NAAMINI HAUTAJUTA KUTAZAMA NA KUSIKIA UJUMBE HUU... karibu sana mpendwa! Usiache kushare like... Pia weka coment Yako ya Baraka hapo ili tuipitie... Asante na Mungu akubariki sana 🙏🥰
Kweli Mungu hajaacha kumimina vipawa kwa wanawe. Hiki Sasa ni kipaji asili/original. Kumbe twaweza kosa kucopy wengine tukawa sisi na Mungu atukuzwe na watu wabatikiwe na alichotupa!! Mtumishi Chilolo Yona Barikiwa na uzidi kuinuliwa na Mungu
Kupitia huu wimbo please God niambie tu zamu yangu ni lini kama kuomba nimeomba nimefunga sikia tu nipanguze machozi tu haya machozi ya uchungu nimechoka kudharauliwa😪😪😪
Wonderful big proud of you 🙏🙏🙏 tu nashukuru kwa ujumbe wenye mafundisho mazuri katika maisha ya kibinadamu,, kwa maana umenena ukweli, hasaa mambo haya kwenye maisha ya binadamu yapo, tu nashukuru kwa message send ✍️✍️✍️ Mungu Akubaliki 🤝🤝🤝🤝💐💐💐💐💐
Video nzuri kabisa naombea kila mmoja Mungu awabariki sana 🙏 hawa vijana wamecheza vizuri malaika wa ulinzi awe nao awaepushe na hiki kizazi wakati wa Mungu ukifika atawabariki endelea kumwamini sending love from Capital of Africa Kenya ❤
Ujumbe 🔥🔥mwimbaji🔥🔥 studio🔥🔥 producer🔥🔥video🔥🔥 diractor 🔥🔥 dancer's 🔥🔥 GAIRO 🔥🔥🔥💥💥💥💥💥"msitunyanyase anaetoa ni mungu na wakati ukifika hazuiwi na mtu" hivi mnanielewa nyieee kina fulanii? my favorite song brother chilolo next level
NAAMINI HAUTAJUTA KUTAZAMA NA KUSIKIA UJUMBE HUU...
karibu sana mpendwa! Usiache kushare like... Pia weka coment Yako ya Baraka hapo ili tuipitie... Asante na Mungu akubariki sana 🙏🥰
Personally am blessed 🙌 😇 🙏🏼 keep pressing your turn is coming 🙏🏼 🙌 💪 sending love ❤️ from Capital of Africa
🙏
Kweli Mungu hajaacha kumimina vipawa kwa wanawe. Hiki Sasa ni kipaji asili/original. Kumbe twaweza kosa kucopy wengine tukawa sisi na Mungu atukuzwe na watu wabatikiwe na alichotupa!!
Mtumishi Chilolo Yona Barikiwa na uzidi kuinuliwa na Mungu
Halleluyaaa
Amen ❤❤❤
Gongaaaa like nyingi kama unamkubali chilolo
🙏🙏
That's great song naupenda Sana Huu wimbo
Kupitia huu wimbo please God niambie tu zamu yangu ni lini kama kuomba nimeomba nimefunga sikia tu nipanguze machozi tu haya machozi ya uchungu nimechoka kudharauliwa😪😪😪
Ameen
Mungu Yuko
Unanibariki sana kak Mungu Aendele kukulinda tuko nyuma yako
Hiyo Kali sana mtumishi keep up brother yona hongera ❤❤❤🇰🇪🇰🇪🇰🇪🙏🙏
Asante Sana
Zamu zetu zitafik tuu mungu yupo nasii
Ukovizuri Sana baba yangu Yona balikiwa mtumishi
Ameen
🔥🔥
Mungu akubariki chilolo na azidi kukuinua nyimbo zako ziko na message poa sana nazipenda
Asante Sana
🙏🙏🙏🙏🙏🙏 baba nami zamu yangu ni lini
👏👏👏👏👏💃💃💃💃
Mungu azidi kukuinua katika kulitangaza neno lake
Ameen
🙏🙏na mungu azidi kukubariki na kukuongezea kibali penda xna nyimbo zako
Ameen
Napenda nyimbo zako zote 🎶🎶🎶🎤🎧baba niambie Zamu yangu ni lini tunakupenda sana 🥰🥰🥰 chilolo
Keep it up mtumishi, na umenona, hongera
😂😂😂
AMEEEN MUNGU AKUBARIKI sana bro na aendelee kukikusa kibawa chako.
Ameen
Babaa niambie na mimi zamu yangu ni lini?🙏🙏
🙏🙏🙏
Uko vizuri kwa nyimbo zako zote zikipigwa stendi musoma nasimama kwa nusu saa
Mungu akubariki kwa hizo nyimbo Safi amen
Amen
🎉🎉🎉
Keep it up good job
Mungu zamu yangu ni lini😭 kama naomba vibaya yaone ata machozi yangu .Amina
Hongera kaka siezi acha kuusikiza huu wimbo all the way from 🇪🇦 Spain Barikiwa Tu sana
Napenda Sanaa Nyimbo zako ubarikiwe Mtumishi
Wonderful big proud of you 🙏🙏🙏 tu nashukuru kwa ujumbe wenye mafundisho mazuri katika maisha ya kibinadamu,, kwa maana umenena ukweli, hasaa mambo haya kwenye maisha ya binadamu yapo, tu nashukuru kwa message send ✍️✍️✍️ Mungu Akubaliki 🤝🤝🤝🤝💐💐💐💐💐
Ameen
Fire mungu akubariki Kwa kazi nzuri
Ameen
From Facebook watching from 🇰🇪
Ameni nyimbo nzuri sana yenye ujumbe mzuri sana
Video nzuri kabisa naombea kila mmoja Mungu awabariki sana 🙏 hawa vijana wamecheza vizuri malaika wa ulinzi awe nao awaepushe na hiki kizazi wakati wa Mungu ukifika atawabariki endelea kumwamini sending love from Capital of Africa Kenya ❤
@KarenKetura. My Love to his song's i never get tired of listening to his song's, they all have a very strong msg,,,,,🙏🙏🙏❤❤❤
AMEEN AMEEN
@@janeatjaneat6599 ❤️❤️❤️much humble dear God's grace is sufficient we thank Him 🙏🙏♥️♥️ blessings queen ❤️❤️❤️❤️🌹
Kenya 🇰🇪tumekubali❤
Hongera chilolo fanyakazi ya mungu kwa moyo mmoja
Song tamu sana MUNGU akubariki mtumishi wa MUNGU❤
Ameen
Hunger sana ujumbe mzuri sana huu Mungu azidi kukuinua na akupe atua moja zaidi
Kazii kubwaaa Sana babaa🙏🙏🙏
Asante Sana
MUNGU wa mbinguni akuinue zaidi mtumishi wa MUNGU.. napenda sana wimbo uhu
Nyimbo za maudhui safi sana kijana Mungu akufikishe viwango vya juu zidi
Nyimbo nzuri praising from Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Napenda sana utunzi wako mtumishi wa Mungu. Lakini ni Mungu anayekuwezesha tu🙏
Mungu wangu zamu yangu ni lini🙏
Asante Sana
Ubarikiwe sana nilikuwa nangoja vedio kwa hamu pokea🎉🎉🎉🎉
Ameen
Wow nice song na ikona mafunzo
Ameen
Nakukubali sana mtumishi MUNGU azidi kujutia nguvu
Usitunyanyase anae toa ni MUNGU na wakati ukifika hazuiwi na mtu❤❤❤❤ ujumbe mzuri sana🙏
Nyimbo zako zinanibariki sana Mungu azidi kukuinua
AMEEN
Ameen
Hongera,,,, 👍👍👍 napenda sana👏👏👏 injili kamili kama ilivyo,,, Jina la jehovah litukuzwe 🙌🙌🙌🙌
Ameen
Good song thank you so much God bless you congratulations ❤❤❤❤
nyimbo zako za nibariki tu sana niko saudi ubarikiwe sana muibaji
Ameen
Wimbo una ni bariki nikiwa 🇸🇦 🙏🙏
Ameen
❤
Uko vizuri
Ujumbe 🔥🔥mwimbaji🔥🔥 studio🔥🔥 producer🔥🔥video🔥🔥 diractor 🔥🔥 dancer's 🔥🔥 GAIRO 🔥🔥🔥💥💥💥💥💥"msitunyanyase anaetoa ni mungu na wakati ukifika hazuiwi na mtu" hivi mnanielewa nyieee kina fulanii? my favorite song brother chilolo next level
Ameen...Mungu akubariki sana
Hapo sasa my favourite song watching from 🇰🇪 Kenya more fire 🔥🔥 bro 💪💪
Mungu wangu na mim zamu yangu ni lini 😭😭😭😭😭😭
Itafika
Barikiwa sana🙏
❤❤❤amen,,, I love 💕😘 your songs broo 👌👌
Ameen
Babaa na mimi zamu nilini nakugoja mungu wangu😴😴💘
Ameen
Namkubali ata mbingu sinamgubali
Ameen
Wasitunyanyaze anayetoa ni mungu,powerful message it is❤
Much love from kenya
Alooooo huyu Munguu hajawahi kunyamaza tutapokea mara mua saba sabinii, Hongera mnoo mtumishii barikiwa kwa kazi nzurii
Asante Sana
❤❤❤manze nyimbo za huyu chilolo ni tamu.zinapea mtu hope
Kila ninapo sikiliza nyimbo zako I feel blessed 😇, BARIKIWA NDUGU😇😇😇
Ameen
Safi sana my homeboys mungu awabariki sana ❤❤🙏🙏
Asante Sana
Ubarikiwe sana Ndugu...mungu samu yangu ni lini
Yona wetu amevuka na ametufikia na ujumbe wa wakati.
ASHUKURIWE MWENYEZI MUNGU milele Amina
Ameen
Nyimbo zako zantoa machoz kila nkisikiliza Acha mungu azud kufungua njia juu yako
Mungu aendelee kutiya nguvu nimebarikiwa kupitiya hii nyimbo.
Chilolo apewe heshima zake👌na Mungu azidi kumubariki sana🙌
Baba zamu yangu ni line nimechoka
Pia mm baba niambie zamu yangu ni lini
Nabarikiwa sana! Wimbo wenye manufaa, kweli!
Barikiwa,sana Una ujumbe mzuri
🔥🔥🔥🔥❤️❤️❤️❤️❤️
Mungu akubariki sana mkaguru wa maguha❤❤
Magubike sio maguha
Amen napenda kusikiliza Nyimbo zako ziko na message mzuri sana mungu akubariki sana kaka
Ni lini baba nimechoka kwa dhihaka za waliofanikiwa
Ameen
Baba nami naamini zamu yangu itakuja tu bado nasubiri🙏🙏
Kabisaa
Hongera MUNGU azidi kukuinua❤❤🎉🎉
Kazi nzuri sana bro ni Msanii RAMLI MUKHWANA OFFICIAL
Congratulations brother napenda nyimbo zako sana
Kazi kubwa bro mungu akuinue zaidi🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌
Mungu amewezesha
Hakika
Zidi kubarikiwa kaka ,hakika nyimbo zako zanipa matuini makubwa,🎉🎉🎉🎉🎉Mungu akuinue zaidi
Ameen
@@yonachiloloofficial ,Ameen ,kaka uinuliwe
Be blessed nice song
Nimebarikiwa kupitia huu wimbo.i will not give up
From tiktok ❤❤
Nice song mtumishi,be blessed
Aiseee huu umetissha hatari kipaji kikubwa sana sjui nitakupata wapi tuongee kidogo
Asante Sana 😊
#254 naomba likes zenu please,
The guy with true gospel
MUNGU AZIDI KUKUINUA🎉
Ameen
Amen Amen ubarikiwe mtumishi wa Mungu
Ubarikiwe sana mtumishi kwa ujbe mzuri❤
Mungu akubari sana kwa wimbo huu, kama NAMI vile nabarikiwa ❤❤❤🤲🤲🙏
Ameen
Mungu akubariki sana wimbo huu mzuri sana 🙏🙏🙏🎉🎉
Asante Sana
Yona unajua sana. The most high God Wana lift u up to the other levels
Nakuku bar cans chilolo do mwingne no wini apa
Ameni may the Lord answer our prayers my brother chilolo
Akika mungu akupe umri mrefu
Ameen
Nmekutana na video yako tiktok nikapenda vile unavyo imba ....May God bless you ...favour favour as you go high ...blessings
Ameen
Amen mtumishi
Be blessed brother your going ......your songs so touching 😢😢😢 may God come through over my life want to know when is my turn and transform my life
Baba niambie Na Mimi zamu yangu nilini🙏🙏🙏🙏