THE CLASSIC LAMAR 1: NILIANZA NKIWA MDOGO SANA/MAANA YA FISHCRAB/SIKUWA NA MIKATABA NA WASANII
Vložit
- čas přidán 13. 09. 2024
- Lamar Niekamp ni moja ya watayarishaji wa muziki bora wenye mchango mkubwa katika tasnia ya Bongofleva,alianza muzki akiwa kirana mdogo sana paka kufanikiwa kuwa mtayarishaji alietawala game la bongo wakati fulani,amefika kwenye meza ya The Classic kupiga story nyingi za maisha na muziki wake
Nimeifatlia hii interview kwa ukaribu sn na nlichogundua ni kwamba Dunga ndo mwalimu wa Lamar na ndie aliempika pia. Dunga anaujua muziki mnoo tofauti nasisi tunavyozani.
Gonga like hapa wewe Mtu wa 100 kulike 🤜🏾🤛🏾
BIG SHOOOOW IN TOWN, TUNAKUMBUSHANA WHEN MUSICs WAS A MUSIC
Jamaa Boblee ni hatare sana kwenye vinanda na ana produce pia.
Big up kuvi ...keep it real brother....
Lamar ana mwili wa kitoto sana maa shaa Allah he is about to turn 40😢na appearance iyoo upo vzr sana 😂
Bado mdogo
Mzee wa Uhindini ndani ya nyumba leo.✌️
Waongo sana hao maproducer enzi nafanya mziki nilifika pale kariakoo studio yake hajanisikiliza hata naimba vipi wala kipaji changu 😂😂😂 kikoje
Lamar namkubali saana back in days nikiwa Bujumbura Burundi
Lamar ana uso wa Kitoto❤🎉🎉
Ali fadhil alikua daily shule best
Kuvi...........! Kweli ubora wake
Lamaaar Awww Aww!
Lamar alimpenda majani mpaka kuongea anaongea kama p funk
Jamaa tolea langu kbs
🎉nilikuwa nawapata sana ledioni
REDIONI sio LEDIONI.
Kwamba hujawahi kusikia au kuona neno REDIO(RADIO)?
Naona umesisitiza sana 🤣🤣🤣🤣 kakukera sana eee😂😂@@nikkimbishiunju2402
@@nikkimbishiunju2402 hahahah😂😂 nikki bwn
Kipind mdogo nilikuwa najua huyu jamaa Mwarabu😅
Dah nlikuwa sijui kama lamaa mtu wa nyumbani zenj boy
Brother yuko humble sana ❤
Anaitwa ally melody
Fish crab❤
Wajina game linakudai bado
Kuna hii track, Lamar alitoa via Bongo records, czcams.com/video/2dAFFRjMWyk/video.htmlsi=tcE4kOWF6pcgmuN8
Kaka jaribuni ku improve kwenye audio production yenu mnatakiwa kuwa na heavy quality ya sauti kuliko hata video
Wazo zuri sana brother.....positive
Hii interview kipande kifupi cha kwanza kilikatika hivyo tulichukua materials sehemu nyengine ili kuyarudishia hapo ili nwanzo wa interview usipotee,after few minutes za mwanzo inarudi kwenye quality,sidhani Kama interview za nyuma hapo zina shida yoyote,Asante kwa maoni yako vile vile.
Samaki Ngadu
hivi chochote popote yah joh makini nayo alitengeneza lamar?
Ile ni Dunga