Ninachokiona apo hii media ni ya mondi mana wasafi weng wanasema ni ya kusga sasa mond kaona watoto wadogo wamiliki media afu leo yeye hana kaamua kumtumia baba levo akn kiukwel wote wanajua uchawa hauna faida mpaka tufikie kufanya hilo... Apo ni mondi tu big up sana mzee kwa maendeleo
Tangu Nimjue Simba Leo Ndo Kaongea Kwa Utulivu ,Hekima Ya Hali Ya Juu Na Nimejua Diamond Ni Genius Kiasi Gani , Nimejua Pia Ni Mtu anayebadilika Kutokana Na Mazingira Huku Akijua Anachokifanya ....Nadiriki Kusema Diamond Ni Game Changer wa Miaka Yote Kwenye Hii Industry Ya Burudan🙌😫
Alianza kama chawa mwisho Boss 🙋
chibu anaongeza knowledge of ecomic and social interactual on community oya proffessor🎉🎉🎉
Kama umekubal alichosema 🦁 weka like hapa
Media yake yeye ama yeye na kusaga mbuna hamutaji kusaga ila ingelikuwa ali teyari mshasema media sio yake mbwa nyinyi
BABA LEVO KAJIBU VIZURI JUU YA DIVA ANAPENDA AONGELEWE YULE MBWA SAFIII BABA LEVO ANAJIFANYA YY NO I ANA LOLOTE AJATAFUTWA ILA ALITAKA KIKI
Baba levo usiweke hiii media bondi
😅😅 Umenichekeshaa sana
😂😂😂😂Mbna kma umeongea point hv
😂😂😂
Hahahahaha
😂😂😂😂😂 wabongo😊😊😅😅😅😅😅😅😅😅😅
*BABA LEVO USIWEEK3 BONDI HII MEDIA NAKUOMBA KAKA*
Baba levo , weka Bondi hiyo media
Betting Typing..😂😂😂
Ivi like zinalipa ao naona naomba liké naomba liké mpaka inakera sasa
Maushamba tu toa point changia point mawazo mazuri like zitakufata tu bila kuomba majitu majinga xna
😅😅
Sio tu nafasi za kuimba pekee ata uandishi jamani toeni waandishi mahiri wa mashairi tupo tunaitaji fursa za kuwaandikia wasanii.
radio ya mondi! anacheza game kama ya kusaga!
Ninachokiona apo hii media ni ya mondi mana wasafi weng wanasema ni ya kusga sasa mond kaona watoto wadogo wamiliki media afu leo yeye hana kaamua kumtumia baba levo akn kiukwel wote wanajua uchawa hauna faida mpaka tufikie kufanya hilo... Apo ni mondi tu big up sana mzee kwa maendeleo
Baba Levo hatachezea kamali kweli 🤔🤔🤔
Saizi radio zitakuwa kama njugu kila aliyemsanii atafungua
Kweli wengi wanaiga ila wangapi watasimama? Biashara kuanza ni rahisi ila biashara kudumu ndio kazi
Ni nzuri sanaa sema watu wanatakiwa kuwa serious otherwise watakuwa wanapoteza muda
Hongera sana Baba level Mungu akuinue
Eti nafunga kampuni😂😂😂😂😂
Salute Kwenu 🙏🙏🙏
Be levo baaa 😅😅😅😅😅I congratulations
shida ya waandishi ndo hyo Upo kundi A unauliza habari za kundi b 😂
Safi sana diamond una roho nzur sana boss
Ana roho nzuri kwenye kitu ambacho na yeye pia ana maslahi nacho
@@rumdeesonsoa1811kwa Mtazamo wako ni sawa lakini huna uhakika sio Kila Mtu anasaidia kwa Maslahi
Baba levo kama chale hapo
Lichawa lipo zero distance c ukae mbali kule
Ila libaba levo kwa mondi Kam litoto vile
Inakuuma?
Eee baba upo baba upoo😂😂😂
Muache vibamba kwani kumiliki media ni kununua tomato
Tangu Nimjue Simba Leo Ndo Kaongea Kwa Utulivu ,Hekima Ya Hali Ya Juu Na Nimejua Diamond Ni Genius Kiasi Gani , Nimejua Pia Ni Mtu anayebadilika Kutokana Na Mazingira Huku Akijua Anachokifanya ....Nadiriki Kusema Diamond Ni Game Changer wa Miaka Yote Kwenye Hii Industry Ya Burudan🙌😫
Li baba revo ata mond akisema shika pare rina kuku bari
Sawa dada lina kuku Bali 😂😂
@@F60hustlerF60hustler aaa mrembo mtoto mweupe
@@MajutoElliasi sawa dada 🤓
@@F60hustlerF60hustler aya miss tz
Tuliosoma Cuber Nimeelewa vizuri sana
Babalevo akilinyingi
Mbona yakata kata au n ipepo?
Simbaaa🎉🎉🎉🎉
Lijanja anajuwa kula na kipofu
Safi sana baba levo
Diamond tusaidie na sisi broo
Diamond mjanja san.!!kuna swali kalikwepa apo linamhusu mmakonde!😅😅
Bado harmonize na hayuko mbali maana haitaki kushindwa😅😅😅
Hoingerea bro
Umekua kaka
SHEKHE MANSOOOR❤❤❤❤❤
Jamani kama kuna namna yakutoa matangazo ya mikopo yanayoanza wakat unaangalia video
Ila baba levo,et upo baba upo🤣🤣🤣
Baba level anavyojibu kama anaambiwa yeye
Kweliii
Baba levo Uba bay
Presenter of Ricky media she is asking too much and asking useless questions trying create hate always
kwamba "nisi competiti" dah ila bongo😂😂😂😂
Midia nyingi kuliko wasikilizaji bongo
Anaona crown inaongelewa Sana ss hv anataka kuipoteza mjini
What makes u think ana uwezo huo? Mbona me hiyo crown nimeisikia mara moja tu inaongelewa wapi?
Ww Wacha uongo
Ahsante sana Diamond kuna mambo nimejifunza sana
mdogo wangu unavyo ongea kama vire ume rizia kumbe ndio kwanza upo una fikiria umwekee ukuta wa kumferisha asiende mbari akaja kuku fikia
Fundi majumba b levo baba😂😂😂
Daimond hana shule lakini anaakili kubwa mnooo
Mond you mwema
Diva aende salama
Mbona bado yupo na kafanya kpind ucku
😂
Mwamba katena point hapo mwanzo like kwake👏👏👏
*diva kaenda crown
Bado yupo Wasaf mbona jana alikuwa kpind
mondi anaendelea ktanuwa mbawa kjanja twende kazi
Ila baba levo atafika mbali sana sababu ni mnyenyekevu sana😂😂😂anajuq alipotoka anamrespect sana SIMBAAAA a.ka.SHEKHE MANSOOR
Hahahahahaha hiyo kauli ya mwisho ya babalevo kali saana