MAHAKAMA YAAMURU E:HERSI AACHIE NGAZI UONGOZI YANGA AFRICA/WAZEE WA YANGA WASHINDA KESI MAHAKAMANI

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 25. 08. 2024

Komentáře • 23

  • @Zuberigangisa-dk9ne
    @Zuberigangisa-dk9ne Před měsícem +2

    Engineer kuwa mpole mungu yuko pamoja nawe dailly

  • @user-yk8gf2zi2b
    @user-yk8gf2zi2b Před měsícem +2

    Mahakama hiyo haiyoni

  • @ahmedomar3020
    @ahmedomar3020 Před měsícem +2

    ALLY KAMWE NAE BATILI>>>>>HA HA HAAAAAAHHHH

  • @adamlubawa1281
    @adamlubawa1281 Před měsícem +2

    Jackson jambelle hamjui kusoma maandiko ya mahakama
    Walioshtakiwa sio viongozi
    Ni viongozi acheni kuipotosha jamiii na kuzua taharuki

  • @user-ue2nz3vc4j
    @user-ue2nz3vc4j Před měsícem +2

    Wazee wa trending ha wooh hamna kitu hapo wanataka wapite na upepo mpka siku ya mwananchi..

  • @DevotaMafwimbo
    @DevotaMafwimbo Před měsícem +2

    Wanatumika upande wa shilingi hao,wasitutoe kwenye reli,yunafuraha zetu sisi

  • @BabaNuraty
    @BabaNuraty Před měsícem +2

    Inakuaje raisi wa yanga awe na uwongozi batili

  • @BabaNuraty
    @BabaNuraty Před měsícem +2

    Ao wazee wachawi

  • @emmychitalika7548
    @emmychitalika7548 Před měsícem +2

    Duh, htr sana! Hatupendi Mabadiliko. Mwenyezi Mungu atulie hili nalo litapita.

  • @ahmedomar3020
    @ahmedomar3020 Před měsícem +2

    UBAYA UBWELA HA HA HAAAAHHHH

  • @chikizamifupa5786
    @chikizamifupa5786 Před měsícem +2

    Ataendelea kuwepo kuwa Rais Hao wazee na wapambe wao wataendelea kulia.

  • @mbikamtanganaki
    @mbikamtanganaki Před měsícem +2

    Hao wezee japokuwa siwajui ni wachaw iweje waone timu inpata mafanikio ndio waanze ushenzy wao tuwachunguze nyuma yao Kuna mtu anawashika mkono njaa mbaya

  • @ibrahimally8073
    @ibrahimally8073 Před měsícem +3

    SASA RASMI MZEE MPILI NDIO RAIS MTEULE WA UTOPOLO 😂😂

  • @ahmedomar3020
    @ahmedomar3020 Před měsícem +2

    mzee mpili kaimu rais yanga

  • @Wami-Sababisho
    @Wami-Sababisho Před měsícem +2

    Anaye wajua hao wazee tafadhali 🥺

  • @AlexKanuya-fs2vr
    @AlexKanuya-fs2vr Před měsícem +2

    Bado amjasema nyie utopolo

  • @user-jk3qx3dt6c
    @user-jk3qx3dt6c Před měsícem +2

    Duuh, mnamuogopa Injinia kiasi hicho? Mtapata shinikizo la mioyo mpaka mpasuke ! Yanga imetoka kwenye propaganda uchwara hizo, mtalia kweli mwaka huu!!! Poleni sana

  • @rogersdavis3058
    @rogersdavis3058 Před měsícem +2

    Mpira wetu hauwez kuendelea

  • @Pachaboy-k2b
    @Pachaboy-k2b Před měsícem +2

    Yaniwatu wawili watusumbue sisituliowengi jeewaowakipewa timuwatawezaa kuiendeshaa auwametumwaa aukwsniwanadai shinngapii wapewee aukamavipi wafutiwe uwanachama kwanisiolazima kuwamwnacha wafutiwe uwanachama hivyonivirusi

  • @SeuriMollel-im5yw
    @SeuriMollel-im5yw Před měsícem +1

    Yaan nyie madudu embe nyie mnaeombea yanga shida kama yenu endeleeni na upambavu wenu

  • @user-od8gs5lv2j
    @user-od8gs5lv2j Před měsícem +2

    Sis tuna mtaka hawo waliolopwa na upande mwingne watasubiri san