Acha hiyo kitu bob, Kenya Tz ni sawa na nchi moja tumegawanywa na wakoloni kuwekewa mipaka sisi ni wamoja mazee hata lugha tunaongea moja na tunaelewana vizuri tuu.
Tangu lini mwanamke akafanana na mwanaume huyu naye ety anatoka hapa Kenya kwetu ana nn Cha kuongea mbele y kingkiba ama marungi na maunga tu ety msani mm sjui anaimba ngoma zipi huyu
Kweli bro anaye muzarau king ni mpumbavu ❤ love from south africa 🇿🇦
Jamaa ameongea point
KRG The Don ❤️❤️🎉🇹🇿🇰🇪
Kings Music to the world ❤
Krg the Don umeongea point 👍🇹🇿
Mambo imechemka ❤️❤️🎉🇰🇪🇹🇿
Unaakili San bro
Umeongea ukweli mtupu juu ya Alikiba
🇰🇪🇰🇪🇰🇪...well represented big ups Vaugha 💪
Hapa Leo nimekuelewa Sana Buggah
Mapepe
Alikiba 🇨🇩
Our own bro
True bro
Krg uko sahihi sana
KRG THE DON.......
Huo JAMA hamujuwi babake kunandugue yupo hapa tzd tabata mwenyewe hamujuwi babake
Nikweli kaka alikiba kitambosana mpaka Sasa yupo kwenyegem pewe mauwayake iyo imeenda
Krg ni mtu wangu sana lakini hapo Kwa kuongelea fellow Kenyan otile vibaya ata kama hampatani
Acha hiyo kitu bob, Kenya Tz ni sawa na nchi moja tumegawanywa na wakoloni kuwekewa mipaka sisi ni wamoja mazee hata lugha tunaongea moja na tunaelewana vizuri tuu.
😂😂😂😂KRG amepeleka kiherehere n Kiburi Tanzania tabia za wakenya well represented, pitieni kwngu pia please
😂😅
king kiba apewe maua yake tu
Huu ndio ukenya asili poleni ndugu zetu wabongo, hajatusi mtu, wakenya huwa tunaongea hivi, hatupangwingwi.
Point 😊
❤❤❤
wacha leo nisiongelee krg🤣🤣🤣
Bugha 🔥🔥🔥
Krg bora awe blogger tuuuu
KRG letsss gooooooooooooooooooooo
Hapo kwa kuongelea otile unakosea juu ni fellow Kenyan
Akiwa fellow kenyan ndio haifai kuambiwa ukweli?
Wewe unajua kusoma hela😂😂😂😂 mtajua ni bughaaaa😂😂😂😂😂
Tangu lini mwanamke akafanana na mwanaume huyu naye ety anatoka hapa Kenya kwetu ana nn Cha kuongea mbele y kingkiba ama marungi na maunga tu ety msani mm sjui anaimba ngoma zipi huyu
KRG nipenda vile huwa unaongea tu😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Kumbe huyu jamaa nimuongo hivi bughaaaaa sijaamini
Krg the don mambo imechemuka 😂
Huyo presenter maswali mingi, ameona balance akashtuka akatulia 😂😂😂😂😂😂
KRG Kadanganya, huku Kenya Rais hamjui😅
Ni kwl bro wala auja koxeah yni me nime ipitixha iyo..😮😮
😂😂😂😂😂😂Huyu jamaa hahaha
Huyu Jamaa hapa Bongo akiongea tunamuona Kama Mmasai tuu 😂😂!! Hamna Jipya
Bongo ipi
@@davidnyerere2474 Kwani We upo Bongo Ipi?
Kwani anaonekanaje si ni msanii
@@SwahiliAmbasador954 Msanii Wa Nini? Ngonjela au?
@@Babuu200 na hiyo hiyo ngonjela uliyo mjulia
Hichi nacho kisenge tu..
Anakubalika kote 💯😂
😅😅😅😅😅😅😅
Huyu mmasai anajiita KrG ni wa wapi?