Our bebbiii girl is beautiful ,unique, smart ,intelligent, and obinna this people you are interviewing dont allow them to body shame our girl sound bad ,kila saa nyash that girl is gold and akways positive and vibe❤
What I like about Obina is the fact that, as much as unaongea shiet kumuhusu, he will always laugh to avoid having beef with people. Kimbi Kimbi is not even realising it while trolling both Obina and Dwfb.
Ati kimbimbi kumbe ndo hiki kinaongea vibaya,wacha tu aongee kwa sahii wakikutana na dem wetu in person atajua dem sio wa kicheka atamtandika maneno ashindwe kuongea vile anaropokwa sahii😂
Obina Obina Obina tunakupenda sana watu kama hawo waachane kabisa na jina yakenyeji wetu wakati alikuwa anatafuta wakumushika mkono walikuwa wapi?? Haki nimeumiya ww kimbo kimbo tunakuhonya peleka ulevi wako uko kenyenji wetu sio wa levo yako achana kabisa kabla hatuja anza kukutoleya matusi yanguoni shenzi we
Tried to watch this interview but when i saw it was all about dwfb n alot was bodyshamig her felt so bad plz dnt allow this on ur show obinna tht girl is going far those guys should watch her n thy will b so suprised
Kimbkkimbi anasubuliwa na wivu, baada ya kugundua kuwa dem wa fb, ni msupu aking'ariswa, maana ukifatilia uwepo wake na huyo dem hakuwahi kutoka naye kapendeza, nidela siku zote, kula chumba Kimbkkimbi.
Uzuri wa mwambiye sio urembo ni tabiya kwanza wewe uko na sura gani Mimi ni mzee hta wanaume waishe siwezi kukutaka wacha miaka 2 ishe utatamani DWF ni mrembo,tabiya,mwerevu sana
Obinna ashamuosha sai waona wivu ww mwenyewe uliachilia nyama ikakutoka mdomo juu ulikuwa nae mombasa mbna ukuwajibika kma Oga so yakimwagika hayazoleki umechelewa na Pole😅😅😅 nipende mm apa
Kimbikimbi kaaaa ukijuwa dem wa fb hana mtto next ukae ukijuwa dem wa Facebook bdo ni mtto hajazaaa na hajawai pata yoghurt ya wanaume ile itafanya anone ..ile sku atahonja utaona vile mwili itapanuka
Obinna mimi ni Mtanzania nawapenda sana nawafatilia sana ila hao jamaa zako sijawapenda kabisa wanamsema mtoto wa watu nawakati wenyewe ni walevi tu hawana maana kabisa Nimechukia sana
Kumbe mama yako akukosea akikuita kikimbimbi. My friend achana na dame ws obinaaaa. Hawezi kupeda ukiongea 8vo kama mlevi.onina najua unachoka kuwaongelesha ni vile tu ni una say.😂
The insults were unnecessary 😒 Dem wa Facebook is a beautiful intelligent lady and Obinna defend her if you hear any of your guest speaking ill of her.
Kama Hana shape ad nt beautiful kimbi unafuata Nini si umwachie wale wanaona uzuri wake, you're regretting fr letting her go, she's gold inside,hashaenda pale anapendwa zaidi,hta ww unatambua hio so kimbi tafuta mwingine pls.
The way i love dem wa Facebook sitakangi kusikia mtu akimwongelelea,,, nasikianga vibaya sana, huwa nanjiuliza before obinna amchukue mlikuwa wapy,,, kimbikimbi kaa mbali na dem wa Facebook she is not your type.
😂😂😂😂 obbina no one was meant to understand you just be focus and carry on with your journey. Tell your friend to stop being so talkertive yeye alishindwa kunyunyizi ua lake maji mwanaume mwingine akaichukuwa sasa akiachwa achike😂😂😂😂
Shame on you kimbikimbi stop body shaming hata wewe uko na sister if someone talks shits like that to your sister how would you feel man up uko tu na machungu na dem wa fb coz amepata mtu amefanya ajitambue na atoke comfort zone yake so wewe ukiwa na yeye ulimsaidia na nini
Obina heshimisha sasa bebi na iyi mambo ya kuongelewa kila siku na watu wako wenye wanakuja sho live,haki wana muogopaka kwani ni lazima.aongelewe tu? Mumuache na amani,ni baraka yake kutoka kwa Mungu na Mungu njo ana panaka,tuna juwa watu wengi tulizarau lakini leo ma Boss wao wamewaowa ,leo ni matajiri na ni warembo ,Mungu akisema ata ku bariki haangalie sura ,matako,ana bariki tu❤❤
Mnasema kimbi kimbi anaongea mbaya juu ya dem wa fb... ngonjeni comeback... but that's how they talk about each other ni part ya content creation, don't be so hard on him
Obbina please this not good kabisa,km guest wako watakuwa wakicam kuongolea Dem WA FB ivi I'm not happy at all
@Obinna kindly stop hosting this type of people 😮
Aky mm nilijam
Hasira ilipanda vile ilipanda wakati wa ruto aky nilijam san
Tell him
Kabisa that not good
Obinna don’t encourage pple like this mlevi talk negative abt dwf please 😢😢
Kimbikimbi ukiachwa achika dmwfb ni officially married to oga obina
We need respect to our girl ❤❤❤❤❤❤❤
Kimbikimbi achana na msichana wetu kabisaa
Dem wa face book n mrembo sio msichana wa kujipendekeza❤
And who told kimbikimbi that a girl is beautiful by physical appearance? The heart beautifies everything
Kila mtu ana test yake😂😂😂
@@okothvincent6027 😂😂
Hiii konokono marehemu tafadhalii....iachane na our own girl...
Our bebbiii girl is beautiful ,unique, smart ,intelligent, and obinna this people you are interviewing dont allow them to body shame our girl sound bad ,kila saa nyash that girl is gold and akways positive and vibe❤
You've nailed it
Walai m niliboeka after nyaboke kuongea about DWF kimbikimbi akakuja kukanyaga yeye kabisa weeeeee but n sawa
Sasa uyu ndio anasura gani ya kiume na ufupi yake shenzi Sana wivu mbaya sana
Kimbikimbi I hate you....
Dem wa Facebook to the world
Wivu ni mbaya jameni
Asiongee ujinga juu ya dem wa Facebook
The humour in kimbikimbi is at high notch 💯💯💯
Kimbikimbi acha wivu na demu wa fb
Obina leo vipi umeleta walevi tupu kwa studio 🎙️
Is necessary kimbikimbi aongelelee bebii kweli
Dwfb Yuko sawa Oga
Obinna hii hatutaki please...kila mtu Ako na past yake...we love our girl the way she is
I love dwf she is beautiful inside out.. What do people refer as beauty.....??? This gal has everything.... That makes a super lady
Sa hawa walevi wawili wamekuja kufanya nn apa aki wanaudhi
Reject reject reject kimbikimbi,,,, hate speech
Hawa walevi wakwende uko dem wa fb to the world ❤❤❤❤
Kimbikimbi na tumbili wasiwe karibu na dem wafb please 🙏
What I like about Obina is the fact that, as much as unaongea shiet kumuhusu, he will always laugh to avoid having beef with people. Kimbi Kimbi is not even realising it while trolling both Obina and Dwfb.
Obina unaita watu walevi interview,,,wasikufunje moyo,.Dem wa Facebook+Obina ni ❤❤
Ati kimbimbi kumbe ndo hiki kinaongea vibaya,wacha tu aongee kwa sahii wakikutana na dem wetu in person atajua dem sio wa kicheka atamtandika maneno ashindwe kuongea vile anaropokwa sahii😂
Dwfb.....Ni oxygen ya obbina ❤
Kimbikimbi wacha wivu enda oa huyo mwenye uliza na yeye
Kimbi×2please stop that insinuation our girl dwfbk is beautiful and wonderful created ala.
Kimbikimbi mature up
Eagerly waiting for come back ya dem wetu
NEVER underestimate anyone kimbikimbi.... that's body shaming
Beautiful girl 😍
Huyu kimbikimbi ni useless sana😢😢😢
I hate kimbikimbi too
Kimbikimbi achana n msichana wetu,,lazima nirudie kuwatch Obina n Dem WA fb ndio npate usingizi poa
Kimbikimbi utakoma ,wachana na dm Wa Facebook kabisa,
Kimbikimbi hands off dwfb
Obina Obina Obina tunakupenda sana watu kama hawo waachane kabisa na jina yakenyeji wetu wakati alikuwa anatafuta wakumushika mkono walikuwa wapi?? Haki nimeumiya ww kimbo kimbo tunakuhonya peleka ulevi wako uko kenyenji wetu sio wa levo yako achana kabisa kabla hatuja anza kukutoleya matusi yanguoni shenzi we
Tried to watch this interview but when i saw it was all about dwfb n alot was bodyshamig her felt so bad plz dnt allow this on ur show obinna tht girl is going far those guys should watch her n thy will b so suprised
Move oooooon kimbikimbi dem wetu ni wa obina
Kimbikimbi dem WA Facebook alikukataaa si ukubali tu
10 loves for 10k subs💕💕💕💕💕💕💕💕💕💕💕💕💕💕💕💕, Thanks guys. Lets continue, nipitie nikupitie
Kimbkkimbi anasubuliwa na wivu, baada ya kugundua kuwa dem wa fb, ni msupu aking'ariswa, maana ukifatilia uwepo wake na huyo dem hakuwahi kutoka naye kapendeza, nidela siku zote, kula chumba Kimbkkimbi.
Obina unatukasirisha sasa,
Uzuri wa mwambiye sio urembo ni tabiya kwanza wewe uko na sura gani Mimi ni mzee hta wanaume waishe siwezi kukutaka wacha miaka 2 ishe utatamani DWF ni mrembo,tabiya,mwerevu sana
Obinna umedandia kitu ya kimbkimbi😮
Obinna ashamuosha sai waona wivu ww mwenyewe uliachilia nyama ikakutoka mdomo juu ulikuwa nae mombasa mbna ukuwajibika kma Oga so yakimwagika hayazoleki umechelewa na Pole😅😅😅 nipende mm apa
Kimbikimbi kaaaa ukijuwa dem wa fb hana mtto next ukae ukijuwa dem wa Facebook bdo ni mtto hajazaaa na hajawai pata yoghurt ya wanaume ile itafanya anone ..ile sku atahonja utaona vile mwili itapanuka
Ww kimbikimbi jishikilie tafadhali demu wa face book c type yko sawa ebu jieshimu
kimbikimbi ni....anaongea nn hyo sasa obbina don't be discouraged
Wivu vitina kimbikimbi ajana na dame wa FB, obbina leave this interview sipendi kabisa
Atujapenda hii udaku hii ni wivu
Obinna mimi ni Mtanzania nawapenda sana nawafatilia sana ila hao jamaa zako sijawapenda kabisa wanamsema mtoto wa watu nawakati wenyewe ni walevi tu hawana maana kabisa Nimechukia sana
Unzuri dem wa fb sio social media ni comedian so ako beautiful and intelligent for what she do hawa walevi toa hapa
Heri dem hana haga,shape sio mrembo but ako na akili, na bona unamtafuta nasi niwewe unimpea stree akakosha shape kweraaaaa
Kwani huyu kimbikimbi alikua amelewa anaongea aje as if kichwa sii sawa awache wivu
Shidwe kimbikimbi
Kimbikimbi koma demu fb amekuzindi kila kitu and she is beautiful
Ati future yake ni dark are you God??tables do turn.
Sasa hizi to ang'oo....
Kimbikimbi🤣🤣🤣 thanks for the act.🤣
This guy is in pain and then why negativity towards an innocent woman.
Sasa Hawa wanakaaa hivi wanatoa wapi nguvu ya kuongelelea DWF.... Nktiest
Kimbikimbi wewe utaniuwa😂😂😂
Namanisha asijaribu kubomoa nyumba yawenyewe ifika kwa dmf nitakuwa mtariwambele kuandamana
Jifanye umesoma,mmmh
Kumbe mama yako akukosea akikuita kikimbimbi. My friend achana na dame ws obinaaaa. Hawezi kupeda ukiongea 8vo kama mlevi.onina najua unachoka kuwaongelesha ni vile tu ni una say.😂
😂😂😂😂😂No real name
The insults were unnecessary 😒 Dem wa Facebook is a beautiful intelligent lady and Obinna defend her if you hear any of your guest speaking ill of her.
Huyu atakuja aibika akiona dem wa fb after 2yrs hapa obina ametusiwa na dem wa fb kweli kweli😂😂😂😂😂kimbikimbi akona machungu bado
Ni content tu 😂😂😂😂
@@Npadeke eishhhh he's drunk that's not content
@@deed2799true😢
Anataka nn kama Hana shape😂😂
Kama Hana shape ad nt beautiful kimbi unafuata Nini si umwachie wale wanaona uzuri wake, you're regretting fr letting her go, she's gold inside,hashaenda pale anapendwa zaidi,hta ww unatambua hio so kimbi tafuta mwingine pls.
Kimbikimbi ngoja comeback dem wa fb ujue hizi ndio mambo anapenda. 😂😂
Kabisa atatii
@@irynejepkorir5540 walai tena
Wawache msichana wetu..a shine
Obinna and Dem wa fb always ❤kimbikimbi ni wivu tu....ati future yake ni dark wewe ni mungu...hater....our inlaw Obinna kudos👍
The way i love dem wa Facebook sitakangi kusikia mtu akimwongelelea,,, nasikianga vibaya sana, huwa nanjiuliza before obinna amchukue mlikuwa wapy,,, kimbikimbi kaa mbali na dem wa Facebook she is not your type.
😂😂😂😂 obbina no one was meant to understand you just be focus and carry on with your journey. Tell your friend to stop being so talkertive yeye alishindwa kunyunyizi ua lake maji mwanaume mwingine akaichukuwa sasa akiachwa achike😂😂😂😂
Aih tunapenda Dem wa Facebook 💕💕💕
Matusi huyu atapewa na Dem wa FB kesho I can't wait yayeeee😅
Shame on you kimbikimbi stop body shaming hata wewe uko na sister if someone talks shits like that to your sister how would you feel man up uko tu na machungu na dem wa fb coz amepata mtu amefanya ajitambue na atoke comfort zone yake so wewe ukiwa na yeye ulimsaidia na nini
This is so wrong ...obinna hapa tumekataa
Dem wa Facebook is human am sure she doesn't like these kind of jokes said about her,not good obinna
Aki leo umeleta wagonjwa,wapi mama county
Dame WA Facebook waiting for ur comeback
Wacha kucheka obina,
😢😢😢
Comaa kimbikimbi
I'm so hurt please don't call him again
I hate 😒 😑 the conversation 😒 🙄
Obina heshimisha sasa bebi na iyi mambo ya kuongelewa kila siku na watu wako wenye wanakuja sho live,haki wana muogopaka kwani ni lazima.aongelewe tu? Mumuache na amani,ni baraka yake kutoka kwa Mungu na Mungu njo ana panaka,tuna juwa watu wengi tulizarau lakini leo ma Boss wao wamewaowa ,leo ni matajiri na ni warembo ,Mungu akisema ata ku bariki haangalie sura ,matako,ana bariki tu❤❤
Anamtaka na nimeskia akisema ako na bibi na mtoto ama
Yes his married 😊
😂😂😂
I love hii interview kimbikimbi nakupenda naskitika watu wakona negative view on him uyu n Dem wa Facebook wanajuana
True
Better ungeniita Mimi if ulikosa mgeni waku invite 😲😲😲
Kwa kijaluo utakuwa ngo'ngo ni nini😂
Huyu mlevi nayee🤔
Mnasema kimbi kimbi anaongea mbaya juu ya dem wa fb... ngonjeni comeback... but that's how they talk about each other ni part ya content creation, don't be so hard on him
Watu wengine hawajui...me.i love their vibe
Obinna this one No No
People here are so serious ,,they dont know what is there between dwfb and kimbikimbi..ngonjeni comeback ya dame wa fb.😅ndo mtajua nothing is seriuis
Exactly
Waambie
I think the guest shouldn't be given platform to body shame our gal,this ain't good at all,my suggestion though.
Shida ya watu ukiwa chini utapendwe lakini ukiinuka juu kuwaliko wanakisema what's wrong guys, kimbikimbi weweeeeeeee komaaa dm wa obinna 😮
As long as you on the same level, you will be l've but go high Abi you will know people's wickedness
Obinna we are not happy at all, about this kimbikimbi or whatever his name is , whatever he is talking about dem wa Facebook 🙄