MBOWE AMEZUNGUKWA NA WAHUNI, CHADEMA IMEKOSA UHALALI WA KUIKOSOA CCM, MCH.MSIGWA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 13. 09. 2024

Komentáře • 156

  • @andrewmaiga4331
    @andrewmaiga4331 Před měsícem +10

    Mshangaza sana aisee, elezeni mambo mazuri ya CCM na siyo kuongea mapungufu ya Chadema. You are so weak.

  • @JosephMosabi
    @JosephMosabi Před měsícem +5

    Ni vizuri ukaeleza nini utawasaidia Wantanzania baada ya kuhamia huko sio kukaa unasema tu ulikotoka kama mke aliyetoka Kwa mumeo

    • @RBMBAKARI-bv6wn
      @RBMBAKARI-bv6wn Před měsícem

      Lazima aeleze ukweli kuhusu chadema mnaachoogopa nini kuisema chedema.mbona chadema wanaisema ccm

  • @Uhuru1234
    @Uhuru1234 Před měsícem +7

    Hata msigwa angeongea ukweli bado hawazi kueleweka,labda angejitenga na siasa angeonekana wa maana,lakini kutoka hapa kwenda pale ni sawa tu na mchezaji wa mpira anafuata penye hela.

    • @frankomary3888
      @frankomary3888 Před měsícem

      aache siasa atakula wapi 😂 ndo maana anaangaika kitafta tundu

  • @Uhuru1234
    @Uhuru1234 Před měsícem +8

    Huy alikuwa upinzani akasema ccm mbaya, huyu hyu leo ana sema chadema wabaya, jaman tuelewe lipi?

  • @rkcomercialenterprises3209
    @rkcomercialenterprises3209 Před měsícem +6

    Msigwa acha akiba ya maneno. Muda ni mwalimu mzuri

  • @obadiamwakatuma4162
    @obadiamwakatuma4162 Před měsícem +4

    Uchu wa madaraka unamsumbua..
    Kajamaa kanataka kuongoza na siyo kuongozwa.
    Kelele zote hizi ni kwa sababu ya kukosa uenyekiti wa kanda ya Nyasa.

  • @user-ol2rz8jq7u
    @user-ol2rz8jq7u Před měsícem +3

    Ungeondoka Chadema kabla ya kushindwa uchaguzi wa kanda kidogo ungeeleweka.

  • @MageriMageri
    @MageriMageri Před měsícem +5

    Njaaa mbaya jamani

  • @user-tg7vq3ty8p
    @user-tg7vq3ty8p Před měsícem +3

    Mchungaji Peter Msigwaaaaaaa.

  • @HamisiSamweli
    @HamisiSamweli Před měsícem +3

    Kwenda huko hatukutambui

  • @wisdomfolks
    @wisdomfolks Před měsícem +1

    Yani inanipa maswali sana mtu umekulia ccm mpaka unazeeka hujawahi hata kuteuliwa mwenyekiti wa bodi ya tumbaku alafu anakuja mtu anataka apewe nafasi inaumiza kwa kweli

  • @mxfsedtirz
    @mxfsedtirz Před 10 dny

    CCM na chawa zake mnatishwa na kuumizwa na uimara wa Mbowe kuweza kukiimarisha CHADEMA. Mbona havisemi kama ACTWazalendo,NCCR,CUF au vinginevyo?
    Wivu wa kichawi utawaangamiza.
    Msigwa jicheki unavyotembea uchi hadharani! Aibu yenu ni kubwa sana eti!

  • @neemanziku5403
    @neemanziku5403 Před 29 dny +1

    Ww yuda nawe tumekuchoka huna sela

  • @amanimahamudu5118
    @amanimahamudu5118 Před měsícem +1

    Siasa ni mbaya aise msigwa ametembea na LISU nchi nzima akipinga mkataba wa bandari akisisitiza ccm inauza nchi leo tena anayakana maneno yake.

  • @josephfrancis9943
    @josephfrancis9943 Před měsícem +1

    Kuma ww huna akili fala ww umekosa umwenyekiti unajifanya ww ccm ww tapeli hapo umeahidiwa nafas ukikosa utarud ulikotoka

  • @fidelfidel-jz4iw
    @fidelfidel-jz4iw Před měsícem

    Piga mawe Mh msigwa wanafikili hao chadema wahuni wengi male huo ukweli Tanzania tunashanikia ujinga ujinga bila.

  • @hamidabarraball3162
    @hamidabarraball3162 Před měsícem +2

    Ondoka hapa hujui unacho ongea umeshaondoka chadema kwanini unawaongelea kila siku? Umejisahau wewe ni CCM?

  • @Dismasmmassy
    @Dismasmmassy Před měsícem

    Kila siku mbowe mbowe...kweli nimekubali ccm mnaiyongopa chadema

  • @damsonwilson5202
    @damsonwilson5202 Před měsícem

    Mi Sio Chadema hila hawa msigwa na mwenzie hawajielewi

  • @samsonsimon3138
    @samsonsimon3138 Před měsícem

    Ccm inamtumia msingwa kw kuziba njaa zake ili aipode chadema kazi yake na yy amepewa hiyo na katibu mwenenzi wa ccm analipwa hela kuziba njaa zake ila aendelee kuipoda chadema

  • @hamzakimaro3764
    @hamzakimaro3764 Před měsícem +1

    msigwa ni mchungaji,na ni mkweli sana hapendi uhuni uhuni!!

  • @salomeshongola1697
    @salomeshongola1697 Před měsícem

    Hivi jamani ccm na nyie munasimamisha Masikio kusikiliza ngonjera za Msigwa.kwanza vuteni kumbukumbu alipokuwa chadema aliwanangaje.Huyo ni kirusi kukosa uongozi munatapatapa.

  • @saidiathuman-og6bc
    @saidiathuman-og6bc Před měsícem

    Mungu piga nyundo ya kichwA kwawale ambao waongo

  • @mtwaharutwahily4034
    @mtwaharutwahily4034 Před měsícem

    Kwahyo nchi hii chama ni ccm na chadema 2. Au vingne ni chadema B. Au. Ccm B eleza mambo yaliyo fanywa na ccm

  • @mbokhamumwaliswaha8138
    @mbokhamumwaliswaha8138 Před měsícem

    Msigwa, hustahili kulitaja jina la Mungu wetu. Ni msaliti wewe na mganga njaa. C DM walikuwa na akili kukutosa walikujua. Njaa mbaya sana, huyu dada anaponda CDM iliyomfikisha hapo alipo. Hata CCM wenyewe wanawashangaa Msigwa na wewe dada.

  • @ThobiasMarandu
    @ThobiasMarandu Před 29 dny

    HII NI TAKATAKA TU

  • @admaumsengi4230
    @admaumsengi4230 Před měsícem

    Njaa Kali inakusumbueni pelekeni huko upumbavu wenu msigwa na huyo mwenzio

  • @RashidMwasiposya-ck6py
    @RashidMwasiposya-ck6py Před měsícem

    Njaa ni mbaya sana

  • @mxfsedtirz
    @mxfsedtirz Před 10 dny

    Wewe Msigwa ni mpumbavu kiwango cha pimbi unafikiri waziri mkuu ni lazima awe Kasimu Majaliwa ,waziri wa fedha awe Mwigulu Nchemba?
    Mind you position is not a possession .

  • @RBMBAKARI-bv6wn
    @RBMBAKARI-bv6wn Před měsícem

    Ni wakati wa kufahamu upande wa pili nashangaa wanaompinga msigwa asiseme mambo ya chadema .sasa mnataka tuwe tunasikia ubaya wa ccm kila wakati hiyo sio demokrasia tunayoililia

  • @Peterchipemba
    @Peterchipemba Před měsícem

    Msigwa mbowe sio Tanzania,,,ongelea matatizo ya watanzania tutakuelewa,,mda woote mbowe mbowe. Shida nini,,au ndio ilee kwamba itukane chadema tukupe madaraka

  • @joannoel-g3r
    @joannoel-g3r Před měsícem

    Kwani msigwa toka umeenda CCM umeenda na agenda ya mbowe tu au kipi kilikuvutia CCM ndio unapaswa kutuambia umevutiwa na nini CCM sio mbowe alafu mbowe sio taasisi ni mtu dili na chadema sio mbowe kwenye mwenye akili timamu anakuona unachuki binafsi grow up bro

  • @marionoti5760
    @marionoti5760 Před měsícem

    Hakuna mpumbavu kama ninyi, mmekosa uongozi mnaloloma. Acheni uwongo na umalaya. Mbona huko mlikokimbilia ndio nyumba ya mafisadi. Badala ya kuipigania nchi mnachafua mlikotoka ili kujipendekeza kwa ccm. Umehamia CCM unahangaika kuisema Chadema, huoni kuwa hao unao wahutubia wanakuona punguani? unatafuta umaarufu kwa kuwanyea walio kulea. Ni kujidhalilisha.

  • @AnastaziajumaAlly-ix7xn

    Hivi nyinyi nani alie wataza mpaka kila mtu akawajua ? Hii nchi inawatu waajabu sana kiufupi nyinyi ni wasaka tonge mnajali matumbo yenu tu

  • @ZawadyKaoneka
    @ZawadyKaoneka Před měsícem

    Cc hatuna shida na ccm ila issue ya setiva😂😂😂😂😂😂😂 Bado ni question mark msigwa division fyooo😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @robertmakuza5031
    @robertmakuza5031 Před měsícem +1

    Elezeni shida za Wananchi Chadema siyo matatizo ya Wananchi hamweleweki hata mtoe machoz ya damu kuisema Chadema wakati nyie ndo dola

  • @boniphacewambura1427
    @boniphacewambura1427 Před měsícem

    Msigwa achana na chadema toa sera kila siku mbowe mbowe
    Mbowe au unataka akuoe sema huenda ww shoga

  • @MathewNathan-yb2bz
    @MathewNathan-yb2bz Před měsícem

    Ndio ujue kuwa nchi hii rushwa na ufisadi unaasisiwa na chama tawala.Yaani wamemnunua huyu kwa kazi maalum ya kuja kuichafua Chadema.siasa chafu ,za kijinga na za hovyo kabisa zisizozingatia utu,ubinadamu,haki na utanzania wetu.Halafu wanawahubiria watanzania kuwa wao wamekulia katika dini na kufundishwa maadili mazuri.Eti Afrika tuna maadili yetu,maadili gani ya kudhulumiana,kutesana,kuuana,kuibiana kura,kutekana,kuonea wengine,kula rushwa,kuwa mafisadi,wabadhirifu,wezi.Tena bora hata wakati wa ukoloni wa mtu mweupe ulikuwa unathamini utu na haki zetu kuliko hawa wakoloni weusi.

  • @MathiasLima-b7v
    @MathiasLima-b7v Před 28 dny

    Msigwa mjinga amekura matapishi yake mwenyewe nikama mtu wa arisema hawezi kununurika kwa vipande vya fedha kununurika Hiro Hana aibu jamaa

  • @jordanmwamlima7579
    @jordanmwamlima7579 Před měsícem

    Hivi kuna wahuni zaidi yenu mnaongelea Nyumba mliyoiacha kweli!?

  • @robertmakuza5031
    @robertmakuza5031 Před měsícem

    5:23

  • @sixberttindwa9622
    @sixberttindwa9622 Před 28 dny

    Njaa tuww

  • @raphaelmacha1173
    @raphaelmacha1173 Před měsícem +1

    Naona unapoteza mwelekeo wa kiuchungaji mbona huzungumzii tena kuhusu wamasai na akili ndogo kuongoza akili kubwa mnatumika na wanaccm kama wapiga debe wao wamerilax kweli vipande vya hela vinapoteza ukweli mmekuwa waongo kuliko mlivyokuwa chadema

  • @christopherngereri76
    @christopherngereri76 Před měsícem +1

    Duuu..sawa

  • @andrewkilave3532
    @andrewkilave3532 Před měsícem

    Tumbo lingekuwa kama mgongo haya yote tusingeyaona wala kuyasikia

  • @exaverysimon1064
    @exaverysimon1064 Před měsícem

    CCM MITANO TENA TUNAJIANDAA KUMPOKEA TUNDULISU SOON😂😂😂

  • @zawadiluvanda8162
    @zawadiluvanda8162 Před měsícem

    Msigwa acha ufala ongea ya huko uliko hiyo yote ni njaa inakusumbua

  • @jordanmwamlima7579
    @jordanmwamlima7579 Před měsícem

    Peneza ndiyo wewe dah!😂😂😂

  • @emmanuellugata3019
    @emmanuellugata3019 Před měsícem +1

    Ww mweu hujitambui hiki sio kizazi Cha wajinga kama mlivozoea, nyie nyumbu

  • @zaherashamte1058
    @zaherashamte1058 Před 16 dny

    We njaa 2😢

  • @yohanakateko
    @yohanakateko Před měsícem +1

    Car wash hakuna wateja Rudi iringa

  • @OdiloMagungu-uf5is
    @OdiloMagungu-uf5is Před měsícem

    Wanasiasa Malaya Malaya kama akina msigwa hawafai kuwa viongozi wa nchi wewe ni ni mpuuzi tu

  • @lewangamunishi1480
    @lewangamunishi1480 Před měsícem

    Kauli inakuwa hizo hizo kila sehem

  • @exaverysimon1064
    @exaverysimon1064 Před měsícem

    😂😂😂😂 ILA KWEL NIKIIANGALIA CHADEMA SILION BARAZA LA MAWAZIR WENG N KAMA WASINDIKIZAJ TU

  • @gilbertmtoshu-gm7bt
    @gilbertmtoshu-gm7bt Před měsícem

    Taka taka

  • @rambostalon2888
    @rambostalon2888 Před měsícem

    Ww ni msaliti kama jeshini unapigwa risasi

  • @johnmakonge
    @johnmakonge Před měsícem

    Wewe mwenyewe ni mhuni

  • @isackphilipo9870
    @isackphilipo9870 Před měsícem

    Mbona unataka kujinyea kajiangalie nyuma mi nadhani unakaribia kujinyea

  • @user-qx6nj3me8x
    @user-qx6nj3me8x Před měsícem

    Mpenda madaraka huyooooovyoooo

  • @wilsonandlea8614
    @wilsonandlea8614 Před měsícem

    Msigwa iyo njaaa jaman

  • @frankomary3888
    @frankomary3888 Před měsícem

    Ivi uwa hawana hoja za maana zaidi ya kusemasema kule walikotoka?

  • @peterkimaro9336
    @peterkimaro9336 Před měsícem

    mbona htujawahi ona ufisadi wa CHADEMA

  • @CalistusTitus-s5o
    @CalistusTitus-s5o Před měsícem +1

    Msenge tu uyu

  • @ZuleOlla
    @ZuleOlla Před měsícem

    Usaliti bwanaaaa

  • @conasmalale1073
    @conasmalale1073 Před měsícem

    uyu nae dishi limeyumba njaa mbaya sn

  • @igulug5450
    @igulug5450 Před měsícem

    Mwehu tu kama wehu wengine

  • @ambakisyembughi1862
    @ambakisyembughi1862 Před měsícem

    Jaa tu zako

  • @AdamNdojeti
    @AdamNdojeti Před měsícem

    Ww mchungaji wahovyo kabisa

  • @mariammasawe639
    @mariammasawe639 Před měsícem

    Huna jipya

  • @isackphilipo9870
    @isackphilipo9870 Před měsícem

    Mbona ulikuwa unatusema vibaya hatuna imani na wewe. Wewe endelea tu na njaa zako tutaendelea kukuhudumia ukishiba uondoke na njaa zako

  • @eddechriss2664
    @eddechriss2664 Před měsícem

    Huko makanisani muwe mnatoa sadaka za kutosha ili vioja km hivi vijitokeze tena

  • @ChristianMkumbo-ix2ke
    @ChristianMkumbo-ix2ke Před měsícem

    Mchugaji umeshiba makande sasa untowa harufu mbaya

  • @MembiLema
    @MembiLema Před měsícem

    Wewe ni njaa Kali uliyo nayo.
    Unamtukana alie kulea. Ni uchiziiii

  • @RomanMwinyi
    @RomanMwinyi Před měsícem

    Oya masela uyumzeee mzm kweeliiiii au mweuuu

  • @raphaelmacha1173
    @raphaelmacha1173 Před měsícem

    Wewe ni shetani wa kijani kama chadema imezungukwa na wahuni wewe nawe ni muhuni acha kutumika kama Kuna mmbwa wa Sokoni wewe utaacha kuibrand chadema siku ukipewa ukuu wa wilaya acha kuwa lofa zungumza yaliokupeleka ccm.

  • @neemanziku5403
    @neemanziku5403 Před 29 dny

    Acha na akiba ya maneno acha kubwata

  • @nuhumwaisanila2217
    @nuhumwaisanila2217 Před měsícem

    Wakikutumia watakupulizia pembeni

  • @malundaamani.gmai.
    @malundaamani.gmai. Před měsícem

    mmojawapo ulikuwa wewe
    msigwa. wengine Atujauwona huuni wao

  • @mohamoudhussein4570
    @mohamoudhussein4570 Před měsícem

    Njaa Mbaya sana imetoka kwenye tunbo imehamia kwenye Ubongo.Sasa kwani usietangaze Mazuri ya CCM

  • @ExecutiveHouseKeeperElewana

    Huna mpya brother

  • @amaningobayi7114
    @amaningobayi7114 Před měsícem

    Mmh

  • @piusmdoe3200
    @piusmdoe3200 Před měsícem

    Yaani huyu ni bwege

  • @DeoJohn-j5n
    @DeoJohn-j5n Před měsícem

    Pumbavu wewe msenge sana

  • @ChristianMkumbo-ix2ke
    @ChristianMkumbo-ix2ke Před měsícem

    Akili imehamiya tumboni

  • @taylorkasitu3819
    @taylorkasitu3819 Před měsícem

    Malaya wawili wamekutana kwenda kuuza mwili kwa mafici

    • @thaddeojude7511
      @thaddeojude7511 Před 29 dny

      Nenda nawe kauze wa kwakoo kama ni pesa😅😅😅😅

  • @JumaMkiji
    @JumaMkiji Před měsícem

    Wewe ndio muhuni Malaya wakisiasa

  • @user-ek6sl4px7z
    @user-ek6sl4px7z Před měsícem

    Hivi msigwa kumbe hamnazo bado hujanipa? Domo kaya kazi yake kuropoka

  • @felickngao1167
    @felickngao1167 Před měsícem

    Huyu tapeli

  • @FadhiliMwaitete-ls2li
    @FadhiliMwaitete-ls2li Před měsícem

    Huyooo chizi amekaza shingo na mishipa yake kama yule shetani mnyonya damu lakini ukumbuke ulikuwa wapi si hukohuko chadema mpuuzi mnafiki

  • @AlhajiIssa-jb9hr
    @AlhajiIssa-jb9hr Před měsícem

    Hueleweki Msigwa nonsense 😂

  • @NakembetwaKitundu-tn7xx
    @NakembetwaKitundu-tn7xx Před měsícem

    Bila kujali mambo ya vyama wanasiasa sijawahi kuwaelewa ni kupondana tu wakat wananchi wanataka kusikia mtafanyia nini mkipata nafasi.

  • @AsiaChengula
    @AsiaChengula Před měsícem

    Msigwa kwahyo hoja zako kila siku ni chadema??

  • @DamielMaroa-nv3jh
    @DamielMaroa-nv3jh Před měsícem

    Mbwa hyo anabweka

  • @NyembeSamwel
    @NyembeSamwel Před měsícem

    Wwe nimhunitu unaongea ujingatu hamnachamaana

  • @jizzotheking9238
    @jizzotheking9238 Před měsícem

    wanaomsikiliza ndo wapuuzi, unamsikilizaje msalit na unampigia makofi, huyo ni mnafiki, angekuwa na akili angebak sehemu moja,

  • @mrimiam
    @mrimiam Před měsícem

    Hizi comments zinatosha kujuwa watanzania wamepokeaje hoja zako

  • @adinanikuwe6474
    @adinanikuwe6474 Před měsícem

    Malayamalaya

    • @mbokhamumwaliswaha8138
      @mbokhamumwaliswaha8138 Před měsícem

      Nimeipenda hii ya Mwallimu Nyerere, wanasisa malaya malaya - akina Msigwa.

  • @InnocentJohn-l5y
    @InnocentJohn-l5y Před měsícem

    Wewe njaa itakuuwa pimbi wewe alafu semea chama chako kuwa mtawafanyia nini wananchi sasa imekuwa chadema tu mpuuzi tu wewe

  • @mtotowamanka
    @mtotowamanka Před měsícem

    Kwahy nyie kama,cha tawala badala mfany kaz,mnakikosoa upinzani,ss wapnzan watamkosoa nani,wakat nyie ndy mtekeleze kwa v8ti mlivyo navyo😢

  • @nestoryvenance4258
    @nestoryvenance4258 Před měsícem

    Wewe kahuko uwasaidie familia yako wewe kuitendea hakika family yangu