RAADD KWA MUDILU WA ANSWAR SUNNAH SALIMU BARAHIYANI |Sheikh Qasim Mafuta

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 6. 09. 2024
  • Sheikh Abul Fadhli Kassim Mafuta Kassim
    ______________
    Pata faida kwa kuskiliza Durous Mbalimbali kupitia chanel yetu @wajawemaonlineTv
    ili kuwa wakwanza kufaidika Usisahau ku subscribe ku like ku share pamoja na kutia maoni yako chini ya Video hii Ahsant
    ____

Komentáře • 44

  • @awadhmchaki6567
    @awadhmchaki6567 Před měsícem +2

    MaashaAllah Allah akuhifadh Sheikh wetu Qasim mafuta ukweli unazungumza
    Waambie Haqi waijue sindano iwaingie

  • @SadaAbdallah-z9t
    @SadaAbdallah-z9t Před měsícem +2

    Alla akuifadhi kasm

  • @MaarufuHussein
    @MaarufuHussein Před měsícem

    Mkweli na muongo mjuzi wake ni Allah. Tufanyeni ibada inshaallah!! Masheikh zetu, tufundisheni dini, kila mmoja atabeba mzigo wake

  • @allysalimu338
    @allysalimu338 Před 8 měsíci +3

    Barahiyani, na weye wote ni wasunnah elimishani watu wajee.. katika din ya allah sikupingana na kuhikhtilafiana niny kwa ninyi.

  • @DaniDani-v3w
    @DaniDani-v3w Před 2 měsíci +1

    Hatakama wakimaliza tofauti zao ndo sheh kasim anyamaze asiseme haki tafautisha tafauti zao na kuchezewa dini

  • @mussamsuya8595
    @mussamsuya8595 Před 7 měsíci

    Nimeipenda

  • @shamsuddin4582
    @shamsuddin4582 Před 8 měsíci +1

    Shkh Abulfadhil na mfano wako nawanasihi mudeal na watu waliopinda km wale makhurafi hawa wengine watulizeni kwanza maake kila nikitizama naona nyote ni wana sunnah ispokuwa mmekhtilafiana kwa machache tu msichukiane kwa ajili ya mambo yasiyo na msingi ktk dini....Wallahu almusta'añ

    • @bakarisalimu8421
      @bakarisalimu8421 Před 8 měsíci

      Kwani huoni tofauti maana yeye barahiyyan awaita watu majadida na yeye kaitwa hizby

    • @allymbarouk5362
      @allymbarouk5362 Před 2 měsíci

      Kwa maana hao wanaokulla haki za watu na uislamu hawajapinda?

    • @allymbarouk5362
      @allymbarouk5362 Před 2 měsíci

      Jamaa jamaa kula millions haki za uislamu sio issue kwa tafsiri.yako

  • @aminaosman3315
    @aminaosman3315 Před 4 měsíci

    ,na kudhulumu haki za waislam kavuka mpaka na kuwadhulumu yatima na mama yao na 😅Bibi yao meneja nae kajenga gorofa mali ya yatima allah Karim atawalipia hapa duniani kesho akhera inshaallah

  • @jamalabdullahi6575
    @jamalabdullahi6575 Před 5 měsíci

    Sheikh hivi akuna unachoweza kuzungumza isipokuwa kuingilia watu mpaka wameingilia al Habib Umar wale maulama ambaye Allah kawapa utuku na wapendwa na ulimwengu we ingilia watu naona umekosa kazi sheikh

  • @bakarfaki-vb8kv
    @bakarfaki-vb8kv Před 8 měsíci

    Nyinyi nyote Muna tofauti zenu jaribuni kuondosha musiishi kwa aman na si chuki….

  • @CalvinVenance
    @CalvinVenance Před 5 měsíci

    Nabado

  • @HassanHamad-rf9tq
    @HassanHamad-rf9tq Před 2 měsíci

    Kassim mafuta huna jipya mipasho na Matusi

  • @rajabodhuman1300
    @rajabodhuman1300 Před 8 měsíci +1

    Nyinyi nyote nimahizbi ila tofauti mmetofautiyana ktk maslahi yenu ya kiduniya sasa mwatuleteya zahazaha mara mbuzi mara tende daawah mmeiweka pembeni

  • @HassanIddy-v1b
    @HassanIddy-v1b Před 29 dny

    Acha uwongo ww mpaka lini utabaki na hasadi hivi hujui hasadi inakula mema ya mtu kama moto unavyokula kuni? Ama kukuta mapungufu kwenye uwandushi wa kitabu nijambo linaweza kutokea hata kwa wAnavioni bali kuna makosa ya uchapishaji na kuendelea angalia wewe ujuwe utakuja kuulizwa juu ya hayo unayo yatenda

  • @Khalid-xd2yl
    @Khalid-xd2yl Před 8 měsíci

    Hizi mbona za zamani

  • @HassanIddy-v1b
    @HassanIddy-v1b Před 29 dny

    Kwakweli ukimsikia kaasim mafuta kwa makini utamkuta ni mtu wa kubabaika!! Kila ukelele unaopigwA unamtikisa,ili uwamini haya embu angali anasema anataka she saalim atoe shahada ya majisteli nayy atoe ya jaamia!!hii niakili kweli haya ndio yakuzungumzia hapa mtandaoni! Haya akitoa hiyo shahada ww inakusaidia nn!!!!!!!!!

  • @user-tb8zb4rv6h
    @user-tb8zb4rv6h Před 5 měsíci

    Nyie ndio wanabaishaji

  • @jumasalim6126
    @jumasalim6126 Před 8 měsíci +3

    Hapa hatukupata elimu tumeona ni chuki zenu tu hujatupa elimu kama umetiwa ndani kwamakosa sio kuonewa.

  • @saidali9379
    @saidali9379 Před 4 měsíci

    Sheikh! Huna geni,hasadi itakuuwa! Mbona wajifanya huna kasoro?...

  • @abdisalumfadhil117
    @abdisalumfadhil117 Před měsícem

    acheni basi kuchafuana bainisheni haki tu (acheni kuzungumzia mtu binafsi)

  • @allymbarouk5362
    @allymbarouk5362 Před 2 měsíci

    Upigaji kama upigaji kwa mgongo wa salafi salih

  • @hassanabdallah-ot7jv
    @hassanabdallah-ot7jv Před 4 měsíci

    Ndoman ulitaka kuuliwa zanzibr kwa ujinga wako

  • @HassanIddy-v1b
    @HassanIddy-v1b Před 29 dny

    Wewe unazitaka hizo milioni mia200,kwani zakwako? Nawewe tukuulize kwanini umewafarakanisha watu wasuna kwa mambo ya ikhtilafu za wanawazuoni nakuwalazimishia watu misimamo na kujivutia upandewaka na kumtukana shekhe saalim barahiyani kwani ulivyo fanya hivyo umefaidika nn? Na je wewe kuwafarakanisha watu wa suna kwako ni zuri na kuzikosa hizo milioni200 wewe ndio lakuuma,mche allaah ww na urejeshe umoja w watu wa suna kama walivyokuwa zamani wakipendana, nakunasihi ewe ndugu uhai huo ulionao ufanyie kazi katika kuwapatanisha waislam na sio kuendelea kuwafarakanisha kwa chuki zako utakuja kunikumbuka inshaa'sllaah

  • @ingodwetrust1852
    @ingodwetrust1852 Před 6 měsíci

    Kulaneni nyinyi kwa nyinyi

    • @ausatmwangi6464
      @ausatmwangi6464 Před 5 měsíci +1

      Sasa ndio ujuwe uwahabi ni biashara sio dini. Vita bado mbichi😂😂😂twariqa ndio shabiki

  • @MkindiRama-lp6hy
    @MkindiRama-lp6hy Před 6 měsíci

    Hahahaha😅😅😅😅 sunna

  • @saidali9255
    @saidali9255 Před 26 dny

    Wacha dharau na chuki mzee! Daawa yako pia inamapungufu!

  • @ausatmwangi6464
    @ausatmwangi6464 Před 5 měsíci

    Sasa vita vinawarudi nyinyi kwa nyinyi baada ya kuingilia twariqa sasa mandondi baina yenu . Vita bado mbichi 😂😂😂😂😂

  • @MohamedAhmed-yi1yf
    @MohamedAhmed-yi1yf Před 8 měsíci +1

    Malizeni tofauti zenu nyie ni watu sunnah

  • @user-it3ee7zq2y
    @user-it3ee7zq2y Před 8 měsíci +1

    Kwa ufupi hamuwezi kumuangusha bahahiyani

    • @HassanIddy-v1b
      @HassanIddy-v1b Před 29 dny

      Kweli she barahiyani anatisha,hawawezi kushindana na shee s,ni mtu watauhiidi sana

  • @salehaljadidi8206
    @salehaljadidi8206 Před 7 měsíci

    Salim Biriyani ni member of Al Qaida East Africa na Sasa hivi Hana lake kwani walikuwa wanawategenea Sana mawahabi wa Saudia kwa kila kitu, na hao wahabi wa Saudia wamepigwa marufuku nchini kwao kuingilia mkwala na serikali ya Saudia, siku hizi hawana nguvu tena labda aende kwao Yemen atasaidiwa.