Kaa la moto na unju Kitu napenda kwa unju ni unaVOBANDA vina kwenye freestyle, apa namaanisha vina dabo dabo na icho ndo kinachonifanya nikushangae uko GIFTED sana brother 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Kumsifu mmoja sio kumshusha mwingine Oya wee huyu Mbishi ni mnoma haswa - juu ya beat ametulia kama uji kwa mgonjwa - hana papara vina vinapangika vikipangwa - pia anacheza na maneno vyema saana
Kaa la moto na unju
Kitu napenda kwa unju ni unaVOBANDA vina kwenye freestyle, apa namaanisha vina dabo dabo na icho ndo kinachonifanya nikushangae uko GIFTED sana brother 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Wahenga mnajua sana . Salute wafundishen madogo
Basi tu basi boo
Nikki mbishi nakupata vp nataka kufanya ngoma na wew
nikki kwa mara ya kwanza umefunikwa freestyle😂😂
Vichwaaaa
Wafundishen madogo kufreestyle, kumama zao
😂😂mbona matusi tena
Awa jamaa ni noma sana kichizi
Nikii kama kazngua flan kaa ameua sana
Wazee WA KAZI wanafanya kweli ndio hufanyagaaaa safiiii
Mimi nimkenya lakin unju na kaa niakili za miujiza
Kumsifu mmoja sio kumshusha mwingine
Oya wee huyu Mbishi ni mnoma haswa
- juu ya beat ametulia kama uji kwa mgonjwa
- hana papara vina vinapangika vikipangwa
- pia anacheza na maneno vyema saana
Af Kama niwachafu wasafi waoshweee Boom
Maprofesa wa rap wamekutana
Kama ni wachafu Wasafi Waoshwee...🤜💥🤛
🔥🔥🔥
Nikki mbishi vs Kaa la Moto ni moto 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Maprofesa wamekutana wanafanya kitu inayoflow kwa DNA..
Wakufunzi wa hip hop
kaa la moto ni mtu bad sanaa
Gumi ine kila second
Wazee was kazi
Hiphop for life
Wakali wa Freestyle wamekutana 🫡🔥💯
Qmmke 🥶🥶🙌🏽
Akili kubwa
Nice freestyle 🔥🔥🔥
Big up
Ukali mwanangu 💀
Niki Nomaa
haaaasaa
Babu umepotea
Real shit 😅
🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Kaka nick Leo
Umefunikwa kinomaaa
Duh kweli mwamba siyo mkari
Hapa bwana angelikaa fid au
ngwea au goodzilla lakin siyo
Kesi umemaliza
Fid q haingii apo anatakiwa cardo kitengo au toxic
ndugu wamekufinika nini😂
Kaa la moto n nyoko
🙌🙌🙌🇰🇪💯💯
Hahaha noma
Style za zamani sana
Tunaishi kama Rasta
Peace and Love 🇰🇪🇹🇿
Kaa lamoto dogo usiyumbe
👍👍
Pp