BAADA YA POLISI KUZUIA MKUTANO WA CHADEMA NGORONGORO SASA LEMA AWAJIBU NA MAKALA WA CCM

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 13. 09. 2024
  • Endelea kufuatilia taarifa mbalimbali za kina na zenye ukweli na kuaminika
    Tufuatilie kupitia mitandao yangu kila siku kama ifuatavyo:-
    Facebook: / kusagamedia
    Instagram: / kusaganews
    CZcams : www.youtube.co...
    Tiktok. www.tiktok.com...

Komentáře • 24

  • @sundayyohana-qx3ys
    @sundayyohana-qx3ys Před 15 dny

    inaumiza sana kwa.hili bunge mungu atawahukumu

  • @ulimbagakipole3971
    @ulimbagakipole3971 Před 15 dny +1

    Mtumishi Lema Askofu wetu, wewe kemea tu. Maaskofu wameparalize hawana kauli.

  • @samwelmohonge4573
    @samwelmohonge4573 Před 15 dny +2

    Haki hutawala daima ni swala la muda tu maana naamini hatutakufa wote siku moja😂😂😂😂

  • @ulimbagakipole3971
    @ulimbagakipole3971 Před 15 dny

    Bunge la chama kimoja.

  • @user-pw8ci6rg4y
    @user-pw8ci6rg4y Před 15 dny

    Hapa kunawatu wachache wanata kumhalibia mama sithan kama mama anawatuma Hawa watekaji

  • @AyubuChacha-u6u
    @AyubuChacha-u6u Před 15 dny

    Sina chama chochote ila kwa hili mmmmmm mungu awe mhukum mwenyewe ila swali je kuna viongoz wanaenda kanisan polen sana ndugu zangu ila kweli ipo siku.

  • @ritchiemuta1092
    @ritchiemuta1092 Před 15 dny

    Lissu anadai kuna watu wamechukua fedha na mmoja aliyejitokeza ni msigwa lkn tetesi mpo wengi wenu

  • @ritchiemuta1092
    @ritchiemuta1092 Před 15 dny

    Achananeni na hiyo mikutano ya hadhara NENDENI MITANDAONI. fanye mikutano ktk zoom au Google au X spaces etc hivyo hii shida ya harness ya 18 itaidha au na nyie ni umpo
    Mpo ccm

  • @SylvesterMakenzie
    @SylvesterMakenzie Před 15 dny

    CCM wanapambana na chadema kila kukicha wametusahau hata ss watanzania kutuletea maendeleo mfano kuunganishiwa umeme vijijini imekuwa ni shinda kweli wamepitisha kwenye visenta baadhi ya Kaya chache harafu wanandanganya umeme umefika vijijini ovyo

  • @user-bf9xj3nf1o
    @user-bf9xj3nf1o Před 15 dny

    Kwanini samia asitekwe au watoto wake ili akaone machungu watu wanaopitia

  • @user-lt1bi5nr1x
    @user-lt1bi5nr1x Před 9 dny

    Watz tumekua mafedhuli wauaji wakubwa

  • @emanuelinaman8240
    @emanuelinaman8240 Před 15 dny

    Lema Ana nidhamu ya kazi nampongeza hao wanaomwita rais mama wanashusha hadi ya uongozi wa nchi mama ni kwa wanawe kwetu ni amiri jeshi mkuu (rais)

  • @fredrickmwakalinga6390

    Bila nguvu ya umma na umoja wa vyama vyenye nguvu kushirikiana na huu uhaini wa ccm kazi ipo

  • @fredrickmwakalinga6390

    Nguvu ya umma inahitajika maandamano nchi mzima na vyama vyote vinavyopinga utekaji

  • @emmanuelmwakyoma5746
    @emmanuelmwakyoma5746 Před 15 dny

    Umeongea kama mhubiri mkubwa kutoka mbinguni sio duniani maana duniani kuna uhaini mkubwa, mpaka wahubiri na mahakama hakuna suruhisho

  • @rebekakulwa6159
    @rebekakulwa6159 Před 15 dny

    Yaani hivi ukiwa fisiemu lazima uwe na mtindio yaani roho mbya kama joka la kijani undondocha wa kiwango cha lami eti linasema wamejiteka wenyewe ulaaniwe na familia yako

  • @clemencemkondya8561
    @clemencemkondya8561 Před 15 dny

    Mnatekana wenyewe mnasingizia Polisi .siasa za kijinga zimepitwa na wakati

    • @fredrickmwakalinga6390
      @fredrickmwakalinga6390 Před 15 dny +1

      Akili zako tope kama sio maji taka

    • @anosiata8242
      @anosiata8242 Před 15 dny

      Wewe akili yako imekufa

    • @user-qn8pb9er6c
      @user-qn8pb9er6c Před 15 dny

      Afadhali ya tope linamhifadhi salama kambale huyu ni mlaaniwa

    • @PrinceHendry-hp8vv
      @PrinceHendry-hp8vv Před 15 dny

      Kama chadema wanaweza kuteka watu na polisi ishindwe kuwachomoa walipo basi hatuna polisi au wapo kwajili ya kulinda maslah ya watu flan

    • @jumamohamed3168
      @jumamohamed3168 Před 15 dny

      Subiri yakukute wewe ndio utajua kuwa watu hawasemi kwa kujifurahisha kama wewe undavyojifurahisha kwa maneno yako .