DEVIL'S HOUSE | Full Movie |.
Vložit
- čas přidán 11. 06. 2024
- Nyumba ndio chanzo cha matatizo yote ya hapo kijijini, ikiwemo mauaji na watu kupotea ovyo.
Je familia hii mpya itaweza kupambana na majaribu hayo? Karibu kufatilia kisa hiki cha kusisimua.
Follow us on INSTAGRAM 👇 chiebway_tz...
Follow us on TIKTOK 👇
www.tiktok.com/@chiebway_tz?_...
WHATSAPP ONLY
+255 764 397 711
Wasio elewa maana ya movie ndo watalalamika kuhusu rangi, lakini kwa upande wangu kila kitu kipo sawa ❤🎉 tuna wapenda. 🌎
Kweli
Team chiebway tuna wa kubali saanaa ❤❤ huku ndo tuna angalia movie kama za wazungu na cyo bongo movie zenu hizo 😂 😂 😂 😂 😂
Big up ❤❤❤❤
Chibu pamoja na team yako ninawapongeza❤❤🎉🎉🎉
Noma san💯💯💯
Ni ❤️🔥❤️🔥❤️🔥
Much respect bro
Chibuzooooooombi umetisha mkali
Mko vizur saña🎉🎉🎉🎉🎉
Kazi tamu
Nmependa Maa Sandra anavyoongea❤
Vizuri
Iyo movie umetulia sana😊😅
Kubwa
😂😂😂bi migomba anadeka sio
🎉🎉🎉 SUBSCRIBE
🎉❤
Wabongo ubunifu zero kabsa, hii movie haina mbele wala nyuma, nmemaliza bandle langu la bure, matukio katika movie hayana uhusiano kabisaa, ovyooooooooooo kabisa
Watu hamna shukurani,amekosea hii tu au anakoseaga kila picha ?msifie mtu kwanza kisha mwambie jaribu kurekebisha kwa hapa au hii picha ume wrong kwa sehemu moja.
🔥🔥
Hii ndio movie sasa
Oora man vunga
Oora man vunga 4:52
Mungu awazidishie . Ni wenu director inspecteur innocent kutoka Congo 🇨🇩 . Nawa omba SUBUSCRIBE zenu.🎉
Hiyo nyumba hata kama nimelipa codi ya miez6 nahama tu
😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢
🙏 KAKA! Huu mfumo wa kupost part 1 kisha part 2 halafu unakuja tena kupost FULL FILM unachosha ndugu yangu. Hata zile za EP kupost episod mpaka mbeleni unaweka tena FULL inakera. Weka part 1 weka 2 tusonge mbele. Kama hakuna umuhimu wa hizo nusu nusu tengeneza nzima moja kwa moja post full usiweke nusu nusu 🙏 NI MAONI YANGU
Hujambo...Sababu ya kufanya hv ni Hv Episode ni biashara ya You tube na Ile Full ni biashara ya VCD na DVD huwez toa series ya DVD kw episode .....
Hyo ndio maana yke ......
@@user-to1it9hk2z ukiwa unamaanisha watu wadownload wakabani kwenye CD ?. Kwasababu ni watu wachache sana walioangalia ep wakaja kuangalia na full. Wakiangaliabwatakuwanapeleka peleka mbele sana na wengine wataangalia kidogo wakizania ni video mpya wakishaona wanaifahamu wanaachana nayo...
Afu nyie jamaa hamnaga idea nyingine? Kila movie mnayotoa inahusu imani za kishirikina, ina maana mmeshindwa kuja na angle nyingine tofauti na hii mlozoea?
Wanazipenda hizi story kwasababu azitumii pesa nyingi
Taja sasa mfano wa angle ili waone, usitoe ushauri bubu
wwe mxhilikina nn mbna vinakukela😂😂
Oora man vunga 4:52