THE CLASSIC LAMAR 1: NILIANZA NKIWA MDOGO SANA/MAANA YA FISHCRAB/SIKUWA NA MIKATABA NA WASANII

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 13. 09. 2024
  • Lamar Niekamp ni moja ya watayarishaji wa muziki bora wenye mchango mkubwa katika tasnia ya Bongofleva,alianza muzki akiwa kirana mdogo sana paka kufanikiwa kuwa mtayarishaji alietawala game la bongo wakati fulani,amefika kwenye meza ya The Classic kupiga story nyingi za maisha na muziki wake

Komentáře • 34

  • @MackameHassani
    @MackameHassani Před 11 dny +1

    Nimeifatlia hii interview kwa ukaribu sn na nlichogundua ni kwamba Dunga ndo mwalimu wa Lamar na ndie aliempika pia. Dunga anaujua muziki mnoo tofauti nasisi tunavyozani.

  • @benjaminikazi
    @benjaminikazi Před 13 dny +1

    Gonga like hapa wewe Mtu wa 100 kulike 🤜🏾🤛🏾

  • @kaindulahwamburahaty6060
    @kaindulahwamburahaty6060 Před 20 dny +1

    BIG SHOOOOW IN TOWN, TUNAKUMBUSHANA WHEN MUSICs WAS A MUSIC

  • @KennedyOdhiamboKichaba
    @KennedyOdhiamboKichaba Před 19 dny +1

    Jamaa Boblee ni hatare sana kwenye vinanda na ana produce pia.

  • @BabuuWakitaa-pb6gr
    @BabuuWakitaa-pb6gr Před 19 dny +1

    Big up kuvi ...keep it real brother....

  • @nassorsuleiman9155
    @nassorsuleiman9155 Před 19 dny +4

    Lamar ana mwili wa kitoto sana maa shaa Allah he is about to turn 40😢na appearance iyoo upo vzr sana 😂

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything Před 19 dny +1

    Mzee wa Uhindini ndani ya nyumba leo.✌️

  • @officialmrangi5517
    @officialmrangi5517 Před 10 dny

    Waongo sana hao maproducer enzi nafanya mziki nilifika pale kariakoo studio yake hajanisikiliza hata naimba vipi wala kipaji changu 😂😂😂 kikoje

  • @Khalidniya380
    @Khalidniya380 Před 19 dny

    Lamar namkubali saana back in days nikiwa Bujumbura Burundi

  • @josephk90
    @josephk90 Před 17 dny

    Lamar ana uso wa Kitoto❤🎉🎉

  • @abdulhafidh7749
    @abdulhafidh7749 Před 20 dny +1

    Ali fadhil alikua daily shule best

  • @emaneez
    @emaneez Před 10 dny

    Kuvi...........! Kweli ubora wake

  • @hilarymark7583
    @hilarymark7583 Před 18 dny

    Lamaaar Awww Aww!

  • @veraisaria
    @veraisaria Před 13 dny

    Lamar alimpenda majani mpaka kuongea anaongea kama p funk

  • @user-hz9tx1mi1h
    @user-hz9tx1mi1h Před 14 dny

    Jamaa tolea langu kbs

  • @lutachahalajohnkalokozi6297

    🎉nilikuwa nawapata sana ledioni

  • @McKicheche
    @McKicheche Před 20 dny +1

    Kipind mdogo nilikuwa najua huyu jamaa Mwarabu😅

  • @user-iy3fx7cl1j
    @user-iy3fx7cl1j Před 19 dny

    Dah nlikuwa sijui kama lamaa mtu wa nyumbani zenj boy

  • @NdituTV
    @NdituTV Před 20 dny

    Brother yuko humble sana ❤

  • @BTVBATTAWY
    @BTVBATTAWY Před 17 dny

    Anaitwa ally melody

  • @cbhofficial3432
    @cbhofficial3432 Před 20 dny

    Fish crab❤

  • @ramadhanijuma6522
    @ramadhanijuma6522 Před 20 dny

    Wajina game linakudai bado

  • @mwesigwamichael2843
    @mwesigwamichael2843 Před 19 dny

    Kuna hii track, Lamar alitoa via Bongo records, czcams.com/video/2dAFFRjMWyk/video.htmlsi=tcE4kOWF6pcgmuN8

  • @djnine9tz26
    @djnine9tz26 Před 20 dny +1

    Kaka jaribuni ku improve kwenye audio production yenu mnatakiwa kuwa na heavy quality ya sauti kuliko hata video

    • @rashidomar1558
      @rashidomar1558 Před 20 dny

      Wazo zuri sana brother.....positive

    • @KuviFacts
      @KuviFacts  Před 20 dny +4

      Hii interview kipande kifupi cha kwanza kilikatika hivyo tulichukua materials sehemu nyengine ili kuyarudishia hapo ili nwanzo wa interview usipotee,after few minutes za mwanzo inarudi kwenye quality,sidhani Kama interview za nyuma hapo zina shida yoyote,Asante kwa maoni yako vile vile.

  • @noelmarapachi1808
    @noelmarapachi1808 Před 16 dny

    Samaki Ngadu

  • @Ebendentalclinic
    @Ebendentalclinic Před 18 dny

    hivi chochote popote yah joh makini nayo alitengeneza lamar?