BAADA YA POLISI KUZUIA MKUTANO WA CHADEMA NGORONGORO SASA LEMA AWAJIBU NA MAKALA WA CCM
Vložit
- čas přidán 13. 09. 2024
- Endelea kufuatilia taarifa mbalimbali za kina na zenye ukweli na kuaminika
Tufuatilie kupitia mitandao yangu kila siku kama ifuatavyo:-
Facebook: / kusagamedia
Instagram: / kusaganews
CZcams : www.youtube.co...
Tiktok. www.tiktok.com...
inaumiza sana kwa.hili bunge mungu atawahukumu
Mtumishi Lema Askofu wetu, wewe kemea tu. Maaskofu wameparalize hawana kauli.
Haki hutawala daima ni swala la muda tu maana naamini hatutakufa wote siku moja😂😂😂😂
Bunge la chama kimoja.
Hapa kunawatu wachache wanata kumhalibia mama sithan kama mama anawatuma Hawa watekaji
Sina chama chochote ila kwa hili mmmmmm mungu awe mhukum mwenyewe ila swali je kuna viongoz wanaenda kanisan polen sana ndugu zangu ila kweli ipo siku.
Lissu anadai kuna watu wamechukua fedha na mmoja aliyejitokeza ni msigwa lkn tetesi mpo wengi wenu
Achananeni na hiyo mikutano ya hadhara NENDENI MITANDAONI. fanye mikutano ktk zoom au Google au X spaces etc hivyo hii shida ya harness ya 18 itaidha au na nyie ni umpo
Mpo ccm
CCM wanapambana na chadema kila kukicha wametusahau hata ss watanzania kutuletea maendeleo mfano kuunganishiwa umeme vijijini imekuwa ni shinda kweli wamepitisha kwenye visenta baadhi ya Kaya chache harafu wanandanganya umeme umefika vijijini ovyo
Kwanini samia asitekwe au watoto wake ili akaone machungu watu wanaopitia
Watz tumekua mafedhuli wauaji wakubwa
Lema Ana nidhamu ya kazi nampongeza hao wanaomwita rais mama wanashusha hadi ya uongozi wa nchi mama ni kwa wanawe kwetu ni amiri jeshi mkuu (rais)
Bila nguvu ya umma na umoja wa vyama vyenye nguvu kushirikiana na huu uhaini wa ccm kazi ipo
Nguvu ya umma inahitajika maandamano nchi mzima na vyama vyote vinavyopinga utekaji
Umeongea kama mhubiri mkubwa kutoka mbinguni sio duniani maana duniani kuna uhaini mkubwa, mpaka wahubiri na mahakama hakuna suruhisho
Yaani hivi ukiwa fisiemu lazima uwe na mtindio yaani roho mbya kama joka la kijani undondocha wa kiwango cha lami eti linasema wamejiteka wenyewe ulaaniwe na familia yako
Mnatekana wenyewe mnasingizia Polisi .siasa za kijinga zimepitwa na wakati
Akili zako tope kama sio maji taka
Wewe akili yako imekufa
Afadhali ya tope linamhifadhi salama kambale huyu ni mlaaniwa
Kama chadema wanaweza kuteka watu na polisi ishindwe kuwachomoa walipo basi hatuna polisi au wapo kwajili ya kulinda maslah ya watu flan
Subiri yakukute wewe ndio utajua kuwa watu hawasemi kwa kujifurahisha kama wewe undavyojifurahisha kwa maneno yako .