Jinsi ya kurekebisha Short katika nyumba

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 5. 09. 2024

Komentáře • 24

  • @wakwenutv3101
    @wakwenutv3101 Před 3 lety +1

    Uko vizuri sana ndugu mi mwanafunzi wako nakufatilia sana tuko pamoja

  • @katakemohammed8726
    @katakemohammed8726 Před rokem

    Mwenyez Mungu akuongoze vyema mwalimu tunapata eleimu nzuri Sana kutoka kwako

  • @FloraJulius-mq5iy
    @FloraJulius-mq5iy Před 5 měsíci

    Good

  • @abdallajuma1181
    @abdallajuma1181 Před 2 lety +1

    Asante xana, darasa ni zur xana

  • @expert5898
    @expert5898 Před rokem

    Asante sana... mkuu

  • @yasirmauld4554
    @yasirmauld4554 Před 2 lety +1

    Kaka Asante saiv nimekuwa fundi wakisasa

  • @mwimobatv6679
    @mwimobatv6679 Před 3 lety +1

    Nakufuatilia xan kaka we ni mwalimu zaid ya walimu

  • @mwanatz5980
    @mwanatz5980 Před rokem +1

    Asante Mwalimu.

  • @abdallajuma1181
    @abdallajuma1181 Před 2 lety +1

    Niko zanzibar

  • @dumaismail2052
    @dumaismail2052 Před rokem

    Unakutaa taa inawaka mwang kidogo wakati umezima swichi hiy vp?

  • @jimmybarnaba2709
    @jimmybarnaba2709 Před rokem

    Aisee kuna kitu umeelezea kitu ambacho nilikuwa sijui pakuanzia tatizo la taa kuzima zima nimekuelewa vyema sana.Asante

  • @nurujuma5959
    @nurujuma5959 Před 2 lety +1

    I'm appreciate you 🙏

  • @user-fj8cp5mz9h
    @user-fj8cp5mz9h Před rokem

    Darasa iko sawa

  • @juram5349
    @juram5349 Před 2 lety +1

    Nilikuwa wap nimechelewa kukufutilia

  • @leudkihanza898
    @leudkihanza898 Před 2 lety +1

    🙏🙏🙏

  • @qaswidapambe8843
    @qaswidapambe8843 Před 3 lety

    FUNDI naomba kuuliza ikiwa umewasha taa na ukacheki kwa testa kwenye holder ukakuta tester inawaka kwa muangaza mdogo yaani sio kawaida je hii ni sawa na iyo ya taa kuwaka na kupwesa pwesa

  • @muhitajihachoki2956
    @muhitajihachoki2956 Před 3 lety +1

    Tuko pamoja fundi

  • @saburimajengo3277
    @saburimajengo3277 Před 2 lety

    Nilikutana na shoti nayo haikuzima Msb Wala breks. , taa ikizimwa inawaka kwa nwanga mdogo sana !
    Nikakata waya wa laiv ikawa hivyohivyo. Nikakata wa eth ikawa hivyohivyo .Nikafungua swith ikawa hivyohivyo. Nini tatizo ?

  • @mdarasarumbo3300
    @mdarasarumbo3300 Před 3 lety

    Maelezo mazuri,ila kuna shoti inayo shusa break baada ya masaa 3 au zaid,je hiyo nayo unaitatuaje?

    • @josephdismas6930
      @josephdismas6930 Před 2 lety

      Natamani namm niwe fundi umeme na ninapenda sana sema sija malizashule

    • @dumaismail2052
      @dumaismail2052 Před rokem

      @@josephdismas6930 mcb imewekwa ndg inazidiwa

  • @ramadhaniamanzi6636
    @ramadhaniamanzi6636 Před 3 lety

    Pamoja sana mana ili darasa nilikua nalisubili kwa hamu sana

  • @ramadhanjuma7719
    @ramadhanjuma7719 Před 3 lety

    mm apo nina swal mwalimu wangu

    • @ally2137
      @ally2137 Před 2 lety

      Unafundisha vzur teacher