Acha kumremba manara kwa uongo. Hiyo haitawork out. Hata manara anakuona mjinga tu kwa unachokisema. Hicho hakipo. Ni kama unataka kumega kazi za Aly Kamwe kuzipeleka kwa Manara. KUMBE WEWE NDIYO MCHAWI WA MANARA? Atakuroga😂.
Wewe Lugano hapo umechemka. Hiyo kazi unayompa manara ni ngumu na hatafanikiwa kwasababu yanga haihitaji mashabiki wengi kwenye katiba yao. Imewaengua hata kwenda kwenye mikutano mikuu hawatakiwi. Mashabiki na Wanachama wamechukia na wameona hawana maana kwasababu katiba imewabagua. Hawana sauti katika yanga. Kwahiyo atawatafuta waongezeke ili iweje? Watalipiaje kadi zao wakati hata kwenye vikao hawaingii. Hapa mtampoteza manara. Kama hamna kazi ya kumpa mwacheni arudi Simba au aende Azam.
Shoga ww unatokea wapi na ww mmmmmsheeeeez sn Kijana mwenzio unamwambiaje ivyo hauko sawa itakuwa unatafuta wateja Kijana unayetambua mwenye hofu na Mungu huwez kuwaza utombo wako ndio maana nimekuita ww ili iwe fundisho acha tabia za ajabu
Acha kumremba manara kwa uongo. Hiyo haitawork out. Hata manara anakuona mjinga tu kwa unachokisema. Hicho hakipo. Ni kama unataka kumega kazi za Aly Kamwe kuzipeleka kwa Manara.
KUMBE WEWE NDIYO MCHAWI WA MANARA? Atakuroga😂.
Wewe Lugano hapo umechemka.
Hiyo kazi unayompa manara ni ngumu na hatafanikiwa kwasababu yanga haihitaji mashabiki wengi kwenye katiba yao. Imewaengua hata kwenda kwenye mikutano mikuu hawatakiwi. Mashabiki na Wanachama wamechukia na wameona hawana maana kwasababu katiba imewabagua. Hawana sauti katika yanga. Kwahiyo atawatafuta waongezeke ili iweje? Watalipiaje kadi zao wakati hata kwenye vikao hawaingii. Hapa mtampoteza manara. Kama hamna kazi ya kumpa mwacheni arudi Simba au aende Azam.
Huyu shoga katokea wap
Shoga ww unatokea wapi na ww mmmmmsheeeeez sn
Kijana mwenzio unamwambiaje ivyo hauko sawa itakuwa unatafuta wateja
Kijana unayetambua mwenye hofu na Mungu huwez kuwaza utombo wako ndio maana nimekuita ww ili iwe fundisho acha tabia za ajabu
Nahisi wewe kupangwa na watu ili htoe msimamo wenye kuonyesha upo kwa maslahi ya kundi fulani . Kwa maslahi yenu
NA WEWE HUJUI MPIRA HUYO MANARA WANN YANGA? MWACHIENI KIJANA AENDELEE. WEWE HUJUI KITU SIMBA UNAIONGELEA YA NN?ACHANA SIMBA HAIKUHUSU.
Kwanini nyinyi simba Makolo mnamchukia Haji Manara?
Unasema Haji Manara wanini wakati alipoingia Yanga ndo imepata mafanikio
@@mohdkhatib223Hutaki Simba isiingiliwe, mbona na wewe unaingilia mambo ya Yanga?? Punguza chuki!
Nyau tu wewe dunduka tu
Huna adabu nyoko
Mashabiki wanataka raha bila kutoa pesa wewe.