9643
      @ndulujilala9643 Před 4 lety

      Niko Canada nainjoy kisukuma nyumbani mwamalasa kishapu ,nakumbuka nasoma kwa shida, nimekumbuka mboga ya nzuboo, mwabuzo, mwalata Masanga ndoleleji

  • @yusterkisusi6633
    @yusterkisusi6633 Před 2 lety

    Mzurii

  • @boazmganga8137
    @boazmganga8137 Před 5 lety +8

    Akupandaga poli azwalile za gharama kweli big up

  • @shadidapikinini9230
    @shadidapikinini9230 Před 5 lety +1

    Nipo mtwara yaani najisikia vizuri sana kama nipo nyumbani tuu!!! Jiandae zamu yangu kuimba kwenye harusi yangu. Najisikia vizuri sana, wasukuma tupo juu sana.

  • @magesejapheth8031
    @magesejapheth8031 Před 4 lety +1

    Ulisawa du

  • @mtundaagnes5609
    @mtundaagnes5609 Před 5 měsíci +1

    bwana na bibi harusi yhehye imihayo, bhaleho bhaleho bhamajungu bhangholo jabhubhi😅

  • @KouameKoffi-u7n
    @KouameKoffi-u7n Před měsícem

    ❤ j'adore ce grand musicien merci

  • @user-os6mr8ug4g
    @user-os6mr8ug4g Před 9 měsíci +1

    Ana,ujumbe,mzur❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @henrydonard3098
    @henrydonard3098 Před 4 lety +1

    Wasukumu mlihoii bhehi

  • @neemamarine1769
    @neemamarine1769 Před rokem +1

    Ukweli mungu nimwema kwa kwa kipaji tu unacho

  • @madirishasimon9692
    @madirishasimon9692 Před 5 lety +3

    Najivunia kuwa msukuma

  • @LovelyTz
    @LovelyTz Před 2 lety +1

    Woooh my brother ooh my God nimekupenda sana daaah

  • @benetv5290
    @benetv5290 Před 4 lety +3

    2020 tunaendelea ku like hii ngoma

    • @kamandajaphaly6263
      @kamandajaphaly6263 Před 3 lety

      Asee tupopamaja pammoja kabisa kweli majungu yapo mm nipo dar xaf Sana ng'wanakawa

  • @user-cg6mr1pe2y
    @user-cg6mr1pe2y Před rokem +1

    Nakukubali Sana mzee

  • @yakobomaganga6557
    @yakobomaganga6557 Před rokem +1

    Yajayo yanafurahishaa 🙏🏿🙏🏿🙏🏿

  • @jamesmzalendo9199
    @jamesmzalendo9199 Před 2 lety +1

    Iko vizuri

  • @user-nf7kt6wp6s
    @user-nf7kt6wp6s Před 7 měsíci

    Mim nikubari kwa nyimbo zako

  • @sittaanatory2699
    @sittaanatory2699 Před 3 lety

    Yaan Hap nahic Kam Niko nyumbn kbc

  • @michaeljoseph9903
    @michaeljoseph9903 Před 5 lety +4

    Uko vzr ww ni alikiba unaimba nyimbo za asilia siyo za biashala

  • @ibrahimkynga3265
    @ibrahimkynga3265 Před 4 lety +8

    I don’t hear the language but I’m enjoying the song! From Maine USA 🇺🇸

    • @ngwanakangwa
      @ngwanakangwa  Před 4 lety +2

      Thanks brother!

    • @ibrahimkynga3265
      @ibrahimkynga3265 Před 4 lety +2

      How can i send money 💰 to this artist just to buy a drink? Hop i’m talking to the right person. Ibrahimkynga@gmail.com

    • @ngwanakangwa
      @ngwanakangwa  Před 4 lety +1

      @@ibrahimkynga3265 where are you?

    • @ibrahimkynga3265
      @ibrahimkynga3265 Před 4 lety +1

      USA 🇺🇸

    • @ngwanakangwa
      @ngwanakangwa  Před 4 lety +2

      @@ibrahimkynga3265 +255744516663 whatsapp for more info!

  • @sakijakhassim8818
    @sakijakhassim8818 Před 4 lety +2

    Upo vizur mkuu,Endelea kuonesha maujuz na maubunifu every day mzee baba

  • @marrykanti841
    @marrykanti841 Před 5 lety +8

    Umenikosha kaka, naipenda sana lugha yangu na tamaduni zake.

  • @mudynuru4036
    @mudynuru4036 Před 2 lety +1

    Wasukuma safiiiiii

  • @stumay-wx9rp
    @stumay-wx9rp Před 5 lety +6

    ❤️❤️Umenikosh San na kisukuma mayo from Oman ipo sik nitafik usukumani✈️✈️

  • @deusmakaranga1079
    @deusmakaranga1079 Před 3 lety +1

    Ki ukweli huu wimbo naupenda saana

  • @sophiamichael644
    @sophiamichael644 Před 5 lety +7

    Nyimbo nzuri, jitahidi utoe video ya shinje na mchoji.!

  • @johnsimba7230
    @johnsimba7230 Před 5 lety +3

    uko vzuur sana m shabk namba1 kwako we n diamond wakwetu usukuman unajua sana jtahdi kutoa video tunakupenda sana

  • @isackmachiyanshoka6754
    @isackmachiyanshoka6754 Před 2 lety +1

    Kwakweli ng'wanakang'wa unatutamgaza vzr wasukuma, tunajivunia uwepo wako! Be blessed by the almighty God! We enjoying.

  • @estergeorge1557
    @estergeorge1557 Před 3 lety +1

    naomba mawasiliano namna ya kukupata mwanagamwa tutunge wimba wa harusi yangu 2021

  • @annadotto2429
    @annadotto2429 Před 4 lety +5

    🙆😭😗 bhusungu bho ngw, anankima

  • @mahedasayi111
    @mahedasayi111 Před 4 lety

    Mwana Kamwa anatoa ujumbe safi kwa jamii

  • @busandaking5742
    @busandaking5742 Před 5 lety +4

    Dah wimbo mzur xn xo big up mn

  • @damasenock4111
    @damasenock4111 Před 5 lety +2

    yani nipo dar kama nipo nyumbani tu hongela sana

  • @yusuphabdallah285
    @yusuphabdallah285 Před 4 lety

    Nikiwa Dodoma nakupata vzr sana ng'wana kang'wa chapa kz bro