Mtu mmoja amefariki kwenye ajali eneo la Kisauni
Vložit
- čas přidán 16. 05. 2024
- Mtu mmoja amefariki baada ya gari la kubeba maji kugongana na bodaboda katika eneo la VOK, Kisauni, kaunti ya Mombasa. Kulingana na walioshuhudia ajali hiyo, hii sio ajali ya kwanza kutokea eneo hilo. Wakazi sasa wanaitaka serikali kuu kuharakisha ujenzi na upanuzi wa barabara hiyo kando na kuwekwa matuta.
Woooy poleni sana vok ni mtaa wangu
So sad,. Rip... Barabara ipanuliwe hiyo...
Sad Rip
Mbisy caught me off 😅😅😅
🤣🤣I rushed to the comments to see who is reading from the same page as I.
Inna lillah wa inna illahi rajiun Allah amrehemu
Why are boda boda ride so reckless.
Can u watch it again and hear what causes the accident. Because the report is aloud and clear
Wako njaa na pengine Wana rush for 50bob
Mungu wangu
Alafu wale mnapendako kuwatch comedy videos naombako mnipitieko Leo tafasali nafanyako comedy 😂
Mbusy kweli😂
Alafu please Wala mnapendako kuwatch comedy videos naombako mnipitieko Leo tafasali nafanyako comedy 😂
Bodaboda are extremely reckless
Utaskia wakisema ni muguka🫤🫤
😂😂😂
Abobo nakuona mtetezi😅😊
Vok ni nyali sio kisauni toeni habari za uhakika