Uko vzr dada unafundisha kwa uwazi bila kificho unatufungulia dunia mungu akubariki na abariki kazi za mikono yk
Asante ,mashaallah , naomba masomo zaidi nimeupenda Sana ,hizi mashine kiasi gani mfano
Ubarikiwe sana dada
Asante na ubarikiwe
Asante kwa kutupa ujuzi
Masha Allah shukran sana
Nimependa sana jamani barikiwa
Ahsante
Asante sana
Asante kwa video hii natengeneza mafuta haya ila changamoto yangu ni machine ya kukunia nazi naomba uniunge kwenye group lenu kwa ushauri zaidi. Pia asante kwa elimu ya machicha ya nazi.
Shukran
Nimejifunza
Ndio nimejaribu naisubili kesho itakuwaje
Na kama una group naomba kuungwa
Nimependa mafuta yako. nitakupataje nijifunze zaidi.
Asante lakini nime jaribu bila mafanikio sijui nakosea wapi?
Mpz haina haja yakuweka kwa friji ili kugandishaa...
Shea nasa unaweza sana kuelewesha. Nimekuelewa sana. Naomba no. Yako tafadhali
Nyie mnauza kwa jumla au
Mbona mm nimejaribu kutengeneza ambayo hayajachemshwa nimeshindwa ,uchafu umejitenga chini na maji lakini sijaona mafuta je nimekosea wapi
A.a je unaweza kutengeneza kutumia nazi ya mkebe
Mbona nimejaribu yamejitenga uchafu na maji tu nilipo kosea ni wapi naomba msaada
Naomba pia kuwasiliana na wewe kwa namba ya simu kama hautojali
Nimefurahi sana kwa somo naomba namba yako ili nijifunze kwa ukaribu zaidi.
Naomba number yako sim Dada
Shukrani nimejifuza kitu Allah akubariki