Rehema Simfukwe - Neema Yako (Live Music Video) SMS Skiza 9841078 to 811
Vložit
- čas přidán 12. 09. 2024
- Neema Yako ni wimbo wa Dua kwa Mungu kwenye yale mambo ambayo yamekua maombi yetu ya muda mrefu kwa Mungu wetu na mengine tumeyakatia tamaa kwani katika Neema yake ipo nguvu ya kuendelea mbele, Katika Neema yake ipo nguvu ya kuanza upya! Katika Neema yake ipo nguvu ya kushinda yale tuliyoyashindwa!
Neema Imefunuliwa!
Maana neema ya Mungu iwaokoayo wanadamu wote imefunuliwa; nayo yatufundisha kukataa ubaya na tamaa za kidunia; tupate kuishi kwa kiasi, na haki, na utauwa, katika ulimwengu huu wa sasa. Tito 2:11-12
Live Recorded at Ubungo Plaza
Music Director - Samuel Yonah
Video Director - Huruma Charles
Assistant Director - Kababah_digital_media
Video Editor - Fredrick Stephano
Audio Captured by Sam Mboya - choosenrecordsinternational
Audio Mastered/Mixed by Samuel Yonah - samyonstudios
The BAND (Vocals&Musicians) - Team Halisi
MD/Arranger|MainKeyz: @samyonah.tz
Drums: @_officialhans
Bass: @topbeyz
Guitar 1: @andrewmichaelkan
Guitar 2: @kaz.benjamin
Acoustic🎸: @bezalelmwandete
Aux 1 (Synth Lead): @am_keifer
Aux 2 (Brass//synth chord): @fred_yonah
Aux 3 (Marimba/Bells/synth): @nasamwa_keys
BACKVOCALS :
(Soprano)
@jennifer_ulomy
@jackieayub
@mellyrites
sherie
@markybeyz
(Alto)
felister
@lizblecng
@nejamaly
@sarahjohnmenas
(Tenor)
masolwa
@georgesangiza
@joshualugendotz
@haggaimic
LIVE SOUND:
Live Audio Engineer FOH: @gadi_sl 🔥
MonitorBvs: @therealmujwahuki_mj
MonitorLVs&Music: @b_ngowi
FOH Sound & Backline equipments & Stage : @haddypro_proffesional_audio @givenadd
Truss : @soundmusictz
Hospitality: @lightness_rhody
---
Make-up & Rehema’s dress & designer: @shatafrika
Ladies: @kuyacreations
FOH Sound & Backline equipments & Stage : @haddypro_proffesional_audio @givenadd
Truss : @soundmusictz
Decoration/LED Screen
@simplyspecialdecor255
Lights: @allanlighting & joram
Lyric interpreter- Venisia Zephaniah
Channel Administered by Huru Digital
Instagram: / hurudigital
#RehemaSimfukwe #NeemaYako #MusicVideo
Huu wimbo ulifanya ni badilishe dini wakristo mnipokee kwa mikono yote miwili 🎉 tumsifu Mungu 🎉🎉🎉🎉
welcome to the Kingdom, may the holy spirit put a seal on your salvation
Karibu saanaaaa,Yesu anakupenda mnooo❤❤❤❤❤❤
@@eunicekariuki3139❤❤❤ Amen🎉
@@HappyLema❤❤❤ Amen be blessed 🎉
@@NYAHURURU_ICON amen
Tunaosikiliza wimbo huu kwa kuamini mungu atatubariki weka likes
Wale ambao familia zetu walitokea kwenye uislam , tunaomba waliobaki nao wasipitwe na hii neema . Weka likes
Uamsho juu ya uamsho🔥🔥🔥
Amen
Hongera sana Wifi yangu Rehema Bwana aendeleee kukutumia.
Amen familia yangu yote itatoka huko
Kawahubirie Injili!
😇
Wale wako hapa 2024 ,I have a testimony indeed God is faithful,,Huu wimbo niliusikiza 2023 nikambia Mungu akomboe familia yangu kutoka kwa ulevi na katika dini ya kislamu ,Nilikua peke yangu kwenye familia niliye kua niubeba huo mzigo japo.kua haukua mwepesi lakini MUNGU wetu ni Mwaminifu aliweza kusikia kilio changu 😢sai familia yangu imekombolewa inahubiri injili ya kristo,, ooh God you're mercyful God.Thank Jesus for everything,thank you for your salvation 🙏🙏🙏🙏🙏Kwa yeyote atakaye soma huu ujumbe hautabaki jinsi ulivyo Wacha Mungu afunue neema yake kwako🙌🙌
Amen
Naomba unilipiakifurushi
God God funua neema yako kwa wote wano soma hii comment iwe kwa ajili ya familia ,pesa biashara au afya zao
Amen
Amen amen
Amen 🙏🙏🙏
Amen Amen
Amen.
Neema yako nahitaji Bwana Ndugu zangu wote waokoke. Mungu azidi kukuinua Rehema
Nabarikiwa na huduma Yako saana mtumishi , Mungu ameweka thamani kubwa kwenu Kwa kizazi, Mungu awainue saana .
Amen 🙏 dad more blessing to you in the Mighty name of Jesus Mungu awajalie ndugu zetu
You are blessed man of God. Umegusa roho za wengi
Ev. Boaz Danken Mungu aendelee kukutumia. Napenda unavyowaunga mkono waimbaj wenzako.
Barikiwaaa
Powerfull Ministration 🔥🔥🔥🔥🔥.
Hii Neema Isiwapungukie Marafiki na Ndugu zetu 😭😭😭🙏🏽😭🙏🏽🙏🏽
A collabo please 🙏
czcams.com/video/2Oc7tirkpvg/video.html
Hongera sana dada yangu nabarikiwa sana MUNGU azidi kukutumia zaidi,
Ndugu zangu wasipitwe na neema ya MUNGU
Nyimbo zako zanibariki xana
This song is such a powerful prayer, I can't stop listening, GIVE A LIKE to appreciate Rehema Simfukwe, a voice of Grace in our times ........ My 2023 Prayer Do it for me, Lord Jesus ..... FUNUA NEEMA YAKO😭😭😭
Haya ni maombi yangu nisipitwe na neema yako Mungu
I tell you. I find myself singing along so loud in the house!!
X f
czcams.com/video/2Oc7tirkpvg/video.html
My song of months
When I was a kid (probably 9 or 10 years old), i asked my mum quite a futuristic question;WHO COMPOSES GOSPEL MUSIC?Her response was ;they are composed in heaven then let down to earth to be sung by God's appointed people.This song is one of them!
Amen 🙏
Wow. This feels unexplainable
Im blessed always
Very true
100%
Am a Muslim but this song nasikia wepo wa mungu n wimbo unao nibariki Kila wakati
@osman the Love of Christ is upon you my brother.
❤Take it make yours God is real heaven is real
Make sure you don't miss , heaven is real my dear
Ubarikiwe Sana mungu akukumbuke na uwapendao❤
Neema ya Mungu isikupite, ingia rahani mwake kamili. Yesu anakupenda hata sasa, ukawe neema kwa familia yako
Funua neema yako over my mum health she has been sick for 7 years now... And as i right this now she is unwell and everyone is confused but qe are trying our best to help her. At this moment i call on God funua neema yako over my mums health mataifa wote yakujua cozni belive she wake up on her bed and walk again in Jesus name
Neema Ya uponyaji itafunuliwa juu yake❤
@@peternjora6346yoy
🫂🫂🫂🫂💗🙏
God healing upon her
🫂🫂🫂🫂🫂Neema ya uponyaji Iko juu yake❤
There is an uprising of true worship and worshippers of God in Tanzania.
Warm greetings from Kenya ♥️
Yes🥰 This song is a prayer
Very true
Very very true. More of God's grace upon them
I believe that God has remnants in every generation. He has released His Holy Spirit and a hunger for him all over. Be among the true worshipers in your country/state
May God bless Kenya also
I am a Nigerian, I first watched this song on Trace Gospel and was touched, thank God for the translation, even without the translation the song has a way of connecting one to God with a heartfelt worship.
This song is birthed from a place of prayer and worship. I had to download it without lyrics. God bless you ma for this!!!!
Same here
Ameen Man of God.....
Amen be blessed the song is good
100%🎉🎉🎉🎉
Same here
Be blessed Judith Obiora
From Kenya ,when i listen to this song I find myself locked in my room crying to the heavens.Thank you Rehema,Tumika na mbingu zaidi
Me too....😢❤
Your not alone me too this powerful worship music find my self just crying 😭 from this song feel the presence of God
@@ianjesse8525
Leave a like if you're here at 2024 for every like I relisten the song it's so touching ..... Our families and loved ones to receive Jesus💝💝💝
This is not just a song, its an intercession prayer,to interceed for souls🙌🏼🙌🏼🙌🏼
Kabisa kabisa🔥🔥🔥
Indeeed
It indeed is an intercession
Sure
@@mr_kova. gg
Funua Neema Yako Familia Yangu ikujue
Funua Neema Yako Marafiki Wangu wakujua....That's my prayer🙌🙌....Glory to Jesus🥺
Nice song
10:45
10:45
May it be so
Huu wimbo una uvuvio wa Roho Mtakatifu kuanzia kwa Mwimbaji, waimbaji, wapigaji na wote, hakika kwa kila anaye usikiliza wimbo huu anaweza kufanya maamuzi ya kumrudia Bwana na kuanza maisha mapya na Yesu. Ni zaidi ya maombi, ni zaidi uinjilishaji.
Maandalizi ya kiroho kabla ya kutunga au kuimba wimbo wowote humuachilia Mungu akajidhihirisha na kukupa mafunuo na kila kitu na zaidi kujidhihirisha katika ibada na wengi wakakutana na Mungu katika kila hitajio lao.
Ukiwaangalia waimbaji na wote wameingia ndani zaidi kwa mzigo na hata nguvu za Mungu zikajidhihirisha.
Hongera Rehema Simfukwe, Mungu amakutumia kuwarudisha watu waliokuwa wamepotea.
Mungu Roho na wamwabuduo halisi imaewapasa kumwabudu katika Roho na kweli.
Today being April 5 i will come back to tell you guys what the lord is doing and will do a date like this.....and day ....., am struggling to pray for reunion for family members to reunite and be one as a Family guy pray for me likes za walking by God's grace and mercy we walk by Faith 💫
You will testify
My 3month old is put to sleep not by lullabies but worship...
Watching baby shark or listening to baby songs doesnt do magic but worship,worship!!
Today, it was 'Adonai' that made her sleep😢❤❤❤😢❤
You gotta a worshiper right there,...her spirit is alive and drawn to the spirit of God.
@@serahmuthoni7735 Amen Amen and Amen. Thank you God🙌🏾🙇🏾♀️🙏🏾🙏🏾😪
Asante sana. Will be doing this kuliko cocomelon and the like
May the Lord keep you & forever hold your children in His hands. You're planting good seeds in them
Wow behold the remnant. Chosen before the appointed time to do great wonders. To God be the Glory
We can't do anything without your grace .......
Worshipers from Kenya just wave
👋 may the grace be sufficient in all of us the God we serve
👋
👋
👋
👋
Your songs are not just ordinary songs, but they always draw us closer to God.
Hakuna mkristo kamili ambaye anaweza kupinga uwepo na nguvu za Mungu kwenye nyimbo zako, wacha Bwana azidi kukujaza na kukutumia jinsi apendavyo kwa ajili ya ukuu wake.
Receive more grace from Nairobi Kenya!🙏🙏
Nice
@@fredrickojiambo254
🙏🙏🙏
Waàao Am blessed💝
@@atukuzwefelix755 Amen, Glory to Jesus.
Ameeeeeeen
Nisikose kukulaki hewani Yesu, hio ni ombi langu
Amina ❤️
Ata kwa nchi yangu Kenya 🇰🇪 Neema ya Mungu isitupite🙏
Thank you from Tanzania citizen s🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Amen. Thank you brother.
Amen amen and amen ❤
God answered one of my prayers around June this year and immediately i played this song. For that whole i played and sang it in the office to the level that my colleagues started singing. Now i am away from the country and one of my colleagues sent me a msg saying...today i listened to Neema yako and i miss you! I know it wasnt just a song something powerful moved them through this song. Endelea kubarikiwa Mtumishi!
Amina
Tanzania We are blessed Tanzania God loves us 🙌🙌🙌Dada Rehema Mungu akubariki kuna mahali nimetoka
Funua neema yako Yesu familia yangu ikujue,marafiki zangu wakujue,ndugu zangu,jamii yangu, Taifa langu likujue wewe neema yako izidi juu ya kila kitu maishani mwangu😭😭😭🙌🙌🙌🙌🙏🙏🙏🙏
I dedicate my Prayers with this song to all Tanzanianis to know Jesus
Ameen
Amen I second u let our dear citizens know the Lord
Fungua neema yako yesu😭😭😭😭
amen
I heard this song for the first time in a matatu to work today, I searched for it when I got to work, I have replayed it so many times, I sent to my family what's app group, I am now playing it and it makes me break down before God. May His grace abind in my household, career, finances, relationships, my children's destiny, in my foundations and all corners of my life and those that I love. Glory to God forever. I feel so healed and refreshed ❤
That's what happened to me today...I love it!
Watoto wangu wakujue Mungu...hata nikitangulia mbele ya HAKI..jina lako Yesu liandikwe ndani ya mioyo Yao .wewe ndiwe yote..wewe ni utoshelevu kwa Kila nafsi We Bwana..wewe ni asili ya mema yote .Nakupenda Mungu..nakupenda .naamin unaona Bwana.
Bwana akujalie sawa na haja ya moyo wako. Nami naomba hivi kwa uzao wangu
Hakika huu ni iujumbe unao nibariki sana rafiki😊. MUNGU atabaki kuwa MUNGU barikiwa sana.
This is not just a song
It's a prayer
HALLELUJAH
NIFIKISHENI 1K PLZ
Neema yako Yesu iwe nasi kila mahali na kila maeneo.. Bila Neema yako hatuwezi... Powerful 🔥 🔥 🔥 🔥 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪
I've worshipped and pray whole night dwelling in God's mercy with words on this national anthem 😭😭😭🙌🙌🙌 I got different visions and chance to touch some hearts in players.. you are my blessing for years WoG.. may God keep you Safe and Secure for many souls and generations yet to come😭🙌🙌🙌
May His grace exceed on us amen
@@tevinlove9469 hi t
Neema yako Mungu wangu ifunue kwenye familia yangu
Haya ni maombi yangu kwako
Wote ninaowapenda wasipitwe
Na neema yako
Basi ikiwa ipo ahadi
Ya kuingia rahani mwako
Sitaki kukosa
Na niwapendao
Haya ni maombi yangu kwako
Wote ninaowapenda wasipitwe
Na neema yako
Na neema yako
Funua neema yako
Familia yangu ikujue
Funua neema yako
Marafiki zangu wakujue
Funua neema yako
Mataifa yote yakujue
Neema yako
Eeh Yesu
Tusipitwe na neema yako
Yesu funua wema wako kwenye maisha yangu ili familia na marafiki zangu wazidi kukujua na utukufu ukurudie wewe! Naomba na kuamini! Amen! 🙏🏾
Kama hujawahi kupambana na roho za familia na asili, huwezi kuelewa kitu Roho mtakatifu ameshusha kupitia wimbo huu. Wimbo huu umenifanya nimeijua neema ya Mungu kwa mtazamo mwingine mpana sana. Nimefahamishwa mambo mengi ya kifamilia na asili zetu katika mtazamo wa neema ya Mungu. Sifa na utukufu kwa BWANA YESU. Amen
Amen🙌🏼🙌🏼🙌🏼
@@judithdafa3346Amen
When i hear the song ireal enjoy
Amen!!
Powerful ! God bless you my Sister ! Much love from NAIROBI KENYA !
FUNUA NEEMA YAKO 🔥
Tupo wengi... 🇰🇪 Baraka Tele kwa kila asikiaye huu wimbo
My father was slave of alcohol and marijuana my mom used to pray for him and the Grace of God 🙏 saved him,wamesalia wadogo zangu leoo naililiaa Neema ya Mungu iwafungue😭😭😭## wokovu ni Neema🙏🙏
God will make a way for them🙌🏼so sorry!
Wimbo huu unanikumbusha marehemu mama yanfu katika uhai wake akiwa anaomba lazima atamke Baba naomba uzao wangu wakujue na waingie mbinguni.
Neema yako baba kwenye uzao wangu baba
Kwa sasa Tanzania tunamtukuza Mungu kwa viwangi vya juu saaana dada neema be blessed with this song wote ninaowapenda naomba wasipitwe na neema yake Yesu
Asanti kwa kutumika na roho mtakatifu ku release such a powerful song, Kenyan 🇰🇪 iam blessed.
Neema yake kweli yatosha
Balikiwa sana Kwa wimbo mzuri umenibarikii agins
Listening this from 🇮🇶 iraq ,I can’t help but sob like a baby.. this song is my prayer😭😭😭
Be blessed
@@tiinitheophas1332 Amen
Grace of God is upon you!
Funua neema yako familia yangu, maisha yng marafiki zangu wakujue . That's my prayer 2024🙏
wote ninaowapenda wasipitwe na neema yako😭😭
Funua NEEMA yako,
FAMILIA yangu ikujue,
Ili tusipitwe na NEEMA yako Eeh YESU. 😭😭❤️❤️😭😭
Wimbo mzuri Sana wenye nguvu,hakika haya ni maombi 🔥
T
I don't know why am crying but my desire is to see those around me being saved,how sweet will it be when we dine together in Heaven with family,friends and everyone ,God convict your people through the Holy spirit,your Grace is sufficient 👌🙏I believe
AMEN ❤
Ooh lord am in tears .after knowing that you will not let me to be ashamed 😭😭 struggling with my children school fees.hallelujah
Funua Neeme yako familia,ndugu zangu wakujue,ubarikiwe mtumishi Mungu azidi kukutumia🙏🙏🙏🙏
This is not just a song, powerful intercession.! My husband, my babies, my brothers and sisters, my parents- tusipitwe na Neema yako🙌🤲
Barikiwa na Yesu nyimbo zako zote zinamguso wa Roho mtakatifu. Asante sana
Amen
May Russians and Ukraine get to know and understand you through this song Jesus..🙏🙏
Amen🥰
Amen
This song is a song of intercession.
A song of deliverance. Men are delivered from the hold of darkness and release into the light through grace.
Powerful powerful song indeed. 🙌🏽
Mungu akubariki dada Rehema wimbo umenibariki moyo wangu
natamani kuingia kwenye ile raha ya milele Mungu tusaidie tusipungukiwe na neema yako,
fungua Neema yako kwa familia, marafiki, mataifa yote yakujue🙏🙏
Neema yako Yesu isiwapite wazazi, ndugu,marafiki na wale wote wanaonizunguka Yesu Neema yakooo isitupite Bwanaa
Ezra 8:23 we fasted and petitioned our God about this and He answered our prayers 🥺❤️💯🙏
Huyu Dada nampendaga sana anaimba kwa hisia sana ananigusa moyo wang sana nahisi kuokoka niende kwa baba nikapumzike zang tu ya dunia yamesha nichosha.
Hakika yaani.Mungu ni mkuu
This song has helped me in interceding for my whole family
Mungu afunue neema yake!! Even for our friends.
Powerful ministration.
YESU Wangu ongeza neema katika maisha yangu , familia yangu na pia kwa watanzania wenzangu wote na nchi yangu ya TANZANIA ❤️🇹🇿❤️🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Day a
🇹🇿Amina barikiwa pia ndugu maana niwachache wanaoweza kuwaombea na wengine🙏
Tanzania u are such a blessing.i love gospel songs from tanzanian because they are spirit filled.mubarikiwe Sana gospel artist from tanzania much love from🇰🇪🇰🇪
💖💞 hii nyimbo ipate kuwa neema kwa wengine wamjue
Wimbo wangu wa kila siku, neema isipite wote niwapendao Yesu nakuomba.
Powerful song nimesikiliza mara 200 zaidi jamani,Yesu usiwapite familia zetu
This is not just a song it's an intercessory prayer 🙏
There is power in worship, hata kama sitaona muujiza bado nitamwamini mungu milele.
Pokea miujiza yako in Jesus name
kuwa hai tu ni muujiza ndugu,, majira mema unayoyatarajia yapo mlangon mwako pokea kwa jina la yesu!
All the way from Nigeria.... Believe me this has blessed me in no small way❤. God bless you ma
Mungu funua neema yako nchini kenya🙏
Love this song from South africa 🇿🇦🇿🇦🇿🇦🇿🇦
Familia na rafiki zangu wasipitwe na NEEMA YAKO 🙌🏽. Ni Neema yako pekeee yatoshaaaa! Napokea Baraka hii kwa utukufu wa Bwana!!
Barikiwa Sanaa Sis , Mungu akufikishe viwango kwa viwango, kwa kuendelea kuvuta watu kwake Yesu kristo. Umebarikiwa hakika!!
🙏🏽
Powerful. Ubarikiwe sana Rehema. We thank God for your ministry
Huu wimbo umefanyika baraka kwa kila asikilizae
Top song
🎉
Neema yako yesu Neema Neema family yangu ikujue yesu
Today I want to give a shout-out to all the instrumentalists in this awesome song for their amazing work. And for those of us who love guitar fast forward to min 4:31...😭🔥Well done! The guitarist, the drummer, super harmonious🔥🔥🔥👌💥👏
I had to fast foward to that ...Talented people of God
Yes they massively did a great job, they were also inspired by the spirit of God.
Indeed every instrument, the voices are in super harmonious!
Funua Neema yako family yangu ikujue mungu wangu👏👏
Great work inspired by the spirit ( instruments 💕💕💕 drum, bass guitar, lead guitar, acoustic guitar and the keyboardists)
This song is inspired by the HOLY GHOST. As the word of God is sharper than any two doubled edged sword so is this song. It pierces even to the asunder of the soul. I can't stop replaying it. 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Ameen🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻
Uyu
Naomba unapofunua neema yako usitupite na sisi tuliochekwa tukaonekana hatufai mbele za macho ya watu
Mungu Awabariki....
WaTz Tunaosikiliza hapa like hapa
Such a powerful prayer incorporated in a song..let me leave my comment here so that I come back to watch the video every time someone likes my comment.
Neema Yako yesu isipite kwa maisha yangu na familia zetu- much love my sister from Nairobi Kenya 🇰🇪
Mercy hbr ya kwako
Huo wimbo mzuri sana na una nguvu every time listening to it nabarikiwa sana 🙏
Amen! Mungu akubariki dada @Rehema
Mungu naomba ufunue neema Yako kwa familiya yangu na mawazo yangu pia🙏🙏🙏🙏🙏
Mimi atasijui nimpe Nini Mungu wangu, kweli ila Mungu anajua shukrani za moyo wangu kwake, Ameeeen
🔥🔥🔥🔥Global prayers....we never take This Grace for granted...it is unmerited Devine Favor that is needed to everyone...thank you Lord for such a sound@Rehema Simfukwe you are blessed
Haya ni maombi yangu kwako wote niwapendao wasipitwe na Neema yako
Funua Neema yako Familia yangu ikujue
Funua Neema yako Marafiki zangu wakujue🙌🙌🙌🙌🙌🙏🙏🙏🙏
Amen and amen,my family for Jesus,my friends for Jesus.Thankyou Father for you are revealing your grace.
Mungu nakuomba familia yangu na marafiki zangu na ndoa yangu isipitwe na neema yako🙏🏽💐✨❤️
Hallelujah amen nyimbo nzuri sana, eeeee baba wambinguni turyeuze myoyo yetu, tujaze neema yako baba 🎉
Let this song be prophecy for all those who are close to us .Lord we pray🥺.
Amen
Amen Amen....may the Grace of our Jehovah never pass everyone associated with us ....Grace is our portion Amen
Lets give it up for the Back vocalist... Indeed this is my Prayer for My people
Whose here with me today hata nami sitaki kukosa halleluya
Wimbo umefunikwa na wingu la Mungu mwenyewe.Mungu asikie maombi haya. Wapendwa wetu wafikiwe na hii neema ya Mungu. Waokolewe
Baba naomba neema yako juu ya maisha yangu,naombi nafsi yangu ikujue🤲naomba ninao wapenda wote wasipitwe na neema yako,mtoto,mume,familia yote bwana.amina🙏
The arrangements in this song, melodies, vocal ability are touchy and infectious at the same time. Blessings to you Rehema Simfukwe and any one being healed by this song.
Wow wow I remember this day when I started even interceding for people I didn’t know, the Holy Spirit was definitely moving🙌🏽 Be blessed Mama
Barikiwa Sana.
Hakika BWANA WAKUMBUKE NDUGU NA RAFIKI PAMOJA NA WATOTO EEMUNGU NISIKIE
Neema na ikanitoshe Eh Mungu Nakuomba🙏🙏
While I was listening to this song last year I was really doing a prayer petition for my brother John's salvation and this year God did it ,,My father I make another prayer petition for Morbey Jehovah my God the same way you did it for my brother you will do it for him let me receive goodnews upon his salvation il come back to testify only God can save and redeem in Jesus name Amen,,Hallelujah 🙏🙏🙏
Nts
My father is saved. I speak by faith in Jesus name. Amen
Dear Lord🙌🙌🙌🙌😭😭😭😭😭😭😭🤲🤲🤲🤲
Eeh Yesu naomba neema yako isinipite mimi na familia yangu
Ee bwana neema yako isinipite pamoja na familia yangu❤
Neema hii isinipite najiona ni mkosefu natamani kuwa nawe yesuuuu Neeema yako isinipite
Shalom Leo nimeamka na kukuta huu wimbo unaimba moyon mwangu. So Toka asubuh nausikiliza TU apa CZcams.ameen 😢🙏🙏🙏