Turund tuko navipaji tunakosa tu wakuushik mkon mkono umoja huvunji chawa 🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮 waburund piteni na like kwakumsabot gita na bend yake nakumsapot mburund mwezetu
Muongo eti mama yako eti mtu wa kwaza kuvaa dhahabu mkoa wa Mtwara,mimi mzaliwa wa mtwara nawajua watu Kibao wameaza kuvaa dhahabu toka 1999 pamoja na watoto wao ila siyo vizuri kuwataja looh punguja kulambila tabu wepo kwanichani unamaikana tu bila kulambila
Hongera tabu unanichekeshaga sana nikiona sura tu kabla hujasema
Hongereni kwa kazi nzuri tabu nakupenda
I just love this woman wallah! Tabu umetisha nakupenda mama.🥰
TAABU NAKUPENDA KWA UKWELI PIA NI MUIGIZAJI ULIYE JAALIWA WAZUNGU WANASEMA YOU ARE NATURALLY BORN TO BE AN ACTRESS NAKUPENDA KEEP IT ON💞💞💞RESPECT
Tabu ananifurahisha Sana.. We lov you
Hongereni mnaimba hasa bravoooooopp heko Tabuuuuuuu
Woow wako vizur keep it up dada tabu
Tabu hongera sana meneja upo vzr endeleeni na mahaba mpaka kieleweke
Databu nakupenda sana upo vizur sana kazizote asilimia 💯 nimekumis pia
Hongera meneja daa Tabu penda sana ww ❤️❤️❤️
Tabuu nakupenda sana na wote😂😂😂😂😂😂 mko vizuri sana
Tabu nakupenda mno na dr kumbu Ka na wengine nawapenda sana
Mnaweza sana hongera dada manager wakeeeeeeee tabu much love
Nimeipend hii nyimbo hongeren sana
Nice tabu wewe noma ❤ from UK
Haha we tabu we eti niangalie kilaziama kama sitaki jeeee😅😅😅
😂😂😂😂😂
Yaan tabu uko vzr nakupenda kwakweli
Tabu nakupenda sana upo juu🥰🥰🥰🥰
Hata pua zimefanana
Dina nakependaaa mashallah ukovizuri Sana Tabu namie nilistuka hatali
Good show lakini kelele no nyingi hata hatuja sikia lolote la tabu. Back ground music is too loud
Tabu jamani umetishaa 😍😍😂
Tabu anachekesha sana
Yani mimi nawapenda sana tatu na mume wake wasiachane bwana unajuwa wameoendezana sana sababu wanaelewana😘
Nakupenda tabu nàkupenda sana
Jamani Burundi tupo juu shemej we sema tu mburundi Rwanda hakuna ilokabila linapatikana burundi
Nzuri sana. Hongereni
Lovely sana tabuu
Waooo its amazing😏
Penda sana Tabu mtingita ukiwa pemben na shemej wa dunia
Hongera Dada Tatu una mume mzuri
Ss akisema ukweli utaona uongo na akisema uongo utajua kweli jmn 😀😀😀😀😀😀
Dada tabu nakupend nafuatilia sana kazi zako
Mungu wangu tena Rwanda imo hapa
Mambo yakabira tena makubwa umetuharibisha sisi hatuna makabira we’re rwandan
Hongera tabu
Hahahaha waandishi hamna haja ya kumuhoji daaah aisee huyu anaongea kama chiriku hahahaha
K. Kameza cassette
Turund tuko navipaji tunakosa tu wakuushik mkon mkono umoja huvunji chawa 🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮 waburund piteni na like kwakumsabot gita na bend yake nakumsapot mburund mwezetu
Chawa tena😂😂anaonesha umejaa machawa wewe, sema mkono mmoja haupigi makofi😂😂
Manshallah Allah awadumishiye mapenziyenu bainayenu inshallah
Da wimbo mzuli mashallah
Nakukubali sana diner
Hongera sana dada unakosha wewe
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Tabu😘😘😘😘
Tabu mtingita nakupenda sana
Katika visunzi pasua kichwa Tabu nakupenda KENYA
Dina na kajala kwani Wana relate
Asubutuuu meneja upo vizuri
Congrat
Leo bwawa limeingia ruba kumbuka mdomo koma🤣🤣🤣
under 9 ô9ôo
Nyimbo zur kwakwel jaman
congratulations 👏🇰🇪🇪🇺
Wapelekee vyombo bibi na babu yake zairi. Wa max mam TV utapata pepo
Nakuelewa hadi sina comment
Iyo mititi2 mtangazaji...MASHAAALLAH
Yaani leo ni vinanda ziko ofisini 🤣🤣🤣🤣waaa hawamezi mate
😂😂😂😂Ana kope kama fagio la chelewa 😂😂😂😂
So nicely
Hiyo raba bendi uliofunga kwenye wigi Sasa!!!
Mungu awalinde awepushe na changamoto.
Nyimbo nzurii sanaa
nakukubali tabu mtingita
Hapo chachaaaa mchele roboo nazi naneee
Meza mate basi na ww 😘
Kkkk tabu noma.
😁😁Tabu bhn
Tabu nakupenda sana
Ongera Dada tabu
Tabu una mambo wewe ka sikuwezi jamani
NAKUMISS SANA TABU. MTINGITA
Tabu mumeo ndugu yangu huko kwa baba ,wifi karibu kwetu Rwanda
tabu mweee😁😁😁
Nmemnyoshea tabu na timu nzima mikono
Duuu
nakupenda Dina unaheshima sana
Hii nyimbo kwenye bufaaa banaaa
Nawapenda tz kwenye stundyo.
Dina na Kumbuka mbona Bi Sophia uwa yuko kimya aongeii jaman?
Aongea kama charahan haeki kit uo
Tabu bwana🤣🤣🤣🤣🤣
Wako vizur
Panga nyumba kwani hotel unatumia garama kubwa🙏🙏🙏🙏
💕💕💕💕
Hapa mmenifurahisha wengine wanataka Mambo makuuubwa kwenye harusi sababu ni maarufu fanyeni vyovyote ili mradi harusi ifanyike
Siwanataka kujionyesha
😂😂😂
.tabu sema sema weweeeeeeee
Tabu bakupenda mpenzi
😂😂😂Huyu dr kumbuka kila kona ya tanzania anaijua atakua mzururaji kweli, najutaaaa😅😅😅😅
Kumfahamu
😂😂😂😂jamani Tabu filam yangu mimi ataangalia nani na mimi nipo mtwara
😂😂😂😂❤❤❤
Hongera sana
Shemeji atangaze ndoa
Dina aibu ndio ujue hakuna sehemu ya mbali ungekua na nia ya kumpa ungempostia tu! Leo hii unaona amekua maarufu ndio nitakupa vyombo
🤣🤣🤣👍💯
Good music
Hongera sana tabu na kundi lako
Nimejikuta nacheka mwenywe eti wengine mifupa migumu 😀😀😀😀
👍🏽
Tabu uko vzr
TABU Mashaallah Allah
Pa
Dada dina namimi vyombo
😂😂😂😂
eti sauti nyengine imeenda kwa shemegi😀😀😀#Dr kumbuka bana
Mpeni tabu kipindi anapendeza kuwa mtangazaji akutane na dr kumbuka maana wanaongea sana
Really?
Muongo eti mama yako eti mtu wa kwaza kuvaa dhahabu mkoa wa Mtwara,mimi mzaliwa wa mtwara nawajua watu Kibao wameaza kuvaa dhahabu toka 1999 pamoja na watoto wao ila siyo vizuri kuwataja looh punguja kulambila tabu wepo kwanichani unamaikana tu bila kulambila
Ww hujamzoea t tabu n mmbo yke kwaiyo ww umeamn ksem mama yke nd mtu wa kwnza Kuvaa dhahabu siananogesha ukumbi tu😂😂😂
Anafurahisha tu
Abdu inaonyesha humjui tabu japokua mmetoka wote mtwara. Hiyo tabu ni kuchekesha watu tu
Ameongea kma utani tucheke basi😄
Hapa raha tu
Doctor kumbuka nakupenda bure
Nawapenda wote ila huyo kaka wa mwisho hb mwenyew mung awasidie