KIJANA MILIONEA WA KOROSHO, ANAMILIKI SHAMBA EKARI 10, KAAJIRI VIJANA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 3. 07. 2022

Komentáře • 48

  • @gordonwalexs1685
    @gordonwalexs1685 Před 2 lety +5

    Hongera Sana kka ,nawafwatilia nikiwa kenya

  • @farajmanuar3589
    @farajmanuar3589 Před 2 lety +5

    kazi nzuri kijana endelea kupammbana..

  • @gordonwalexs1685
    @gordonwalexs1685 Před 2 lety +2

    Ayo TV Nambarimoja ,🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🛬🛬🛬

  • @arafakiloli749
    @arafakiloli749 Před 2 lety +1

    Mashaa Allah

  • @jacobsifukwe7291
    @jacobsifukwe7291 Před 2 lety +1

    Sio milionea

  • @sabinaonline6575
    @sabinaonline6575 Před 2 lety

    Shukrani

  • @abdalaalmas2535
    @abdalaalmas2535 Před 2 lety +3

    HUYU INAONEKANA SHAMBA SIO LAKE YAANI ANAKUA KAMA ANABAHATISHA.

    • @rayisadesigns2646
      @rayisadesigns2646 Před 2 lety

      kwa kusini kumiliki shamba kama hiilo ni kitu cha kawaida tu

  • @c75923
    @c75923 Před 2 lety +8

    Huyu mtangazaji bwn nna matatizo nae sana toka enzi za tukio la Hamza kuua askari kwenye interview anamuuliza askari hii ni mara ya ngapi unakutana na tukio kama hili!! Kama hapa uliza maswali technical eka kumi unavuna tani ngapi au kilo ngapi, eka kumi gharama za kuandaa shamba mpaka kuvuna kiasi gani, nini changamoto kwenye soko la korosho, kangomba, madalali yani mengi ya msingi hayaulizwi, sauti nzuri ya utangazaji ila duuh! (Samahani lkn)

    • @miltonmachage2462
      @miltonmachage2462 Před 2 lety

      Sio samahan bali umemchana cz wanaingua xanaa

    • @c75923
      @c75923 Před 2 lety

      @@miltonmachage2462 ok poa kiroho safi lkn

    • @nasriabdi9046
      @nasriabdi9046 Před 2 lety

      safi sana hana maswali technical maana ili hata sie tusiwe na maswali yoyote yeye anatakiwa aukuze na najibu tupate

  • @partnersah8802
    @partnersah8802 Před 2 lety +1

    Kweli ni ndogo hiyo hela million 2 kwa msimu mmoja then unasubilia miezi kumi tena kupata million 2.

  • @issahemed1157
    @issahemed1157 Před 2 lety +2

    Huyo sio mmakonde, Na anachokiongea hakina nguvu sanaaa

  • @superangeltv4615
    @superangeltv4615 Před 2 lety

    good

  • @rikekikonyo2265
    @rikekikonyo2265 Před 2 lety +2

    Shamba lina thamani ya mil 60 linakupa faida ya mil 2 how come??

    • @baserbob6899
      @baserbob6899 Před 2 lety

      bado shamba changa likakomaa linauwezo wakutoa mbaka M20 kwa mwaka

  • @diolindanativo7268
    @diolindanativo7268 Před 2 lety +1

    Watoto wa Naliendele nuksi sana hao wachawi sana hao ogopa.

  • @fatmamamlo7882
    @fatmamamlo7882 Před 2 lety +2

    Akazane kuongea sauti yake ndogo sana

  • @mohamedkitemwe3569
    @mohamedkitemwe3569 Před 10 měsíci

    Good

  • @oscarsabin3561
    @oscarsabin3561 Před 2 lety +2

    Hapo ayo umeyumba hekali kumi hilo sio shamba kashamba ni mkulima mdogo Sana watu Wana hadi hekali 80

    • @partnersah8802
      @partnersah8802 Před 2 lety +1

      Kumbe watu nikajua wewe ndo unazo hizo hekari ningekuja kuomba kazi

  • @ismailchibonda5005
    @ismailchibonda5005 Před 2 lety

    Mnamaliza mb zetu bwana.

  • @rojahman9971
    @rojahman9971 Před 2 lety

    Hamn kitu hpo

  • @didimhutila8985
    @didimhutila8985 Před 2 lety +1

    Kwa hiyo hiyo mikorosho inamiaka minne tuu?

  • @partnersah8802
    @partnersah8802 Před 2 lety

    Mtwara Kuchele

  • @joshuamwihambi5856
    @joshuamwihambi5856 Před 2 lety +2

    Watu wana ekari 50 korosho milardayo bwana

  • @godlovemrosso5973
    @godlovemrosso5973 Před 2 lety +1

    Hilo shamba alinunua na korosho zake kumbe ? nilidhani kaotesha mwenyewe na kuikuza mpaka kufikia hapo

    • @c75923
      @c75923 Před 2 lety

      Korosho ni kama kahawa au minazi inachukua miaka kukua mpaka kuvuna; na mti ukikomaa unakaa hata miaka 20

    • @tugabiz4286
      @tugabiz4286 Před 2 lety

      @@c75923 sasahivi kuna Mbegu za kisasa chap kwa haraka

  • @haniffa9024
    @haniffa9024 Před 2 lety +2

    czcams.com/video/6aWWNqSKKq8/video.html
    DAWA YA KUMSHIKA MPENZI KIGANJANI

  • @dicktv8762
    @dicktv8762 Před 2 lety

    Uchizi tu akuna chamaana apa

  • @fikirishaban8167
    @fikirishaban8167 Před 2 lety

    Mhh

  • @haniffa9024
    @haniffa9024 Před 2 lety +1

    czcams.com/video/6aWWNqSKKq8/video.html
    DAWA YA KUMSHIKA MPENZI KIGANJANI

  • @fikirishaban8167
    @fikirishaban8167 Před 2 lety

    Mhh

    • @zakiakusaja8603
      @zakiakusaja8603 Před 2 lety

      Wewe unaguna nini 🤣🤣🤣unatatizo nae

    • @tatotato506
      @tatotato506 Před 2 lety

      @@zakiakusaja8603 😄😄😄😄😄😄