Maneno Mabaya Yanavyoweza Kuharibu Maisha Yako

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 11. 09. 2024

Komentáře • 147

  • @joycelaura4611
    @joycelaura4611 Před dnem +1

    Asante Yesu kwa mtumwa wako kunipa chakula cha uzima, nami nakataa maneno yote mabaya niliyowahi kutamkiwa mahali popote na pia nakataa kila hila zozote za kichawi na kiganga zilizowahi kufanyika kwangu katika jina na Yesu amen

  • @atuganilejacob3119
    @atuganilejacob3119 Před 9 dny +5

    Natamka kufunguliwa kwa watoto wangu,sijazaa mataahira Wala watoto wasioeleweka,watoto wangu wataitwa heri katika jina la Yesu kristo wa Nazareth,Amen🙏🏿

  • @user-sg4ik2tr8j
    @user-sg4ik2tr8j Před 6 dny +3

    Navunja maneno yote yaliyotamkwa juu ya uzazi wangu na maisha yangu kwa jina la Yesu kristo wa nazareth

  • @atuganilejacob3119
    @atuganilejacob3119 Před 9 dny +4

    Kila neno lilotamkwa juu yangu kwa ajili ya uharibifu,kuanzia leo Hilo neno halitakua Wala halitasimama katika jina la Yesu🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙌🙌🙌

    • @ElifridaSarakikya
      @ElifridaSarakikya Před 5 dny

      Nafuta maneno yaliyotamkwa kwa mwanangu kwa jina la yes aliye hai

  • @boazkoyoakai6728
    @boazkoyoakai6728 Před 21 dnem +10

    Na ziwe nyakati mpya kwenye maisha yangu. AMEN

  • @DeboraNgura
    @DeboraNgura Před 20 dny +5

    Amen..na ziwe nyakati mpya .. nzuri kwenye maisha yangu..roho yangu endelea mbele kwa nguvu

  • @estherlemburismollel5901

    Ziwe nyakati mpya kwenye maisha yangu kwa jina la Yesu. Vilivyofungwa na mwovu vikafunguliwe kwa jina na damu y Yesu Kristo wa Nazareth mwana wa Mungu aliye hai, ubarikiwe kwa ujumbe huu wa kuvusha Mchg wetu mpendwa

  • @leonidamayala1010
    @leonidamayala1010 Před 18 dny +6

    Nafuta maneno yote mabaya niliyotamkiwa kwa jina la yesu

  • @emmanuelmwamanga
    @emmanuelmwamanga Před 9 dny +1

    Namuombea Mtoto wangu Assacki afunguliwe kwa jina la Yes.

  • @esthermliga4875
    @esthermliga4875 Před 9 dny

    Amen, na ziwe nyakati mpya nzuri katika maisha yangu!!!

  • @hadijambwambo6833
    @hadijambwambo6833 Před 19 dny +3

    Ninafuta maneno yote mabaya niliyotamkiwa kwa jina la Yesu..

  • @elicakarutha8937
    @elicakarutha8937 Před 3 dny

    Amen nafuta kila lilonenwa na liliandikwa kwa ajili yangu nafuta kwa Jina la Yesu

  • @EstarNelson
    @EstarNelson Před 21 dnem +11

    Na ziwe nyakati mpya kwenye maisha yangu

  • @newhopeonline5818
    @newhopeonline5818 Před 12 dny

    Amen, napokea nyakati mpya kwa jina la yesu

  • @user-lr9wq8dc2k
    @user-lr9wq8dc2k Před dnem

    Naombea familia yangu na watoto wangu wafunguliwe kwa jina la Yesu.

  • @annkasina4194
    @annkasina4194 Před 20 dny +2

    I receive a new life in Jesus name..nainuka Tena..roho yangu endelea mbele kwa nguvu...

  • @tabithamselema166
    @tabithamselema166 Před 20 dny +1

    Roho yangu endelea mbele kwa nguvu katika jina la Yesu. Barikiwa Mtumishi wa Mungu 🙏🙏💓

  • @josephinendinda9065
    @josephinendinda9065 Před 10 dny +3

    Na ziwe nyakati mpya kwa maisha yangu🙏🙏pastor Naomba number yako Ntoe sadaka ya kuvunja ii mathabau

  • @olphanyamweya3154
    @olphanyamweya3154 Před 7 dny +1

    AMEN 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏 nimepokea MCHUNGAJI AMEN AMEN 🙏🙏😭😭😭

  • @woindeeliakim7160
    @woindeeliakim7160 Před 17 dny +2

    Na ziwe heri katika maisha yangu mateso na manyanyaso kazini hayatasimama kwangu kwa jina la Yesu Kristo Amen

  • @waelmsangi5503
    @waelmsangi5503 Před 4 dny

    Na ziwe nyakati mpya katika familia yangu kwa Jina la Yesu Kristo.

  • @rumariletimba7585
    @rumariletimba7585 Před 21 dnem +1

    Amen, nimepokea kufunguliwa pamoja na familia yangu kwa jina la Yesu

  • @edithnsillo4529
    @edithnsillo4529 Před 6 dny

    Nafuta maneno yote nliyotamkiwa kwa jina langu Yesu

  • @josephmuthoka4992
    @josephmuthoka4992 Před 11 dny

    Amen barikiwa sana mtumishi wa mungu

  • @ferdinandntembagara2949
    @ferdinandntembagara2949 Před 20 dny +2

    Naziwe nyakati Njema katika Maisha yangu kwa jina la Yesu

  • @naeema8155
    @naeema8155 Před 7 dny

    Amen sitakufa bali nitaishi nitakua kichwa sio mkia nami nitayasimulia matando makuu ya Mungu

  • @leahogutu9818
    @leahogutu9818 Před 15 dny +1

    🎉Amina watoto wangu wawe vichwa kwa jina la Yesu Amina

  • @GodfreyMwamaso
    @GodfreyMwamaso Před 14 dny

    Amen na ziwe nyakati mpya kwenye maisha yangu

  • @gasperurassa6440
    @gasperurassa6440 Před 5 dny

    Amen Amen Amen Amen Amen Amen I receive it in Jesus might Name Amen Amen 👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏🇹🇿

  • @olphanyamweya3154
    @olphanyamweya3154 Před 7 dny

    Following from Saudi Arabia,,..

  • @naeema8155
    @naeema8155 Před 7 dny

    Navunja naharibu nafuta kila neno baya lililotamkwa kwenye maisha yangu kwa jima la Yesu

  • @MambaziMgonda
    @MambaziMgonda Před 19 dny

    Amen amen barikiwa Rev kwa neno Hilo la ukombozi wa fikra zetu za rohoni na ziwe NYAKATI mpya kwetu kwa jina la Yesu...

  • @user-lp9hg2dv5s
    @user-lp9hg2dv5s Před 4 dny

    Nikweli baba, mimi wamenitesa ila Mungu athihirike kwangu kwa jina la Yesu

  • @FridaLaizer-mu2kz
    @FridaLaizer-mu2kz Před 20 dny +2

    Neema ya Mungu itusaidie BABA Mchungaji.

  • @woindeeliakim7160
    @woindeeliakim7160 Před 17 dny +1

    Na ziwe nyakati za amani kwangu Haleluya Glory to God

  • @wilfredmaimu1958
    @wilfredmaimu1958 Před 15 dny

    Naziwe nyakati mpiya kwenye maisha yangu aminaa

  • @user-xy1mv1ve6h
    @user-xy1mv1ve6h Před 20 dny +2

    Na ziwe nyakati mpya kwenye maisha yangu.Ameen

  • @ayoubmwalewela3062
    @ayoubmwalewela3062 Před 14 dny

    Ubarikiwe sana pastor. You are my spiritual father. Eeee roho yangu endelea mbele kwa nguvuuuu

  • @CatherineNzeki
    @CatherineNzeki Před 16 dny +1

    AMINA.NIMEPOKEA KUFUNGULIWA KWANGU NA FAMILIA YETU KUTOKANA NA KILA VIFUNGO VYA KICHAWI NA MAAPIZO YOTE KATIKA MAKARATASI AU KWA GODORO YAFUTIKE KATIKA JINA LA YESU

  • @LusiKomba-rh1vo
    @LusiKomba-rh1vo Před 15 dny

    Amina kubwa na I we nguvu kubwa yeny maombi na maono 🙏🙏🙏🙏🙏

  • @salomeluhindi9717
    @salomeluhindi9717 Před 3 dny

    Natamka kufunguliwa kwa mabaya yote niliyonenewa kwa damu ya Yesu

  • @user-rr3qb1jg3f
    @user-rr3qb1jg3f Před 12 hodinami

    Nina sadaka kidogo neno limenigusa mtumishi, kuna maneno ninanenewa ya uwongo mpaka nashindwa kuelewa nini vita hii, sielewi kabisa. Ninaomba namba yako ionekane ili nitume sadaka yangu. Mungu akubariki mtumishi.

  • @neemaswai8358
    @neemaswai8358 Před 20 dny

    Amen Mungu atusaidie wote tuliofungwa kwa maneno yasiambatane nasi wala kusimama kwa ajili yetu🙏🙏

  • @philipinamboya2204
    @philipinamboya2204 Před 21 dnem +2

    Ee roho yangu endelea mbele kwa nguvu

  • @EuniceMwanri-jw9py
    @EuniceMwanri-jw9py Před 18 dny +1

    Eeh Mungu naomba unirehemu

  • @ruthsebastian4633
    @ruthsebastian4633 Před 6 dny

    Kila neno lilotumwa juu yangu na familiya yangu nayafuta kwa damu ya Yesu kristo

  • @elizabethmkayula8770
    @elizabethmkayula8770 Před 21 dnem +1

    Amen kubwa. Na ziwe nyakati mpya kwenye maisha yangu.

  • @gasperurassa6440
    @gasperurassa6440 Před 5 dny

    NINAFUTA MANENO YOTE YALIYOTAMKWA JUU YA MAISHA NA FAMILIA YANGU YOTE YATOKE KWA JINA LA YESU KRISTO AMEN AMEN AMEN AMEN
    ROHO YANGU IENDELE MBELE KWA KWA JINA LA YESU KRISTO AMEN AMEN AMEN

  • @elizabethmkayula8770
    @elizabethmkayula8770 Před 21 dnem +2

    Eee roho yangu endelea mbele kwa nguvu.

  • @loishiyesamwel1374
    @loishiyesamwel1374 Před 14 dny

    Na ziwe nyakati Njema katika Maisha yangu.
    KTK JINA LA YESU ❤❤

  • @BrendaMamuya-tt9qf
    @BrendaMamuya-tt9qf Před 19 dny +1

    Roho yangu endelea mbele kwa jina la yesu

  • @olphanyamweya3154
    @olphanyamweya3154 Před 7 dny

    Roho yangu zimama niendelee na safari🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🏃

  • @user-hm1oe4zg7t
    @user-hm1oe4zg7t Před 18 dny +1

    Na ziwe nyakati mpya kwa watoto wangu.

  • @Sophie-u6e
    @Sophie-u6e Před 15 dny

    Na ziwe nyakati mpya kwangu na uzao.....tunainuka tena Katika Jina La Yesu Amen

  • @witnesssamwely8812
    @witnesssamwely8812 Před 12 dny

    Ameni tunapokea Kwa jina la yesu

  • @maykoammy7812
    @maykoammy7812 Před 11 dny +1

    Halitasimama wala halitakua

  • @HildaPaul-hm4jk
    @HildaPaul-hm4jk Před 6 dny

    Nafuta kila maneno yalitamkwa na watu kwa jina la Yesu

  • @mayalamagesha4582
    @mayalamagesha4582 Před 14 dny

    Baba naomba msaada wa mahubiri Yako yawe yanaendelea mpaka na MAOMBI tukiomba na ukituombea Baba

  • @leahmollel6589
    @leahmollel6589 Před 21 dnem +1

    Ee moyo wangu endelea mbele kwa nguvu!

  • @denismnubi7001
    @denismnubi7001 Před 8 dny

    Amina Baba hakika najisikia Amani Sana Napo kusikiliza

  • @sabinakinunda3127
    @sabinakinunda3127 Před 10 dny

    Wapendwa katika Yesu Kristy naomba namba ya Mtumidhi huyo tafadhali

  • @emmanuelmwamanga
    @emmanuelmwamanga Před 9 dny

    Zije nyakati mpya kwa mtoto wangu Assacki Lunda.

  • @mikazomc377
    @mikazomc377 Před 10 dny

    Halitasimama wala kuukua kwa jina la yesu

  • @JenifaMwilwa-yw9jy
    @JenifaMwilwa-yw9jy Před 13 dny +1

    Amina ❤

  • @VAILETMWAMPAMBA-ug9ei
    @VAILETMWAMPAMBA-ug9ei Před 20 dny +1

    Mimi na family yangu tunavuka

  • @elizabethmwambai480
    @elizabethmwambai480 Před 9 dny

    Amina ubarikiwe

  • @gasperurassa6440
    @gasperurassa6440 Před 5 dny +1

    Nipate nyakati mpya kwenye familia yangu na biashara zangu na watoto wangu wote waolewa na kuoa na WAPATE kazi na ndoa ya heshima kwa jina la Yesu Kristo Amen Amen Amen Amen

  • @clementinamhoja389
    @clementinamhoja389 Před 3 dny

    Nafuta maneno yote mabaya kwa faimilia na mtoto wangu ameni

  • @OskaFredrick
    @OskaFredrick Před 21 dnem +1

    ©Asante Rev.ubarikiwe na Bwana

  • @mrambadiana9678
    @mrambadiana9678 Před 15 dny

    Naziwe Nyakat mpya kwenye maisha angu biashara angu mahusiano ang

  • @tedyjoseph1394
    @tedyjoseph1394 Před 9 dny

    Na iwe nyakati mpya kwangu🙏

  • @notbrugakiwia3565
    @notbrugakiwia3565 Před 20 dny +1

    Napokea uponyaji huo kwa jina la yesu naondoka karatasi ya mlangoni na chini ya godoro irizi na memo mbaya naitoa Kwa jina la yesu

    • @aweasfzsaid7936
      @aweasfzsaid7936 Před 8 dny

      Nafuta maneno yote mabaya niliyotamkiwa kwa Jina la Yesu

  • @ArafatiKowero-hl7hy
    @ArafatiKowero-hl7hy Před 9 dny

    Naishi kwa jina la Yesu na nafuta mabaya yote niliyonenewa kwa jina la yesu

  • @neemamwanga5447
    @neemamwanga5447 Před 12 dny

    Ziwe nyakati mpya na maisha mapya ktk familia yangu ktk jina la Yesu kristo aliye hai

  • @RaphaelMatheka-pg1lx
    @RaphaelMatheka-pg1lx Před 14 dny

    Amen amen Mchungaji

  • @angeldismas8695
    @angeldismas8695 Před 3 dny

    Natangaza kufungulia eehe roho yangu endelea mbele kwa nguvu

  • @joycekambuga6286
    @joycekambuga6286 Před 7 dny

    Nafuta maneno yote ya Rahana niliyo tamkiwa. Nafuta kwa damu ya yesu inenayo mema ikanene mema kwangu

  • @IreneBashiri
    @IreneBashiri Před 14 dny

    Na ziwe nyakati mpya za Amani na furaha katika maisha yangu. Amen

  • @dinahk.7622
    @dinahk.7622 Před 8 dny

    Niombee Pastor

  • @hongerakimbwala8650
    @hongerakimbwala8650 Před 17 dny

    Amina mchungaji

  • @DorosiDorosi-xd7nx
    @DorosiDorosi-xd7nx Před 3 dny

    Kwazia leo nitafanikiwa amina

  • @user-bm5zm6vp2u
    @user-bm5zm6vp2u Před 16 dny

    Na ziwe nyakati mpya kwenye maisha yangu.....
    Eee roho yangu endelea mbele kwa nguvu......

  • @salomeluhindi9717
    @salomeluhindi9717 Před 3 dny

    Kila maneno mabaya niliyotamkiwa na watu wabaya nayafuta kwa famu ya yesu

  • @gracekagoma3231
    @gracekagoma3231 Před 6 dny

    In God I trust.Amen❤🎉

  • @ruthsebastian4633
    @ruthsebastian4633 Před 6 dny

    Mikono ya watoto wangu naitamkia ulizi kwenye viganja vyao naitenganisha na wakukuu wa giza

  • @naeema8155
    @naeema8155 Před 7 dny

    Roho yangu endelea mbele usikate tamaa

  • @richardngate6372
    @richardngate6372 Před 21 dnem +2

    Amina,

  • @emanuelmpare772
    @emanuelmpare772 Před 5 dny

    Kweli baba mchungaji

  • @user-ys3rf6ch8z
    @user-ys3rf6ch8z Před 15 dny

    Amen baba

  • @joakimumsalilwa1004
    @joakimumsalilwa1004 Před 6 dny

    Ameen kubwa baba!!

  • @HinohiatHidoCo
    @HinohiatHidoCo Před 8 dny

    Naziwe Nyakati Mpya kwa Familia yangu kuondokana na "Ujira Wo wote wa kiganga "NINAUBATILISHA KWA JINA LA YESU KRISTO.

  • @jeanmujumba1282
    @jeanmujumba1282 Před 17 dny

    Na ziwe nyakati mpya katika maisha yangu

  • @wilfredmaimu1958
    @wilfredmaimu1958 Před 15 dny

    Aminaaaaaaaaa

  • @DamianSanga-b2z
    @DamianSanga-b2z Před 4 dny

    Aminaaa

  • @grace-rh3vv
    @grace-rh3vv Před 10 dny

    Amen. Amen

  • @Dotto19
    @Dotto19 Před 17 dny

    Amen Amen Amen 🙏🏾 Mchungaji 🙏🏾🙏🏾

  • @dinahk.7622
    @dinahk.7622 Před 2 dny

    Amen

  • @jullyjully4480
    @jullyjully4480 Před 4 dny

    👐👐👐 Ameen 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏

  • @DorosiDorosi-xd7nx
    @DorosiDorosi-xd7nx Před 3 dny

    Aamina

  • @tabithamselema166
    @tabithamselema166 Před 20 dny

    Amen amen Mtumishi🙏🙏