H BABA namdai haki yangu HARMONIZE anajiliza kwa watanzania ila sio mtu mzuri

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 7. 05. 2022

Komentáře • 868

  • @simiyudante1870
    @simiyudante1870 Před 2 lety +38

    Wimbo wa harmonize umeshirikishwa unazingua... Harmonize kakurudisha mjini

  • @bonnysure8706
    @bonnysure8706 Před 2 lety +15

    Mbona alikuaga anasema Harmonize anaheshima sana, H mama acha unoko beba hata zege Boya wee

  • @dorahmgeyekwa9016
    @dorahmgeyekwa9016 Před 2 lety +19

    hakuna legend mwenye akili mbovu kama huyu..

    • @muddyville
      @muddyville Před 2 lety

      Huyu Hana u-legend wowote... Bwege tu mmoja..

  • @mabrouckmtandikaomary9239

    Mbna unahasira na ndgu muandishi😂😂😂😂

  • @maromedia6272
    @maromedia6272 Před 2 lety +16

    Wewe kelele nyingi sana mkuu fanya kazi

  • @mathanikibuti6676
    @mathanikibuti6676 Před 2 lety +1

    Anae ona jamaaa H.baba au Baba Flora MVUNGI anazingua agonge like....pale alafu tumrdishe Kwa mpenziwe BUBU😅😅

  • @pepanjibanda2498
    @pepanjibanda2498 Před 2 lety +44

    You can't perform attitude because it was not your song, attitude is harmonize song tembo oyeeeee💪💪

    • @gracek5425
      @gracek5425 Před 2 lety +3

      Oyeeeeee 💪💪💪

    • @pepanjibanda2498
      @pepanjibanda2498 Před 2 lety +3

      Tupo 🦣🦣🐘🐘🦣

    • @robertkisasa1346
      @robertkisasa1346 Před 2 lety +4

      Nashangaa anapanic wakati ngoma ya konde...darassa mbna halalamiki au nandy halalamiki colabo yao kuchukua tuzo na marioo kapanda kuchukua

    • @pepanjibanda2498
      @pepanjibanda2498 Před 2 lety

      Hana akili musenga yule

    • @zephaniazacharia519
      @zephaniazacharia519 Před 2 lety

      Unaelewa maana ya haki miliki na haki shiriki

  • @zou7470
    @zou7470 Před 2 lety +21

    H baba ushauri wangu acana na maneno ivi tangu uwanze kubwabwaja umesha pata faida gani ebu fokas kwenye maisha acana na maneno mwanaume anasifiwa kazi nasiyo maneno

    • @muddymseti7878
      @muddymseti7878 Před 2 lety

      Nenda mahakamani fara wewe cjui mjinga wa wapi hyu mwanza hakuna jinga kama hili wa kisiwani ukerewe huyu mvuvi ndo maana kavamia fani zawatu unamdai mtu huna mkataba kama huna wewe ni kbwa jinga

  • @ndayijeanclaude5094
    @ndayijeanclaude5094 Před 2 lety +24

    Hhhh HBaba hauna hakili wewe. Njaa mbaya.

    • @mariamsaid7076
      @mariamsaid7076 Před 2 lety

      uyu madevuuu tuuu hatumii ata akili,ataka kurudi kwenye game kimabavuuu,nyota yko imefifia buda wee jipange na maisha iendelee

  • @julianamushi3392
    @julianamushi3392 Před 2 lety +13

    Huyu hbaba Qchifu chidbenz tid ukiwasaidia usubiri matusi🤣🤣wew c ulimpa na tuzo kabisa konde boy wew.hbaba bwn acha kulilia san unajiaibisha bwn daimond alikukosea ukamchafua wee sas kwa konde

  • @rashidyally8715
    @rashidyally8715 Před 2 lety +7

    Wewe ulitoka kwa maneno kibao ya zarau ukijua utapokelewa wasafi Sasa umekosa kote kote eti nimepoteza maisha yangu 😄😄😄😄 Sasa Kama umepoteza maisha yako mbona upo hapo 😄😄😄😄

  • @gracemachege3817
    @gracemachege3817 Před 2 lety +31

    H baba , mbona unajishushia heshima hivyo, hakika wewe ni mpumbavu

  • @amisindondi4549
    @amisindondi4549 Před 2 lety +29

    Kwan wewe ndo ulimpoza awilo mbona unazinguwa wewe umeomba urudishwe kwenye gemu sasa kama mziki ulisha feli toka kitambo acha kujiliza mtoto wa kiume

    • @ibraimoissiaca6058
      @ibraimoissiaca6058 Před 2 lety

      Kweli kabisa ye ingebidi kuanzia attitude ndo atoe mawe ye kasharudishwa lakin ndo ivyo

    • @user-po8hz7xw9j
      @user-po8hz7xw9j Před 2 lety

      Aliemleta yeye kwani sialiletwa NA hamo au alimlipa

  • @leahcestiny3770
    @leahcestiny3770 Před 2 lety +13

    Uyu si ndo alikua anasema karudishwa kwenye game kwa siku moja 😂😂😂 atafute Hela zake ty Kama mwenzie aache kutaka mteremko

  • @SIRNDIZO
    @SIRNDIZO Před 2 lety +13

    Vijana tutafute Ela huyu jamaa anajizaririxha xn Aise hakun legend mjinga km huyu

  • @sophdenis3471
    @sophdenis3471 Před 2 lety +3

    H baba uko sawa kabisa inauma ukimweshim mtu yeye akuone Kama zezeta

  • @flashtvke
    @flashtvke Před 2 lety +11

    Let's all embrace peace and appreciate the beautiful talents our East Africa Community has

  • @aizakinimrudi5420
    @aizakinimrudi5420 Před 2 lety +8

    Tena ungejua ulialibu ile nyimbo ata usinge sema

  • @fatmasalim8293
    @fatmasalim8293 Před 2 lety +2

    Maskini h baba azungumza ukweli harmonize hapendi wenzie kabisa mtamkubuka daimond alikuwa asaidia wenzie kwa moyo mmoja

    • @muddyville
      @muddyville Před 2 lety

      Huyo mpuuzi wenu amefulia tu Hana jipya, akafie mbali kule

  • @darviswantana7669
    @darviswantana7669 Před 2 lety +17

    Sisi ndio tunazipenda izoo dharau zaoo

  • @dmox8723
    @dmox8723 Před 2 lety +7

    Huyu jamaa ndio kasababisha nyimbo iwe mbovu alafu leo unaongea ujinga hapa

  • @ramaosman8060
    @ramaosman8060 Před 2 lety +10

    Let's Goo Winin Team 🏆. Konde Gang For Everybody 💯.
    #LjayKitchen #LjayStunner #OrganicSalad #SwahiliKachumbari

  • @254asap3
    @254asap3 Před 2 lety +10

    wewwe ukikuja kenya tutakutandika.....ulihurumiwa ukapewa colabo sasa ni makelele tu hapa

  • @nash6140
    @nash6140 Před 2 lety +32

    We ni mtu mjinga sana ka hujui ,,,,Toka hapo na sku ingine usiongee chochote kuhusu harmonize 🇰🇪🇰🇪 nonsense

    • @aljulientertainment8845
      @aljulientertainment8845 Před 2 lety

      Acha kujipendekeza...we don't do that in Kenya

    • @jay-nyeye1900
      @jay-nyeye1900 Před 2 lety

      @@aljulientertainment8845 Habari ikiaploadiwa CZcams haina mipaka Kwahiyo mtu yeyote akiwartch anahaki ya kucomment chochote

  • @ahmedaliahmedahmed3003
    @ahmedaliahmedahmed3003 Před 2 lety +9

    Uyu haeleweki mara diamond kaimba nyimbo yake leo hermonize 🤣🤣 na miwani yako kama matako ya zuchu 😂. wewe kimbia sisi twatembea huwezi tufikia KONDE GANG 4 EVERYBODY🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻

  • @MrMtulivu
    @MrMtulivu Před 2 lety +6

    Usimzungumzie ((KING KIBA)) kabisaaaa ongeeni upuuzi wenu hukohuko.

  • @m___ck799
    @m___ck799 Před 2 lety +15

    Umedhulumiwa vipi… part uliyopewa kwenye wimbo ni ndogo sana tena Harmo anaweza akatoa your part na mwimbo ukabaki kuwa mzuri tu! Get outta here!

  • @jumaaathuman8753
    @jumaaathuman8753 Před 2 lety +6

    H Baba broo unajifelisha,,,tambua ulikua ukitumia nguvu sana kumpandisha na kutaka kumshusha Mondi..busara ungekaa kimya

  • @abdulmohd6880
    @abdulmohd6880 Před 2 lety +2

    Kwani ww Hamisi uliimba mle au uliweka makelele 😂😂

  • @rashidyally8715
    @rashidyally8715 Před 2 lety +8

    Mapovuuuuuuuuuuuuuuu ya njaaaa hayo jamaa kafulia Sana sasaivi

  • @mariamomary6737
    @mariamomary6737 Před 2 lety +3

    H baba we unamudomo sn muache konde uuniwakati wake we maisha umeakosea mwenyewe usitafute pakufia

  • @linahsemindu4261
    @linahsemindu4261 Před 2 lety +3

    Mana linaongea Hadi mtangazaji anaogopa kuuliza maswal kwa wakat🤣🤣njaa mbaya Sana dume linabwabwaja kisa pesa🤣🤣 hupati hata Mia bwabwaja ukichoka sepa

  • @MohammedMohammed-uo5sk
    @MohammedMohammed-uo5sk Před 2 lety +35

    H.Baba hauko tena konde Gang family .H.Baba huna jipya ww mnoko coz ucant outshine your master .Kwa nini unangangania wimbo sio wako baba.sasa ww kama kweli ww uko fiti wacha ntantarira nyingi Fanya kazi kama uko fiti unda label yako na ufanye kazi uonyeshe kama ww uko poa .sasa watakaje ww nenda mahalamani coz ushasema haujasaini pia inaonekana hauna mkataba Wa hio nyimbo kama ushafulia unataka hela konde boy hana za kukupa .huu ni muziki si ibada hii nenda mahakamani babu sio kwenye mitandao.babu ww angalia LA kufanya.

  • @pilato2433
    @pilato2433 Před 2 lety +3

    Tatizo. Brother. H.Baba.Umejizaraulisha sana.

  • @sostentulian4192
    @sostentulian4192 Před 2 lety +2

    Alaaniwe amtegemeae mwadamu mwenzake na hawa ndo wanyonyaji wa maisha ya wenzao pumbafu pambana na maisha yako

  • @kefasonseth6842
    @kefasonseth6842 Před 2 lety +10

    🤣🤣kwani ngoma ilikuwa yake , au ilikuwa yenu wote , me nachojua mlishirikishwa

    • @ndayijeanclaude5094
      @ndayijeanclaude5094 Před 2 lety +2

      Walishilikishwa na kama ni kulipua walilipwa, sasa anatakana nini tena huyo mwana haramu?

    • @gracek5425
      @gracek5425 Před 2 lety +2

      @@ndayijeanclaude5094 huyu ana lake

  • @kephassanga4807
    @kephassanga4807 Před 2 lety +2

    H.Baba in short ivo ndo unapotea kwa kumsema tu a blessed Boy KondeBoy 🤣🤣🤣🤣

  • @davidkatindilly8800
    @davidkatindilly8800 Před 2 lety +3

    Kuma lamama ako nyimbo yako ile mbwaa ww mjinga harmonize ndo ngoma yake cyo yako

  • @fredrickmatiku7783
    @fredrickmatiku7783 Před 2 lety

    Harmonize kamtumiaaa H. Baba kamuachaaaaa kama malaya wa buzaaa analalamikaaa sasa hiviii ajalipwaaa sijui harmonize alipendaaa viunooo vya H babaaa uno la h babababababa akatumiwa tiketii ya ndegeee kutoka mwanza you Dar

  • @fasterdeule8503
    @fasterdeule8503 Před 2 lety +1

    Saiz ata ela ya bajaji huna hahahahahaha njoo uwe Chawa wangu🤣🤣🤣🍷😘😘😘

  • @edwinfernandes8881
    @edwinfernandes8881 Před 2 lety

    H Baba unazingua sanaa we kila siku ni wa kuonewa tuu ....badilika mzee piga kazii mzee achaa maneno

  • @eliaskahory7116
    @eliaskahory7116 Před 2 lety

    Duuu H baba pole saàna. Upande wa Ahadi usiumixe kichwa Hata wew umemuahid Mkeo kipindi unamuoa, lakn umemuacha

  • @dizodigital9281
    @dizodigital9281 Před 2 lety +1

    Ety dingi akiulizwa maaan yake ataanza kushika hiyo miwani🤣

  • @williamskazungu6966
    @williamskazungu6966 Před 2 lety +2

    mzee baba vip,,si ulisema harmonize ndo alikutoa wewe,,we mpumbavu kweli kwenda zako

    • @WORDOFMYCREATOR
      @WORDOFMYCREATOR Před 2 lety +1

      Watu kweli.🤔🤔amekurudishaulikuwa ushapotea.kweli napend H lakini kwa Harmonize anazingua.wote tulikuwa tumemsahahu

  • @ankalmzito254
    @ankalmzito254 Před 2 lety +3

    alafu unahema sanaaaa shida iko wapi??....

    • @joycenicodemus.2232
      @joycenicodemus.2232 Před 2 lety +1

      🤣🤣🤣🤣🤣Anahema Sana alafu nasikia anamwita mwandishi dingiii,,😂

  • @tyronemofekeng7152
    @tyronemofekeng7152 Před 2 lety

    Raha sana feels u brother.....

  • @jennykanduyu4078
    @jennykanduyu4078 Před 2 lety +3

    Ulitaka akulishe au nyooo kwendraaaaaa unashindwa kufanya Kaz mda wote kubwabwaja tyuu untk upewe mshahara au

  • @jeanpierrendayishimiye6072

    H baba weye hauna hakiri toka kule namabushenzi yako.mbona Mariot akapata tuzo ya collaboration na darasa na nandy mbona hakuwasema sasa wako wanaria kama wewe?h baba bwege we kenge

  • @latiffawuonda9742
    @latiffawuonda9742 Před 2 lety +11

    So you want that award to be cut into half?be serious bro....

  • @rahmanamani3422
    @rahmanamani3422 Před 2 lety +18

    Sasa ulivo kuwa unamponda daimonda kwa uwongo wako sasa mungu anakuonesha

  • @axelmunezero1570
    @axelmunezero1570 Před 2 lety +1

    Yan wa bongo noma aisé😂😂😂🤞🤞🤞🇧🇮

  • @ashaally6993
    @ashaally6993 Před 2 lety +1

    umekuja na neno jipya (DINGII) Hicho kiswahili tuachie sisi wa chugaa🤣🤣🤣😅

  • @ndayijeanclaude5094
    @ndayijeanclaude5094 Před 2 lety +31

    Awilo mbona naye haukuja huko?? Aliitwa HARMONIZE siyo wewe fala mkubwa, binadamu wabaya kabisa, nikumbuka maneno yako wakati ulikua KondeGand kutafuta cha kula hua nacheka sana, kwa kweli wana wa Adam mmeshindikana. Hivo vya mwanafamilia si wewe mwenyewe ulijusemea?? Wewe ulisha zeheka peleka usenge wako kule.

  • @yonicdontah6392
    @yonicdontah6392 Před 2 lety +1

    H baba muongo muongo wewe
    Mpka kigugumizi 😅😅

  • @banzimusic6166
    @banzimusic6166 Před 2 lety +2

    Huyu bwege tu

  • @anasdahir4537
    @anasdahir4537 Před 2 lety +8

    HHHHHHHH......HUYU HANA MPYA....sasa HARMONIZE AMEKUPEA SHOUT OUT......NA UNAOONGEA

  • @rahmanamani3422
    @rahmanamani3422 Před 2 lety +6

    Ungekuwa mkweli today mwanza ningeseme kweli lakini ulikuwa muongo kwanza sasa unapata na wewe

  • @tanzaniaunforgettable4401

    Aseee ama kweli njaa mbaya😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀

  • @manirambonareverien664
    @manirambonareverien664 Před 2 lety +5

    Wew hufaikupea kitu cocote ju wew unatafta kiki. Lakina wew huezi kumshuasha harmo weweee

  • @donathasimon9292
    @donathasimon9292 Před 2 lety

    😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣🤣h baba tulia

  • @willypaulmsafi5833
    @willypaulmsafi5833 Před 2 lety +1

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣nimekuja kwa ajili ya kiswahili🤣🤣🤣🤣🤣🤣mkenya mpenda tz🤣🤞

  • @ilungasalle
    @ilungasalle Před 2 lety +5

    Huyu matako yuko kama mgonjwa wa akili ulipewa uongee maneno mawili tu wimbo siyo wako ni wa awilo na konde wewe uliitwa kutoka wapi kuja kuimba mshamba wewe

  • @gichimujef8806
    @gichimujef8806 Před 2 lety +3

    Si ulikua unaongea sana...sasa kula ujeuri wako

  • @osmandingi
    @osmandingi Před 2 lety +6

    Sijawahi ona MTU akishirikishwa anataka tuzo tuzo ni ya Yule mwenye wimbo

    • @jut1161
      @jut1161 Před 2 lety

      Wizkid alipewa Grammy alioshirikishwa na Beyonce

    • @lulually5209
      @lulually5209 Před 2 lety

      @@jut1161 inategemea alishirikishwa vp Sasa yy Ile mikelele h,bababababaa ndio nn Sasa hebu atuache kwanza wenzie tumevurugwa kwa vitu kupanda bei yy linabwabwaja tu

  • @wakutingwa.1635
    @wakutingwa.1635 Před 2 lety +1

    Mwenzio kalipwa we ulikua unasubiri wimbo ufanye vizuri ndio udai pesa! Hiyo ndio tofauti ya mchaga na viumbe wengine endelea kusubiri ulichoahidiwa.😀😀😀😀

  • @jamaliamour451
    @jamaliamour451 Před 2 lety +1

    Sawa ww sichawa jamn

  • @judithadhiambo551
    @judithadhiambo551 Před 2 lety +2

    kwenda uko wewe uli isha wewe

  • @johnjinasa5540
    @johnjinasa5540 Před 2 lety +1

    H babaaaaaaaa
    😀😀😀😀😁😁😁

  • @jeanpierrendayishimiye6072

    Ha baba nyimbo ilikuwa yako wala ilikuwa ya harmonize?toka kule

  • @maromedia6272
    @maromedia6272 Před 2 lety +3

    Afu ww Si ndo ulikua unapiga debe kwa harmonize au sio ww

  • @nassorharoun9385
    @nassorharoun9385 Před 2 lety +3

    Umetia mkataba ulipo shirikishwa na hiyo nyimbo sio yako umepewa kipande kwenye wimbo ujemjini

    • @WORDOFMYCREATOR
      @WORDOFMYCREATOR Před 2 lety

      Yaani hana Asante huyu.karudishwa mjini kama brother sasa leo kasahau anadai.Alisimamia wimbo kwa pesa ngapi

  • @mistareagle2398
    @mistareagle2398 Před 2 lety +4

    Tuzo ni kwa mwenye wimbo sio kwa alio shirikishwa ata siku1, wapi ushaona iyo ? Mtangazaji umeuliza swali 1nzuri sana ukasema "kwani makubaliano yenu ilikua ni nini"? Kama wewe ni mwanamziki na unachukulia mziki kama kazi/biashara basi contracts au vitu kama ivyo ungezingatia na usingerudia mitandao na kulalamika, jilaamu wewe mwenyewe, maana ata uko nyuma ulidai ulizulumiwa na wengine sasa kwani ukupata funzo TU na uchukulie biashara yako seriously? Ata kama harmonize alizulumu bado mwanaume mwenye akili atakulaumu wewe TU, kama auoni ulipokosea tambua atauende wapi bado itakua ivo ivo, inafika aki yako unadai kwenye mitandao, wewe unaweza ukasema iki na harmo kasema kile sasa tumuamini nani, leta ushaidi ambayo Ingekua contracts au vitu kama vile, lasivo zote kelele TU na utaonekana unahasira binafsi TU bro

  • @anjelinakasembe845
    @anjelinakasembe845 Před 2 lety

    Pole kwa kuumwa tunzo upati kwa hamo kwahiyo unachotaka ninini usimkashifu sana hawezi kukuita Unalaska Pole sana msahau Hamo kabisa nenda wcb Pole Kaka tunzo inakuhuuma sana

  • @yugenmwandile2493
    @yugenmwandile2493 Před 2 lety +3

    Money make people destroy ur identity

  • @michaelboaz8108
    @michaelboaz8108 Před 2 lety

    Konde gang for every body🔥🔥🔥🔥

  • @sebastienwilondja2776
    @sebastienwilondja2776 Před 2 lety +1

    H baba kumbe wewe mpumbavu kiasi iki wewe. Si ume kuwa chawa ?tena umshukuru konde kakutowa tena tume kuwa nazani kwamba umesha kufa😜😜😜😜😜😜😜,konde boy💪💪💪💪💪💪💪💪💪💪😍😍😍😍😍

  • @lailatuyusuf9131
    @lailatuyusuf9131 Před 2 lety +4

    Pambana tuuu kaka habari nyingi za nini . Kama hukupata jiongeze tuuuu. Ulikua chawa sai wabwata tuuuu.

  • @Hb_superboy
    @Hb_superboy Před 2 lety +2

    Sio poa 🤣🤣🤣🤣ameimba nakajala h baba sio poa

  • @timelessdaddy.2542
    @timelessdaddy.2542 Před 2 lety

    H Baba amepoteza maisha😹😹😹😹

  • @barakamshiu7146
    @barakamshiu7146 Před 2 lety

    njaa mbaya sanaaa... usikae mjini kama huna helaaa.. h baba rudi bushii una njaaa sanaaa

  • @protamwenyegzaketv7408

    Yaheee Fanya kazi acha kulialia

  • @theresiapastory9637
    @theresiapastory9637 Před 2 lety

    Baba umefulia 🤣🤣unatakaje kupewa hela na mwanaume mwenzio

  • @dyanamotz
    @dyanamotz Před 2 lety

    Njaa mbaya adi mwanaume unalialia 🤣🤣🤣

  • @anjelinakasembe845
    @anjelinakasembe845 Před 2 lety

    Njaa inamuhusu H Baba Pole Kaka kiswahili. Chako Kichafu wankula huuheti upigiwe simu umemkashifu na Hamo Ana mda wakuzungumzahamo aache kazi zake akuzungumziwa weweunahaha😀🤫😀😀😀😀 Kama demu unanyolopoka Hamo hanTime Ongera mpaka asubuhi😀😀😀

  • @josephkalamazoo7979
    @josephkalamazoo7979 Před 2 lety

    Una hasira ya muziki h.baba na harmonize

  • @mullato922
    @mullato922 Před 2 lety +6

    Anadai haki yake kama mtoto wa kike dunia kweli imeosha😂

  • @johnkay2316
    @johnkay2316 Před 2 lety +2

    mjinga sana Hbb

  • @yahyamkone5601
    @yahyamkone5601 Před 2 lety

    H baba upo sawa kiukweli maisha haya ni vita unampambania mtu akisha fanikiwa anakuona wewe huna maana kwa hili naakuunga mkono

  • @OMANOman-qc1lm
    @OMANOman-qc1lm Před 2 lety +4

    tatizo lako moja harmonize apendi mtu mnafki sikuzote zote ukisha kua namtu alie kua karib yako jichunge sana ndo mbaya wako nalisema atamchafua vyovyote harmonize sasa unafikia wake Kawa anarud huku na kule fala sana wewe huna akili mwanzo umemponda diamond na wcb wote sasa hivi unamponda jeshi wakati yeye kaka nawewe mpaka watu wamekuskia now Katika iyo nyimbo sasa umeimba nini Katika iyo nyimbo 😂😂😂

  • @erickmwangonda7814
    @erickmwangonda7814 Před 2 lety +2

    Wewe ni mkongwe tangu nafuatilia mziki sijawai kuona mtu ameshirikishwa anataka haki aki gani mzeeee acha izooo h baba

  • @annachristian1350
    @annachristian1350 Před 2 lety +28

    Izo nyimbo zako unatunga unafanya shoo wapi😃umeimba nini cha mana mule,KAFANYE KAZI nyau wewe mnapenda vya bure sana mbwa nyie

    • @user-po8hz7xw9j
      @user-po8hz7xw9j Před 2 lety

      Nani ataingia

    • @barakalutego6712
      @barakalutego6712 Před 2 lety

      Hakika hamna kitu hapo na akiimba show yke ataingia mkewe

    • @user-po8hz7xw9j
      @user-po8hz7xw9j Před 2 lety

      @@barakalutego6712 🤣🤣🤣🤣

    • @omanmwajabumbeguoman8642
      @omanmwajabumbeguoman8642 Před 2 lety +1

      Kaka unajikosea mwenyewe piga kazi yako kama yako mbona unajishusha na kuji beza beza kwa hao wadogo zako tuu mbona unaweza usijulipotezee kwa mtu mda wako ni wako achana na hao

  • @pendohuseni1217
    @pendohuseni1217 Před 2 lety +3

    Shida ya waja mkishi vzr shida kidogo tu wema tena haupo:

  • @official_dicksonmunga
    @official_dicksonmunga Před 2 lety

    Well said H dangote🤣🤣🤣

  • @fidelekahezi5175
    @fidelekahezi5175 Před 2 lety

    Ongea h.baba ukweli kaka tupo sambamba nawewe 😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @faithjosephsommy3266
    @faithjosephsommy3266 Před 2 lety

    Umefili h bb kalime

  • @fasterdeule8503
    @fasterdeule8503 Před 2 lety +3

    We huna mpya bro...acha kujikosha kwa wanaume bhana umedanga kwa diamond 💍 hakutaki saiz unatapatapa muache mwana apambane basi yaan unakera kinoma nenda Kate viuno huko wenzako wanavaa magwanda

  • @aizakinimrudi5420
    @aizakinimrudi5420 Před 2 lety +3

    Maneno yako yanakufunga mwenyewe

    • @lulually5209
      @lulually5209 Před 2 lety

      Kabisa mtangazaji kambananisha mpk anapanic 😂😂😂😂

  • @ismailayubu9030
    @ismailayubu9030 Před 2 lety

    Mbona wew h mama hauweleweki

  • @Officialvplat
    @Officialvplat Před 2 lety

    Nliwahi comment about Harmo kulipishwa pesa n WCB na finences zngine watu wakadai ni uonevu lakin ukiend kweny mikataba mingi kunakua n clause's kam hizo nkaonekan namkandia but all in all Konde apig music ila kuanz kuongea masuala y kwny mkataba ni kutafut huruma y Wa Tz

  • @marymanoni5536
    @marymanoni5536 Před 2 lety

    Umepoteza bro