SNAKE BOY | ep 31 | SEASON TWO

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 9. 09. 2024
  • clcr.me/G4nU7w
    Jisajili kwa kutumia hii link kwa tumia PROMO CODE CLAM24 upate bonus hadi 100%
    Follow Me On Instagram
    / clamcris_
    Tiktok:
    / clam_cris
    Facebook:
    www.facebook.c...
    #clamvevo

Komentáře • 2,4K

  • @clamvevo6472
    @clamvevo6472  Před 13 dny +6

    Jiunge nami katika Pocket Broker: clcr.me/CLAM2024
    Tumia Promo Code CLAM2024 wakati wa kujiandikisha na upate bonasi maalum kutoka kwangu - +100% hadi amana!

  • @fundiseif1096
    @fundiseif1096 Před měsícem +65

    Snake boy inazidi kua ya moto sana umetisha sana clam vevo 🔥🔥🔥💪

  • @CHYULLUKENYA
    @CHYULLUKENYA Před měsícem +59

    The best movie in East and Central Africa 🇨🇫.....let's gather here men and women, here from kenyaaaaa.....mzigoooooooo

  • @hendrypeter6182
    @hendrypeter6182 Před měsícem +85

    Anaependa ako ka biti like kama 100plz kwa biti tamu mwanzo mwishoooooooo

  • @husseinhemedi9314
    @husseinhemedi9314 Před měsícem +37

    Ivi mnajua ifikapo 2099 woote humu tutakua tumekufa tujitahidi kufanya ibada 🙏🔥

  • @Naema-x7p
    @Naema-x7p Před měsícem +51

    Mmbea kapata msaidiz 😂😂😂kiparaa na kikono mumenifurIsha leo 😂😂😂😂hao alafu uyu tanu anyoe izo ndevu zinatutishia watazamaji au mnasemaje wadua tujuane kwa ilk 🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤

  • @EmmanuelNorbert-gh7ui
    @EmmanuelNorbert-gh7ui Před měsícem +67

    me naomba clam awake subtitle maan movie hii inatizamwa na watu wengi kutoka mataifa tofauti Big up sana kaka clam

  • @rashimikasim2171
    @rashimikasim2171 Před měsícem +52

    Yani nimewahi namba one hongera bro kazi nzuri ila hii movie kali kinoma sema mnachelewa

  • @MuhimpunduIssa
    @MuhimpunduIssa Před měsícem +57

    Wakwanza from BURUNDI 🎉

  • @kelvinachoki289
    @kelvinachoki289 Před měsícem +50

    Nàpenda kufwatilia kipindi hichi Sana ❤❤ila clam changamka Baba usiwe mnyonge sana😅😊...wapi like za wakenya plz🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🔥💯

  • @chusseboywcb2808
    @chusseboywcb2808 Před měsícem +17

    Nalipenda Sanaa hili la ubaya ubwela zinga nakukubali sanaaa😂😂😂😂😂😂💪💪🙏🙏❤❤

  • @KibweOnlineTv
    @KibweOnlineTv Před měsícem +505

    Leo nimekuwa wa 283 😅😅 Haya sasa Tuliyoisubiri snake boy kwa hamu gonga like kama tuwape nguvu ndugu zetu🎉🎉🎉🎉🎉

    • @lizard5201
      @lizard5201 Před měsícem

      @@KibweOnlineTv kaka unaonekana una channel kubwa ila hauoni ajabu kusifia kazi za wengine Mungu akuzidishie

    • @FahadAli-ni5eu
      @FahadAli-ni5eu Před měsícem +18

      Nimeangalia page yko unafanya kz nzr sana

    • @fatumamnyenze9696
      @fatumamnyenze9696 Před měsícem +11

      Pia nilichoka kusubiri nko kwa chado 😂😂😂

    • @faithnayla2374
      @faithnayla2374 Před měsícem

      Fayden Anupi subscribe

    • @BonfaceDavid-n8h
      @BonfaceDavid-n8h Před měsícem +6

      Nakubaliana na wew kwa asilimia mia

  • @ShipiniMwarabu
    @ShipiniMwarabu Před měsícem +16

    naza mutu ya liboso Lelo Congo drc

  • @DelarioTz
    @DelarioTz Před měsícem +37

    Clam vevo,leo nmekua wa kwanza kutoka kenya

  • @siwemahabanyinawimanzi5995
    @siwemahabanyinawimanzi5995 Před měsícem +40

    Snak boy imekuwa ndefu saana afu inazorota.tunaomba imalizike mtuandalie nyingine.❤❤tunawapenda saana

  • @user-yh8eo9nr4p
    @user-yh8eo9nr4p Před měsícem +28

    Kama hapa kuna mutu kamu sikiya zinga akiongea,,, ameka te ko landa nga kotoyo nako boma ye from Congo naomba like zangu jamani🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩

  • @user-dz4vl7wm5n
    @user-dz4vl7wm5n Před měsícem +30

    Kutoka Mozambique 🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿 Leo imekuwa ya kwanza

  • @nkurikiyearodiedavid6255
    @nkurikiyearodiedavid6255 Před měsícem +39

    Hii movie Ina wambea,halafu mimba zote hakuna inayozaliwa,mkijitahidiii anazaliwa na kufa 😂😂😂 anyway ninawapenda sana ,Niko hapa Bujumbura 🇧🇮 Burundi

  • @albinhohasla7531
    @albinhohasla7531 Před měsícem +204

    Huuuuh yani tunasubiri hadi tuna anza kuisahau aisee ila acha tu like tu ❤❤❤❤Kenya 🇰🇪 Tanzania 🇹🇿, Uganda 🇺🇬 burundi 🇧🇮 Rwanda 🇷🇼 Somalia 🇸🇴 Sudan 🇸🇩 Ethiopia 🇪🇹 CONGO 🇨🇩 ♥

  • @japhetthoya
    @japhetthoya Před měsícem +6

    Wow...... This is more than a movie..... Ila msikawie Sana kutoa next part please... Following from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @frankditrick3109
    @frankditrick3109 Před měsícem +13

    Asee mnalinga sana na hilo li movie lenu

  • @DambweRama
    @DambweRama Před měsícem +19

    TULIO SIKIA UBAYA UBWELA.Tu like hapa😂😂😂

  • @puritymusidoke9481
    @puritymusidoke9481 Před měsícem +19

    Wow atleast I have watched the long awaited episode, following from Kenya 🇰🇪

  • @Sky_Tv-24
    @Sky_Tv-24 Před měsícem +36

    Kama umekua hapa week mzima kama mimi ukigojea snake boy EP 31 gonga like ❤

  • @gracebakunzi2399
    @gracebakunzi2399 Před měsícem +12

    Zinga ameongea lingala luga ya congo DRC.
    Mwana mboka boni???

  • @zainaabdallah809
    @zainaabdallah809 Před měsícem +5

    Uyo Dada kama ni bikra kweli basi namie ni bikra aya team furus team WiFi team kupambana nawapenda mno naomba tusalimiane 🇴🇲🇴🇲🇴🇲🇴🇲

    • @vicentshija
      @vicentshija Před měsícem

      We zainabu wewe😅😅😅

    • @zainaabdallah809
      @zainaabdallah809 Před měsícem

      @@vicentshija 🤣🤣🤣 ninayo kweli ninamiaka 6 Oman sijaupata naamini bikra imerudi🤣🤣🤣🤣

    • @shahidumaulidi9721
      @shahidumaulidi9721 Před 14 dny

      mmmh 😂😂😂 umenifanya mpaka nimecheka kwa sauti kubwa hahaha we kiboko​@@zainaabdallah809

  • @SadickSalum
    @SadickSalum Před měsícem +27

    Hii muvi mnachelewa sana kupost mnatunyima uhondo ninyi achen hizoooooooooooo😢😢

  • @ahmadbelier3160
    @ahmadbelier3160 Před měsícem +73

    Watu wa Burundi Bujumbura 🇧🇮 tujuane kwa kubonyeza like hapa✔️ Ila huwa wanakawiza😢

  • @millicentluvai1652
    @millicentluvai1652 Před měsícem +79

    woow finally,,,wa2 wangu wa 🇰🇪c mpite mki kiss comment

  • @sophsoph4740
    @sophsoph4740 Před 29 dny +3

    Kila unaeangalia filamu hii mungu akubariki ukawe na maisha marefu sana❤❤

  • @HamidaHamisi-l5p
    @HamidaHamisi-l5p Před měsícem +2

    Clam mnaweka Giza sana hata kama uwalisia umezidi sasa hatuoni hata sura zenu zaidi ya sauti maombi yangu mrekebishe usiku kusiwe Giza sana tunapata tabu kuwaona jaman

  • @joshuanicky45
    @joshuanicky45 Před měsícem +134

    Subira hubuta heri nimesubiri mwishowe imetoka wapi like za clam vevo wadau😂😂

  • @judithpendo9985
    @judithpendo9985 Před měsícem +56

    Wa kwanza team strong mko wapi 🇸🇦🇰🇪♥️💞💞💞💞💞💞 Genz hoyeeeeeeeeee team strong hoyeeeeeeeeee Niko Riyadh apa 😢😢like please 🙏😊

  • @user-ux1ts9wr2e
    @user-ux1ts9wr2e Před měsícem +27

    Bongo movie jamah inaiirudisha kabisa. From Moz🇲🇿

  • @mohdkhalifa8828
    @mohdkhalifa8828 Před měsícem +6

    Asante clam vevo Yajayo yanafurahisha kk Mungu akubark ili uzid kutpa burudan

  • @IssaMangala
    @IssaMangala Před měsícem +2

    Ameka ata ko Landa nga côté Oyo Nako Boma ye 🇨🇩 si tu es fier d'être congolais 🇨🇩 laisser un poil de liké ❤️ Iyi sinema Ina Enda Mbali Sasa 🇨🇩🇹🇿 ongera team Nzima

  • @uzungupoint
    @uzungupoint Před měsícem +21

    Clam vevo hongera kwa kutupa simulizi nzuri hii, naomba ufahamu kuwa kuna parody linajiita jina lako linakula views za kutosha na watu wamechukizwa sana. Tafadhali, litatueni hili.

  • @lizard5201
    @lizard5201 Před měsícem +89

    Nipo chonjo tunafwatilia vevo sijui shida nn mmechelewa hv ila much respect team kubwa❤❤ mm ni wapili lakn mtu wa tano ananizidi like😂😂😂

    • @filibethluena
      @filibethluena Před měsícem +1

      Nachojua Kuna kifo Cha Mzee m1 kati ya wale walioigiza

    • @angelraphael4500
      @angelraphael4500 Před měsícem

      Hee 😢

    • @willykijanaa
      @willykijanaa Před měsícem

      ​@@filibethluenaUliyahulia wapi mwenetu hayo au umekuwa KIPARA na SENGO na wewe😂😂😂

    • @jennygabriel9253
      @jennygabriel9253 Před měsícem

      @@filibethluena hatimaye kipara wa kwnye cmnt umepatkana😅😅😅

    • @AishaJafari-sh4pe
      @AishaJafari-sh4pe Před měsícem

      😂😂😂😂😂​@@jennygabriel9253

  • @Harun_kiba
    @Harun_kiba Před měsícem +14

    Kitu mzuri lazima iwe na matayarisho Bora finally snake boy is out 🎉🎉🎉🎉❤❤❤

  • @AndrewKatabuhaga-pv6dg
    @AndrewKatabuhaga-pv6dg Před měsícem +4

    Zinga Fala Sanaa, et ubaya ubwela😂😂😂😂😂😂😂

  • @user-ju9qw7ik9c
    @user-ju9qw7ik9c Před 29 dny +2

    Kazi nzuri sana Mr. Clam vevo🎉

  • @user-yi3kc6sl9u
    @user-yi3kc6sl9u Před měsícem +53

    Jamani...kama unaamini muda wako wa kubarikiwa na kufanikiwa sema Amen!❤

  • @rude_killer93
    @rude_killer93 Před měsícem +32

    Wa kwanza from Pemba naomba like

  • @bableey192
    @bableey192 Před měsícem +31

    UBAYA UBWELA ndani ya snake Boy 😂🙌🏽

  • @ousmanemajeshi0094
    @ousmanemajeshi0094 Před měsícem +7

    Huwa Namsubiri Mwanangu Mwakatobe 2 Na hajawahi Niangusha 😂😂😂 UBAYA UBWELA 😅😅

  • @alhimnamussasaid3619
    @alhimnamussasaid3619 Před měsícem +3

    UBAYA UBWELA ❤❤❤🎉🎉 TEAM CLAM VEVO NGUVU MOJA

  • @shivobs4485
    @shivobs4485 Před měsícem +45

    Anaye amini VEVO anatunyanyasa kijinsia na movie yake mpaka anatupotezea radha ya hii movie like zenu hapa 😢 alfu mje tumchambe ajirekebishe

    • @user-mx5rf1db1j
      @user-mx5rf1db1j Před měsícem +1

      yaniii anatunyanyasa sana

    • @AgnathaJackson
      @AgnathaJackson Před měsícem +2

      Kiukweli hadi nakosa amani kwa sababu ya hii movie

    • @shivobs4485
      @shivobs4485 Před měsícem

      Sijui anatuchukuliaje huyu mwamba ​@@user-mx5rf1db1j

    • @shivobs4485
      @shivobs4485 Před měsícem +3

      ​@@AgnathaJacksonanaona haitoshi na anatuwekea matangazo kabisa

    • @EmmyMo
      @EmmyMo Před měsícem

      😂😂😂😂😂jmnii

  • @Lion_Boy
    @Lion_Boy Před měsícem +26

    Wa kwanza toka congo 🇨🇩, likes please

  • @SelemaniIddy-nc1nf
    @SelemaniIddy-nc1nf Před měsícem +20

    Daaah hii.move ninzuri lakini wanafeli kitu kimoja wanachelewesha kazi sijuw tatizo nn sema fresh tutazidi kuwa karbu na chanel yako ya clam vevo ❤❤❤❤the I

  • @mungwetv945
    @mungwetv945 Před měsícem +5

    Snake boy naombeni like zenu please msizingue jamani mimi ni nyoka kweli kweli

  • @wawerudavid_k254
    @wawerudavid_k254 Před měsícem +4

    Yaani huku ni kuomba tu like 😂, badala ya kumpongeza Clam na team yake kwa hii series😂😂💔

  • @HassanCoyo
    @HassanCoyo Před měsícem +42

    KITU BILA KUNIOMBA ❤❤❤ clam VEVO unajua

  • @levispaulnthesi6990
    @levispaulnthesi6990 Před měsícem +21

    Leo niko ndani ya top ten nipeni na likes Nairobi Kenya 🎉❤

  • @RaimamomedSaidi-wz1yu
    @RaimamomedSaidi-wz1yu Před měsícem +19

    Mtu ukiwa mzuri nimtihan,na ukiwa mmbaya pia ni mtihan 😢yan uzur wahuyo dada umemfanya aazibike kimapenzi kila mfalme analala naye 😮hivi niupendo au ndio huo mtihan?🎉🎉🎉🎉 Kazi nzur hongeren sana

  • @bashirlingardbwo6866
    @bashirlingardbwo6866 Před měsícem +2

    Mke w mtukufu ana upwiru anatka miti (welcome Kenya🇰🇪)

  • @hemedmgomi4450
    @hemedmgomi4450 Před měsícem +2

    Dah!!!! Nmecheke xna
    Yan uyo kikono na kipala dah!!!!😂😂😂😂
    Wemetisha
    Kama m2 furan iv uku mtaan kwe2

  • @zuhurahamadi9361
    @zuhurahamadi9361 Před měsícem +14

    Snake boy inazid kuwa 🔥🔥🙌
    Hongera san Clam vevo

  • @DelachanceKiza
    @DelachanceKiza Před měsícem +18

    Wakwanza toka 🇧🇮 nipeni hâta moja ndugu zangu

  • @KeziaLucas-x7d
    @KeziaLucas-x7d Před měsícem +26

    Jamn Zumba ni Malaya sana😂😂😂

  • @EspoirSamy-st5le
    @EspoirSamy-st5le Před 29 dny +2

    Zinga mkongo 🎉🎉 liki1000 APA kama uko mkongo

  • @wilfredroberttv841
    @wilfredroberttv841 Před 29 dny +6

    Kama umemsikia zinga akisema ubaya ubwela nipe Tano 😂😂

  • @user-wi1jb8mb7o
    @user-wi1jb8mb7o Před měsícem +22

    Msituchereweshee muendelezo tunawaomba sana mashabiki zenu skuiz mbacherewesha sana

  • @SumailAbdala-lf3ii
    @SumailAbdala-lf3ii Před měsícem +45

    Wakwanza leo toka Moçambique Palma 🇲🇿🎉

  • @Carlos_furaha
    @Carlos_furaha Před měsícem +22

    Kaz inaendelea !! 🎉🎉Leo nimewah like kwa clam na kasoso 👍👍

  • @pillynaya
    @pillynaya Před měsícem +2

    hao wambea ndo wananikosha zaidi😂😂😂😂 so kwa kuwahiyana huko

  • @Elkapmuadi
    @Elkapmuadi Před měsícem +3

    Onngera sana kwakuingiza luga ya kwetu dr congo 🇨🇩,nasepeli makasi koyoka bandeko nanga bozo promouvoir lokota na biso.

    • @HidayaUpendo
      @HidayaUpendo Před měsícem

      😆😆😆😆😆 jogoo apandi mtungiii

  • @user-cu9mo3rf4t
    @user-cu9mo3rf4t Před měsícem +35

    Mimi wa pili leo nataka like za wa Congo vraiment

  • @eliaselly915
    @eliaselly915 Před měsícem +18

    Good movie nawapenda sana team clam vevo
    Elias elly from Burundi 🇧🇮🇧🇮

  • @user-lj1kb5cg7u
    @user-lj1kb5cg7u Před měsícem +31

    Wa kwanźa mm kutoka Zanzibar

  • @aganzeroger
    @aganzeroger Před měsícem +2

    Mwakatobe akomi deko nabiso 😂😂😂🇨🇩🇨🇩🇨🇩mabete🎉🎉🎉

  • @sarahnjeri-tz8eu
    @sarahnjeri-tz8eu Před měsícem +3

    Wangapi tulijiongelesha vile hii tamthlia imeishia mahali pa kuenjoy zaidi😂😂😂 Clamvevo kazi safi sana 🎉🎉🎉

  • @andrewcb9045
    @andrewcb9045 Před měsícem +6

    Comment number 131 ni mimi kutoka kenya...kweli clam kenya 🇰🇪 Twakupendaa

  • @JamaliUssene-di1qm
    @JamaliUssene-di1qm Před měsícem +18

    Nawakuba sana nawafuatilua mpaka mwisho ipisod

  • @MohamediKalanje
    @MohamediKalanje Před měsícem +22

    Mwakatobe mpuuzi sana et ubaya ubwela

  • @wassisindani7993
    @wassisindani7993 Před měsícem +2

    Na furahiii Sanaa kwakutuheshimishaa Sisi wakonkomaniiii kWalugaa yetuu ya Congo DRC. Lingala,, Asante zinga

  • @ErnestoSaideRafaelSaideRafael
    @ErnestoSaideRafaelSaideRafael Před měsícem +5

    Clam anazidi anaka mda muingui alafo analusha to mojamoja angalau ukiwa unatulushia mbili basi ❤❤❤❤

  • @saidihysn2212
    @saidihysn2212 Před měsícem +44

    Tunataka kuona pambano la Zinga na Clam vevo wengi siwaelewi hata kidogo lakn Clam na Mwakatobe waigizaji waziri

  • @user-zy3dx5ob4h
    @user-zy3dx5ob4h Před měsícem +18

    Wa kwanza from Congo naomba like

  • @daudinjomozepisa7685
    @daudinjomozepisa7685 Před měsícem +11

    Kuna vita ya umbeya imeibuka 😂😂

  • @wizzyscopy-j8q
    @wizzyscopy-j8q Před měsícem +2

    😂😂💥💥clam we mnyamaaaaa sema unachelewesha kaz 2napata shid fans wakooo sema sikupingiiiii

  • @aishakimaro2795
    @aishakimaro2795 Před měsícem +1

    Loh nanyi mnachelewesha sana mpaka mnaondoa utam

  • @NGOMA_MUSIC1
    @NGOMA_MUSIC1 Před měsícem +10

    🇨🇩🇨🇩 t'es vraiment méchant mec félicitations Clam un jour je voulais te voir au Congo mon frater 🇨🇩

  • @DPShabani
    @DPShabani Před měsícem +9

    Clam vevo bwana mambo yako yanatisha kweli, endelea baba tuko nyuma yako tu.

  • @dyloke
    @dyloke Před měsícem +71

    Aujui mimi ni wangapi ila naomba support like yako

  • @user-sy9cu5ef5q
    @user-sy9cu5ef5q Před měsícem +1

    Snake boy inachelewa sana kuletwa hadi tuna sahau kama tulikua wapi haya mi naangalia nikiwa Kenya 🇰🇪 ila mumezidi mmmh

  • @anthonylukala3637
    @anthonylukala3637 Před měsícem +1

    Jamani tusikae kwa kumba like tu tunahitaji mawaiza kuhusu hii series wana chelewa sna weak mbili hatuoni kitu daaah sio poa

  • @mercyigoki7056
    @mercyigoki7056 Před měsícem +44

    Thank you...the first to comment from kenya...clam zawadi kwangu na nipewe like

  • @StevenMakanja
    @StevenMakanja Před měsícem +13

    Duuu hatimae wametowa baada ya kusubili mda mrefu❤❤❤❤🎉🎉🎉

  • @anualhemed6808
    @anualhemed6808 Před měsícem +17

    Halafu mnachelewa sana halafu mnaweka dakika chake sana

  • @seifzayumba
    @seifzayumba Před měsícem +2

    Ndio maan naipenda hii move ❤❤❤❤

  • @MasudiJacques
    @MasudiJacques Před měsícem +2

    Muace kutucelewesha sanaa ❤❤❤

  • @mohamedlopa8410
    @mohamedlopa8410 Před měsícem +156

    Ambao tunaokubali Series SNAKE..BOY...tujuane kwa like japo kuwa inacheelewa kutoka....😂😂😂❤❤❤

  • @wakasimadiatz
    @wakasimadiatz Před měsícem +7

    Mimi sitaki lik wala chochote ispokua nilitaka niombe kwa clam naomba kwaniaba wa mashabiki wako wote kwamba mnaichelewesha sana bas mngejaribu angalau bas kwa wiki mkatoa season mbili maana tunachoka na kuisuburia hadi tunakata tamaa, kwa niaba ya mashabiki niseme asante

  • @AishaAbdallah-lm4ic
    @AishaAbdallah-lm4ic Před měsícem +10

    Waa Uko vzr clam vevo.....Wanisho from Qatar 🇶🇦

  • @user-gv6iz2wd6d
    @user-gv6iz2wd6d Před měsícem +3

    Kizaz mkuu❤❤❤❤❤

  • @monysanga7516
    @monysanga7516 Před měsícem +1

    Haya kazkaz inayofuata jamani mapema msicheleweshe sana

  • @SuhailKhan-p2i
    @SuhailKhan-p2i Před měsícem +25

    Sidhan Kama Mnasikiliza Maoni ya VIWERS wenu.. Mnailaza sana hii tamthilia. Inafika wakat watu tunakosa hamu ya kuifatilia tena...plz zingatieni Maoni ya Watu

  • @SusanChidodo
    @SusanChidodo Před měsícem +33

    Aliegunduaga zumba kabaka Kim gonga like ..

    • @joymasak
      @joymasak Před 27 dny +1

      Ni yenyee maa anajihic xn

  • @TitusMwange
    @TitusMwange Před měsícem +13

    VEVO na team yako nzima mnanifurahisha sana

  • @fahadally5846
    @fahadally5846 Před měsícem +1

    Hii movie unavyo sema ndio inaisha ndio inazidi kuwa tamu