Hii ni kufuru,haijawahi tokea,REMA leo amelipwa bilioni 7.9 kuimba wimbo mmoja tu kwenye harusi hii

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 11. 07. 2024
  • Please subscribe now on our CZcams channel to be the first to hear about latest news and updates on Time.
    #middlesimba
    #WeAreEverywhere
    #Rema
  • Zábava

Komentáře • 13

  • @IssaMgeta-ej6ue
    @IssaMgeta-ej6ue Před 23 dny +6

    Like zangu wakunungwa, wa kwanza leo

  • @PrincePrinceDanielmsafiri

    Naomba like Leo na Mimi jaman❤❤🎉🎉🎉🎉

  • @LandSilver
    @LandSilver Před 23 dny +6

    Mmmh! Huyu dogo kawaka😮

  • @martinjosephat4694
    @martinjosephat4694 Před 23 dny +3

    🎉🎉🎉🎉

  • @NdakhiSusu-qz9md
    @NdakhiSusu-qz9md Před 23 dny +4

    Hatr

  • @sheebahchichi492
    @sheebahchichi492 Před 23 dny +3

    It's there money

  • @amirjuma8020
    @amirjuma8020 Před 22 dny +3

    Wafikiri n ww unamfurisha kichwa msanii wako na haja fika popote skia mambo ss kaanza juzi endelea kusifia ujinga watu wana onesha vitendo kma hivyo we baki na huyo nguli wako😅 kule manguli kwel wana piga hela

  • @lubogotv9811
    @lubogotv9811 Před 9 dny

    Angefika mwambino sasa😂😂😂

  • @singelizoote
    @singelizoote Před 21 dnem

    Sasa Bilioni ni Tsh Ama Ksh Ama Dollars?????

  • @hudhaimarajab9103
    @hudhaimarajab9103 Před 21 dnem

    Sasa ww endelea kusifia komasava na uchawa wako😂😂😂

  • @AminaAbdullah-ws3wy
    @AminaAbdullah-ws3wy Před 23 dny +4

    Huo ni Upumbuvu watu India wsnamaisha Magumu sana. Ningeona la Maana kama wangewasaidia watu wa India wenye hali Mbaya. That's Crazy

    • @kassimabussa6583
      @kassimabussa6583 Před 23 dny

      Kweli kabisa umeongea ukweli India watu wengi wanateseka sana alafu anaharibu pesa nyingi sanaaa kwamambo ya ajabu sio vibaya lakini million miasita angetoa hata million miambili akasaidia