Hata msigwa angeongea ukweli bado hawazi kueleweka,labda angejitenga na siasa angeonekana wa maana,lakini kutoka hapa kwenda pale ni sawa tu na mchezaji wa mpira anafuata penye hela.
Yani inanipa maswali sana mtu umekulia ccm mpaka unazeeka hujawahi hata kuteuliwa mwenyekiti wa bodi ya tumbaku alafu anakuja mtu anataka apewe nafasi inaumiza kwa kweli
CCM na chawa zake mnatishwa na kuumizwa na uimara wa Mbowe kuweza kukiimarisha CHADEMA. Mbona havisemi kama ACTWazalendo,NCCR,CUF au vinginevyo? Wivu wa kichawi utawaangamiza. Msigwa jicheki unavyotembea uchi hadharani! Aibu yenu ni kubwa sana eti!
Ccm inamtumia msingwa kw kuziba njaa zake ili aipode chadema kazi yake na yy amepewa hiyo na katibu mwenenzi wa ccm analipwa hela kuziba njaa zake ila aendelee kuipoda chadema
Msigwa, hustahili kulitaja jina la Mungu wetu. Ni msaliti wewe na mganga njaa. C DM walikuwa na akili kukutosa walikujua. Njaa mbaya sana, huyu dada anaponda CDM iliyomfikisha hapo alipo. Hata CCM wenyewe wanawashangaa Msigwa na wewe dada.
Wewe Msigwa ni mpumbavu kiwango cha pimbi unafikiri waziri mkuu ni lazima awe Kasimu Majaliwa ,waziri wa fedha awe Mwigulu Nchemba? Mind you position is not a possession .
Ni wakati wa kufahamu upande wa pili nashangaa wanaompinga msigwa asiseme mambo ya chadema .sasa mnataka tuwe tunasikia ubaya wa ccm kila wakati hiyo sio demokrasia tunayoililia
Msigwa mbowe sio Tanzania,,,ongelea matatizo ya watanzania tutakuelewa,,mda woote mbowe mbowe. Shida nini,,au ndio ilee kwamba itukane chadema tukupe madaraka
Kwani msigwa toka umeenda CCM umeenda na agenda ya mbowe tu au kipi kilikuvutia CCM ndio unapaswa kutuambia umevutiwa na nini CCM sio mbowe alafu mbowe sio taasisi ni mtu dili na chadema sio mbowe kwenye mwenye akili timamu anakuona unachuki binafsi grow up bro
Hakuna mpumbavu kama ninyi, mmekosa uongozi mnaloloma. Acheni uwongo na umalaya. Mbona huko mlikokimbilia ndio nyumba ya mafisadi. Badala ya kuipigania nchi mnachafua mlikotoka ili kujipendekeza kwa ccm. Umehamia CCM unahangaika kuisema Chadema, huoni kuwa hao unao wahutubia wanakuona punguani? unatafuta umaarufu kwa kuwanyea walio kulea. Ni kujidhalilisha.
Ndio ujue kuwa nchi hii rushwa na ufisadi unaasisiwa na chama tawala.Yaani wamemnunua huyu kwa kazi maalum ya kuja kuichafua Chadema.siasa chafu ,za kijinga na za hovyo kabisa zisizozingatia utu,ubinadamu,haki na utanzania wetu.Halafu wanawahubiria watanzania kuwa wao wamekulia katika dini na kufundishwa maadili mazuri.Eti Afrika tuna maadili yetu,maadili gani ya kudhulumiana,kutesana,kuuana,kuibiana kura,kutekana,kuonea wengine,kula rushwa,kuwa mafisadi,wabadhirifu,wezi.Tena bora hata wakati wa ukoloni wa mtu mweupe ulikuwa unathamini utu na haki zetu kuliko hawa wakoloni weusi.
Naona unapoteza mwelekeo wa kiuchungaji mbona huzungumzii tena kuhusu wamasai na akili ndogo kuongoza akili kubwa mnatumika na wanaccm kama wapiga debe wao wamerilax kweli vipande vya hela vinapoteza ukweli mmekuwa waongo kuliko mlivyokuwa chadema
Wewe ni shetani wa kijani kama chadema imezungukwa na wahuni wewe nawe ni muhuni acha kutumika kama Kuna mmbwa wa Sokoni wewe utaacha kuibrand chadema siku ukipewa ukuu wa wilaya acha kuwa lofa zungumza yaliokupeleka ccm.
Mshangaza sana aisee, elezeni mambo mazuri ya CCM na siyo kuongea mapungufu ya Chadema. You are so weak.
Ni vizuri ukaeleza nini utawasaidia Wantanzania baada ya kuhamia huko sio kukaa unasema tu ulikotoka kama mke aliyetoka Kwa mumeo
Lazima aeleze ukweli kuhusu chadema mnaachoogopa nini kuisema chedema.mbona chadema wanaisema ccm
Hata msigwa angeongea ukweli bado hawazi kueleweka,labda angejitenga na siasa angeonekana wa maana,lakini kutoka hapa kwenda pale ni sawa tu na mchezaji wa mpira anafuata penye hela.
aache siasa atakula wapi 😂 ndo maana anaangaika kitafta tundu
Huy alikuwa upinzani akasema ccm mbaya, huyu hyu leo ana sema chadema wabaya, jaman tuelewe lipi?
Mganga njaaa
Msigwa acha akiba ya maneno. Muda ni mwalimu mzuri
Uchu wa madaraka unamsumbua..
Kajamaa kanataka kuongoza na siyo kuongozwa.
Kelele zote hizi ni kwa sababu ya kukosa uenyekiti wa kanda ya Nyasa.
Ungeondoka Chadema kabla ya kushindwa uchaguzi wa kanda kidogo ungeeleweka.
Njaaa mbaya jamani
Mchungaji Peter Msigwaaaaaaa.
Kwenda huko hatukutambui
Yani inanipa maswali sana mtu umekulia ccm mpaka unazeeka hujawahi hata kuteuliwa mwenyekiti wa bodi ya tumbaku alafu anakuja mtu anataka apewe nafasi inaumiza kwa kweli
CCM na chawa zake mnatishwa na kuumizwa na uimara wa Mbowe kuweza kukiimarisha CHADEMA. Mbona havisemi kama ACTWazalendo,NCCR,CUF au vinginevyo?
Wivu wa kichawi utawaangamiza.
Msigwa jicheki unavyotembea uchi hadharani! Aibu yenu ni kubwa sana eti!
Ww yuda nawe tumekuchoka huna sela
Siasa ni mbaya aise msigwa ametembea na LISU nchi nzima akipinga mkataba wa bandari akisisitiza ccm inauza nchi leo tena anayakana maneno yake.
Kuma ww huna akili fala ww umekosa umwenyekiti unajifanya ww ccm ww tapeli hapo umeahidiwa nafas ukikosa utarud ulikotoka
Piga mawe Mh msigwa wanafikili hao chadema wahuni wengi male huo ukweli Tanzania tunashanikia ujinga ujinga bila.
Ondoka hapa hujui unacho ongea umeshaondoka chadema kwanini unawaongelea kila siku? Umejisahau wewe ni CCM?
Kila siku mbowe mbowe...kweli nimekubali ccm mnaiyongopa chadema
Mi Sio Chadema hila hawa msigwa na mwenzie hawajielewi
Ccm inamtumia msingwa kw kuziba njaa zake ili aipode chadema kazi yake na yy amepewa hiyo na katibu mwenenzi wa ccm analipwa hela kuziba njaa zake ila aendelee kuipoda chadema
msigwa ni mchungaji,na ni mkweli sana hapendi uhuni uhuni!!
Hivi jamani ccm na nyie munasimamisha Masikio kusikiliza ngonjera za Msigwa.kwanza vuteni kumbukumbu alipokuwa chadema aliwanangaje.Huyo ni kirusi kukosa uongozi munatapatapa.
Mungu piga nyundo ya kichwA kwawale ambao waongo
Kwahyo nchi hii chama ni ccm na chadema 2. Au vingne ni chadema B. Au. Ccm B eleza mambo yaliyo fanywa na ccm
Msigwa, hustahili kulitaja jina la Mungu wetu. Ni msaliti wewe na mganga njaa. C DM walikuwa na akili kukutosa walikujua. Njaa mbaya sana, huyu dada anaponda CDM iliyomfikisha hapo alipo. Hata CCM wenyewe wanawashangaa Msigwa na wewe dada.
HII NI TAKATAKA TU
Njaa Kali inakusumbueni pelekeni huko upumbavu wenu msigwa na huyo mwenzio
Njaa ni mbaya sana
Wewe Msigwa ni mpumbavu kiwango cha pimbi unafikiri waziri mkuu ni lazima awe Kasimu Majaliwa ,waziri wa fedha awe Mwigulu Nchemba?
Mind you position is not a possession .
Ni wakati wa kufahamu upande wa pili nashangaa wanaompinga msigwa asiseme mambo ya chadema .sasa mnataka tuwe tunasikia ubaya wa ccm kila wakati hiyo sio demokrasia tunayoililia
Msigwa mbowe sio Tanzania,,,ongelea matatizo ya watanzania tutakuelewa,,mda woote mbowe mbowe. Shida nini,,au ndio ilee kwamba itukane chadema tukupe madaraka
Kwani msigwa toka umeenda CCM umeenda na agenda ya mbowe tu au kipi kilikuvutia CCM ndio unapaswa kutuambia umevutiwa na nini CCM sio mbowe alafu mbowe sio taasisi ni mtu dili na chadema sio mbowe kwenye mwenye akili timamu anakuona unachuki binafsi grow up bro
Hakuna mpumbavu kama ninyi, mmekosa uongozi mnaloloma. Acheni uwongo na umalaya. Mbona huko mlikokimbilia ndio nyumba ya mafisadi. Badala ya kuipigania nchi mnachafua mlikotoka ili kujipendekeza kwa ccm. Umehamia CCM unahangaika kuisema Chadema, huoni kuwa hao unao wahutubia wanakuona punguani? unatafuta umaarufu kwa kuwanyea walio kulea. Ni kujidhalilisha.
Hivi nyinyi nani alie wataza mpaka kila mtu akawajua ? Hii nchi inawatu waajabu sana kiufupi nyinyi ni wasaka tonge mnajali matumbo yenu tu
Cc hatuna shida na ccm ila issue ya setiva😂😂😂😂😂😂😂 Bado ni question mark msigwa division fyooo😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Elezeni shida za Wananchi Chadema siyo matatizo ya Wananchi hamweleweki hata mtoe machoz ya damu kuisema Chadema wakati nyie ndo dola
Msigwa achana na chadema toa sera kila siku mbowe mbowe
Mbowe au unataka akuoe sema huenda ww shoga
Ndio ujue kuwa nchi hii rushwa na ufisadi unaasisiwa na chama tawala.Yaani wamemnunua huyu kwa kazi maalum ya kuja kuichafua Chadema.siasa chafu ,za kijinga na za hovyo kabisa zisizozingatia utu,ubinadamu,haki na utanzania wetu.Halafu wanawahubiria watanzania kuwa wao wamekulia katika dini na kufundishwa maadili mazuri.Eti Afrika tuna maadili yetu,maadili gani ya kudhulumiana,kutesana,kuuana,kuibiana kura,kutekana,kuonea wengine,kula rushwa,kuwa mafisadi,wabadhirifu,wezi.Tena bora hata wakati wa ukoloni wa mtu mweupe ulikuwa unathamini utu na haki zetu kuliko hawa wakoloni weusi.
Msigwa mjinga amekura matapishi yake mwenyewe nikama mtu wa arisema hawezi kununurika kwa vipande vya fedha kununurika Hiro Hana aibu jamaa
Hivi kuna wahuni zaidi yenu mnaongelea Nyumba mliyoiacha kweli!?
5:23
Njaa tuww
Naona unapoteza mwelekeo wa kiuchungaji mbona huzungumzii tena kuhusu wamasai na akili ndogo kuongoza akili kubwa mnatumika na wanaccm kama wapiga debe wao wamerilax kweli vipande vya hela vinapoteza ukweli mmekuwa waongo kuliko mlivyokuwa chadema
Duuu..sawa
Tumbo lingekuwa kama mgongo haya yote tusingeyaona wala kuyasikia
CCM MITANO TENA TUNAJIANDAA KUMPOKEA TUNDULISU SOON😂😂😂
Msigwa acha ufala ongea ya huko uliko hiyo yote ni njaa inakusumbua
Peneza ndiyo wewe dah!😂😂😂
Ww mweu hujitambui hiki sio kizazi Cha wajinga kama mlivozoea, nyie nyumbu
We njaa 2😢
Car wash hakuna wateja Rudi iringa
Wanasiasa Malaya Malaya kama akina msigwa hawafai kuwa viongozi wa nchi wewe ni ni mpuuzi tu
Kauli inakuwa hizo hizo kila sehem
😂😂😂😂 ILA KWEL NIKIIANGALIA CHADEMA SILION BARAZA LA MAWAZIR WENG N KAMA WASINDIKIZAJ TU
Taka taka
Ww ni msaliti kama jeshini unapigwa risasi
Wewe mwenyewe ni mhuni
Mbona unataka kujinyea kajiangalie nyuma mi nadhani unakaribia kujinyea
Mpenda madaraka huyooooovyoooo
Msigwa iyo njaaa jaman
Ivi uwa hawana hoja za maana zaidi ya kusemasema kule walikotoka?
mbona htujawahi ona ufisadi wa CHADEMA
Msenge tu uyu
Usaliti bwanaaaa
uyu nae dishi limeyumba njaa mbaya sn
Mwehu tu kama wehu wengine
Jaa tu zako
Ww mchungaji wahovyo kabisa
Huna jipya
Mbona ulikuwa unatusema vibaya hatuna imani na wewe. Wewe endelea tu na njaa zako tutaendelea kukuhudumia ukishiba uondoke na njaa zako
Huko makanisani muwe mnatoa sadaka za kutosha ili vioja km hivi vijitokeze tena
Mchugaji umeshiba makande sasa untowa harufu mbaya
Wewe ni njaa Kali uliyo nayo.
Unamtukana alie kulea. Ni uchiziiii
Oya masela uyumzeee mzm kweeliiiii au mweuuu
Wewe ni shetani wa kijani kama chadema imezungukwa na wahuni wewe nawe ni muhuni acha kutumika kama Kuna mmbwa wa Sokoni wewe utaacha kuibrand chadema siku ukipewa ukuu wa wilaya acha kuwa lofa zungumza yaliokupeleka ccm.
Acha na akiba ya maneno acha kubwata
Wakikutumia watakupulizia pembeni
mmojawapo ulikuwa wewe
msigwa. wengine Atujauwona huuni wao
Njaa Mbaya sana imetoka kwenye tunbo imehamia kwenye Ubongo.Sasa kwani usietangaze Mazuri ya CCM
Huna mpya brother
Mmh
Yaani huyu ni bwege
Pumbavu wewe msenge sana
Akili imehamiya tumboni
Malaya wawili wamekutana kwenda kuuza mwili kwa mafici
Nenda nawe kauze wa kwakoo kama ni pesa😅😅😅😅
Wewe ndio muhuni Malaya wakisiasa
Kweli😂😂😂😂😂😂😂😂
Hivi msigwa kumbe hamnazo bado hujanipa? Domo kaya kazi yake kuropoka
Huyu tapeli
Huyooo chizi amekaza shingo na mishipa yake kama yule shetani mnyonya damu lakini ukumbuke ulikuwa wapi si hukohuko chadema mpuuzi mnafiki
Hueleweki Msigwa nonsense 😂
Bila kujali mambo ya vyama wanasiasa sijawahi kuwaelewa ni kupondana tu wakat wananchi wanataka kusikia mtafanyia nini mkipata nafasi.
Msigwa kwahyo hoja zako kila siku ni chadema??
Mbwa hyo anabweka
Wwe nimhunitu unaongea ujingatu hamnachamaana
wanaomsikiliza ndo wapuuzi, unamsikilizaje msalit na unampigia makofi, huyo ni mnafiki, angekuwa na akili angebak sehemu moja,
Hizi comments zinatosha kujuwa watanzania wamepokeaje hoja zako
Malayamalaya
Nimeipenda hii ya Mwallimu Nyerere, wanasisa malaya malaya - akina Msigwa.
Wewe njaa itakuuwa pimbi wewe alafu semea chama chako kuwa mtawafanyia nini wananchi sasa imekuwa chadema tu mpuuzi tu wewe
Kwahy nyie kama,cha tawala badala mfany kaz,mnakikosoa upinzani,ss wapnzan watamkosoa nani,wakat nyie ndy mtekeleze kwa v8ti mlivyo navyo😢
Wewe kahuko uwasaidie familia yako wewe kuitendea hakika family yangu