MBWADUKE: SCANDAL? OHOO! YANGA WAZIDI KUISHIKA PABAYA CAF/ REFA NA WENZAKE...
Vložit
- čas přidán 5. 04. 2024
- UFAFANUZI
Kumradhi kuna mahala Mzee wa Data ameteleza. Tukio la Lomalisa kupewa kadi ya njano lilikuwa ni pale alipomchezea faulo Khuliso Mudau na siyo Peter Shalulile.
By Mhariri - Mbwaduke Stats "Spoti Next Level"
Usisahau ku-subscribe, ku-comment na ku-like...
Hi cyo haki kabisa like lilikuwa goli sahihi Tena lililojaa ufundi
Match irudiwe au tupewe ushindi wetu twendelee kupambana mpaka tone la mwisho.😅
Labda iwe sio Africa
Walipanga matokeo mapema wale hawa uwezo wakuifunga yanga hii nibora sana
Yanga wameibiwa goal lake , basi pole sana , mwaka ijayo mpiganishe zaidi . Team la yanga iko boro . Mimi nimu congo .🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩
🙏🙏🙏🙏
Asante sana ndeko na biso ..
God father wa Tanzania MBWADUKE UISHI MIAKA MIIINGI tumeelewa🙏🏼🙏🏼🙏🏼
YANGA WANAWACHEZAJI BORA SANA. ILA WAMEONEWA
Mungu asimame penye haki 🤲🤲🤲
Mzize nimchezaji mzuri sana atabadilika
Kwa tukio la kuporwa ushindi wetu kwa kukataa goli halali, binafsi nimeamini Duniani hakuna haki , haki iko mbinguni tu.
Ujui kama mpira dhambi😅
Haki lazima uipiganie.
Hapa ndipo utajua kwa nini ukiwa mdogo ukawa na hela utapewa shikamoo ata na Aliyekuzidi umri
Haki duniani Akuna hela ndio kila kitu
@@PendoMatemba-ql1ng Umenena vyema
Ni kweli mzize ni tatizo kubwaa sawa na kuhujumu dareslaam na pritoria
Mzize kweli amekosa ila swali tunalozungumzia hapa ni lile Goli kwanini walikatee
@@ibrahimissakhamisi9622
Wabongo mna lawama kinyama. Kama vp mwacheni aende timu nyingine
Aende mtibwa kwa mkopo akajifunze huko maana amezidi
Yanga imekuwa kubwa inamfedhehesha mpk rais wa CUF hongera yanga hongera Tanzania
Si CUF ni CAF
😂😂😂@@fletchermbwambo2748
😢
Unakosea sio cuf ni caf
Tumekupsta baba Mbwaduke ww upo sawa mungu akupe baraka zake
hata kama halikuwa goli lakin kwann refa akaamua aweke ni drop ball badala ya kona REFA HAKUWA MAKINI
Haikuwa drop Ball bali ilikuwa ni offside
Wakati Aziz anapiga lile shuti Guede alikuwa offside position, lile shuti lilivyogonga Mwamba mpira ulirudi uwanjani sasa wakati beki anaokoa ndipo Guede alipoenda kumdisturb ilhali alikuwa offside position
mhmm kama hamjuwi kuuwelezea mpira Bora mukae kimya tu
@@tycoon9540Asingeruhusu kona,ingewaweka hatarini !!! Pesa!!
@@tycoon9540umeulizwa kwa nini kukawa na dropball wewe unasema ni offside. Unaelewa maana ya dropball?
Refa alichanganyikiwa pale wizi so mzur ipo siku utazirka tu mana ilikuwa kona so gol kiki na kona haikupgwa dar iisee
It's so bad, but one day yes,,,, young Africans or Tanzania can be respected by others side... I say again young is a champion finish
Umeongea kweli. Mie ningekuwa captain ningewagomesha wotee
Kweli father unachambua ukweli
Baba mbwaduke umebalikiwa kipaji adhiimu kutoka kwa MUNGU
KUMBE MECHI haikuchezeshwa na mwamuzi WA Kati KUMBE MECHI ilichezeshwa na VAR ROOM
Mashabiki wenzangu. Tafadhali tusimvunje Moyo mchezaji Mzinze Kwa makosa anayofanya Uwanjani, zaidi kukosa utulivu anaposogea golini. Ni vema tuendelee kumpa Muda ni kijana mdogo anatakiwa aendelee kujifunza zaidi.
Mzize hafai kabisa tusiutetee ujinga kwenye jambo la serious
Mashabiki yanga wamemsaport sana Mzize, tatizo Mzize habebeki kwa kila mechi anapata nafasi anaiangusha timu.
Kwa heshima yake na heshima ya mpira wa Afrika, Motsepe anapaswa kutenda haki katika hili.
Hata atende haki haiwez kubadilishwa hiyo imeenda
Motesepe ajiuzulu!!
@@fletchermbwambo2748 hizo n ndoto sio kwa Africa Kwan yy ndyo kafanya kosa🤣🤣 alaf yanga mmeanza kupagawa
Yan we father mbwaduke huna baya , Yan hunajua xan we ni role model Wang mzee wa matakwim big up xan
Brother Mbwaduke hiyo Suti yako nimeielewa sanaaaaaa
RESPECT
Yanga must heal and come back stronger next season. It's a hard pill to swallow because they gave it their best.
Upo vizuri kaka ntaendelea kufuatilia data zako
Brother uko vizuri mno ktk kazi yako ,zid kubarikiwa ktk hiyo.
Wee uko vizuri sana master 💯👍👍
Bwana mbwaduke uko sahihi kabisa
Na kama halikuwa goli kwanini haikupigwa kona?? Nawakati mchezaj wa mwisho kugusa mpira alikua wa mamelodi, apo kunakitu kinaendelea
Pia wachezaji wetu wasiwe wepesi kiasi hiko. Walipaswa kumsumbua referee ili akatazame VAR
Mzize anahitaji muda bado kijana mdgo Ana mengii yakufanya jangwaniiii,lakini mbaya zaidii no figisu za refa kwa goli la azizi ki
Pamoja na Hilo, baada ya kukataa kua sio goli , mpira ulitolewa nje na mchezaji wa mamelod... Hivyo ilitakiwa itafsiriwe kua Kona!,⛳⛳ #mbwaduke
Kwann rwfa alikua anaangakia VAR wakicheza rafu ...ila goli lilipofungwa ....HAKUFATA VAR KUANGALIA?!?!?!?!?!?!
Kweli umechambua vizuri wasipo kusikia hao walikuana uchakachuji.
Nyny mnaomsema Mzize hivi nyny mnajua ugumu wa kutia mpira wavuni nyny? Hata hao wachezaji wakubwa hua wanakosa magoli sembuse Mzize, hapa tujadilini goli letu tulilonyimwa
Tumpe Mzize fursa akue jamani!
Sahihi mda ni muhm
Good presentation
YULE REFA ALITAKA KWENDA KUIONA VAR LAKINI ALIKUWA ANASHINIKIZWA KWA MAWASILIANO ASIENDE KUSHUHUDIA
Inaumiza sana!
Kweli brother ni mipango ya CHUMBA CHA VAR
Very true
Wee refa utataga ipo siku tutakufuata huko kwenu Malaya wee,,,utuonyeshe goli letu,,,,,mwamuzi jiandae kwa busha,,,
👏👏👏👏👏👏👏 kwa uchambuzi wa haki mzee wa busara
Mwaduke nakuelewa sana kaka
Mungu nimutetezi wa haki mungu simama na yanga nihaki yao
I apreciate you brother
Asante ,Refa ashughulikiwe kisheria
Am just so happy that Yanga took that bold step!! They won but that was daylight robbery
😅😅😅😅😅yanga out😂😂😂
@@Eti_05 kwa hiyo unafurahi? Hujiulizi dunia nzima inaizungumzia Yanga wakati Tanzania tumepeleka timu mbili? Au ya kwako ni kikundi cha wahuni
Timu ya boss ndio maana tunaonewa
Asante sana Mzee wa data wewe ni noumaaa sana
Mamelodi will never raise the cup of champions league , NO PAIN , NO GAIN😢😢😢😢
Me nadhani kama hawatendi haki, hakuna sababu ya kushiriki mashindano ambayo mshindi anakuwa ameandaliwa
Yaani Mpaka Leo nimekuwa myonge Kwa ajili ya goli la azizi ki dhuluma walio tufanyia mungu yupo yupo na yanga ya wananchi
Pamoja na haya yote...clement mzinze ni tatizo na chanzo cha yanga kuendelea na mashindano...anakosa magoli ya wazi kipumbavu sana
Nenda kacheze wew
Wee jamaa umewahi kucheza mpira wee au unaongea tu
Hilo la Mzize ni kesi ingine na lipo ndani ya Yanga wenyewe, Mchambuzi haongelei hilo.
Kwema kabisa, Mzize ndo yule yule, bora aende namungo
Laiti kama Mzize angekuwa na finishing nzuri basi gemu ingeisha kwa Mkapa
Wachezaji wetu sio wazuri kwenye penalty,corner na free kick.
Kwahiyo wafanyie sana mazoez juu ya hilo
Penalty hazina ufundi ni bahati tu
Penalty wapigaji wazuri ni viungo,mawinga na washambuliaji na sio mabeki chunguza vizuri penalty zilizopigwa na Bacca na Job tumezikosa,mabeki wamezoea kubutua mipira….Angepiga Aziz Ki(ingawa amekosa kwa kuwa spirit yake ilikuwa down baada ya kukosa goli),Guede,Okrah,Mudathir na Mkude
Tumechoka kuonewa bwana wana wa mashariki sio sisi tu hata watani wetu wemenyimwa penati 2 za wazi kabisa
Hii ni KAFSHA kubwa Sana kupata kutokea kwenye soka la Afrika, ili kuondoka DOA Hilo YANGA apewe USHINDI na wote waliohusika na njama hizi wachukuliwe hatua KALI bila kujali cheo Cha mtu.
Inauma sana pale unapo dhulumiwa haki yako wakati ni halali yako daah nadhani hile ni mipango tuu ili waweze kutudhulumu ila mimi nasema kuwa viyongozi wa yanga tunahitaji mulisimamie hili goli la yanga 😢😢
Inawezekana kweli waliona ni goli wakamwambia asiende kuangalia maana watazamaji wataona nao
Kweli ndugu yangu
Waone Mara ngapi? ....Tv ilitosha kuona
Young african bora🎉
Yanga iltakiwa igome kcheza mpira usimame refa aende mwnyw kcheki
Mzee wa takwimu tunakukubali sana
Ngozi yeusi haki ipo mbali Sana mwenye hela ndo mwenye haki sisi tulijuwa tushinda kugumu Sana ila mungu atalipa APo mbele hawatoboi emungu wape laana mamelody wasifike mbali😊
Naungana na ww Laana iwe juu yao wote Pamoja na MA REFA WOTE WALIO HUSIKA Na Mamelod Haitoboi mbele Labda wakale RUSHWA MAREFA Maana ni tabia zao
@@johnnzali58320:00 0:00
Xxxx
Xxxx 0:00 0:00 0:00
Mungu atawalaani hawatafanikiwa kamwe
Kaka samahani ni kukumbushe kitu katika mechi ile baada ya refa kukataa goli mchezaji wa Mamelod ali piga kichwa mpira kutoka sasa kwanini akutoa kona 😭😭😭😭
Hata me niliona
Mechi haiwezi kurudiwa kama lilikuwa goli yanga anapewa points 3 na goli kama 2019 wydad vs esperance
It was a clearly robberly
Mashindano hayana hadhi hatuyataki Yanga tutashiriki UEFA
A goal of the whole gole!
Aziz ki
Rushwa imetawala sana katika SOKA LA AFRICA.
Yanga wapewe haki yao maana mpira unachezwa uwanjani sio vyumbani
Hiyo ball possession ya 74% na 26% siku hiyo ilipimwa vipi? Hapa pia aliwekwa mtu wa kutudhalilisha.
Hawatendi haki ni goli sari kabisa
Waamuzi walifanya hujuma dhidi ya yanga ni unyama ni uporaji
Mzize sio mzigo bali anatakiwa aongezwe umakini kwani huwezi kumuita mzigo
Shida ana plesha
Rais wa shirikisho anatakiwa kujihuzuri kwa sababu ya timu yake anaipendelea
Yanga should request var conversation in the same way Liverpool did
Hii ni Afrika ndugu pale kulikua na maelezo
Tunaomba Mechi irudiwe Yaani pambano lirudiwe tunaomba ❤❤ kwa upendo tu
Sawa sawa wakome utopolo wao wenyewe wezi wamagoli na kupewa penati sio za alali
Mzize ajitathimini kama mchezaji wa timu kubwa
Umeiva kaka
Brother mbwaduke pamoja na makosa ya refa, mzize ni tatizo kwa yanga hafai
Yani mzize ilibidi afikie jera hata week 2
Mzize ni mzuri ila kuweka mpira kwa kamba anakigugumizi ila sio mzize tu mastriker wote ata mayele makambo kisinda walikua wanakosa lbd wakiona team iko pabaya wanatumia nguvu adi kupat matokeo sema mzize iyo bado hana kabisa
Ni mzuri ila bado ana uchanga au utoto sana kwenye mechi zenye presha kama za michuano mikubwa ingekuwa bora angecheza J. Guede
@@CharlesSeleli-to2unAna utoto gan alipo pale ? Huyo uwezo hana
ana faa Ila hatumii akili ana tumia ngvu anapo pg mpira haangalii ana piga wap apewe elim
CLEMENT YUKO VIZURI. HUWEZI JUA LABDA GOLI ALIKUWA HALIONI. YUKO VIZUTI TU. KOMSS TU MWANANGU MBELE HUKO UTAKUWA MTU BORA SANA
Skuungi mkono
Duuhh kweli wamewahujumu watani zetu ...Prof mbwaduke uko vizuri
Refer NBC YANGA VS IHEFU Azamcomplex
@@user-sw9zb3my9lkolo kama kolo
Mlungula ulitembezwa kwa waamuzi...caf ni fisadi na haibu kwa mpira wa africa....sisi GOR MAHIA tunatambua hilo😢
Motsepe ajiuzulu. Is like ni tatizo
Motsepe Kwan ndyo kachezesha mpira😂😂😂 mfa maji wewe acha kutapatapa
Pamoja mkuu
Caf wemetunyima haki yetu
Broo uko sahihi sanaa❤
Acheni usengee nyinyi baada ya kuongelea vitu vya point mume kazana mzize mzize kacheze wew we unaona kazi raisi
Kweli kabisa yaani wabongo lawama tu tumeona magoli ya wazi kabisa alilokosa Mzize lina nafuu tena sana mtu na kipa anakosa tena wachezaji wazuri tu.
Uchambuzi mzuri wa shuke
Nipeni rakizangu
lais wa CAF katowa lushwa kwa lefalii
Kweli
Mungu atawaonyesha
Mzize hatufai tumuache
Tumwache Ili mumsajili sindio
Kamlete mdogowako rais kashasema amdai mtu yoyote we nani na una msaada gani Kwa timu au mzize au we kolo
Mamelod hawana kitu chochote😂😂😂🎉
Yanga wapewe ushindi wao
Mbona haya matukio ni mengi sana tanzania, kuanzia ngazi ya michezo mpaka siasa, 1,watanzania walilipa viingilio bila kurejeshewa baada ya mechi kutochezwa na hakuna hatua zilizochukuliwa
Ni kweli kabsaa,ebu waangalie ili waupe heshima mpira wa Africa
Koli haalalikabisa kaka
Then I realise that the previous win of Orlando Motsepe was behind shame on you Motsepe and CAF in general
Hata baada ya mpira ule kudunda, kurudi ndani na kutolewa nje kwa kichwa, hakuamuru kona.
Kaka napenda sana kukuskilza
Hongera hongereni sanaaaaaa yanga
Mungu atusaidie sana japo wenzetu wanatucheka eti sio bao
Akina nani wanaotucheka???
Makolo
@@mutakagoza4759 Kumbe sio watu ni Makolo 🤣 Kama ni hao wacheke tu
Sio goli na hakuna kitakacho badilika😂😂😂
@@ce-08kolo kama kolo ata zile 👋 mlisema wamefunga majini tumeshawazoe 😂
Nzize ndookasababisha yote angefunga yote yasingetokea yanga poa Kama maji kubebwa kawaida nasisi tunabebwaga
Mosepe should resign