UZINDUO WA UMEME KWENYE SHIRIKA LA RJDD/MBOKO. S/TANGANYIKA.T/FIZI.

Sdílet
Vložit

Komentáře • 7

  • @user-nr3my6cz5m
    @user-nr3my6cz5m Před 10 měsíci +1

    Merci kwetu mboko

  • @delphinbyaombe3399
    @delphinbyaombe3399 Před 10 měsíci +1

    Jambo ndugu Nitumie huu Wimbo tafadhali

  • @lukafbbwebelof3874
    @lukafbbwebelof3874 Před 7 měsíci +1

    Mwami usikamate viwanja mbiyo mbiyo ujuwe kama kuko viwanja vya watu ambao wako Makambini ila uwezo wakujenga hawana mpaka warundi nyumbani ili wahanze kujenga. Ukichukuwa viwanja vya wakimbinzi ujuwe utakuwa unawaonea na kuwafukuza wasirundi nyumbani. Kwahiyo Mboko nikubwa . Kwahiyo unatakiwa umwambie Rais wa inchi awaite wakimbizi waje nyumbani vita inahisha.

    • @BulumbaTV
      @BulumbaTV  Před 7 měsíci

      Ujumbe wako nitamfikishia mwami

    • @lukafbbwebelof3874
      @lukafbbwebelof3874 Před 7 měsíci

      @@BulumbaTV
      Fikisha kabisaaa maana hayo mawazo yake hayaendani na hali halisi ya sasa. Serekali hupata muda wa miaka tatu 3 kwa mwenye lubango aonyeshe nia ya kujenga. Kisha miaka tatu 3 Serekali huamasisha wenye lupango kujenga na sio kuchukua lupango na kuhuzisha . Ajuwe watu wako kwenye makambi. Kama vita inakwisha waombe wakimbizi warudiye kwao ili wahanze kujenga viwanja vyao. Awe na umakini kwa viwanja vya watu