KWANINI SHETANI HUPAMBANA SANA MWISHONI? - NABII BG MALISA
Vložit
- čas přidán 24. 08. 2017
- Kwa kutoelewa siri hii maisha ya watu wengi yameharibika. Nguvu za adui huwa kubwa sana mwishoni kwa sababu anajua ndipo penye ushindi. Ibilisi anajua akikupiga mwishoni yote uliyoyafanya muda mrefu yatapotea. Funguliwa kwa jina la Yesu unapoendelea kuangalia somo hili na Mtu wa Mungu Nabii BG Malisa.
Najitabiria mwisho wangu ukawe mwema kwa jina la yesu
Naipiga roho hio kwa jina la Yesu! Ubarikiwe sana mtumish
Ubarikiwe mtumishi wa Mungu ,nabarikiwa sana na masomo yako
Iyo roho inayopoteza hatima yangu naipiga kwa jina la YESU
amina tumishi wa mungu ubalikiwe zaidi mungu akupake mafuta kuhibili ujumbe wakufungua watu walichoka
Nabalikiwa saaNa Baba mungu hakupe maono ya kipeke
Aminaa
Amina
iyo ni kweli kabisa tena kweli sana
Nafunguliwa kwa JINA LA YESU
I connect to madhabau
Ameee Baba Mungu Akubariki
nimebarikiwa na somo hili be blessed my
dad
Jmni sjyani kwa nn atuteke mwishoni we mungu niepushe na hilo janga ninateseka mnoo
Naikataa roho hio kwa jina la Yesu
Nabii umenena mm nabii Joshua upo vizur umefundisha ufahamu wa rohoni mwenye sikio asikie
Amen
Nimepata kitu kikubwa sana God bles dad
2023
amen lazima mwisho wangu uwe mzuri
Amina nmebarikia baba
Naipiga hiyo roho inayopoteza hatima yang. Kwa jina LA yesu.
Amen""" Baba ubarikiwe sana kwani mafundisho yako yamenitoa nlipo kunipleka mahal pazuri kwa jina la YESU
bila wewe sjui ningekuwa wapi leo asante Baba asante yesu, kunawakati huwa nawaza najikuta natokwa machozi tu
amina
BARIKIWA
Amina baba
Nafunguliwa
Ameen ameen ameen
Shetani ashindwe mwisho wangu na ahadi zangu ziwe za kweli nifanikiwe
nahitaji no zako nitapataje mtumishi
Hallelujah Mungu hanimbe ngufu yakumutumikie siko zote ni we mushindi kwa damu yesu 🙏🙏🙏😇🙏
10. Ujumbe huu unasema ya kwamba uislamu, ukristo na uyahudi ndizo maroho tatu za chura zinazo zungumziwa katika Ufunuo 16:13. Dini hizo tatu zajidai kuwa wa Ibrahimu. Hizo Dini tatu zaamini Musa. Dini hizo tatu haziwaamini manabii waliyo hai ila tu kila moja hujidai kuwa wa nabii ambaye hakumjuwa. Kila moja ana kitabu chake kitakatifu. Na yote tatu yanangojea Mesiya. Ndizo roho tatu za chura katika Ufunuo 16:13. Ujumbe huu unasema ya kwamba ni yale yale mapepo ambayo yalitokeza Elvis Presley, Bob Marley, James Brown, Madonna, papa Wemba ndiyo yanayo tokeza leo haya makundi na wanamziki wa kikristo kama vile Tabitha Lemaire, Don Moen, Exo Eclats, Yolanda Adams na Céline Dion.
#ProphetKacouPhilippe
#PKPCHANNELTV
#JezusChrystus
#God
Umemtaja don moen una uhakika na unachokisema?
Stagnant life
🧎🕊️🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Amina
Amen
God bless, Ni utukuvu wa mungu nikisikia hii mungu akubariki kwa maisha yako
nabii nitakupateje mm napenda sana kusali kanisani kwako
Naipiga roho hio kwa jina la Yesu! Ubarikiwe sana mtumish
P
P
P
Amina
Amina
Amina
Amen