mmh:

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 6. 09. 2024
  • #foxetv #hardmovement Bonyeza alama ya Subscribe kisha weka notification on ili kupata matukio yote kwa wepesi zaidi Asante.#FoxeTv Ni Bora Zaidi
    .
    .
    .
    .
    .
    .
    .
    .
    ©Instagram @FoxeTvTanzania tufollow sasa kwenye mtandao wetu wa kijamii
    .
    .
    .
    .
    .
    .
    .
    .
    .
    .
    .
    .
    .
    .
    .
    .
    .
    .
    Tag;
    #video #bongomovie #truestory #majanga #mikasa #msaada #update #trendingvideo #trending #trendingnews #oman #omannews #omanchannel #omannewstoday #kenya #kenyanews #kenyadigitalnews #kenyanewsmedia #usa #usanews #america #american #amerika #tanzania #tanzaniasafari #tanzaniayetu #uganda #ugandanewsupdates #rwanda #rwandanmovies #burundi #burundinews #uchawi #mikasa #udakutz #udaku254 #ngono #VideoChafu #VideoXxx #Xxx #xxl #uchib #tikitv #tikitvkiakilizaidi #zanzibarbeach #maximumtvonline #maximumtv #DavistarMatal #mtoto #watoto #Ubakaji #diamondplatnumz #harmonize #comedy #comedyvideo #film #movie #movie #ayo #millardayo #millardayoupdates #GroblaUpdates #global #AingiliwaKinyume

Komentáře • 124

  • @lunangabenjamin3121
    @lunangabenjamin3121 Před měsícem +7

    Pole sana dada duniani kungepatikana,wanawake wenye akili nzuri,na mapendo ya kweli,tena ya dhati kawewe dunia ingekuwa bustani nzuri,ulipo dondosha chozi niliisi unaliya juu ya maumivu yako binafsi kumbe na changamoto ambazo mwenzako anazopitiya.dada sijuwi nikwambiyeje,ila nakutakiya maisha marefu.❤

  • @DorcaChacha-hk3jj
    @DorcaChacha-hk3jj Před 10 dny +1

    Pole sana kipenz mungu akusaidie

  • @KinanaZagar-pv6qc
    @KinanaZagar-pv6qc Před měsícem +10

    Mbona ushamzalilisha tena sana kwanye Dunia nzima

  • @ummuissa5883
    @ummuissa5883 Před měsícem +2

    Pole sana dada kwakua na moyo wa ujasiri

  • @JamesMario-x3c
    @JamesMario-x3c Před 4 dny

    Unaenda kwa mganga

  • @stanleymaina7596
    @stanleymaina7596 Před 22 dny +2

    Uongo

  • @reginatyler5849
    @reginatyler5849 Před měsícem +3

    Huyo ni shetani unalala na shetani nenda kanisani

  • @CatherineMtewele-o7s
    @CatherineMtewele-o7s Před měsícem +1

    Pole sana mwaya nenda kanisani kwenye maombi no Bora kulilo kwa waganga

  • @ruthkalinga7154
    @ruthkalinga7154 Před měsícem +2

    Hapa ndio kasheshe mmefunga ndoa rutheran na bado mnakimbilia kwa mtaalamu sio Mungu. Mrudieni Mungu mtapona hakuna kinachomshinda yaani okoka halafu mtafuteni kumjua Mungu kwa bidii.

  • @user-of4jo6pt5i
    @user-of4jo6pt5i Před 17 dny

    Pole sana

  • @HellenMugah
    @HellenMugah Před měsícem

    😂😂😂pole sana Dada ombeni mungu atamsaidia kuliko wagaga juu kile naona imebaki hapo nitu maombi hakuna otherwise waaah dunia inamambo

  • @BeatriceBwisemene-fq6ik
    @BeatriceBwisemene-fq6ik Před měsícem +1

    Pole sana dada kwa icho kilicho kukuta sasa unashindwa kumwambia mzazi wako na wakati unakuja kutangaza ku TV

  • @user-bj7th7wi5o
    @user-bj7th7wi5o Před 4 dny

    Pole ila ungemalizia tuu dada hyo siku

  • @HamzaJumanne-f1f
    @HamzaJumanne-f1f Před 10 dny

    Ushamzalilixh sana dad pole san kwa yalio kukuta

  • @JosephineKotima
    @JosephineKotima Před měsícem +1

    Pole sana dada kwa uliokutana nayo

  • @user-ck1qx2td1z
    @user-ck1qx2td1z Před měsícem +3

    Nenda kwa mwampoea au tuma Yale maombi kumi na mbili hajika utamuona Mungu

  • @ElizabethKyabo
    @ElizabethKyabo Před 28 dny +1

    Nenda kimara korgwe kkkt.kwa mastai atakaa sawa

  • @NusraAthuman
    @NusraAthuman Před měsícem

    Pole sana dada

  • @user-zz9gr1vd9h
    @user-zz9gr1vd9h Před měsícem +2

    siyo kuombewa aokoke amlilie yeye mwenyewe Mungu akishilikiana mchungaji wakati wakuomba hakuna kupokea maombi yahivo ukisubiri kuombewa kupona hakupo atubu dhambi kwanza

  • @Hesbonmiruka
    @Hesbonmiruka Před měsícem +2

    watanzania mko juu😂😂

    • @zulekhaa6817
      @zulekhaa6817 Před 11 dny

      😂😂😂
      Kila mtu anakuja na story yake

  • @JulianaSolis-r5s
    @JulianaSolis-r5s Před 11 dny

    Mwisho wa dunia unafika sasa

  • @ZuwenawaDiamond
    @ZuwenawaDiamond Před 19 dny

    Mmmmh 🙄 jamani 😂😂😂

  • @izamahmasaki4795
    @izamahmasaki4795 Před měsícem

    Dada nenda kwa makanisa ya uponyaji Nina Imani kuwa wewe ni mkristo safi na unaimani sana ,nenda TU utapona

  • @VastinaAdriano
    @VastinaAdriano Před měsícem

    Pole San dad

  • @pammymoraamoraa6702
    @pammymoraamoraa6702 Před měsícem

    Nampenda nampenda mume wangu na juu mlifunga ndoa kanisani ndio upitie maumivu kama hayo ndaaaa ingekua yeye angevimilia kweli, mtaalamu nafikiri aliwakomoa tu nahuyo bwana yeye anajienjoy tu hana shida na ukubwa wa mchululu wake bora raha. Pole dada mapenzi haijawai kufika hapo ata siku moja

    • @leahogutu9818
      @leahogutu9818 Před 22 dny

      Mpeleke kwny maombi alipewa pepo hilo ila kwa Yesu yote yanawezekana

  • @SuzanaSuzanamwangingo-uu4ct
    @SuzanaSuzanamwangingo-uu4ct Před měsícem +1

    Mh.uwiii mimi sitaki jamani

  • @MalaikaBright-rv6yb
    @MalaikaBright-rv6yb Před 17 dny

    Hivi hii ni kweli 😮😮😮😮

  • @samwelayunga7030
    @samwelayunga7030 Před měsícem

    Pole madam

  • @florencemushi6561
    @florencemushi6561 Před měsícem

    Yuko bingwa wa mabingwa sister. Pastor Dominic kiboko wa wachawi. Yuko Buza kwa Lulege . Nendeni kwake nakuhakilishia 100% mutapona tena kirahisi sana sana. Mkimbieni.

  • @ElinaEmmanuel-t4f
    @ElinaEmmanuel-t4f Před 26 dny

    Nakushauri nenda kimara temboni ngome ya Kristo kwa kuhani Richard Mwacha, pale ni mwisho wa matatizo.

  • @pilikiema-g9p
    @pilikiema-g9p Před měsícem

    Mmmh pole dadaangu

  • @Elizabeth-ds7yk
    @Elizabeth-ds7yk Před měsícem

    Pole

  • @ZenaShabani-rs5rd
    @ZenaShabani-rs5rd Před měsícem

    😮pole dada

  • @modestasanga4529
    @modestasanga4529 Před měsícem +2

    Mimi modesta wanawake wenzangu sijapenda kwani kama anakasoro mpaka umtoe kwenye mativi

  • @neemakabale6047
    @neemakabale6047 Před měsícem +1

    Mukkngo mshenzi weee

  • @JaneChanga-pi6lq
    @JaneChanga-pi6lq Před měsícem +1

    Ndoa hahitaji heshima na uvumilivu pia dadaangu huyo ni mume wako shosty kwanini umehakikishe hvo naye hajajipendea

  • @norahmajaliwa3841
    @norahmajaliwa3841 Před 23 dny

    Hilo ni jini. Acha kuvumilia ujinga. Nenda kwenu ukaangukie wakusamehe na wakubariki ili ukutane na watu wema.

  • @user-hw5hu4mg5q
    @user-hw5hu4mg5q Před měsícem

    Pole km mm ndio ningesamehe ndoa

  • @allyorry2013
    @allyorry2013 Před 21 dnem

    Acha uongo we mnafiki we!

  • @user-zn7ll3ih9e
    @user-zn7ll3ih9e Před měsícem

    Piga magoti kwavifungo nakuomba naumuliliye Mungu atakusaidia Mungu nimwenyehuruma

  • @AbbygaelWairimu
    @AbbygaelWairimu Před 22 dny

    Inabidi ufungue miguu Kabisa mrembo

  • @JaneChanga-pi6lq
    @JaneChanga-pi6lq Před měsícem

    Unajizalilisha jamani kama kumsaidia ndio umseme hivo jaman

  • @RosemaryManyaza-oc7te
    @RosemaryManyaza-oc7te Před 19 dny

    Huku inakusaidia nini mbona udhalilishaji huu somo wake aliyemfunda atafutwe maana aibu sana

  • @mosesmwaisela2455
    @mosesmwaisela2455 Před 18 dny

    Mnatusababishia matatizo wenyewe mnalia kuwa hamtaki kibamia. Ameamua kujiongeza. Sasa mnalia tena

  • @marthamathiasmungubakupewe1044

    Dada nendenk kwa Mwamposa akaombewe atapona kabisa, Mwaminini Mungu tu atamponya

  • @khadija2113
    @khadija2113 Před měsícem +1

    SASA DADA USHAKULA NGOMBE MZIMA UMEBAKISHA MKIA TU KWA NINI USINGE MALIZIA TU UKAMUOKOA MWENZIO HUMPENDI MUMEO WEWE YANI IMEBAKI SIKU MOJA TU SIO KWELI DADA WACHA MAMBO YAKO UMENIUZI HUKU NI KUZALILISHA 😢

  • @zulekhaa6817
    @zulekhaa6817 Před 11 dny

    Hizi story wakizitoa wanakuwa wanapa nini?

  • @joanmicali5596
    @joanmicali5596 Před měsícem

    Kitu ya Kwanza msiba wa kujitakia hauna kilio.
    Mimi nimewai kuachana na ndugu fulani Kwa sababu ya hii. Siezi kubali

  • @suzysam6002
    @suzysam6002 Před měsícem

    Dada mambo gani haya unayaleta huku , siyo yote ya kusema kuwa na akuba asee umejidhalilisha sana asee , kuwa na kiasii ndugu yangu

  • @binthkhamis8042
    @binthkhamis8042 Před měsícem

    Hilaa smhnn huyu dada shufaa alf shingon kaa vaa namba s7 kivip hapa sijaelew ndugue.....

    • @warrapgtimamuskillz6872
      @warrapgtimamuskillz6872 Před měsícem

      Hiyo maana yake "S = Shufaa na 7 ni zile ck alizoambiwa na Mganga aingiliwe na Bichwa la Cobra🚶🚶🚶Ilaa DaDa unamoyo wa UJASIRI ulichokosa ni AMALI tu ungekua MJASIRIAMALI

  • @neemakabale6047
    @neemakabale6047 Před měsícem

    uongo huna haya

  • @janethmreta9163
    @janethmreta9163 Před měsícem

    JAMANI

  • @bilhaokaya3855
    @bilhaokaya3855 Před měsícem

    😮😮😮😮😮😮

  • @rachaelkeino3624
    @rachaelkeino3624 Před měsícem

    Na angehenda kufanyiwa operation

  • @mataypanga5262
    @mataypanga5262 Před měsícem

    Makanisa yanakosea ,si ndoa zote ni mpaka kufa.

  • @EthanLuhende-l9v
    @EthanLuhende-l9v Před 17 dny

    Nenda kw mwamposa

  • @user-rg1yi7pf8l
    @user-rg1yi7pf8l Před měsícem

    Sasa mbonaume semamtandaoni

  • @everlynesenelwa7027
    @everlynesenelwa7027 Před měsícem

    Duniani kuna maajabu

  • @GraceMalley-ly2xn
    @GraceMalley-ly2xn Před měsícem

    Nenda kwa MWAMPOSA au kwa Musa MWACHA inawezekana tu

  • @hafidhali3020
    @hafidhali3020 Před měsícem

    Mnapenda majina mazuri ya kiislam

  • @user-xx6eq1cl5f
    @user-xx6eq1cl5f Před měsícem

    Dah uñgevumilia siku Moja ilobaki

  • @nelsonshillah6618
    @nelsonshillah6618 Před měsícem

    Sidhani kama hiyo story ni yakweli zaidi ya kula bandle za watu

  • @augustinematheka8543
    @augustinematheka8543 Před měsícem

    Wanawake hawana siri

  • @user-kq9lb7bd8l
    @user-kq9lb7bd8l Před 26 dny

    Kwani apo ulipo ujamzalilisha

  • @ednahumazi777
    @ednahumazi777 Před měsícem

    Sababu niwewe umemuacha ungevumiliya hiyo last day

  • @user-pi4et2cc7s
    @user-pi4et2cc7s Před měsícem

    NASHAURI AVUMILIE TU. HILO NI CHAGUO LAKE TU.

  • @noellema9109
    @noellema9109 Před měsícem

    Mpeleke wrm kwa sugue matembele ya pili

  • @Hesbonmiruka
    @Hesbonmiruka Před měsícem

    sasa amepata mke ama

  • @marylucykurgat40
    @marylucykurgat40 Před měsícem +1

    Mbona naona kama ni Kiki?

  • @tanzaniawomenyouthempowerm267

    Tafuta hela uende nae hosp. Akasaidiwe

  • @marryfelician1426
    @marryfelician1426 Před měsícem

    Pengine ni nyoka

  • @zainabukivale9571
    @zainabukivale9571 Před měsícem +1

    Utaper uwo tuma pesa kwenye namba hii

  • @user-kp1xi8xi2e
    @user-kp1xi8xi2e Před měsícem

    Mwambie mm tu

  • @JoycemsangiJoyce-go9su
    @JoycemsangiJoyce-go9su Před měsícem

    We mpumbavu nenda kanisan

  • @user-sw7tf1ob1b
    @user-sw7tf1ob1b Před 16 dny

    Tapeli huyo lini mwanamke kakombia mwanaume wewe sishuja punda huyo uwombe ipungue mugogolo ni vibamiya

  • @user-kq9lb7bd8l
    @user-kq9lb7bd8l Před 26 dny

    imebaki sikumoja ungevumiliya tu

  • @mwambaimara1950
    @mwambaimara1950 Před měsícem

    Sasa shufaa maana yake nini majina ya kishetani unajiletea mikosi maishani mwako bila kijijua.

    • @chunaabdullah1333
      @chunaabdullah1333 Před měsícem

      Shufaa Jina la kishetani wapi ujui shufaa maana yake nyamaza

  • @user-zz9gr1vd9h
    @user-zz9gr1vd9h Před měsícem

    Shida huwezi kupokea uponyaji kwasababu unataka maombi tu humtaki mwenye kuponya mpokee ukae nae uone yeye ni muumbaji mkimbilie

  • @KinanaZagar-pv6qc
    @KinanaZagar-pv6qc Před měsícem

    We muongo machozi huna

  • @rehemahamadi3382
    @rehemahamadi3382 Před 22 dny

    Muongo wewe si mumeo huyo

  • @langatmary3292
    @langatmary3292 Před měsícem

    Dada please. Enda maombi na mume wako kwa Kakande ministry uko Uganda. Atapona hapo hapo

  • @nadiatanzania
    @nadiatanzania Před měsícem

    Sasa kusaidia mtu umuabishe

  • @nelsonshillah6618
    @nelsonshillah6618 Před měsícem

    Ndoa umesema ni ya Kikristo lkn mambo yenu yote ni kwa mtaalam Ukristo gani huo?

  • @JonasMathias-s6m
    @JonasMathias-s6m Před měsícem

    Mtakufa kwa kukosa maarifa

  • @marryfelician1426
    @marryfelician1426 Před měsícem

    Nyie ni dini gani

  • @user-zn7ll3ih9e
    @user-zn7ll3ih9e Před měsícem

    Ayomatatizo yako hakuna mtu atakaye yatatiwa atawataramu utawamaliza wewe mwenyewe njoucukuwe ubebehuyomzigo

  • @mwambaimara1950
    @mwambaimara1950 Před měsícem

    Bora ungesema kwa wazazi kuliko ulivyojidhalilisha kwenye media.

  • @farhannahkulishwaburekunam5360

    Achane upumbavu si mnaona waime zenu kama wana maumbile madogo halafu mnawaambia wezu wakishaenda kwa waganga mnawakimbia nakutoa habari washenzi wakubwa wache akutaue kama karo

  • @MwanaishaShattry
    @MwanaishaShattry Před měsícem

    Myongo wanaume aidi ya watatu kwa siku unalala nao tangu ukiw mdogo sana mshimo wako kama ksim cha mtaa mnapenda kujidhlilisha kwa nja zenu. Ondoa uongo wako nyoko wee. Kakojoe ukalale

  • @Blessedboi8019
    @Blessedboi8019 Před měsícem

    Sasa huyu anajiliza nn? Kwani sio yeye ametaka kuhojiwa?

  • @TheGlobalCollege_official
    @TheGlobalCollege_official Před měsícem

    Mbona mchozi utoi

  • @RoseKatavo-kn3uj
    @RoseKatavo-kn3uj Před měsícem

    25:02

  • @rachaelkeino3624
    @rachaelkeino3624 Před měsícem

    Yani unaumia na unagaa tu??

  • @bartholomewluwanja6693
    @bartholomewluwanja6693 Před měsícem

    Okokeni watoto wetu

  • @warrapgtimamuskillz6872
    @warrapgtimamuskillz6872 Před měsícem

    DaDa unamoyo wa kulivulia Bichwa la Cobra kwa Miaka mi3.
    Eti nampenda nilikua kiapo😂😂😂 ungekuua Shwain
    Halafu hicho ulichofanya kwenye Media na kutafuta suluhisho kupitia wazazi na ndg kipi Bora kuanza nacho

  • @leinaamos
    @leinaamos Před měsícem

    Muongo

  • @ashuraabdulmaalik5319
    @ashuraabdulmaalik5319 Před měsícem

    Pole sana ila ungeficha tu uso

  • @rachaelkeino3624
    @rachaelkeino3624 Před měsícem

    Kuenda uko

  • @chunaabdullah1333
    @chunaabdullah1333 Před měsícem

    Pumbavu ww eti utamdhalilisha ukiambia wazazi wako na uku wamnadi auko serious mwehu ww, msiri wako ni mamako na dadako

  • @Searching_idea
    @Searching_idea Před měsícem

    Yani muandishi wa habari unajali content na kuweka hadharani maisha ya mtu, umekosa kabisa hekima ya kuichuja story ipi inafaa iwekwe hewani...( Tena ni Jambo ambalo linaendelea kwenye maisha ya mtu)
    Tumieni fahamu zenu wahadishi...
    Mnaha