TAZAMA ! KILICHOTOKEA KWENYE ENEO LENYE MVUTANO MZITO KWA KUCHIMBA MCHANGA ZNZ

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 18. 12. 2020
  • Angalia Video Hii Mwanzo mwisho , Kisha Subscribe ili uendelee Kupata Habari Zote.
    Follow Ktv Tz Online
    Facebook | KTV TZ ONLINE
    INSTAGRAM |@ktv_tz_online
    Wasiliana nasi kupitia number
    +255 625 323 932
    Ktv Tz Online Journalists
    cc: Sadia Rashid
    cc: Sauti Byego
    cc: Maryam Busara
    cc: Masoud Maganga
    Camera Department"
    Dadi Ali
    Mwarabu Mmadi
    Nassor Shaibu
    Abdallah Juma
    Editors:
    Juma Maulid
    Dadi Ali
    Video Zingine:
    Angalia hapa - Diamond Platnumz Alivyolisha watoto yatima
    - Ali Kiba akiwa Oman
    • ALICHOKIFANYA DIAMOND ...
    • NI KWELI ALI KIBA AMNU...

Komentáře • 48

  • @rahalee5479
    @rahalee5479 Před 3 lety +5

    Allah akupe maisha marefu mkuu!

  • @zayyatiyussuf9566
    @zayyatiyussuf9566 Před 3 lety +3

    💃mkuu wambie watulie wakusikilize hao Wasikufanye umekaa kispot sipot kazabuti mkuu hongera sana Kazi zuri mkuu 🙌wanyonge wanyongeeeeeee hakizao muwape

  • @mohdkhamis6581
    @mohdkhamis6581 Před 3 lety +3

    Safi mkuu ayubu chapa kazi babaa

  • @iddisaid1680
    @iddisaid1680 Před 3 lety +3

    hongera ayub mohd mhmud

  • @zayyatiyussuf9566
    @zayyatiyussuf9566 Před 3 lety +1

    Shukran Ktv tz ONLINE hakika hii ni fahari yetu

  • @salumharoun484
    @salumharoun484 Před 2 lety

    Mueshimiwa Ayubu nakukubali mungu akulinde

  • @abdulihafidhali5379
    @abdulihafidhali5379 Před 3 lety +2

    Hongera sana muheshimiwa ayoub mkuu wa mkoa Allah atujalie atuekei Insha Allah

  • @amourhasaan7242
    @amourhasaan7242 Před 3 lety +4

    CCM kwa halii hiii maendeleo yaa wananchi kwanza aaa kilasiku tutakuwa mkonoo juuuu

  • @salummkubwa
    @salummkubwa Před 3 lety +5

    Hiyo timu ya RC Ayubu na DC Rajabu ni hatari sana kwa utekelezaji lazima mambo yanyooke tu!

  • @msanifgdf615
    @msanifgdf615 Před 3 lety +3

    Mungu akuepushe na fitna na majungu ya walimwengu,mungu akupe subra na moyo wa huruma KWA wakwezi na wakulima,

  • @mahmoudsaidy2677
    @mahmoudsaidy2677 Před 3 lety +1

    Safi sana mkuu wa mkoa

  • @RioIpo
    @RioIpo Před 3 lety +1

    Mh Ayoub piga kazi

  • @zakwani885
    @zakwani885 Před 3 lety

    ahsante Ayuub kazi nzuri wa znz wapate kazi uondoke maskini

  • @sikandaryakoub3777
    @sikandaryakoub3777 Před 3 lety

    Hongera mheshimiwa ayub kazi yako super fast

  • @abdulrahmansalim9773
    @abdulrahmansalim9773 Před 2 lety

    WAZANZIBARI WANAHAKI HAPO NI KWAO SIO WANACHIMBA WAGENI

  • @abduldangote2916
    @abduldangote2916 Před rokem

    Ayuobuuuu

  • @hanifatanzania7258
    @hanifatanzania7258 Před 3 lety

    Maashallah mkuu

  • @utaani1
    @utaani1 Před 3 lety +1

    Kazi za zanzibar wapewe wa zanzibar tu bali kazi za skilled ndio wapewe wageni kama daktari

  • @samsungoman5626
    @samsungoman5626 Před 3 lety

    Mungu awafanyie wepesi

  • @queen-yx8uo
    @queen-yx8uo Před 3 lety +1

    Mimi sipend vyama lkn siku ukija kugombea urais nakupigia kura Mung akuweke

  • @abdallamahfoodh8465
    @abdallamahfoodh8465 Před rokem

    Najumbuka sikumoja nipo nagari nilikua na nataka ningie barabarani nakulikua kuna kilima gari inayo toka kushoto huioni gafla nikatoa gari ile natoa tu naona gari nyeusi imekolea inanipigia honi namimi nishaìngia Kati nlikua namba 1 nikaweka 2 fast kikawahi mbembeni ilegari nyeusi ikaja kunisimalia mbele alafunaona watuo wote walokua kwenye gari wakashuka wakaja kwangu nikasema leo nisha pigwa lakini alikua mweshimiwa RAJABU akaja akanifahafisha alafu kapanda kwenye gari yake kaondoka nilishukuru sana nlikua natetemeka sito sahau sikuile mpakaleo namkubali sana mweshimiwa RAJABU

  • @abdallahamad3099
    @abdallahamad3099 Před 3 lety +1

    Huyu Mtu ayoub mohd tuna kulilia mkoa wa mjini magharibi wallah hy mtu bora awe rais

  • @topaviator
    @topaviator Před 3 lety

    Serikali ya awamu hii kdg inajikaza kaza tofauti na ile ya sheni

  • @ameirmanzi2684
    @ameirmanzi2684 Před 3 lety

    Mkuu fatilia na uwonevu wa madereva kupigwa camera napoli's pasipo sitahiki km alama zipo na camera inapigwa pasipo alama yoyote ya sipid km alama za sipidi tunaziona zinapoazia na zinapo ishia mbele hukuti alama inatakiwa uwende sipidi ngapi?ndiko unakokuta police anakupiga kamera na ukiuliza huku ni sipidi ngap anakujibu elfu 10 yakufuta camera ndio tunoijua tusaidie alama ziekwe tusende kimazowea

  • @khalimudodoma6045
    @khalimudodoma6045 Před 3 lety +1

    ayub wewe kwa zanzibar ni pekeyako kiongozi mwenye akili ila nakuonea imani sana huwezi kuwasaidia wananchi kwasababu serekali yako haina pesa

  • @khalfanabdallah6511
    @khalfanabdallah6511 Před 3 lety

    Yamato yanapendeza kwa hili 2ko pamoja

  • @calvinjuwenisefuccmnakuhas1132

    Mhnjiaya matetema mbavu namuheshimiwa rahisi alipita alitowa agizoijengwe lakinilimezarauliwa nadaraja limevunjika

  • @Ali-nl2du
    @Ali-nl2du Před 3 lety +1

    Nadhani wengi wa wachimbaji hawa wala si wazanzibari. Kuzuia mashine ni kupunguza kasi ya maendeleo na kuongeza gharama ya mchanga. Jengeni viwanda wapate kazi hawa wananchi.

    • @kombokombo829
      @kombokombo829 Před 3 lety

      Hiko kiwanda kinaisha leo..kwasasa watafanya nn ao wakat wenye scaveta wapo maoficn. Acha wanyonge watumie nguvu zao

  • @zayyatiyussuf9566
    @zayyatiyussuf9566 Před 3 lety +1

    🤔kaka Masoud Maganga kwahisani yako kunjua uso huo 🎥🙄🎤

    • @hazjay4671
      @hazjay4671 Před 3 lety

      Yaan Aaahahahaaa

    • @magangatv2903
      @magangatv2903 Před 3 lety

      Ahsante, jua lilikua kalisana zayyati i wish ningevaa miwani!

    • @zayyatiyussuf9566
      @zayyatiyussuf9566 Před 3 lety

      @@magangatv2903 pole in shaa Allah nitakuletea🕶👓

    • @magangatv2903
      @magangatv2903 Před 3 lety

      @@zayyatiyussuf9566 karibu zanzibar.

    • @zayyatiyussuf9566
      @zayyatiyussuf9566 Před 3 lety

      @@magangatv2903 Shukran kaka Masoud in shaa Allah mwakani✈🏃

  • @rawdhashabanhilal9195
    @rawdhashabanhilal9195 Před 3 lety

    Jamani wazanzibari tumezidi uvivu wengi wao hao ni wamevuka bahari hebu badilikeni mkiambiwa wala urojo tena ndo iwe hivo badilikeni wazanzibari menge nchi yenu wenyewe

  • @yusufwewe8600
    @yusufwewe8600 Před 3 lety +1

    Vp

    • @alihamadi3026
      @alihamadi3026 Před 3 lety

      Upatikanaji wa mchanga kwa wananchi bado ni shida sisi wengine vibandavyetu matofali yamungunyuka tumeshindwa kupiga palasta, kwaio tunaomba irudi kama zamani.

    • @alihamadi3026
      @alihamadi3026 Před 3 lety

      Na ugumu wa upatikanaji wa mchanga ndio imekuwa sababu ya baadhi ya maeneo mitaani kuchimbwa mchanga bila ya kibali cha serikali.

  • @emilyibraimo5032
    @emilyibraimo5032 Před 3 lety +2

    Wazanzibar bado hatujajua kujielezea

  • @mohammedjumakhamis8151

    Tangu DC Rajab alipokuwa mkuu wa mkoa wa kaskazini unguja alikuwa mtendaji mzuri San na saiv amepata mkuu wa mkoa mtendaji zaid Mh Ayoub apo ni kazi kazi

  • @abubakarmzee3374
    @abubakarmzee3374 Před 3 lety

    🐔🐓🐓🐓🐓

  • @hajiabdalla5772
    @hajiabdalla5772 Před 3 lety

    Hao jamaa zenu wa kiunguja au WAZANZIBAR kuwaongoza kama unaongoza mbuzi mana wana zarau na kutojielewa mtu majukumu yake afanyeje na ndio mana umaskin hawishi zanzibar kwa uvivu

  • @saidfaki6579
    @saidfaki6579 Před 3 lety

    Aowabongo. Wametokawap. Wazanzibar wajinga. Kujituma. Hatutaki. Twahyar. Tuleungatuu. Tuwacheni. Ujinga. Maeneyo. Yetu. Hayo. Wanafaidka. Wengne

  • @queen-yx8uo
    @queen-yx8uo Před 3 lety

    Aaaaah huyu mkuu wa mkoa wa kusini washamhamishia kaskazini tunamtaka mkuu wet arudishwe