HAYA NDO MAJUKUMU MAPYA YA HAJI MANARA YANGA/ YANGA SASA ITAKUSANYA MABILION

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 13. 09. 2024

Komentáře • 12

  • @charleskuyeko4400
    @charleskuyeko4400 Před 19 dny

    Acha kumremba manara kwa uongo. Hiyo haitawork out. Hata manara anakuona mjinga tu kwa unachokisema. Hicho hakipo. Ni kama unataka kumega kazi za Aly Kamwe kuzipeleka kwa Manara.
    KUMBE WEWE NDIYO MCHAWI WA MANARA? Atakuroga😂.

  • @charleskuyeko4400
    @charleskuyeko4400 Před 19 dny

    Wewe Lugano hapo umechemka.
    Hiyo kazi unayompa manara ni ngumu na hatafanikiwa kwasababu yanga haihitaji mashabiki wengi kwenye katiba yao. Imewaengua hata kwenda kwenye mikutano mikuu hawatakiwi. Mashabiki na Wanachama wamechukia na wameona hawana maana kwasababu katiba imewabagua. Hawana sauti katika yanga. Kwahiyo atawatafuta waongezeke ili iweje? Watalipiaje kadi zao wakati hata kwenye vikao hawaingii. Hapa mtampoteza manara. Kama hamna kazi ya kumpa mwacheni arudi Simba au aende Azam.

  • @AlfredRutaguza
    @AlfredRutaguza Před 19 dny

    Huyu shoga katokea wap

    • @NunuKupela
      @NunuKupela Před 19 dny

      Shoga ww unatokea wapi na ww mmmmmsheeeeez sn
      Kijana mwenzio unamwambiaje ivyo hauko sawa itakuwa unatafuta wateja
      Kijana unayetambua mwenye hofu na Mungu huwez kuwaza utombo wako ndio maana nimekuita ww ili iwe fundisho acha tabia za ajabu

  • @kamwagamwanjale1575
    @kamwagamwanjale1575 Před 19 dny

    Nahisi wewe kupangwa na watu ili htoe msimamo wenye kuonyesha upo kwa maslahi ya kundi fulani . Kwa maslahi yenu

  • @anithawidambe7543
    @anithawidambe7543 Před 19 dny +1

    NA WEWE HUJUI MPIRA HUYO MANARA WANN YANGA? MWACHIENI KIJANA AENDELEE. WEWE HUJUI KITU SIMBA UNAIONGELEA YA NN?ACHANA SIMBA HAIKUHUSU.

    • @mohdkhatib223
      @mohdkhatib223 Před 19 dny

      Kwanini nyinyi simba Makolo mnamchukia Haji Manara?
      Unasema Haji Manara wanini wakati alipoingia Yanga ndo imepata mafanikio

    • @sylvestercameo6263
      @sylvestercameo6263 Před 18 dny

      ​@@mohdkhatib223Hutaki Simba isiingiliwe, mbona na wewe unaingilia mambo ya Yanga?? Punguza chuki!

  • @noelmakere1381
    @noelmakere1381 Před 19 dny

    Nyau tu wewe dunduka tu
    Huna adabu nyoko

  • @NtamamiloGibson
    @NtamamiloGibson Před 19 dny

    Mashabiki wanataka raha bila kutoa pesa wewe.