Magoli | Namungo 1-1 Yanga | NBC Premier League 20/11/2021
Vložit
- čas přidán 19. 11. 2021
- Yanga wamepata sare ya bao 1-1 dhidi ya Namungo FC katika mchezo wa ligi kuu ya NBC #NBCPremierLeague uliopigwa kwenye Uwanja wa Ilulu mkoani Lindi. Namungo wametangulia kupata bao kupitia kwa Obrey Chirwa kabla ya Yanga kusawazisha kwa mkwaju wa penati kupitia kwa Saidi Ntibazonkiza.
- Sport
Penati sawa tumekubali lkn huo upigaji wa penati nao ni shida, mtu hata hajapiga wachezaji wako kwenye penati area, mwingine kampita hata mpigaji
Mimi ni yanga, coz ni timu yangu, lakini kilichotokea sijakipenda... Pamoja na mapenzi yangu kwa yanga, napenda sana haki, na usawa... Ushabiki wa kushangilia udhalimu ni Mambo yaliopitwa . Kwa ufupi refa kawaonea wale wapinzani wetu, ss wapenda haki hatujapendezwa ,... Tunataka yanga yetu ishinde, Tena ishinde kwa kishindo, LAKINI KWA HALALI
Unahisi shida ikowapi ambayohujapenda wewe kuwa wazi
Haikuwa penalty,pia ilipaswa urudiwe sababu wakati ntibazonkiza hajacheza mpira wa mezaji walikuwa tayari wameshaingia kwenye eneo la 6.ila refa aliangalia nafasi ya kulinda M PESA YAKE TU KUTOKA KWA GEM
Mbona wachezaji wameingia kwenye box kabla penati haijapigwa
Enzi zile wancheza baba zetu huo mchezo ulikuwa unaishia hapohapo
Fair competition, Wachambuzi mpooo.
Ukiachilia mbali utata wa Penalt pia wakati wa kupiga penalt yenyewe watu washaingia kwenye box hata kabla ya kupiga mpira, tena mchezaji wa Yanga yupo mbele kampita hadi mpiga penalt. Bado Soka la Bongo lina safari ndefu.
Kabisaa
NDO MAANA UTO HAWAFIKI MBALI KWA KUBEBWA 😎
Asantee Refa kwa kutupa penati ya mchongo 😂😂
Maana tulikuwa tunaumbuka Sisi UTOPOLO fc 🐸 🐸🐸🐸
Asante refa
Mm yanga ila kwenye penati hii hapana maana mchezaji kacheza mpira wala tucjicfie tulikuwa tunalala na viatu Leo tuchange chochote kitu tuka mzawadie rafa
Hii ndio ligi halisi ya Bongo. Congo ikija 🇨🇩3-0 🇹🇿
Tunamtaka lefa uyu uyu kwenye mechi na sisi.🦁 🦁
I we tumebebwa au tumebeba Mimi naipenda Yanga💚💚💚💛💛💛
👉🏿🐸👉🏿🐸👉🏿🐸👉🏿🐸👉🏿
Hata mikia sawa🤣🤣🤣🤣 Fei wetu katuambia msimu huu tunajambo letu.
Azam saaafi.
Kwa highlights ya mapema! Hongereni sana
Daah!!! Ad refa kaingia mkataba na GSM ,hata kama ni ndani ya 18 mchezaj kacheza mpira
Kiukweli hawa waamuzi wanatuharibia mpira sana sasa penati gan hiii
Hwa ma refa wangekua wanapigwa kwanza
Aibu kubwa wamuzi wetu. yanga wameishiwa tyr .
Ukiacha ushabiki hiyo haikua penarty.
Marefa mnauwa mpira nyinyi wasenge penat gani hiyo
Hawna taaruma ya kufundisha hawa marefa wengine ni wakuokotwa
KUNA HAJA YA CAF KUISHUSHA THAMANI LIGI YETU KUTOKA LIGI YA 6 KWA UBORA AFRIKA MPAKA KUA LIGI YA 40 KWA UBORA NI UPUUZI MTUPU
Sema nmecheka sana aina ya upigaji wa penati
Refa kachezesha mpira kimahaba kabisa 😪 wanalibu mpira wetu bongo
Aibu sanaaa kwa soka la tanzania mnatia aibu marfa
Kuna mbwa kabebwa 😁😁
Ni hivi bongo mpira bado Sana sana
sijawai ona aiseee .yani penati aijapigwa bado wachezaji tayari washaingia ndani ya box na refa yupo apo apo na ameikubali penat duuu atari
Tanzania kwa staili hii tusahau kuendelea kimpira waamuzi atuna
Farasi kuwa refa basi
Utoporo mnazidi kutupa Raha ilikuwa mama J....! Leo mna taarfa nyngn😀😀😀😅😆🤣🤣
mdaka mishale leo kadaka mavi😂😂
Yanga utopolo siyo timu iyoo yamebebwa tu na refaree shoga uyo?
No professionalism football kweny bad pitch Kam hvo ,niupotezaji tu wa pesa ,hapo wanacheza wachezaji wa kawaida ,viwango haviwez kukua
Mimi kama shabiki wa Yanga damu, ila hili swala la marefa kuwabeba simba na yanga wanadumaza ligi na mpira wa Tz kwa ujumla
Daah! Waamuzi wetu bado changamoto!!
Kwa mpira wa sasa VAR ni muhimu
Ligi yetu ya Tanzania malefalii wanaenda na matokeo yaopia uwanjani apo sijaona uhalali wa hio penart😳😱
Lefa kabet uyo mkuu
Refa Unatuhusu vp goli ikiwa wachezaji wa Yanga ndani ya box kabla ntibazonkiza hajapiga?
Me ni wa yanga dam ila ile cyo penakit ukweli tuseme
Wachezaji wa yanga walitangulia mbele ya Mpiga penalty kabla hajapiga
Hivi Yanga kweli walishangilia hili goli?
Ata Mimi nashangaa... Hii sio penalti halali
Mimi ni shabiki wa yanga lkn huyu refa anapaswa kuwajibishwa ikiwemo kufunguwa misimu miwili kuchezesha mpisha!
Game nzuri ila mazingira ya ilulu na uwanja haukuwa vzr na jua Kali Sana ndio Mana mchezo haukuwa mzuri sana
There no refers in Tanzania if it's like this I'm from Rwanda thx
Ndio umeandika nini na wewe ....si muwe munaandika kiswahili tu kujitia aibu
Vinyesi wanabebwa sana na marefa na kwa mpira huu wana haki ya kucheza mechi 49 bila kupoteza
Good
🔥🔥🔥
Duuh hizi penalt za kibongo ni shida sasa hapo si kacheza mpira au na ndio maana hatuendelei kisoka
Refa hana aibu kabisa
Yanga ubingwa ni kazi naona Leo mmeona kwamba bila mbeleko Leo ingekuwa balaa
Marefa wanakula lushwa
Refa uyu afungiwe
lefaa mungu anakuona
Ila hyo penalty ilivopigwa m
Haya manara aje kutumbia sasa vp kuhusu utaratibu
Mh kazi IPO mwaka huuu
Narudia tena mpira kama ujui kutoa pesa ujue ubingwa utausikia tu toa pesa kwa refa akubebe Kwahiyo yanga kutoa pesa kwa marefa si dhambi wewe usiotoa pesa subiri thawabu sio ubingwa
Mwamuzi kwamba hajaona hata wachezaji wameingia ndani ya box kabla mpira haujapigwa?
Yanga rahaaaa
Namungo wameonewa
Daaaaah mbona mnatuumiza jamn
Wewe Kazi ya kutangaza inakushinda unaleta usimba na uyanga kwenye Kazi Yako inamaana wewe huoni contact Hapo au inatangaza utopolo 2
hakuna mpira bongo sasa mtuu hajapiga penalt mwengine ameshafika mpaka kwenye Gori na muamuzi yupo tuu Kama gogo hiyo penalt ilitakiwa irudiwe
Lefa alibet mkuu ndo matatizo ya malefa kubet ayo
Huyu lefa anahitaji uangalizi si kwa ubovu huu
Daah
yan bongo mmh hawa marefa wetu ni shida tupu
Uyu refa wamfungie maisha
Yanga yetu hiii si ya kushangilia kwa hii penati
Tuanze kukodi marefa ulaya tu kwa Hali hii
Kwasababu gani?? Mbona msimu uliopita hamkusema?namadudu mengi tuliyaona,Mtu anakuwa na mechi 8 hajacheza wenzake wamebakiza mechi mbilimbili nawengine wamemaliza.
Mimi.nishasema bongo.malefa.hakuna...washenzi2...
Na jana ulisema mlivyopewa penat??
Achana na makolo pumbavuuuu
Kweli Yanga mna kazi kweli yaani hivyo ndivyo mnavyoona ni sawa kweli, Mbona huyo Faytoto alistahili kadi ya Njano kwa kumhadaa refaree, halafu penalty hiyo inapigwa na Wachezaji wangapi?
Ukiangalia mpigaji ni mmoja lkn wanaokimbia ndani ya box ni wangapi?
It's not fair
Unamnyimaje namungo penat mbili halali unampa yanga penalty ya muamala? Hawa marefa wetu Hawa duuuuh ujinga mtupu
Na ndoo maana mukenda kimataifa hamumfu gu mtu mbwa
Fei toto kapigwa tobo.. mpira ukarudi ulikotoka.. kajiangusha wakati hakuguswa! Na hata baada ya kujiangusha kwa tobo alilopigwa dogo bado kamruka.. meaning.. feitoto hakuguswa na huyo dogo..! Hiyo haikuwa penalty kick..! WAMEBEBWA UTOPOLO..!
Utakua mwenyewee
Tefa afungiwe tuu
Refs keisha pewa mrungura hapo penati gani hata ndondo hupewi penati kama hiyo
ila leo tume bebwa akuna penati
Leo tuseme ukweli tumshukuru refa
Refa kawabeba wananchi
Kama niadhabu inabidi mpate yanga basi muanze kumwambie fei toto aache hizo tabia na do maana washambuliaji wetu wa bongo wanaharibiwa na malefari wetu hawahawa baada yakupambana yeye analala na sasa chukueni ile faulo aliyochezewa jana morison na mfananishe huu utopolo wenu mliomdanganya lefa ....pumbavu zenu.
Sema wameanza kushona sare tutafahamiana tu baadae
Mbona hii ni penati ya wazi sasa watu wanamlaumu Mwamuzi kwa kipi hapa
Hamna penalty hapo mchezaji kagusa mpira utomrendaaa ww
Penalty ya nyumbani kwenu hiyo msiojua mpira
Hata mechi za michangani zina marefa wazuri… hii aibu sana , FIFA ipelekewe replays ya hii game … huyu refa na wasaidizi wake wote wasiruhusiwe tena kuchezesha mechi za ligi! Wanahitaji mafunzo ya hali ya juu
Tatizo la kuahidiwa pesa kwakuifunga Yanga mtaona mnaonewa kwanamna pesa zimewachanganya.
Hata aibu hauon kabisa
Ila utoporo mnateseka mbwa nyie
Endeleeni kubebwa bana
Haya tena vyura si kwa penalt hiyo
Mi nakuambia siku refa ata kuja kuuawa
kumalamamako refa
Wamebebwa hao
Ligi ngumu hii aaah yanga timu Bora yako wapi sasa?
Azam, ahsate kwa kuweka pesa il vijana na tim kwa ujumla wanufaike kwa kujituma, lakn mbona kama malefalii wanashusha hadh kwa kile mlicho kiweka kwenye mpila, au bado marefa hawalipwi mbaka wanafanya haya
Ni Aibu kubwa sana
Mechi ya Yanga na Ruvu, Mayele alishika mpira kwa mkono, penalty ikaenda Ruvu. Hii ya leo, mchezaji wa Namungo kacheza mpira, imekuwa penalty. Ujinga mtupu!!
Kwnz wakat penat inapigwa wachezaji walitoka karibia yote ilitakiwa irudiwe
Angempga kwer unapewa kad unatoka kizembe mpge kwer
Washabiki makalio wasojua boll wataongea tu
Hadi wabebwe na rifarii
Duuh!!
Hawa marefa watakuja sababisha umwagaji damu uwanjani. Ile siyo penalti, na namna ilivyopigwa imepigwa kihuni
Machenchele sie tunajua namungo1yanga0