Samahani dada naomba unijibu je ninlazima nianze kunywa wakat nikiwa period tu ? Nikinywa kabla ya siku za.period kuna madhara ikiwa nia ni kutibu UTI ?
Dad naomba nijibu. Mimi ninasumbuliwa na p I'd. Pamoj. Muwasho. Sehemu za Siri na. Pia. Natokwa. Na uchafu mwing Kam usah sielewi. Naomba ushauri wako plz
@@najlaskitchen1572 hio dawa inasaidia kwa muhanga wa uzazi wa mpango? Na je naweza kutumia hio na ile ya bamia, karafuu na mdalasini kwa wakati mmoja?
Samahani dada naomba unijibu je ninlazima nianze kunywa wakat nikiwa period tu ? Nikinywa kabla ya siku za.period kuna madhara ikiwa nia ni kutibu UTI ?
Naitwa khamis Niko Zanzibar napenda kufuatilia vipindi vyako vizuri Masha Allah
Mimi naitwa FREDINA ujauzito kwangu umekuwa mgumu sana nifanyeje ili nipate ujauzito mwingine nina mtoto mmoja tu
Shukran sana dadaa❤❤❤
Unakunya ya moto ama hadi ipoe?
Nashukulu Sana dada mm nasumbuk Sana na maumivu ya hedhi mungu akubalik kwa mafundisho yako mazur
Nakupenda xana dada angu kwa mafndisho mazur mungu aendelee kukubaliki imenisaidia xana hii dawa , ubalikiwe
Mamb
Helpful ❤
I'm glad!
👍👍👍👍👍
Hello,ni vizuri kutumia majani mabichi?
Hii inasaidia ukiwa mhanga wa dawa za uzazi wa mpango?
I mean hupati mimba
Je utaweka sukari?
Nakupenda kwaajili ya allah❤
Mi pia😢
Jee kwa wanaume wao inasaidiyaje
Naomba kujua unatumia nn usoni.
Uso wako maa shaa ALLAH 👌
Shukran...Coco pulp
@@najlaskitchen1572dada unatumia makavu au mabichi
Kwa mjamzito inaruhusiwa??
Dad naomba nijibu. Mimi ninasumbuliwa na p I'd. Pamoj. Muwasho. Sehemu za Siri na. Pia. Natokwa. Na uchafu mwing Kam usah sielewi. Naomba ushauri wako plz
Naomba no yako dada miye mdogo wako Nina shida
Sawa
Good job dear❤
Thank you 😊
Habar dad
Dada kuna dada ana ndevu kidevuni kama utakua unajua dawa plz anajisikia aibu
Je inatibu maumivu wakati wa tendo
Je km umemaliza siku je unaweza tumia
Tunashukur kwa kutuelimisha..je?naweza kupat namba ya wasp
Je kama unatumia uzazi wa mpango na hauoni siku zako je inasaidia kuzibua
M
Assalamu aalaykum warahmatullah wabarakatuh
Samahani ni kunywa vijiko,vikombe vingi?
Kwa siku mara ngapi?
Kama hauitaji Kazaa unaweza kutumiya iyo
Aa❤❤
Hi my dear please nisaidie n NAMBA zKo please 🙏🙏 nakuomba sana sana ubarikiwe
Me nilisaga tangawizi je itanisaidia kweli😢
Naomba namba zako plz
Naweza tumia majani yasiyo kauka
ABABARI AKICHANGANYA MAJANI YAMPERA KARAFUU NA MAJANI YA MPERA ???
New subscriber hapa,Ahsante kwa kutuelimisha,Allaah akulipe zaidi❤
Karibu ❤❤
@@najlaskitchen1572 Asantee
Asante dada je ii inaeza saidia kushika mimba?
@@najlaskitchen1572 hio dawa inasaidia kwa muhanga wa uzazi wa mpango? Na je naweza kutumia hio na ile ya bamia, karafuu na mdalasini kwa wakati mmoja?
Samaha mamy inaweza saidia kwa wale amabao hawapevushi mayai (PCOS) kupevusha mayai na kubeba ujauzito?
Yeah
Dada mim nna miez mingi sioni siku zangu pia natafuta mtoto sipati je itasaidia
Je nikienda kwa mr uhakika wa kubeba ujauzito upo?
😂😂
Je wanaume wanaweza kutumia hii dawa?
Yeah
Je ukiwa umechelewa nasiku.zako na hauna mimba unaweza.tumia am mtu hufanya nini
Dada mm nataka Kujua wewe unatumia nn kujipaka usoni 😂
Coco pulp
Wanaume je hawawez tumia😂
Yes
Mbonaa hujajibu jee kwa wanaume inasaidiaa nin ??
Sikiliza mbona kaelezea kila kitu
Ukikosa asari
Unakunyw sku ngapii yan wiki mbili au
Maji hayo hyo unatumia siku 14 au kila siku mapya
Unaweza ukatumia siku 14 majani hayo hayo?