Akubali Kumlisha Mbwa wa Wema kwa Sababu Hizi

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 13. 04. 2017
  • Akubali Kumlisha Mbwa wa Wema, hii ni kauli ya kijan kutoka Bukoba ambaye ni shabiki wa damu wa Wema Sepetu baada ya kuamua kumtafuta kwa siku nyingi bila mafanikio.

Komentáře • 162

  • @prettyakoth4306
    @prettyakoth4306 Před 7 lety +10

    kama ninavyio muelewa madam Wema, Nina hakika kua atamkubali kijana huyu

  • @selemanimasatu2421
    @selemanimasatu2421 Před 7 lety +4

    Maisha yako mkabidhi Mungu na si mwanadamu, maisha yapo tu fight yourself lakin mtegemee Mungu na si mwanadamu.

  • @josephkisembe6663
    @josephkisembe6663 Před 7 lety +4

    Hizo juhdi za kumtafuta wema unge mtafta Mungu au ukafanya kazi kwabdii nadhan ungefakiwa kimaisha.

  • @sipendiujinga551
    @sipendiujinga551 Před 7 lety +9

    bwana ee acheni maneno mwacheni, kijana atafanikiwa huyo ni binadamu mwenzenu hamna aja ya kumtukana wala kumkashifu, wema tenda wema wako kama jina lako, mwenyez mungu akutangulie,,

    • @joycemartin8829
      @joycemartin8829 Před 7 lety +1

      Idefons Lukange

    • @mauwahusseiny682
      @mauwahusseiny682 Před 7 lety

      Idefons Lukange ukosahihi namungu hashushi toka mbinguni mungu anapitia kwabinadamu naukitaka kupona sema ungojwawako labda atafanikiwa

    • @sipendiujinga551
      @sipendiujinga551 Před 7 lety

      +mauwa hussein Y
      yani baada ya kumpa moyo binadamu mwenzetu unamkatisha tamaa mwenyez mungu atamsaidia

  • @Rashidmhedhery
    @Rashidmhedhery Před 7 lety +6

    wema kawa Mungu? hili toto jinga saaana!!!

  • @doctorjuniour9459
    @doctorjuniour9459 Před 7 lety +20

    nna strong kwenye moyo wangu 😂😂😂😂

    • @edeba01haji66
      @edeba01haji66 Před 7 lety +1

      😂😂😂😂😂

    • @metalcombat4470
      @metalcombat4470 Před 7 lety +2

      Mcheke mtanzania asiye jua kiswahili, usi mcheke mtanzania aliye chapia maana ya neno la kiingereza, WCB_REPOSTER Maurice

    • @kadadahamisi5631
      @kadadahamisi5631 Před 7 lety

      WCB_REPOSTER Maurice 😂😂😂😂😂😂😂😂😂strong iyo veeeepe

    • @salmakasmakasma3005
      @salmakasmakasma3005 Před 7 lety

      hahaha kwel strong

  • @annaantonopop4644
    @annaantonopop4644 Před 7 lety +6

    haaaaaahhhaaaa muobe mungu atakusaidiya cbinadamu kwani mungu dokilakitu katika maisha yabinadami

  • @ronardgodfrey9257
    @ronardgodfrey9257 Před 7 lety

    loooooh!!!👌👌👌 huyu jamaa hana haya jaman,.....all the way from Bukoba looooh,
    Ajielewe huyu bwana

  • @mjedengwapoizon8726
    @mjedengwapoizon8726 Před 7 lety +4

    kijana wacha kujiteka kiasi hicho mee nadhani ungetafuta kwanza ushauri kabla hujachukua maamuzi hayo, alafu kijana mwenzangu nikukumbushe kitu kidogo nafahamu maisha ni magumu lakini sasa hayawezi kuwa rahisi kwa kujirahisisha tambua kabisa wewe ni wathamani kwa hyo usipende kuuchezea utu wako na kufikiri ya kwamba kupitia wema suluhisho la matatizo yako yatakoma wewe ni matokeo lakini huku unakoelekea unakwenda kuwa tukio .Njoo Bukoba tulime bona kuna mvua za kutosha wacha kulialia kwenye media

  • @mwanahalimamwachili9679

    Waaah James John usihofu mungu yupo utampata Madam wema. muomba mungu hachoki.

  • @faridabakari8511
    @faridabakari8511 Před 7 lety

    sawa sawa kaka hongera .....kusema kilio chako ndani ya moyo...ila kuna na mungu .....hata yy anamtege mea mungu kaka makinika wacha kutafta kiki zaburee ww

  • @feymumy9547
    @feymumy9547 Před 7 lety

    duuuh inshallah madam ataskia kauli yako kwa sababu umeongea. kwa heshima ungesema unamtaka,kimapenzi madam angechukia ila kwa hilo inshallah

  • @tumainimanga9409
    @tumainimanga9409 Před 7 lety +3

    Nina strong,hahaaaaaa,Tanzania bana....dogo umenifurahisha

  • @DeeDiyo5
    @DeeDiyo5 Před 7 lety +1

    labda madame ndo atakae kuwa funguo la maisha yangu.

  • @daybrelimite6126
    @daybrelimite6126 Před 7 lety +2

    hiii bongo jamani inakoenda shida sanaaaa!

  • @hadijasaid8721
    @hadijasaid8721 Před 7 lety +2

    uwiiiii jamani sema huyu jamn msaidie tuu

  • @stellakay4136
    @stellakay4136 Před 7 lety +3

    miaka19 ndo kafika dar aongee kiswahili mcharazo ivoo???? na anabana pua???? co mhaya uyo

  • @sheymahabdulwahidkhalid6355

    watu mna maneno Da
    tatz sisi wabongo tuna dharauliana sana
    jipe moyo kijana utapata tu
    sepenga

  • @martinmpusso8703
    @martinmpusso8703 Před 7 lety +1

    anamtaka kimapenz maana huwez kuwa na shida alafu ukubali kulisha mbwa.....

  • @jazirshabanishabani6962

    ameonyesha hisia zake Goodluck

  • @janewacera7812
    @janewacera7812 Před 7 lety +1

    Sawa

  • @siamwacha5628
    @siamwacha5628 Před 7 lety +1

    njaa kali

  • @venture_rafael
    @venture_rafael Před 7 lety +3

    duuh harmorapa kuna pacha ako apa

  • @josephkisembe6663
    @josephkisembe6663 Před 7 lety

    Mlilie Mungu usimlilie mwanadam hata Huyo unae mlilia anashida.

  • @HBaby-re7gq
    @HBaby-re7gq Před 7 lety +1

    Saidi Ally hahahahaahahaaaa hatari ananjaa huyo za kijijini

  • @rechochofrank2953
    @rechochofrank2953 Před 7 lety +1

    acheni bangi buana halafu ninyi watangazaji muwe mnaangalia enter view za kufanya

  • @namwaichambua9462
    @namwaichambua9462 Před 7 lety

    daaaaaaaaaah.kusaka kikiiiiiiiii kuna garama zake ..kama sio kuuza utuu ni kujichora na mavisu mwili mzimaaaaaa.....ila ningamshauri dogo acheck na mastaazi wanaotekea Bukoba mbona wapo town hapa tuu ..akina Lulu na wengine wengi nadhani wataelewama luga ..au veeeepeeee.

  • @Chris-cb2dj
    @Chris-cb2dj Před 7 lety +5

    😂😂😂😂😂😂😂harmorapa prt2

  • @abbiecox1
    @abbiecox1 Před 7 lety

    wapenda urahisi wa maisha! jitahidi hana noma anaweza pia akakupa mzigo!

  • @apolinemalungano5854
    @apolinemalungano5854 Před 7 lety

    Wanadam bwana nishida kuliko umtegemee Mungu unategemea mwanadamu mwenzako kwani Wema ananini yakukusaidia nimwanadam kama wewe kwani wenye walifanyikiwa yeye njoo anawasaidiaka bushenzi tu

  • @rosemarybenjamin5866
    @rosemarybenjamin5866 Před 7 lety

    yan miez mili bangi Tupu,,,lkin sepetu mama msikilize sio kam hamorapa anae sem atakulish atakuvsha kila kitu😂😂😂,,uyu mwenzio ata mbwa wako tu atamlisha

  • @jigijigi2373
    @jigijigi2373 Před 7 lety

    Moyo uko strong😁😀😂or u have a strong feeling

  • @fafi9092
    @fafi9092 Před 7 lety +1

    Anaacha kutafuta kaz akafanya anaongea pumba hapa

  • @salamakadzo240
    @salamakadzo240 Před 7 lety

    siku hizi kila mtu akitaka kutoka lazima atumie jina la star looh kiki kweli

  • @ruditaboti3157
    @ruditaboti3157 Před 7 lety

    mmmh mara yakwanza alivyo hojiwa anasema anafanya kazi yaurembo leo hii anasema hana kazi maranyingi tuna zani hawa mastar wanauwezo wakutusaidia kumbe nawao maisha yao yakawaida tu. haya ngoja tuone.

  • @qutesugar2534
    @qutesugar2534 Před 6 lety +1

    Duh atareee

  • @jaffyamosi9809
    @jaffyamosi9809 Před 7 lety

    kwa kweli madame atakuwa chiz kama hayackiliza baadhi ya ma fans wake ila akina hamorapa mhhh''''''''''.....

  • @kingsdaughter2040
    @kingsdaughter2040 Před 7 lety

    mtegemea mwanadamu amelaaniwa mtegemee mungu wema atatumika tu kama Malaika maanake ni mwanadamu hawezi kukufanyia kila kitu mwanaume ni kuhustle

  • @fabiankapela3760
    @fabiankapela3760 Před 7 lety +2

    mhhh bangi ni dawa

  • @doctorjuniour9459
    @doctorjuniour9459 Před 7 lety

    Kuna mashamba mengi Bukoba kalime tu....

  • @aloycekiwia8613
    @aloycekiwia8613 Před 7 lety

    Bukoba mbona kuna MIGOMBA mingiii tuu..!?

  • @famitoissanawanda7011
    @famitoissanawanda7011 Před 5 lety

    Chaukucha yeye anacheza bongo mv kkkkķ daaaa!!!!! Kwli magufuli tanzania inaenda kasi

  • @lucyhadwiger3164
    @lucyhadwiger3164 Před 7 lety +1

    Moyo sukuma damu..

  • @nessa4899
    @nessa4899 Před 7 lety

    I see hiyo ni strong

  • @hamsinitimbersupplytanzani4928

    wema usikubalii kabisaa hii movie ya kushutii hata na cm

  • @mnaliwilliamf.5147
    @mnaliwilliamf.5147 Před 7 lety

    nice

  • @carendaniel6117
    @carendaniel6117 Před 7 lety

    dogo mjinga kweli,tafuta kaz hata kwny viwanda siyo kubana poa.

  • @metalcombat4470
    @metalcombat4470 Před 7 lety

    Kuwa makini Wema Sepetu! Huyo ni muongo. Nina wasi wasi ame tumwa kukudhuru. Lafudhi yake kwanza si ya Bukoba. Kama huja mtuma wala hatafuti kiki basi kaa naye mbali huyo kijana

  • @antidiusmugashe5991
    @antidiusmugashe5991 Před 7 lety

    haaaaaaahhhh hii hatari sana!!! usitake nikufananishe na wimbo wa Ney Kuna vidume vinalelewa (WAPO)

  • @dexvlogdexstar8673
    @dexvlogdexstar8673 Před 7 lety +3

    wemarapa huyo

  • @halimamlili8803
    @halimamlili8803 Před 7 lety

    WSB USINIUWE NIKO JAMANI KWELI strong

  • @queencashmadam8340
    @queencashmadam8340 Před 7 lety

    Yangu macho

  • @EcoEssence_wellness
    @EcoEssence_wellness Před 7 lety

    Okay

  • @josephkisembe6663
    @josephkisembe6663 Před 7 lety

    Unaamini ukikutananae utatoka kimaisha?fikiria kwanza SK nyngne uskurpuke.

  • @berryprince8795
    @berryprince8795 Před 7 lety

    Muombe mungu ndo vyote

  • @daybrelimite6126
    @daybrelimite6126 Před 7 lety

    ahaaaa! muwayaaa

  • @ignassulili6053
    @ignassulili6053 Před 7 lety

    wema kuwa makini sana watu kama hawa maana mara nyingine wanakuaga usalama ta***fa so uwe makini mana ci unajjua unatafutwa na ...... ...... .. ...

  • @aaaaa9123
    @aaaaa9123 Před 7 lety +1

    uyukijana mwandazimu

  • @zuhuraakida5932
    @zuhuraakida5932 Před 7 lety

    lahaula😉 ze ndindindi😄

  • @saidially6754
    @saidially6754 Před 7 lety +2

    uyo jamaaa atali

  • @kinglance9816
    @kinglance9816 Před 7 lety

    Tanzania aiendelei

  • @oliverlyimo1972
    @oliverlyimo1972 Před 7 lety

    akimkaribisha amekwisha,muongo kabisa huyo,kiswahili kinaonyesha hata si wa Bukoba, Mwizi huyo.

  • @mariambb4683
    @mariambb4683 Před 7 lety

    wema mpe kazi kijana anakupenda kweli

  • @bashirismail1443
    @bashirismail1443 Před 7 lety +1

    Bangi hizo zinaongea..

  • @DeeDiyo5
    @DeeDiyo5 Před 7 lety +1

    la maisha yake

  • @terrykamau902
    @terrykamau902 Před 7 lety

    😗😗😗😗

  • @nataliakihio8550
    @nataliakihio8550 Před 7 lety

    unachelewa kujua nijinsi gani utajikwamua kiuchumi unamuwaza mtu akiri mgando

  • @happymlelwa8830
    @happymlelwa8830 Před 7 lety

    wema angalia inawezekana katumwa na walio mteka Roma

  • @kinakithemr1042
    @kinakithemr1042 Před 7 lety

    nna strong kwenye moyo wangu!! buushit ndyo nn hii? wachen kujifanya wazungu bhaaana

  • @esthernjorog9270
    @esthernjorog9270 Před 7 lety

    wema wema wema nikuite tena wema .....wewe nikipenzi chawatu..

  • @josephinemakungu8447
    @josephinemakungu8447 Před 7 lety

    wewe kijana wacha ujinga madam nini omba God akusaidie

  • @tonnyford8196
    @tonnyford8196 Před 7 lety

    kapandikizwa uyo umaarufu hauji bila kujiweka bize

  • @arafsaaa8844
    @arafsaaa8844 Před 7 lety

    rud kwenu ukalime ndiz huko😩😩😩😩😩

  • @franktiba1506
    @franktiba1506 Před 7 lety

    kasikilia maisha yako????
    acha ubwege wahaya hatupo hvyo unatuaibisha tafuta kazi bro

  • @furahamadina1665
    @furahamadina1665 Před 7 lety

    madam , uyoooo,

  • @denisgrevasegmailcom
    @denisgrevasegmailcom Před 6 lety

    Ww mtto kichaaa kweli kafanye kazi uko

  • @taussumwa152
    @taussumwa152 Před 7 lety

    hahahahahaha jaman haya maisha jamani mungu atakusaidia

  • @abcdefgger
    @abcdefgger Před 7 lety

    Haahaha weye kaka una mambo Tafuta mungu kaka

  • @jumahassani6165
    @jumahassani6165 Před 7 lety

    Maadam msikilize kijana

  • @zenamilanzi1471
    @zenamilanzi1471 Před 7 lety

    pole hii yote ni shida

  • @sibawayhisalum2707
    @sibawayhisalum2707 Před 7 lety

    kelvin sasa siumpeleke kwa madam

  • @ahmedalminshad1211
    @ahmedalminshad1211 Před 7 lety

    😂😂😂😂 madam Wema uko wapi?

  • @leylahomar7740
    @leylahomar7740 Před 7 lety

    😂😂😂😂😂 hatareee kweli

  • @shukurusbxrule
    @shukurusbxrule Před 7 lety

    huyo ukimuuliza sawa atakuambia kuhusu kutekwa kwa roma, unaishi maisha mabaya alafu una simu ya nini?

  • @mamuuomar2596
    @mamuuomar2596 Před 7 lety

    hehehehee jitokezeni mmojammoja kwa wema

  • @halimamlili8803
    @halimamlili8803 Před 7 lety

    😂😃😃😃😁 nicheke mie

  • @kidawakindamba2434
    @kidawakindamba2434 Před 7 lety

    wema msikilize huyu kijana

  • @mariambb4683
    @mariambb4683 Před 7 lety

    😁😀😁😃 katowa lamoyoni mwake

  • @yolakahmathews6913
    @yolakahmathews6913 Před 6 lety

    Bange bange mweeeee!!!!

  • @rosemarybenjamin5866
    @rosemarybenjamin5866 Před 7 lety +1

    wapi sepenga wap hamorapa 😂😂😂

  • @josphinebaya2331
    @josphinebaya2331 Před 7 lety

    Madam Wema kuja apa😁😁😁😁

  • @bonnyjanja1144
    @bonnyjanja1144 Před 3 lety

    Sema nini huyo dogo ni muhaya kweli nimesoma nae shule moja ivi ibaraozbu shule ya msing mpe namba ya anitafute tuchonge0687545260

  • @barikikagine8977
    @barikikagine8977 Před 7 lety

    anabana sana pua

  • @ediphabakunda8759
    @ediphabakunda8759 Před 7 lety

    mdogo wake harmorapa nn?

  • @shakilamasoud8979
    @shakilamasoud8979 Před 7 lety

    bukoba bishooo mhh

  • @karimumduma4062
    @karimumduma4062 Před 7 lety

    kwani huko kwao hamna mashamba ya kulima

  • @noelsanga6853
    @noelsanga6853 Před 7 lety

    Jembe la uongo hilo

  • @ARFIddy
    @ARFIddy Před 7 lety

    omba MUNGU. 2

  • @shyneplatnumz2583
    @shyneplatnumz2583 Před 7 lety

    Huyu kichaaa kabsaa

  • @roymills237
    @roymills237 Před 7 lety

    VIP kampata