Huyu Wairimu ni mbaya Sana imagine vile anaambia Gikandu? Eti akitaka kwenda aende and she has kids out of wedlock yet she is here telling Gikandu aende kwa babake! Si hata yeye apeleke hao watoto wake kwa mababa zao!! Then huyu Bibi ya Gikandu anasema aliambiwa na Wairimu kwaani alishikwa cha nguvu ama alirapiwa!! Huyu sister ni mchawi haki!
Ikiwa ni ngumu kupata mtoto, bibi na bwana wakae nyumba moja, ndio possibility ya kuzaa mtoto iongezeke. Sio ati mmoja akae town na mwengine anakaa kishagi/gishagi/village.
Mzee anapayuuka. Na ni yeye tasa. Jinga ya mtu. Bibi, itakubidi ujitoe huku ukajilelee mtoto. Ulee ukifuatia sheria za nnchi. Mfano, child support na chochote kingine kile sheria inazingatia.
//Sis anasema, km alishindwa na kazi, alishindwa. Na aende apate na huo mwengine anasema aweza zalisha. Kaendee kaende. Kiende. Mzee, songeza *makesh ukazalishe mwengine. Lakini hapa, La la Hasha! Songa ukisonga na hiyo asira yako.
The so call wairimu she not married she has children she needs to think twice it can happen to her own children what goes around comes around there is God in heaven
Na mtoto akikua mkubwa na awe na mali nyingi, labda huyu mzee atenda ku claim huko, ati ahesabike kama baba, japo si baba mzazi. Tushaona mambo km haya mbeleni. Tufanye decision tunazojua, baadae hazitatuthuru. Na shida, ni huyu bwana hakueza zalisha kwa mda mrefu. Ingekua ni bibi haezi zaa, angefukuziwa mbali na huyu bwana. Na alete bibi mwengine haraka sana bila kujali.
Gikando usijali juu ulikuwa unangalia family yote wengine wanazaa walelewe nasasa tafuta bibi mwengine na wacha kusomesha watoto wao wacha wajuwe uchungu wakusomesha
🤣🤣🤣Wairumi hajaolewa amezaa watoi kwao, hajui kitu kuhusu marriage na ana advice sister in law azae na shemeji yake...wairimu watoto wako hawatapata amani wewe!😭😭
Bro toka Kwa Boma ya wenyewe mtoto wa KIUME haishingi mahali mamayake ameolewa na Mume mwingine asiye Baba yake...so look for your father..Jenga huko na ukae kwenu
My advise Gikendo, just leave hiyo boma and family. Don't be killed like in "Jacks" case. Thank God you are alive and you've known the truth.. stay away from the family
My advice ni heri huyu mwanaume atoke kwa hiyo boma abuy shamba tu,, alafu Kuna vile walifanyia huyu mwanaume asizae juu hapo SI kwao 😢na mwenye hiyo mambo ni huyu mwanamke mjinga sana anafanyia bro wake juu ni step brother nkt
Wairimu who's here telling lies she should also have a child with Ngugi, because it's a real truth that Wairimu is the game planner for her own brother Ngugi she should have a kid with Ngugi too
Gikandu ndio amebeba baraka za hiyo boma cos walimubagua cos ni step but God will bless him more wanaume mkioa mtu na mtoto acheni ubaguz,Gikandu run never look back 😢😢😢
The siste is so evil n ajue pia ako n watoto ukichikichibia mwenzako shimo utaingia mwenyewe what's a shame ulikataa kuolewa uingilie boma n kupiganisha brothers 😢
Lkn undugu wa kweli niwakutoka kwa mama,cz shimo wametokea ni moja..si huyu mwanamke ana roho mbaya,..and i blame the mother.,.she couldn't play her role to bring the kids together.
Wairimu ndio sumu vile umesema hataki kuorewa ndio apanga ndowa za mandugu zake wewe mwana ya jane endatu Hawa ni wasaiti wanaweza hata kukupangia kukuuwa umesikia hata mali wamepewa
Shame on you enda uoleke kwanza ,This lady is a witch how can you betray your brother like that, you will pay harshly i promise you...Bro toka kwa iyo familia go and never go back hawa wanaeza ata kuua.
It's clear this family planned this issue knowingly coz he's not their real brother,kma wangekywa wangwana wangediscuss na Gikandu as a family,harsh betrayal.
So it might be Wairimu has been getting children with Ngugi too, because if she has children and she is not married then Ngugi might be the biological father too it's really wonderful discouraging thing to know what is happening with our families so wicked
Seriously a sister can talk his brother like that surely!! Even if you're not from the same father, this is insane.
Ghai!!! Gikandi, tafuta pesa ununue shamba kwingine na uhame. Mungu atakubariki na bibi wa heshima.
This sister is so arrogant. So insulting, so un ashamed , so evil.
This kind of miracle only happen here in Kenya watu wa mlima mpo Everything's possible.. Stano keep the updated coming
Huyu Wairimu ni mbaya Sana imagine vile anaambia Gikandu? Eti akitaka kwenda aende and she has kids out of wedlock yet she is here telling Gikandu aende kwa babake! Si hata yeye apeleke hao watoto wake kwa mababa zao!! Then huyu Bibi ya Gikandu anasema aliambiwa na Wairimu kwaani alishikwa cha nguvu ama alirapiwa!! Huyu sister ni mchawi haki!
The intro yenyewe shows they don't love there first born bro
Imagine the way she's smiling at her sister in law.....
She's such a snake 🐍 🙄
Ikiwa ni ngumu kupata mtoto, bibi na bwana wakae nyumba moja, ndio possibility ya kuzaa mtoto iongezeke. Sio ati mmoja akae town na mwengine anakaa kishagi/gishagi/village.
Mzee anapayuuka. Na ni yeye tasa. Jinga ya mtu. Bibi, itakubidi ujitoe huku ukajilelee mtoto.
Ulee ukifuatia sheria za nnchi. Mfano, child support na chochote kingine kile sheria inazingatia.
//Sis anasema, km alishindwa na kazi, alishindwa. Na aende apate na huo mwengine anasema aweza zalisha. Kaendee kaende. Kiende. Mzee, songeza *makesh ukazalishe mwengine. Lakini hapa, La la Hasha!
Songa ukisonga na hiyo asira yako.
We want bb ya ngugi 😢problems zikuje
Pia watoto wake watafanyiwa tu hivyo hivyo
I believe brothers and sisters are from one mother,nothing more.
Huyu sister that why ajaolewa😮😮😮amerudi kwao na watoto sasa anatka kubomoa nyumba ya bro wake .pole bro 😢😢we need wife of Ngugi on set.
Wairimu wee ni muchawi !!!!!mungu atalipishia Gikando
The so call wairimu she not married she has children she needs to think twice it can happen to her own children what goes around comes around there is God in heaven
Huyu bb anakaa mjinga tu😅😅
Wairimu ni NYOKA
MCHAWI ashindwe kabisa
Gikandu potea ukutane na MUNGU UKO MBELE
THE GOD OF THE FATHERLESS WILL BLESS YOU SO MUCH
Na mtoto akikua mkubwa na awe na mali nyingi, labda huyu mzee atenda ku claim huko, ati ahesabike kama baba, japo si baba mzazi.
Tushaona mambo km haya mbeleni.
Tufanye decision tunazojua, baadae hazitatuthuru.
Na shida, ni huyu bwana hakueza zalisha kwa mda mrefu. Ingekua ni bibi haezi zaa, angefukuziwa mbali na huyu bwana. Na alete bibi mwengine haraka sana bila kujali.
Gikando usijali juu ulikuwa unangalia family yote wengine wanazaa walelewe nasasa tafuta bibi mwengine na wacha kusomesha watoto wao wacha wajuwe uchungu wakusomesha
Wairimu n shetani mkubwa kusema ukweli ati huyu mwanaume hajapewa shamba na baba wa kambo hii n chungu ak wazazi wamama tuwe makini na watoto wetu ak
Aki hii ni chungu. How cn siz n bro do that to a brother surely. Watalipia aki. Wicked sister
Mumama mkubwa unajifanya mtt unaambiwa fanya unafanya kama ulikuwa unashuku bwana hazai si kwanza mgeenda oc before u take another step mjinga
Good afternoon nitafute mahali niko nitakupenda sana
Family enemies are bad enemies, betrayal from the blood
Huyu ni sister ni kimbomoa boma,atalilia kwa choo
🤣🤣🤣Wairumi hajaolewa amezaa watoi kwao, hajui kitu kuhusu marriage na ana advice sister in law azae na shemeji yake...wairimu watoto wako hawatapata amani wewe!😭😭
Hii n chungu dio maana nilinunua shamba langu sitaki kupewa anything na mtu ak
😢😢😢so painful
Its time for men to do DNA . This too weird in a family.
Bro toka Kwa Boma ya wenyewe mtoto wa KIUME haishingi mahali mamayake ameolewa na Mume mwingine asiye Baba yake...so look for your father..Jenga huko na ukae kwenu
Wairimu wee mchawi mkubwa Sana!!!!! Mungu atalipishia Gikando aki.
Aki nangoja follow up ya DCI na Esther
Ak pia mm nangoja ak
Hawakupendi. We ni mtoto wakambo. Enda Mombasa tafuta mtoto wa Mambasani oa.and forget this Ushago. Hawakupendi.
Wa Mombasa vile wako na mdomo 🙆🙆🙆 na pia n wakuranda tu kwanza hao wenye wamejifucha kwa mabuibui n hatari sana
Kuna watu hawapendi kuoa nje ya kabila yao.
My advise Gikendo, just leave hiyo boma and family. Don't be killed like in "Jacks" case. Thank God you are alive and you've known the truth.. stay away from the family
Sisi wenye tulikam na mama tuko shida😢😢😢😢
Imagine Wairimu anafanya hivo na yeye Ako na watoto kwao
My advice ni heri huyu mwanaume atoke kwa hiyo boma abuy shamba tu,, alafu Kuna vile walifanyia huyu mwanaume asizae juu hapo SI kwao 😢na mwenye hiyo mambo ni huyu mwanamke mjinga sana anafanyia bro wake juu ni step brother nkt
True kama story ya Jack ,baba jack na koi😢😢😢 so sad
@@annaachola8866 yeah atoke tu hapo
Majuto ni mjukuu goja wairimu mungu siyo athumani
Wairimu who's here telling lies she should also have a child with Ngugi, because it's a real truth that Wairimu is the game planner for her own brother Ngugi she should have a kid with Ngugi too
Aki uyu dem anaongea vibaya 😢
Mungu nikutanishe na huyu mume aki mm namtaka for really 🤚🤚🤚
Hii in chungu gikandu toka hio boma uede kabisa ,,utaona vile mungu atakupigania
Siz in law wa ngoma u insisted azae kwani ni ww ulikua uzaliwe kasia
sanitize this sister
@@faithhenry5369 correct
Sister yake n mjinga,,acha aolewe n ngugi,,,bro Toka tu roho safi,,ju awa kupendi ,,akh inauma
Gikandu ndio amebeba baraka za hiyo boma cos walimubagua cos ni step but God will bless him more wanaume mkioa mtu na mtoto acheni ubaguz,Gikandu run never look back 😢😢😢
Single & searching 😜
Shetani ambaye anatembea. Ngojea dada utalipia Kwa wakati na utajutia
Wooiye bona wafanyie bro yao hivi ata kama,na vile huulizanga bona hatunanga brother 😢😢😢😢😢
Kwani dada uko n watoi ujaoleka n bado unambia brother ako aende ati c w bbko pole sana ombea sana watoto wako pia uombe msamaha kwa Mungu
Kwanini umulize kama amepata Mimba ?kwani hio ni shughli yako?always sister in law full of problems kwa ndoa.
Kabisa na ndio maana hawaoleki
My brother be careful to this lady ad your brother wanawesa pia kukua ,nunua shamba uondokee na uoe bibi mwingine plzzz
Nipewe huyo bwana
The siste is so evil n ajue pia ako n watoto ukichikichibia mwenzako shimo utaingia mwenyewe what's a shame ulikataa kuolewa uingilie boma n kupiganisha brothers 😢
Waorimu the real evil woman on earth enda ukaolewe na wanaume wanakupea watoto
Wooyi, i feel sorry for this man. Just because they dont share a dad! People are so mean..
@2:38 min into this banger......
THOMSON: Wairimu, bona uwe na roho ya shetani? 😂😂😂👌🏾👌🏾👌🏾👌🏾🔥🔥🔥🔥🔥
Lkn undugu wa kweli niwakutoka kwa mama,cz shimo wametokea ni moja..si huyu mwanamke ana roho mbaya,..and i blame the mother.,.she couldn't play her role to bring the kids together.
Gikandu nitafute ndii single
Director ikisha bomoka tuko huku inje tuconect tujenge tena
What i know for sure is, what's go around comes around..
Wairimu ndio sumu vile umesema hataki kuorewa ndio apanga ndowa za mandugu zake wewe mwana ya jane endatu Hawa ni wasaiti wanaweza hata kukupangia kukuuwa umesikia hata mali wamepewa
Ww mama uko na watoi na unambia bro yako aende kwa baba yake na wako jeh
Huyu wairimu ile wivu ako nayo nko sure ata utapata amesababisha bro yake kutozaa 😢wivu na hana ndoa utahangaika sana juu ya hiyo kitendo 😢
Wairimu is a failed single mother
Waache wote shinda iwamange kwanza .
Wairimu ni ngoma
Huyu mmama anajifanya mtoi,shame on her,aende kwa ngugi
GIKANDU toka uende mbio,,,, hawa ni ma-hypocrites
Run for your life bro
This sister should learn to watch her mouth. Respect to the elder brother is important consider hata yeye amezalilia kwao
Kitamaduni km mtu hazai, family members hutafuta njia ya kupata mtoto thro'mipango km sorogate na mipango mingine.
Aki huyo siz nikama to bro yangu mwenye alichukia bro yangu mwinye mum aliza akiwa qwao weee kikulacho kiguoni mwako walai nkt
Eti umebata mimba iyo niswali yakulisa mtu mwenye ako kwake.
NA NYIE MNAAMINI HANA SIMU ANAYOOOO!!!!
I don't know why step kids Hua na roho mbaya hivo
GIKANDU UMEKUA UKISAIDIA WATU HAWAKUJALI WANAKUKULIA CHINI RUN BOy CHILD HAWA WATU WENU SIO WAZURI FIND ANOTHER WIFE
Bro heri utafute shamba mahali pengine n utafute mwanamke Ako n watoi uoe,, n utulie,,
Jane uko na roho mbaya sana mungu hanakuona
Laana,,,laana laaana wairimu wewe ni shetani.
Khai waah huyo mumama
Stano mwambia huyo mzee Kuna bibi
Shame on you Wairimu
Tell gikando am single too😁😁I feel his pain, ladies Nani alituroga aki😅😅
Gikandu toroka hawa watakumalisa sio kitu ingine wanafanya coz ww sio wao
Gikandu toka qwa hiyo boma juu ukikaapo utauliwa Walai 😢
Imgn real sister kufanyia ndugu yake madharau kubwa sooo sad
Mimi sata sisalisi 😅😅😅 punguza hasira let them go to hell maumbwaaaa
Aki huyo sister ameoreka
Mnaaibu nyinyi aki.from coast
Two snakes of women what statement that let him go and look for his father waaaah some people are heartless, let’s keep learning from this shows.
Shame on you enda uoleke kwanza ,This lady is a witch how can you betray your brother like that, you will pay harshly i promise you...Bro toka kwa iyo familia go and never go back hawa wanaeza ata kuua.
Bomoa nyumba huko kwenu ununue plot uhame huko kabisa.
Hajaoleka na anasema aambie mama yao amuonyeshe kwai waa what goes around comes back around
It's clear this family planned this issue knowingly coz he's not their real brother,kma wangekywa wangwana wangediscuss na Gikandu as a family,harsh betrayal.
Imagine your own blood betraying you 😢sad 😭
Sister evil as that,... wooii hakuowa ndio awe ana monitor kwa ma brothers though bro. Mombasa njipange you are all alone but with Christ alone
Mimi nî sata 😂😂😂, meaning he is barren 😮.
So it might be Wairimu has been getting children with Ngugi too, because if she has children and she is not married then Ngugi might be the biological father too it's really wonderful discouraging thing to know what is happening with our families so wicked
Wewe brother angalia simu ya wairimu iko na mambo wanaongeanga kuhusu huyo mtoto
Huyo wairimo ndio anajua ni kwa nini huyo brother yke hazai
Sasa Warimu huweleki juu ya kuaribia wengine wanawakeWe are brothers and sisters because we're from the same mum
😅😅😅😅ndio mana my be yeye pia anazaa na babake mbona hajaolewa
Sad story his sister is evil,run for your safety God will bless you because they can use this woman to kill you to inherit your property.
Waaah,,kumbe ata hajaolewa? Utalipia hio,,kumbe wewe ni single wa kukosanisha bro zako,,pepo wewe
😅😅😅😅sasa wairimu ni nyoka 😅😅😅nyoka imeruka shimo yke jen sasa unaona ujinga yko imekufikisha hpo
Story za JB is real😂
Wairimu na Ngugi walikuwa wanatafuta njia ya kufukuza Gikandi
Sasa wameharibu familia mbili. Ya bro.wote wawili
Pasta nipee huyo jamaa please😅