Akubali Kumlisha Mbwa wa Wema, hii ni kauli ya kijan kutoka Bukoba ambaye ni shabiki wa damu wa Wema Sepetu baada ya kuamua kumtafuta kwa siku nyingi bila mafanikio.
bwana ee acheni maneno mwacheni, kijana atafanikiwa huyo ni binadamu mwenzenu hamna aja ya kumtukana wala kumkashifu, wema tenda wema wako kama jina lako, mwenyez mungu akutangulie,,
kijana wacha kujiteka kiasi hicho mee nadhani ungetafuta kwanza ushauri kabla hujachukua maamuzi hayo, alafu kijana mwenzangu nikukumbushe kitu kidogo nafahamu maisha ni magumu lakini sasa hayawezi kuwa rahisi kwa kujirahisisha tambua kabisa wewe ni wathamani kwa hyo usipende kuuchezea utu wako na kufikiri ya kwamba kupitia wema suluhisho la matatizo yako yatakoma wewe ni matokeo lakini huku unakoelekea unakwenda kuwa tukio .Njoo Bukoba tulime bona kuna mvua za kutosha wacha kulialia kwenye media
sawa sawa kaka hongera .....kusema kilio chako ndani ya moyo...ila kuna na mungu .....hata yy anamtege mea mungu kaka makinika wacha kutafta kiki zaburee ww
daaaaaaaaaah.kusaka kikiiiiiiiii kuna garama zake ..kama sio kuuza utuu ni kujichora na mavisu mwili mzimaaaaaa.....ila ningamshauri dogo acheck na mastaazi wanaotekea Bukoba mbona wapo town hapa tuu ..akina Lulu na wengine wengi nadhani wataelewama luga ..au veeeepeeee.
Wanadam bwana nishida kuliko umtegemee Mungu unategemea mwanadamu mwenzako kwani Wema ananini yakukusaidia nimwanadam kama wewe kwani wenye walifanyikiwa yeye njoo anawasaidiaka bushenzi tu
yan miez mili bangi Tupu,,,lkin sepetu mama msikilize sio kam hamorapa anae sem atakulish atakuvsha kila kitu😂😂😂,,uyu mwenzio ata mbwa wako tu atamlisha
mmmh mara yakwanza alivyo hojiwa anasema anafanya kazi yaurembo leo hii anasema hana kazi maranyingi tuna zani hawa mastar wanauwezo wakutusaidia kumbe nawao maisha yao yakawaida tu. haya ngoja tuone.
Kuwa makini Wema Sepetu! Huyo ni muongo. Nina wasi wasi ame tumwa kukudhuru. Lafudhi yake kwanza si ya Bukoba. Kama huja mtuma wala hatafuti kiki basi kaa naye mbali huyo kijana
kama ninavyio muelewa madam Wema, Nina hakika kua atamkubali kijana huyu
Maisha yako mkabidhi Mungu na si mwanadamu, maisha yapo tu fight yourself lakin mtegemee Mungu na si mwanadamu.
Hizo juhdi za kumtafuta wema unge mtafta Mungu au ukafanya kazi kwabdii nadhan ungefakiwa kimaisha.
bwana ee acheni maneno mwacheni, kijana atafanikiwa huyo ni binadamu mwenzenu hamna aja ya kumtukana wala kumkashifu, wema tenda wema wako kama jina lako, mwenyez mungu akutangulie,,
Idefons Lukange
Idefons Lukange ukosahihi namungu hashushi toka mbinguni mungu anapitia kwabinadamu naukitaka kupona sema ungojwawako labda atafanikiwa
+mauwa hussein Y
yani baada ya kumpa moyo binadamu mwenzetu unamkatisha tamaa mwenyez mungu atamsaidia
wema kawa Mungu? hili toto jinga saaana!!!
nna strong kwenye moyo wangu 😂😂😂😂
😂😂😂😂😂
Mcheke mtanzania asiye jua kiswahili, usi mcheke mtanzania aliye chapia maana ya neno la kiingereza, WCB_REPOSTER Maurice
WCB_REPOSTER Maurice 😂😂😂😂😂😂😂😂😂strong iyo veeeepe
hahaha kwel strong
haaaaaahhhaaaa muobe mungu atakusaidiya cbinadamu kwani mungu dokilakitu katika maisha yabinadami
loooooh!!!👌👌👌 huyu jamaa hana haya jaman,.....all the way from Bukoba looooh,
Ajielewe huyu bwana
kijana wacha kujiteka kiasi hicho mee nadhani ungetafuta kwanza ushauri kabla hujachukua maamuzi hayo, alafu kijana mwenzangu nikukumbushe kitu kidogo nafahamu maisha ni magumu lakini sasa hayawezi kuwa rahisi kwa kujirahisisha tambua kabisa wewe ni wathamani kwa hyo usipende kuuchezea utu wako na kufikiri ya kwamba kupitia wema suluhisho la matatizo yako yatakoma wewe ni matokeo lakini huku unakoelekea unakwenda kuwa tukio .Njoo Bukoba tulime bona kuna mvua za kutosha wacha kulialia kwenye media
ww 4errryy
Waaah James John usihofu mungu yupo utampata Madam wema. muomba mungu hachoki.
sawa sawa kaka hongera .....kusema kilio chako ndani ya moyo...ila kuna na mungu .....hata yy anamtege mea mungu kaka makinika wacha kutafta kiki zaburee ww
duuuh inshallah madam ataskia kauli yako kwa sababu umeongea. kwa heshima ungesema unamtaka,kimapenzi madam angechukia ila kwa hilo inshallah
Nina strong,hahaaaaaa,Tanzania bana....dogo umenifurahisha
labda madame ndo atakae kuwa funguo la maisha yangu.
hiii bongo jamani inakoenda shida sanaaaa!
uwiiiii jamani sema huyu jamn msaidie tuu
miaka19 ndo kafika dar aongee kiswahili mcharazo ivoo???? na anabana pua???? co mhaya uyo
we stela unaakili sana unafaa kuwa mwalim au mpelelez
Stella Rwegoshora uyu sio muhaya bhana
watu mna maneno Da
tatz sisi wabongo tuna dharauliana sana
jipe moyo kijana utapata tu
sepenga
anamtaka kimapenz maana huwez kuwa na shida alafu ukubali kulisha mbwa.....
ameonyesha hisia zake Goodluck
Sawa
njaa kali
duuh harmorapa kuna pacha ako apa
Mlilie Mungu usimlilie mwanadam hata Huyo unae mlilia anashida.
Saidi Ally hahahahaahahaaaa hatari ananjaa huyo za kijijini
acheni bangi buana halafu ninyi watangazaji muwe mnaangalia enter view za kufanya
daaaaaaaaaah.kusaka kikiiiiiiiii kuna garama zake ..kama sio kuuza utuu ni kujichora na mavisu mwili mzimaaaaaa.....ila ningamshauri dogo acheck na mastaazi wanaotekea Bukoba mbona wapo town hapa tuu ..akina Lulu na wengine wengi nadhani wataelewama luga ..au veeeepeeee.
😂😂😂😂😂😂😂harmorapa prt2
Chris 11 😂😂😂😂😂
wapenda urahisi wa maisha! jitahidi hana noma anaweza pia akakupa mzigo!
Wanadam bwana nishida kuliko umtegemee Mungu unategemea mwanadamu mwenzako kwani Wema ananini yakukusaidia nimwanadam kama wewe kwani wenye walifanyikiwa yeye njoo anawasaidiaka bushenzi tu
yan miez mili bangi Tupu,,,lkin sepetu mama msikilize sio kam hamorapa anae sem atakulish atakuvsha kila kitu😂😂😂,,uyu mwenzio ata mbwa wako tu atamlisha
Moyo uko strong😁😀😂or u have a strong feeling
Anaacha kutafuta kaz akafanya anaongea pumba hapa
siku hizi kila mtu akitaka kutoka lazima atumie jina la star looh kiki kweli
mmmh mara yakwanza alivyo hojiwa anasema anafanya kazi yaurembo leo hii anasema hana kazi maranyingi tuna zani hawa mastar wanauwezo wakutusaidia kumbe nawao maisha yao yakawaida tu. haya ngoja tuone.
Duh atareee
kwa kweli madame atakuwa chiz kama hayackiliza baadhi ya ma fans wake ila akina hamorapa mhhh''''''''''.....
mtegemea mwanadamu amelaaniwa mtegemee mungu wema atatumika tu kama Malaika maanake ni mwanadamu hawezi kukufanyia kila kitu mwanaume ni kuhustle
mhhh bangi ni dawa
Kuna mashamba mengi Bukoba kalime tu....
Bukoba mbona kuna MIGOMBA mingiii tuu..!?
Chaukucha yeye anacheza bongo mv kkkkķ daaaa!!!!! Kwli magufuli tanzania inaenda kasi
Moyo sukuma damu..
Lucy Hadwiger umenifulaixha ataree eeeee
Lucy Hadwiger hahaha kweli
I see hiyo ni strong
wema usikubalii kabisaa hii movie ya kushutii hata na cm
nice
dogo mjinga kweli,tafuta kaz hata kwny viwanda siyo kubana poa.
Kuwa makini Wema Sepetu! Huyo ni muongo. Nina wasi wasi ame tumwa kukudhuru. Lafudhi yake kwanza si ya Bukoba. Kama huja mtuma wala hatafuti kiki basi kaa naye mbali huyo kijana
haaaaaaahhhh hii hatari sana!!! usitake nikufananishe na wimbo wa Ney Kuna vidume vinalelewa (WAPO)
wemarapa huyo
WSB USINIUWE NIKO JAMANI KWELI strong
Yangu macho
Okay
Unaamini ukikutananae utatoka kimaisha?fikiria kwanza SK nyngne uskurpuke.
Muombe mungu ndo vyote
ahaaaa! muwayaaa
wema kuwa makini sana watu kama hawa maana mara nyingine wanakuaga usalama ta***fa so uwe makini mana ci unajjua unatafutwa na ...... ...... .. ...
uyukijana mwandazimu
lahaula😉 ze ndindindi😄
uyo jamaaa atali
niaje wadau mko pw
Tanzania aiendelei
akimkaribisha amekwisha,muongo kabisa huyo,kiswahili kinaonyesha hata si wa Bukoba, Mwizi huyo.
wema mpe kazi kijana anakupenda kweli
Bangi hizo zinaongea..
la maisha yake
😗😗😗😗
unachelewa kujua nijinsi gani utajikwamua kiuchumi unamuwaza mtu akiri mgando
wema angalia inawezekana katumwa na walio mteka Roma
nna strong kwenye moyo wangu!! buushit ndyo nn hii? wachen kujifanya wazungu bhaaana
wema wema wema nikuite tena wema .....wewe nikipenzi chawatu..
wewe kijana wacha ujinga madam nini omba God akusaidie
kapandikizwa uyo umaarufu hauji bila kujiweka bize
rud kwenu ukalime ndiz huko😩😩😩😩😩
kasikilia maisha yako????
acha ubwege wahaya hatupo hvyo unatuaibisha tafuta kazi bro
madam , uyoooo,
Ww mtto kichaaa kweli kafanye kazi uko
hahahahahaha jaman haya maisha jamani mungu atakusaidia
Haahaha weye kaka una mambo Tafuta mungu kaka
Maadam msikilize kijana
pole hii yote ni shida
kelvin sasa siumpeleke kwa madam
😂😂😂😂 madam Wema uko wapi?
😂😂😂😂😂 hatareee kweli
huyo ukimuuliza sawa atakuambia kuhusu kutekwa kwa roma, unaishi maisha mabaya alafu una simu ya nini?
shukuru sbxrule
haaaaaa
hehehehee jitokezeni mmojammoja kwa wema
😂😃😃😃😁 nicheke mie
wema msikilize huyu kijana
😁😀😁😃 katowa lamoyoni mwake
Bange bange mweeeee!!!!
wapi sepenga wap hamorapa 😂😂😂
Madam Wema kuja apa😁😁😁😁
Sema nini huyo dogo ni muhaya kweli nimesoma nae shule moja ivi ibaraozbu shule ya msing mpe namba ya anitafute tuchonge0687545260
anabana sana pua
mdogo wake harmorapa nn?
bukoba bishooo mhh
kwani huko kwao hamna mashamba ya kulima
Jembe la uongo hilo
omba MUNGU. 2
Huyu kichaaa kabsaa
VIP kampata