"Hakuna atakayelipishwa pesa yoyote kwa miaka mitatu"

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 11. 09. 2024
  • Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda amesema ifikapo October 1, 2019 hataki kuona magari yakiuzwa sehemu nyingine katika Jiji la Dar es Salaam, isipokuwa Kigamboni ambako wafanyabiashara ya magari walitakiwa kuhamia mwezi huu.

Komentáře • 24

  • @sayibahati7316
    @sayibahati7316 Před 6 lety +6

    Genius!! Mungu akutangulie kaka, show them how we do!!!! umefikiria mbali sana,

  • @mashallahoman6355
    @mashallahoman6355 Před 6 lety +6

    kiukweri mueshimiwa upo vizuri sana kikazi mashallah kwajuudi unazo zifanya want nchi wasio kushukulu mhhhh watakuwa awana shukurani kabisaaaaa

  • @musanjama2211
    @musanjama2211 Před 6 lety +1

    Safi sana baba MAKONDA MUNGU akuongoze

  • @halimkepa7766
    @halimkepa7766 Před 6 lety

    Shukran mkuu mji wetu kigambon unachangany sijuti kuwa kigambon daresalam zoo 👌

  • @transmadale
    @transmadale Před 6 lety

    Safi sana

  • @doricyaudax7288
    @doricyaudax7288 Před 6 lety +2

    Uko vizuri baba..Mungu akutangulie

  • @denickillanga8614
    @denickillanga8614 Před 6 lety

    Saf bro makonda chapakaz na duat mbon uwazir nauona unakujaa bless broo

  • @saumuhassan1365
    @saumuhassan1365 Před 6 lety +2

    Good Mheshimiwa Paul makonda

  • @saidsaid9463
    @saidsaid9463 Před 6 lety

    Safi sana kazi nzuri mkuu

  • @mohamedalaraimi6813
    @mohamedalaraimi6813 Před 4 lety

    Tanzania oyeeeee

  • @hennerystephano7082
    @hennerystephano7082 Před 6 lety +2

    Safi

  • @oppathegreat2001
    @oppathegreat2001 Před 6 lety +2

    Una akili nyiing sana na una muono mkubwa aisee mkuu wang

  • @ivanbonphace9932
    @ivanbonphace9932 Před 6 lety +2

    Uko poa mkuu

  • @sss3s867
    @sss3s867 Před 6 lety +3

    Safi Sana kiongozi wetu

    • @mohdrahbi6953
      @mohdrahbi6953 Před 6 lety

      safi sana mh una akili nzuri sana mungu akuzidishiye sana umahiri kama huyo hata sijuwi vipi nikupongeze yani very very very good mh ntakapo ja aliwa nikija daresalam lazma nikutafute kuku pongeza mh asante sana achana na watu wa siyasa mchuwara endeleya ivo ivo kwa saidiya wengi ambawo ni wanyonge natowa kheri zangu kwa dhati muhishimiwa makonda.

  • @musanjama2211
    @musanjama2211 Před 6 lety

    Viongozi wote wa mkoa wangekua kama huyu jamaaa nawambia Tanzania ingekua kama ulaya

  • @Digitalhhhhhgfgg
    @Digitalhhhhhgfgg Před 6 lety +3

    Good

  • @sigikawai6117
    @sigikawai6117 Před 6 lety

    wanaokusema vibaya waseme tu ila uko vizur!!

  • @noahmwandete5295
    @noahmwandete5295 Před 6 lety

    Vanesa afunguka dhidi ya jux bofya link hii kuona video hii czcams.com/video/IHksfk3e_84/video.html

  • @kiangotv3329
    @kiangotv3329 Před 6 lety

    czcams.com/video/X2ud4Q-OVXA/video.html tembelea hapo upate clip Kali pamoja na shot film

  • @Vanisikaka
    @Vanisikaka Před 6 lety

    Click link hii kuangalia video reaction za kiswahili czcams.com/channels/Fbn-g3yuMq0Efg3QPP8-2A.html